Dunia nzima imeamia kwenye madarasa ya mapenzi, kila mtu mwalimu na kila mwanamke kungwi. Tena wengine wanapitia mlango wa dini na ndoa. Si wachungaji, si masheikh.
@arashe63512 ай бұрын
Ma sha Allah....Ma sha Allah.....shukrani sana kwa elimu.
@sadasaid72122 ай бұрын
Maa shaa Allahu kipenzi changu roll model wangu!! I wish one day nihudhurie darsa lako liveee yn
@jasmintanga24742 ай бұрын
Maashaa Allah, shukran ukht kwa elimu
@zohoraramadan45402 ай бұрын
Ukhti darsa zako zinapatikana wapi kwa mabinti wari wanao olewa tunahitaji kuwaleta uwafundishe kabla ya kuolewa tafadhali
@OmaryIssa-uk4zh2 ай бұрын
Mashaallah mashaallah
@ZaidaNyanyagi2 ай бұрын
Masha Allah, nakupenda kwa ajili ya Allah
@MajuvaMajuva2 ай бұрын
Masha Allah baraka llah fika
@user-pt9uw3nz8c2 ай бұрын
Maa Shaa Allah,TabbarakaAllah❤❤
@Aida-qh3jqАй бұрын
Naaam maadam fatuma wanawake wengi ndo mama ndo bab kila unachokifanya bila wewe kutoka walala njaa na watoto hali wala kwenda shule na kuvaa lakini kwa mwanaume wenye kazi watafany hayo
@ashuumuhammad82692 ай бұрын
MaashaAllah ukhty
@a.8562 ай бұрын
Jazakallah khayran
@zohoraramadan45402 ай бұрын
Mashallah ukhuti
@nduwimanafatma994826 күн бұрын
Da Fatma hayo unaongea nikweli ila kwa maisha ya sasa ni ngum waume wanashinda kwenye majundi ya kahawa wake masokoni watoto wanakutazama je huyo mda utautowa wapi. Halafu uislam hujasema mume tuu nipe nikupe sister hata nasi twaitajia kutolewa mywele na kupewa iy pesa ya kusukwaa. Wanamume wameshawapa wake zao majukum yao je hiyo hali itatoka wapii
@moanamessi17492 ай бұрын
Mashaallah tabaraka llah
@ZaidaNyanyagi2 ай бұрын
Masha Allah
@user-mr5yf1hp7t2 ай бұрын
Waambie wainga wainga wasio jijua NA majeuri yamewajaa wenyewe hawajui hata kujisafisha
@azizayassin36232 ай бұрын
Inamanisha mume no mtoto wa mwisho nyie😂😂😂😂😂 nimechoka mimi wakwangua anapenda ushindi au magadi
@tumwesigyehamdan85872 ай бұрын
Wambie.. Daada
@ASIMOnlineTv2 ай бұрын
Tufundisheni watoto wa kiume usafi
@thetruth89792 ай бұрын
hivo kama mume hazingatii wajibu wake hivo vinyoleo na sabuni unazipara wapi?na kingine unashinda na njaa nguvu zinatoka wapi ukhti wanawake wengi wanajitahid waume ni tatizo labda wewe mwenzetu unahuduma bora ndio mana unamudu hayo unayo sema usafi unatoka wapi huduma hakuna
@user-bo1cn3dw6o2 ай бұрын
Mbona unamambo ww nimnyoe kwani yy Hana mikono mnahangaika na hao wanaume hawana maana kesho wanakuletea wanawake wengine Sina muda huo
@user-dx6dm6lh1iАй бұрын
Mm nashangaa hawa wanaofindisha hv uislamu umefundisha mwanamke amfanyie mwanaume tu yy. Mwanaume hana yakumfanyia mkeo. Kiufup mwanaume ndio amfanyie mkewe sio mwanamke tu
@user-dx6dm6lh1iАй бұрын
Ndio hpo utasema ni mlemavu umfanyie hvo wengine hawatak ujinga huo wanajua kwamba mwanamke anachoak kazi za nyumba kuangalia watoto bdo uwangalie mpk kucha za mwanaume si kutupa kazi bila mshahara.