POMBE NA UKRISTO

  Рет қаралды 7,214

Servant Ivan Kibiki

Servant Ivan Kibiki

5 ай бұрын

Пікірлер: 29
@harunizephania6154
@harunizephania6154 11 күн бұрын
Kama unakakuwa mtu safi usinywe pombe
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 5 ай бұрын
Umeeleweka vizuri mwalimu.
@ubongosahihi
@ubongosahihi 5 ай бұрын
Waoooo Mwalimu siku fahamu Kama upo humu barkiwa 🎊🎊🎊🎊
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 23 күн бұрын
Samson km alikatazwa kunywa pombe ni kwasababu alikua mnaziri wamungu kutumia pombe sio zambi atakidogo
@blessingbisimwajanesbisimw6966
@blessingbisimwajanesbisimw6966 5 ай бұрын
Ubarikiwe mwalimu,naona mwengi ne hapo Tanzania anajiita mzee WA upako anasema pombe sio zambi
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 3 ай бұрын
Maanayake kama walioambiwa wasinywe pombe maana yake pombe sio nzuri
@user-tn9zj1oy8e
@user-tn9zj1oy8e 19 күн бұрын
Mpotoshaji
@roseombay2086
@roseombay2086 5 ай бұрын
Amina
@kalistokyando1670
@kalistokyando1670 2 ай бұрын
Ndugu yangu usipotoshe watu. Utahukumiwa. Usipotoshe watu. Acha!!!
@gregorymhanze
@gregorymhanze 3 ай бұрын
Kuna sehenu ktk bilia inasema ole wao waamkao asubuhi na mapema kufata pombe /mvinyo hiyo imekaaje
@richardmwandanji65
@richardmwandanji65 3 ай бұрын
Usipotoshe soma vizuri kwenye mvinyo hakuna utukufu ndomana kila alie pewa utumishi wa mungu aliagizwa asitumie hata mzinzi halaumiwi ila anafundishwa
@isayakigava9283
@isayakigava9283 2 ай бұрын
Hajapotosha ila ametoa mtazamo tofauti na wa kwako,unanafasi yakutafakari zaidi kabla hujakataa au kukubaru
@paulndosa2649
@paulndosa2649 4 ай бұрын
Bora umekiri kuwa huo ni mtazamo wako and you stand to be corrected. Unapokuwa na Roho mtakatifu ndani yako ni udhihirisho wa kuwa unatembea na Yesu. Uko ndani ya Yesu na Yesu yuko ndani yako. Kama pombe inakuondolea Roho mtakatifu maana yake hauna Yesu ndani yako na hutembei naye na hujampokea, hivyo hauko salama kiroho. Biblia inasema wale waliompokea Yesu aliwafanya kuwa wanae. Sasa kama wewe si mwanae mbinguni utapitia mlango upi?
@user-vy8tb2hq9w
@user-vy8tb2hq9w 2 ай бұрын
Hatari wewe ! Unahatari kubwa bibiria ina makatazo mengi ya unywaji ya pombe !😢
@NicolausMgosi-sz5qv
@NicolausMgosi-sz5qv Ай бұрын
Basi kama SI mbaya ukitaka kunywa uwe unaiombea kama unavyoombea chakula kingine kila mtu atabeba frushi lake mwenyewe. Mungu akufunulie maana unataka kuelewa ila wagalatia 5:19-21 imekujibu
@user-fq3xt6fe4n
@user-fq3xt6fe4n 5 ай бұрын
Mwalimu mwenzangu umenijibu maswali ambayo nilishindwa kuyapata na watu wote wa dini zote wameshindwa kupata majibu juu ya pombe
@ahmadamohamed1907
@ahmadamohamed1907 3 ай бұрын
Uelewa wako ndipo ulipoishia
@richardmwandanji65
@richardmwandanji65 3 ай бұрын
Usilewe kwa mvinyo ambamo humor Kuna uchafu vipi kamamtu anasema hiki chakula ni kichafu. Wawezakusema amekupa ule au wewe ndo umeamua ule uchafu
@lucaspaulo5371
@lucaspaulo5371 3 ай бұрын
We ndo umefundisha vizuri mno ila walokole hawataki kusikia hivi.
@hassankimaro3633
@hassankimaro3633 2 ай бұрын
Ndugu zangu kila kilichokatazwa na MUNGU huwa ni kizuri na kitamu Sana hivyo ni hiari yako kuamua kunywa pombe , kufirwa au kufira vyote hivyo vimekatazwa Ila huna haja ya kubishana we endelea aidha kuyafanya hayo au kutii maamrisho ya MUNGU
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 5 ай бұрын
Rozi Mhando.kaleta agenda.
@servantivankibiki768
@servantivankibiki768 5 ай бұрын
Kivipi Rose mwando?
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 5 ай бұрын
@@servantivankibiki768 Ametoa wimbo unaohusu pombe
@user-oi5bi2ey2v
@user-oi5bi2ey2v 5 ай бұрын
Tusome wagalatia 5:19-21
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 3 ай бұрын
Ulevi na ulafi ni miongoni mwa matendo ya mwili. Hapa Biblia haijazungumzia kunywa pombe wala kula chakula bali ulevi na ulafi. Kunywa pombe si ulevi, vivo hivyo kula chakula si ulafi. Kunywa pombe + kula chakula kupitiliza ndio matendo ya mwili.( Wagalatia 5:19-21)
@user-eb3jk4lc4s
@user-eb3jk4lc4s 3 ай бұрын
Kunywa pompe siyo dhambi. ila kulewa ndiyo dhambi kunatofauti ya kunywa na kulewa hata Yesu alikunywa lakini hakuwa mlevi. matayo 11:18--19.
@wisdomhalisi......8891
@wisdomhalisi......8891 3 ай бұрын
Pombe na MUNGU haijawahi kutokea, WATU WA MUNGU WAKIWA NA NGUVU YA MUNGU(ROHO MT) HAWARUHUSIWI KUNYWA POMBE, ANYWAYE POMBE YU NA SHETANI, NUHU ALIPOLEWA POMBE HAKUSEMA TENA NA MUNGU(MWA,9:20) MNAOSALI MKIMTAKA MUNGU NA NGUVU ZAKE LAZMA UACHE POMBE, NA WATU WA SHETAN MKIMTAKA SKETANI KUNYWA POMBE. NB..TUMEUMBWA WATU WOTE TUMTUMIKIE MUNGU NA SI SHETAN......MCHUNGAJI AKO NA SHETANI LAZIMA AMSAPOTI JOKA...... POMBE NI MARUFUKU.....
@LearntowinLTN
@LearntowinLTN 2 ай бұрын
Uko sahihi ,naomba nikuulize swali kula chakula ni dhambi au kunywa maji ni dhambi?
@JohnKapinga-wo1ow
@JohnKapinga-wo1ow 3 ай бұрын
Wewe ndugu fundisha vizuri pombe ni dhambi
KUNENA KWA LUGHA
11:31
Servant Ivan Kibiki
Рет қаралды 999
DARASA LA KIINGEREZA   HATUA YA PILI
10:27
Smart Education
Рет қаралды 18 М.
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 6 МЛН
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 62 МЛН
Aina Za Ndugu -  Joel Nanauka
5:47
Joel Nanauka
Рет қаралды 46 М.
SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA
55:48
Valentine Oseso
Рет қаралды 62 М.
MDAHALO SABAT0 KATIKA KORANI WAISLAMU WASHANGAA
26:20
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 167 М.
KUABUDU MSALABA, Mwalimu Ivan Kibiki
8:19
Servant Ivan Kibiki
Рет қаралды 631
#JifunzeKiingereza Sentensi za kutumia kumjibu mtu aliyekwambia "thank you".
18:50
FUFUA MATUMAINI TUSONGE MBELE
9:01
Servant Ivan Kibiki
Рет қаралды 271