Hizi histolia za kweri lakini lakini hawa waislam hakujipanga vizuri kijeshi
@fatimakhalifa1445 жыл бұрын
hizi ndizohistoriya zakweli Zanzibar
@zenionepureone126512 жыл бұрын
WAZANZIBARI WENYEWE HASA NI WAISLAMU SIYO WAKIRISTO
@s.m.jawadida8868 Жыл бұрын
الله اكبر
@dkmasengamrisho9125 жыл бұрын
Wallah anasema kweri tatizo nini sasa hari yetu imekuwangumu
@MasudiSuleman-ui5wh8 ай бұрын
Mung tu towe kwenye Mikono ya wadhalim
@jeanmubemba12043 жыл бұрын
utumwa kwa kwa mtu mweusi hauji toka akilini,bado hatujui waarabu na wazungu wote washenzi wametuuza leo tunawatukuza na kujivunia,daaa twaitwa nyani bado tuu akili hazifunguki
@ukweli119 жыл бұрын
Jee mbona hamzungumzii mauaji ya maelfu ya waarabu mwa 1964 wakati mulipofanya mapiduzi kumkomoa sultani?????????
@khamissiali22313 жыл бұрын
Kwani ulisoma historia ww doctor
@saidsfaudh43363 жыл бұрын
Tafuta history ya Aman than
@dkmasengamrisho9125 жыл бұрын
Ndiomaana zanzinzibaar ina wasomi wakubwa kabisa nani kitovu cha erim kwahistolia hii nimerizika huyu shekhe nimkweri
@saidahmed968812 жыл бұрын
TUKITAKA KUJUA UKWELI HAPANASHKA YOYOTE HUU NDIO UKWELI NA UKWELI HUFUATANA NA USHAHIDI
@dkmasengamrisho9125 жыл бұрын
Jamani hawa waisilam warikuwa na dola kubwa kiasihicho hawana jeshi imala?
@jumampango68024 жыл бұрын
Sikiliza vizuri ndo ucomment
@vikitu47933 жыл бұрын
Vita fupi kupita zote ni hii dola ilichapwa
@rashidalbalushi83552 жыл бұрын
Sheikh suna ya mtume kunywa maji mkono wa kulia
@nassorrashid64662 жыл бұрын
Huyu mkono wake mbovu
@user-rg6ll1om5z7 ай бұрын
Muangalie vizuri Uyo shekhe Ni mlemavu wa mkono eti hawezi kunywa Kwa kulia
@stanslausmteme84555 жыл бұрын
Acha uongo kilwa ndo ilianza kua na sarafu yk sa kilwa ipo wp????
@mohamedothman97695 жыл бұрын
Kilwa ni sehem ndogo sana katika dola ya Zanzibar Tanganyika, Uganda, Kenya, Rwanda mpaka Comoro ilikuwa ndani ya ZNZ. Sasa we unaongelea kilwa wakati yenyewe ilikiwa ndani ya pori Tanganyika
@famitoissanawanda62954 жыл бұрын
Acha ujinga wewe kilwa ilikua ndani ya Zanzibar
@vikitu47933 жыл бұрын
@@mohamedothman9769 Kwa hiyo hii ndio dola iliyokuwa ukiwachukua utumwa babu zetu na kujitajirisha sio, sio? Bora imekufa, tungeifanya kitu kibaya sana
@saidsfaudh43363 жыл бұрын
Msirumbane Sana mambo hayo yalikua chini ya utawala wanani Kati IRAN .YEMEN .OMAN .
@mtzmtulivu11 жыл бұрын
Kama wewe mzanzibari,how much of what this guy is saying do you believe to be true?French were shipping slaves off of east African coast?Arabs fought against the French to stop slavery in EA?Since Arabs were not slave owners,then who worked in their plantations?I cant help it but wonder what side this guy would have been on during the 1963 ass kicking off the island of Arabs rulers he seem very careful not to mention in his praise of "great Zanzibar empirer"
@vikitu47933 жыл бұрын
Hawa wanabadili historia makusudi kumsafisha mtawala muarabu
@stanslausmteme84555 жыл бұрын
Acha upumbavu waislam ndo wakwanza kupata elimu wewee acha upotoshaji
@mohamedothman97695 жыл бұрын
Inatakiwa nawe ulete vielelezo vyako, huko ni kubwabwaja
@mwitahassan73144 жыл бұрын
Ukatae kwa hoja usiwe mbumbumbu
@vikitu47933 жыл бұрын
Mkadanganyane huko huko. Mtume Muhamad amezaliwa 570AD. Utakuwa mpumbavu kuamini watu hawakuwa na mifumo ya elimu kabla ya hapo. China ilikuwa inaandika katiba yake miaka 1000 kabla ya hapo. Na na hata kabla ya hapo watu walikuwa wanaelimika sana tu