Mtumishi hiyo inaruhisiwa kidini kutoa kafara za mbuzi
@boramsola3 ай бұрын
Nina mashaka na utumishi wake, kama ni neno la Mungu kwanini usifundishe hadharani katika mtandao, badala ya kutuweka hewani na kutueleza kwamba tukutafute. Kwani wewe ni mganga wa kienyeji? Ndugu tuwe makini, naona hii hadaa na biashara.
@user-yo7wn7ih1j2 ай бұрын
Hii ndo maana ya Prophet acha ujinga Mchungaji kukuambia ukweli kama huu utampata wapi