No video

KUOTA UNA TEMBEA BILA VIATU !!

  Рет қаралды 10,117

REV PETER NJIHIA

REV PETER NJIHIA

Күн бұрын

Пікірлер: 56
@winniesainet8635
@winniesainet8635 Жыл бұрын
Amen...Nimeota natembea peku,gafra nkaludi nkaingia chumba chenye vitu vingi nkasema Moyoni mwangu afazar,ngoja ntatafuta umu umu viatu vyakuvaa
@mariamwaweru6049
@mariamwaweru6049 2 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe mtumishi na ukiota na viatu mpya
@jenifakamese6856
@jenifakamese6856 2 жыл бұрын
Mimi nik bukob naitw jen nmeot nk cn viat ila ntaenda shulelen secondar nikauliz kitambulisho nikajitambulish kuw mm ni mwl ila wanafunz nkawambia waniitie mwl anip chet chngu maan cjakion
@serahmuchemi9661
@serahmuchemi9661 6 ай бұрын
Amen Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
@ElizaGodchild
@ElizaGodchild 4 ай бұрын
Amen amen amen
@dayemukalai3427
@dayemukalai3427 2 жыл бұрын
Asante Sana Kwa ufafanuzi wa ndiyo Mungu akubariki kunandoto uwainakuja kilamara nafikanyumbani nilipotoka unamanisha Nini?
@happymrema7487
@happymrema7487 3 ай бұрын
Mtumish mimk nimeota nilikuwa nimevaa viatu badae nikavua nikawa natembea kweny maji ila wenzang walikiwa wamevaa na viat vyao vilikuwa visaf tunaenda kweny maomb kufunguliwa
@MagrethBenjamin
@MagrethBenjamin 2 ай бұрын
Nimeota viatu vyangu vimechakaa,vimeachia soli nimeshindwa kuvivaa
@bilhamuthoni2389
@bilhamuthoni2389 Жыл бұрын
Thanks very much muchungaji umenisaidia Sana, wakati mwingine mi uota nikiongea nawalio kufa pia nikiota mtu amekufa ukweri anakufa, kwasasa Niko nauoga niliota kiongozi furani amefaliki please nisaidie Niko nauoga sana
@dianabosibori8476
@dianabosibori8476 5 ай бұрын
😅😅😅huyo aliyekufa anakuambia nini inategemea si ati utakufa
@maryamnyota9538
@maryamnyota9538 Жыл бұрын
Piya mutumishi wa mungu na mimi naomba unisahidiye namaombi projet yama produit pharmaceutique ipate sururisho Katika jina la yesu
@mariammachila6016
@mariammachila6016 Ай бұрын
Na ukiota unatembea bila viatu ghalfa unakumbuka unarudia viatu na unapata ni slipers za red mpya tafsiri yake nn
@esperancengongo-bw2sd
@esperancengongo-bw2sd 8 ай бұрын
Jambo pasta , asanti na kazi
@monicampokwa441
@monicampokwa441 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa dady hyo laana ipo ktk familia yangu.Nisaidie baba nifanyaje
@nekwolf4019
@nekwolf4019 2 жыл бұрын
Vyote unavyosema ni kweli Napitia san bba
@maryamnyota9538
@maryamnyota9538 Жыл бұрын
Jambo mutumishu wa mungu mimi nahotaka marakwa mara nava viyato badaye nakuta sina navyo tena ila narudi kuvichukuwa inamanisha nini
@bettymariga
@bettymariga 6 күн бұрын
𝐀𝐦𝐞𝐧 𝐀𝐦𝐞𝐧
@JescaNgala
@JescaNgala 2 ай бұрын
Kiatu ulichovaa kimekatika
@domiicmullys3021
@domiicmullys3021 Жыл бұрын
Kunawakati moja niriota nikitebea kwasoko bila viatu ata nikiwa ni meva vibaya nikawa naona aimbu nikitebea. Kweri nirikuja kupataaibu sana kwadoa yangu
@stellawekesa5364
@stellawekesa5364 Жыл бұрын
Mm nilikuwa nimekaa,na mke mwenzangu gafla mume mmoja akaja,kunishika kwa bega nikamtoa mikono nikaweka kwa huyo rafiki yangu msijana,kisha kuangalia nikaona silibasi zangu hakuna. Nikauliza hapo sikupata nikawaambia mwenye alichukuwa silibasi zangu ataona. Nikaamka mtumishi wa mungu inamaanisha nn katika maisha yangu 🙏🙏?
@abigaelraymond6833
@abigaelraymond6833 2 жыл бұрын
Mtumishi ukiota unasafi bila viatu na umepanda bus
@vallentinemideva3557
@vallentinemideva3557 Жыл бұрын
Aki pastor jibu hii ndoto yangu aki . Mm nliota nmevaa nguo mpya lakini kutoka kwa nyumba nkasahau kuvaa viatu . Nlishtuka kama nmefika katikati ya mwendo nkaona sina viatu kwa mkuu. Alafu nkaenda kuomba my ex boy friend viatu akanipa
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
Unevaa nguo mpya ukasahau kuvaa viatu, angalia maisha yako ya ndoa ama mausiano haiendi vizuri licha ya jitiada umeweka bado una majuto ,ndiyo maana ulirudi kwa Ex wako akupe viatu. Kataa maisha yakurudia shida ulizo toka ndani yake.
@zulfamnanga123
@zulfamnanga123 Жыл бұрын
Naomba unisaidie mm nimeota tulikua twaenda stendi kupanda gari gafla tukawa twafukuzwa na gari watu walitaka kututeka kutoa kafara Kwa freemanson nilikua mm na mdogo wangu mm nimekuambia Hadi nikavua viatu,ila zilikua ndala.. tulipo fila stendi nikakutana na kindo akawa ananiambia twende ukachukue viatu vyako nilikua naviona Sasa Ile twarudi kuvichukua nikaamuka,naomba unijulishe ni nn
@AshaKilagula
@AshaKilagula 3 ай бұрын
Nimeota nimeingia kwenye nyumba kutoka viatu svion
@lilianabich4932
@lilianabich4932 5 ай бұрын
Maelezo yako ni vizuri sana lakini jaribu kuwa beef, unachikua saa nyingi sana kabla uanze kuongea
@lilianabich4932
@lilianabich4932 5 ай бұрын
I mean do things briefly for us to be excited to watch till the end, especially at the starting point
@revpeternjihia
@revpeternjihia 5 ай бұрын
Also you can check the recents videos Kuna improvements
@safinaproduction7421
@safinaproduction7421 Жыл бұрын
Mimi nimeota ninatembea peku juu ya matope
@esperancengongo-bw2sd
@esperancengongo-bw2sd 8 ай бұрын
Ila mimi nimeota ndoto Ila sijaelewa vizuri,nimeota Niko kanisani nilikuwa kati ya gundi yawaimbaji wakati tulipokuwa naimba nikajikuta sina jiatu tulipo maliza imba nikashuka mazababu nikaanza tafuta viatu vyangu Ila sikuziona
@happyolotu6033
@happyolotu6033 Жыл бұрын
Pastor mm nimeota natembea bila viatu barabarani afu nikaenda kuomba viatu kwenye nyumbani ya mtu cwafahamu ila walinipa ivyo viatu nikatembea navyo rangi ilikuwa pink chini kamba yake ni nyeupe inamaana gani
@dyana7405
@dyana7405 Жыл бұрын
Pastor uniombe na unifafanulie maana ya kuota unaongea na mpango Wakando aliye kuipia mmeo na anaishi na mme wangu kwa sasa inamaanagani??
@dyana7405
@dyana7405 Жыл бұрын
Pastor mimi pia ninaota kaka yangu ameiba miwa ya mwenyewe kisha ameficha chini ya kitanda yangu na imefunikwa na kuni pamoja matawi ,badaye mwenyewe anaipata iyo miwa yake.
@Neemannko-bb6xd
@Neemannko-bb6xd 6 ай бұрын
Nimeota nipoteza kiatu kimaja wakati nakitafuta cha pili kikakatika na nikikuwa nitafuta njia ya kupita na chini kulikuwa na bonde kubwa ni kaaza kutembea na soks
@corandamisi9005
@corandamisi9005 Жыл бұрын
Pasta binafsi nashukuru, nimeota viatu vyangu vimeanguka ndani ya Choo wese inamaanisha nini pasta nisaidiye mpaka sasa ndowa yangu iko kwenye matatizo, baada nikaja nikaota tena natembeya miguu chini kwenye mifereji vya mavi na nimeeacha viatu vyangu kwa rafikiyangu
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
Corand Amisi unaenda kupitia aibu kubwa sana maishani na kukatalika pamoja na umasikini mwingi na ndoa yako itakuwa ya aibu. Tenga mdaa wa kufunga nakuomba kuzuilia njama za adui
@NiyogushimaNoella-do8xv
@NiyogushimaNoella-do8xv 3 ай бұрын
​@@revpeternjihiacharome Mungu abarikiwe nimeota nimeva kiyato kimoja kingine kimepote nikagitafuta nikagipata nikakiva baadaye nikapitiya sehemu yenye maji nawutereze imebeba jembe
@monicampokwa441
@monicampokwa441 Жыл бұрын
Umaskin kweli unaiandama Sana familia yangu.
@pilijuma-qq7vt
@pilijuma-qq7vt Жыл бұрын
Pastor sorry mie nimeota Ba mtoto wangu bado hatuja funga ndoa alikua amevaa viatu vikakatika tulikua tukitembea nikahitaji kumfatia viatu vingine alikataa akawa anatembea peku
@rahmamasagati4218
@rahmamasagati4218 2 жыл бұрын
Je ukiota umetembea bila viatu sehemu kidogo then ukakumbuka viatu nkarudi sehemu nilivua viatu nkaenda kivichukua Cha kushangaza nimepata viatu pea nne Ila Moja ni viatu ya juu juu ingine ni ya kawaida tu
@monikapaulo3949
@monikapaulo3949 Жыл бұрын
Ukiota unatembea peku af gafla ukakumbuka kwamba huna viatu af ukarud ulipokuwa umekaa ukavikuta viatu vyako lakin ukavikuta na vingin il ukaachana navyo ukachukua vyakwako na kuvaa
@ZayOmmy-ik1qk
@ZayOmmy-ik1qk Жыл бұрын
Nliota nmerudi kwa mme mtaraka naludi namkuta mkewe ananifukuza nikiwa sina viatu natembea barabaran nisaidie pastor
@dorcasmueni3221
@dorcasmueni3221 2 жыл бұрын
Na ukiona umefaa bingini za Beach na unatemea bila viatu inamaana gani?
@revpeternjihia
@revpeternjihia 2 жыл бұрын
@dorcus mueni, nikutaka kuonyesha kitu fulani kuhusu maisha yako na unashindwa kwa njia gani utaeleweka hata katika mizigira ya wazi. Unambiwa uwe mtu wa siri acha kuweka mambo yako wazi kwa kutafuta attention ama kutafuta sympathy kupitia jinsi unajiona.
@dorcasmueni3221
@dorcasmueni3221 2 жыл бұрын
Oh Asante Sana nmekua n kushare story na marafiki zangu I think n hiyo
@ireneshabani7775
@ireneshabani7775 Жыл бұрын
Jambo past kama unaota unatembea peku badaye ukaletewa viato ukavaha ina maanisha nini
@byosaamalenga7126
@byosaamalenga7126 Жыл бұрын
Mtumichi nahobamsaada wamahombi ninamaka mitanosipatakazi Nakukatariwa nakilamtu
@user-qo2dx2ex1k
@user-qo2dx2ex1k 9 ай бұрын
Asande
@queenliz3283
@queenliz3283 Жыл бұрын
Na ukiota mtoto alkuwa ametembea Kwa shosh yake alafu amenirudia bila viatu
@corandamisi9005
@corandamisi9005 Жыл бұрын
Nifanye dje pasta ?
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
Funga na kuomba utapata ushindi
@naomipeter4204
@naomipeter4204 Жыл бұрын
Nmeota nipo nmesimama gafla kiatyu kimoja kikawa kimechanika
@vallentinemideva3557
@vallentinemideva3557 Жыл бұрын
Naomba namba yako tafadhali
@revpeternjihia
@revpeternjihia Жыл бұрын
+254706945821
@YasryKasanga
@YasryKasanga Жыл бұрын
Asante, nimeota natembea peku sehemu nilipo zaliwa umaman
Ndoto mbili hatari
2:12:50
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 1,1 М.
Ndoto 3 Zina Kuonyesha Watu Wana Kuonea Wivu. Mwanzo 34:7
2:32:38
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 2,9 М.
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 87 МЛН
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 28 МЛН
SIRI YA MAOMBI || PASTOR GEORGE MUKABWA || 01/06/2023
1:20:34
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 448 М.
የሱስ ክርስቶስ እስራኤል ተገልጦ ---part 8
1:24:41
The God Kingdom Son
Рет қаралды 45
Sheikh Othman Maalim - jifundishe kukinai
57:57
Khidhry 29
Рет қаралды 73 М.
WHO IS JIBREEL A.S? | COMPLETE STORY | Islamic Lectures
3:17:52
Quran and Islam
Рет қаралды 3,4 МЛН
Kuota Uko Kwa Matope Ina Manisha Nini?
1:32:56
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 7 М.
MAISHA NI KIROHO. (life is spiritual)
1:23:22
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 203
Ukioto Unafua Nguo Na Kuzianua  Ina Manisha Nini?
2:51:15
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 10 М.
NASSOR BACHU   MADHARA YA ZINAA
52:32
rashidu24
Рет қаралды 114 М.