Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri. Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa; aseme na nafsi yake tena na Mungu. 1Wakorintho 14:27-28
@elisantennko8222Ай бұрын
Topic hii nilifundisha English session ibada ya asubuhi 26.5.2024 TAG pugu. Nilutumia NIV Bible, tupo pamoja Mwl mwenzangu. Amen
@irenelucas63234 ай бұрын
Mtumishi kuspeak in tongues sio kuhutubu. Ninavyojua kuhutubu ni kupreach in tongues.
@servantivankibiki7684 ай бұрын
Preach ni Kuhubiri na siyo kuhutubu. Speak ni kuongea wazi. Mfano: Speaker wa bunge anaitwa hivyo kutokana kwamba ndiye mhutubiaji. Kuhubiri ni kitu tofauti na speech
@neliusgosbertbaguma86933 ай бұрын
Hivi RC ikitokea ukanena kwa Lugha haufukuzwi wala kutengwa? Maana CHANGAMOTO tulizokutana nazo tukiwa Karismatik, ilikuwa kutengwa tu, ukijifanya kufundisha Bibilia, nakupongeza sana kwa kuthubutu: