Kutoka kuzungusha BIL. 2 kwenye BIASHARA yake, hadi MADENI ya Mil. 700 'Nilifikiria kujiua' - PART 1

  Рет қаралды 109,760

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Жыл бұрын

Kutoka kuzungusha BIL. 2 kwenye BIASHARA yake, hadi MADENI ya Mil. 700 'Nilifikiria kujiua' - PART 2
• Kutoka kuzungusha BIL....
Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Пікірлер: 249
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Kwakweli hawa ndio watu wakusikiliza story za maisha yao ili tulifunze kutoka kwao Hongera kaka wewe ni shujaa😍😍❤️
@alimadai6437
@alimadai6437 Жыл бұрын
Jina la kipindi: Motivation section, hii ni kali bro Bundala
@vicentgideon4971
@vicentgideon4971 Жыл бұрын
Swa I remember the day you wanted me to work in your office , you are a true hustler I have seen your struggle there at Mlimani City , I think In Business Failure and Mistakes are the better lessons you will ever had, keep up the spirit Swai Sawaingaaaaa✨
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Жыл бұрын
Mbona sijasikia akimshukuru Mwenyezi Mungu alimsaidia kuinuka. Mtaji wa kwanza ni Mungu Vijana wenzangu naomba msisahau. Nidhamu ya Fedha na Kuepuka Matumizi ya Vilevi ndiyo Kinga Pekee ya kufanya Pesa idumu. 🇹🇿🇹🇿
@tonylevi8960
@tonylevi8960 Жыл бұрын
Wewe Unazo Hela Bro??
@mubaraqotyeno9061
@mubaraqotyeno9061 Жыл бұрын
Mademu je
@sambnlt4626
@sambnlt4626 Жыл бұрын
​@@tonylevi8960 😂😂😂
@sambnlt4626
@sambnlt4626 Жыл бұрын
@Hillary Mrema kwani wafanyabiashara hawatumii vilevi?
@lucymasanja6926
@lucymasanja6926 Жыл бұрын
​@@tonylevi8960 😂😂😂😂
@ereswidamoshi7404
@ereswidamoshi7404 Ай бұрын
Watu sahihi mwanzoni mwa biashara ni kweli kabisaaa I can testify
@sultanjames9395
@sultanjames9395 Жыл бұрын
This guy is a genius, gari sio ngumu sana ni wenge tu ukiwa nalo. Mwenyewe nimejifunza gari kwa kusoma tu vitabu vya VETA then nikaingia kwenye chuma nikatembea, by that time nilikuwa dogo sana ndio niko form 1 enzi hizo.
@anithanithaa2651
@anithanithaa2651 Жыл бұрын
Huyu Kaka Nampenda saaaan Nmeanz kumfuatlia Tang anaanz Hustle zake ❤
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs Жыл бұрын
Umeongea point sana kaka. Muombe Mungu akukutanishe na watu sahihi kwenye biashara yako❤️🫶
@kagirasta1476
@kagirasta1476 Жыл бұрын
Uyu Jamaa Alizipaishaga Sana Crown Athlete alifanya nikaipenda crown alikua anaipamba sana alikua anazpost kali sana
@modernfarming5938
@modernfarming5938 Жыл бұрын
Hii kipindi tuiite “Experience behind the successful Business People”
@emanuelsolomoni7003
@emanuelsolomoni7003 Жыл бұрын
Jina refu sana - lets pull more creative on it. Mfano unaweze ita " stories behind titans" or " The Road to success" kama hayo yanakuwa mafupi na yako creative.
@daudhabona8897
@daudhabona8897 Жыл бұрын
Vipindi hivi muhimu sanaaa. Tumechoka na hawa mastaa wasio halisi. Na hawana Cha kutufunza
@faudhiakhaji
@faudhiakhaji Жыл бұрын
Well said
@zubedarichard2311
@zubedarichard2311 Жыл бұрын
Dat's True
@neemaalphonce1333
@neemaalphonce1333 Жыл бұрын
Kweli aisee
@sophiekindem9071
@sophiekindem9071 Жыл бұрын
Very interesting 👍🏽 💯 Pole sana, ndiyo Maisha, na ndiyo ukuaji. Wishing you all the best🙏🏾 Utafika tuu!
@Jameskaguo
@Jameskaguo Жыл бұрын
Hii series aisee iendelee kali sana tunapata inside za watu walio fikka somewhere tunapata moyo
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Жыл бұрын
Nimeipenda Sana hii interview jamaa yuko social sana.
@jennifermmanyema6693
@jennifermmanyema6693 Жыл бұрын
Yaan Mimi nilifel mama lishe na nikakata tamaa kumbe kuna wengine Wana mabilioneer na hawakat tamaa duhhj honger Sana Kaka na pole Sana Kwa changamoto ulizokutana nazo
@Bongolife255
@Bongolife255 Жыл бұрын
Mungu akubariki Fredrick Bundala
@henrymassawe699
@henrymassawe699 Жыл бұрын
I feel you bro, being there done that!! I went crazy and almost killed myself, too. I lost so much many money and almost went completely bankrupt. Entrepreneurship is not easy, and it is not for everyone!! but a winner never quits, and quiter never wins
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 Жыл бұрын
Now you motivate me
@norahnoboka34
@norahnoboka34 Жыл бұрын
O Mooo
@estermwasifiga9840
@estermwasifiga9840 Жыл бұрын
Namuelewa sana kweli kbs
@eliasmagoiga-ie3dk
@eliasmagoiga-ie3dk 5 ай бұрын
The really life in business❤❤
@khamisomary7428
@khamisomary7428 Жыл бұрын
One of my best interview
@kassimibrahim4776
@kassimibrahim4776 Жыл бұрын
Learning story to a buisness man......truly ur that buisness need more thinkers than any others
@amajattoys9309
@amajattoys9309 Жыл бұрын
iite BUSINESS HOUR, Business Platform, Shule Huru
@ibrahimgreyson7829
@ibrahimgreyson7829 Жыл бұрын
Broo nakuelewa sana weww mtupowa sana
@batungwanayojonathan3009
@batungwanayojonathan3009 Жыл бұрын
Napenda sanaa
@ubaoni57
@ubaoni57 Жыл бұрын
"Rising From Adversity. Tales of Triumph And Inspiration"
@kingkendrickk
@kingkendrickk Жыл бұрын
The true definition of the channel "simulizi na sauti"
@pnstudiostz.
@pnstudiostz. Жыл бұрын
Broo pole sana! Mm mwenye uliniajiri na nilipoona mambo hayaendi niliondoka japo naamini utanyanyuka tena hata zaidi ya mwanzo coz nakujua unapambana sana na unataman kila mtu aliyeko kwenye mzunguko wako nae apate, najua vijana wengi wamliman city pale wanasemaga Swai akiwa na pesa na sisi tunazo pia maana hukuwai kumtupa mtu akija ofsn kwako na shida ndo maana hata Omary aliharibu lakini hukumtimua ukaendelea kumpa nafasi na sio Ommy tu wapo wenge ambao kikawaida ungeweza kuwazuia hata kutumia ofisi yako lkn hukuwai kufanya hivyo! Una roho ya kipekee broo, Mungu yu pamoja nawe Keep Pushing
@norbertjoseph1
@norbertjoseph1 Жыл бұрын
Proxy mkaliiii umetisha
@thelyrics9628
@thelyrics9628 Жыл бұрын
Kama analea watu kindugu kwenye biashara ategemee kuendelea kufeli
@shabanigenya4708
@shabanigenya4708 Жыл бұрын
@@thelyrics9628 anaweza asifeli ila hawezi kufanikiwa tena.
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 Жыл бұрын
Hii roho ndo inamrudisha nyuma, mfanyabiashara hutakiwi kuwa hivi
@hamzambasha6647
@hamzambasha6647 Жыл бұрын
Hela haitaki Roho nzuri
@salimlubuva9860
@salimlubuva9860 Жыл бұрын
NJIA nafkiri ndo jina zuri kwa hii part ya hawa wafanyabiasha. Kwakweli ni nzuri mno😊😊
@bandorajr
@bandorajr Жыл бұрын
Inspired before Expired
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 7 ай бұрын
Hii itanifundisha sana. Nataka nijifunze kwa huyu jamaaa 🏆🏆🏆
@yusuphkapilimka
@yusuphkapilimka Жыл бұрын
Jina la kipindi "RISK TAKERS" , Big shout out SNS team✊
@Burner_Acc
@Burner_Acc Жыл бұрын
Jamaa was a serial failure kuna mambo alikua hajifunzi na kuendelea na makosa yale yale, lawama zingine ni zake mfano, kuamini watu kirahisi, umetuma hela Chunya, umewapa watu magari ya biashara waendeshe kiholela wakapata ajali mara mbili zote, umempa mtu pesa South Africa akafungwa, umempa mtu mizigo Dubai atume kwa jina lake kafariki. Mtu kufariki au kufungwa hakufanyi mizigo yako isifike unless nao biasahra zao zilikua magumashi. Leo Salam akifariki mizigo ya silent ocean itafika tu. Mo alipotekwa biashara za Mo Dewji ziliendelea kama kawa. Haya mambo inabidi yawe documented officially na yawe insured. Una spirit ya upambanaji ila unaendesha mambo kienyeji, I hope umejifunza na utabadirika, kila la kheri.
@eveliynejoseph7944
@eveliynejoseph7944 Жыл бұрын
Suree
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 Жыл бұрын
Dah!! Umenikumbusha makosa yangu.
@Burner_Acc
@Burner_Acc Жыл бұрын
@@saleheinnocent7636 Ni kujifunza na kusonga mbele mkuu.
@nabrycedawood6860
@nabrycedawood6860 Жыл бұрын
Watu kama nyinyi siwqpendagi ww unabiashara gani ????
@Burner_Acc
@Burner_Acc Жыл бұрын
@@nabrycedawood6860 Ninazo na nimefanikiwa sana tu believe that. Kutojifunza tokana na makosa ni ujinga wako huwezi mpa mtu hiyo lawama.
@DonSompo
@DonSompo Жыл бұрын
Ningependa uweke podcast ya hii brother Sky maana hizi stories ni listenable hata ukiwa busy.
@mfalmegideon3987
@mfalmegideon3987 Жыл бұрын
I second this
@user-lt3fx1tl4z
@user-lt3fx1tl4z 3 ай бұрын
God bless you brother
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 Жыл бұрын
Magari mtaani, keep it up bro
@LeticiaKimwaga-kh3zp
@LeticiaKimwaga-kh3zp Жыл бұрын
Hongera sana sky kwa vipnd km hivi, vina tujenga mno. Salute mwana tech(musoma)
@emmanuelchristopher9436
@emmanuelchristopher9436 Жыл бұрын
Musoma moja
@shabanigenya4708
@shabanigenya4708 Жыл бұрын
Musoma mbili 😂😂
@anualyjonas1262
@anualyjonas1262 Жыл бұрын
No easy life just struggle, believe through God 🙏 exactly successful
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Жыл бұрын
Nimependa sana yani aya mambo ndio tunayataka
@praygodmethod3597
@praygodmethod3597 Жыл бұрын
Ntakipenda sana hiki kipindi na kiwe kilasiku
@eveandrew7096
@eveandrew7096 Жыл бұрын
I see myself in this story.. laini lakini naamini sana katika kupambana. Kuanguka sio kufa, kusimama tena kupo maana MUNGU yuko upande wetu.. So inspiring.
@vincosmeticsmarvin
@vincosmeticsmarvin Жыл бұрын
From Dubai ,,,, safi Sana kipindi kizuri mno
@willykaovela5485
@willykaovela5485 Жыл бұрын
Jorney of hustler...@Fred Tittle
@yyet3109
@yyet3109 Жыл бұрын
Hii noma kk
@willykaovela5485
@willykaovela5485 Жыл бұрын
The jorney of hustler(safar ya mwangaikaji)
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Жыл бұрын
Mheshimu sana mfanyabiashara maana akili alionayo haiwezi kumfikia mwajiriwa,alooo tunaumiza sana vichwa na ikitokea pesa inaonekana ndio apo furaha huongezeka na tunapata moyo wa kuzidisha mapambano zaid
@laurentrueta9625
@laurentrueta9625 Жыл бұрын
sio uongo ni mapambano
@rodgersgregory7198
@rodgersgregory7198 Жыл бұрын
Business success stories.
@zakiakusaja8603
@zakiakusaja8603 Жыл бұрын
Kipindi nimekipenda😊😊
@dollythesheepdolly7372
@dollythesheepdolly7372 Жыл бұрын
Content kama content!
@101_Didas
@101_Didas Жыл бұрын
Ni Uongo kwa tunaomjua huyu jamaa ila ni Motivation sana kwa wasio mjua.. Piga kazi Swai Bilion mbili za mdomoni zibadilishe kuwa za benki
@mayaally2512
@mayaally2512 Жыл бұрын
Tatizo ni wa Tz tunaleta kujuana sana sio lazima uzione anazo ili umuue au ? Pata somo lake pita kule mbio
@reenyaysher7639
@reenyaysher7639 Жыл бұрын
😂😂
@chiconinde8135
@chiconinde8135 Жыл бұрын
Hata kama simjui lakini i can smell something. Anyway, siyo mbaya kwasababu sometimes tunajifunza hata kwa story za kutunga.
@muttae2
@muttae2 Жыл бұрын
Kujifunza gari mwenyewe hapo hapo... kwa tulosoma CUBA sijui... Pia kuuza gari ndani ya masaa 2, sasa bank na mikataba na kusafiri mmmh😢😅
@judicalosika7642
@judicalosika7642 Жыл бұрын
​@@mayaally2512 yap
@Nathaminiafyayako
@Nathaminiafyayako Жыл бұрын
Network marketing inatengeneza watu bora sana wakati anajieleza nilijiuliza Hii spirit aliitoa wapi alipotaja network marketing nimemuelewa sababu ya kupambana kwake
@godfreymuroba7973
@godfreymuroba7973 Жыл бұрын
Magari mtaani
@bukuruyassini
@bukuruyassini 6 ай бұрын
👍
@mwisukulu1
@mwisukulu1 Жыл бұрын
Swai (magari mtaani)
@user-os5zp4kd2b
@user-os5zp4kd2b 8 ай бұрын
respect
@newbwejuu4302
@newbwejuu4302 Жыл бұрын
Ups and down with sns
@mamskiumbe4057
@mamskiumbe4057 Жыл бұрын
Nc sna
@selanyikatv
@selanyikatv Жыл бұрын
Broo anabonga ukweli mtupu mm nilikuwa nafanya bishara ndogondogo tu nilipoteza million 6 bord ya sirari nilikuwa nakosa usingiz naamka saa3 usiku saiyo yenyewe nimelala saa1 au saa2 naamka saa3 uck sinapakwenda usingiz umekat mawaz kibao nikakonda nikawa km kijiti aloo tuachen TUNALIA ila kwaungu san
@elonii8790
@elonii8790 Жыл бұрын
Hao matapeli apo Boda rahisa sana kupoeza hela pale.. wasomali wahuni tupu
@selanyikatv
@selanyikatv Жыл бұрын
Daaah ningum kuamin lakin niliamin
@nicodemusbura7669
@nicodemusbura7669 Жыл бұрын
Pole xn
@deboramatpapaztv
@deboramatpapaztv Жыл бұрын
Kuna vitu alikosea..japo bahati huwa hairudi mara mbili ila mungu anaweza msaidia tena..japo alowakuta kwenye biashara wanamcheka..kuna vitu alizidisha mazoea..ila uzuri kasoma so atatoboa tu tena..Kuanguka ndio kujifunza kwenyewe
@restitutamayunga1431
@restitutamayunga1431 4 ай бұрын
Pole sana ila kwa ujasiri na kusamehe yote yatakwisha ww ni jasiri big up
@Chiccoh
@Chiccoh Жыл бұрын
Same story here 😥
@user-wr5ce6lu8q
@user-wr5ce6lu8q 4 ай бұрын
👍❤️❤️❤️❤️
@homeofvideos8893
@homeofvideos8893 Жыл бұрын
Jina la kipindi INSPIRE TANZANIA
@chiefkwanza495
@chiefkwanza495 Жыл бұрын
untold story
@stejasatv7349
@stejasatv7349 Жыл бұрын
😍😍😍😍😍😍😍😍Ok
@nkamangi4707
@nkamangi4707 Жыл бұрын
Interesting brother nilipigwa Chunya business ya Madini 😅Mungu saidia nina ajira sweden nusu nife nilikuwa mlevi one year😅😅
@joharimapunda7678
@joharimapunda7678 Жыл бұрын
Pole mimi nipo chunya makongolosi mda huu pole brother
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 Жыл бұрын
Sisi tumetoa mashine zetu leo wiki moja.zilikuwa inyunye mvomero. Rudio halikui.mara mwamba umejifinya.mambo nimengi.
@nkamangi4707
@nkamangi4707 Жыл бұрын
@@hamadsheni8997 daa
@nkamangi4707
@nkamangi4707 Жыл бұрын
@@joharimapunda7678 kila la kheri jamani makongolosi huko huko adi machine bado zipo shambani nahisi zimeshaoza
@nkamangi4707
@nkamangi4707 Жыл бұрын
@@hamadsheni8997 aisee
@shabanigenya4708
@shabanigenya4708 Жыл бұрын
Hapo kwenye madini hapo lazima ziishe. Kudhamini mgodi sio kitu rahisi kabisa.
@khalifaalmugheiry9232
@khalifaalmugheiry9232 Жыл бұрын
Unaweza kuita kipindi cha Changamoto za vijana kwenye biashara zao.
@samcobbar3885
@samcobbar3885 Жыл бұрын
Namkubali sana jamaa,magari mtaani💪💪
@vincosmeticsmarvin
@vincosmeticsmarvin Жыл бұрын
Me namuelewa Sana uyu jamaa,,, biashara ni pasua kichwa
@eddyjunior2881
@eddyjunior2881 Жыл бұрын
Duuuuuh 😱😱
@benjaminjulius6439
@benjaminjulius6439 Жыл бұрын
TUITE, THE DREAM TO REALITY STORY.😅
@rogathengowo1099
@rogathengowo1099 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka sana aisee Mungu akupe haja ya moyo wako aiseee 😂😂😂😂
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Жыл бұрын
Nikafikiri ni mm nimecheka kumbe Kuna mwehu mwngne hapa
@barakabaliza639
@barakabaliza639 Жыл бұрын
Uyo mwamba namjua muuza magari pare opposite na mlimani city yupo poa sanaa
@sholemiano2603
@sholemiano2603 Жыл бұрын
things we need to hear loud
@jeremiahsengasu6595
@jeremiahsengasu6595 Жыл бұрын
Nikupongeze sana Brother, Tuletee @SirjeffDenis
@justnjustn6168
@justnjustn6168 Жыл бұрын
Watu wakiwa na stress wanaenda Dubai kutuliza kichwa wew""
@emanuelwakawenga4023
@emanuelwakawenga4023 Жыл бұрын
Alafu ukifa unarudi Kuzikwa Africa
@cyrilkimath1146
@cyrilkimath1146 Жыл бұрын
Tuiite from hero to zero boss
@JAMALIJUMA-tt1kq
@JAMALIJUMA-tt1kq Жыл бұрын
#Nyuma Ya Mafanikio" itakaa poa tu
@hijahkyomo106
@hijahkyomo106 Жыл бұрын
revelation ❤
@edsu3092
@edsu3092 Жыл бұрын
Zero to hero
@eliyauhaula5224
@eliyauhaula5224 Жыл бұрын
Mm na download kabisa nisikilize vzr
@TujuzeTv
@TujuzeTv Жыл бұрын
Daaaaah 🥺🥺🥺
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 Жыл бұрын
Kaka nimekukubali Sana una moyo Mzuri
@albertmwigune3117
@albertmwigune3117 Жыл бұрын
Duuu hii kichwa hamna kitu
@abdulrahmanhassan5998
@abdulrahmanhassan5998 Жыл бұрын
Hiki kipindi kiitwe, Maisha halisi au maisha ya mtaani
@halfankipande9903
@halfankipande9903 Жыл бұрын
Duuh- pole xn
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 Жыл бұрын
Mim mwenyewee nilifel,lakn saiv najitafta saiv
@harmonize_tz774
@harmonize_tz774 Жыл бұрын
Gari kumi kwa siku mara gari Ishrini na tano kwa Week yawezeka hata hyo hasara ilikuwa milion 50
@karimabdoul7619
@karimabdoul7619 Жыл бұрын
Alicho kipang mung kwako hakuna anye weza kukunyungana. Asante kwa story
@justnicked93
@justnicked93 Жыл бұрын
Nilimuuzia murano yangu
@awilali5998
@awilali5998 Жыл бұрын
Ite LOST AND FOUND
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Huyu mwamba anaonyesha anapiga maji balaa
@tinamahega9848
@tinamahega9848 Жыл бұрын
😂😂😂
@ireneassey2022
@ireneassey2022 Жыл бұрын
Ngoja tujifunze hapa sisi tulio fell kidg tunahis kukata tamaaa😢
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Kujifunza nijambo jema sana
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Kujifunza nijambo jema sana
@mtaostephen3660
@mtaostephen3660 Жыл бұрын
Kabisa aiseee
@nishrize9309
@nishrize9309 Жыл бұрын
We Acha mupenz nimefel pes nilio yitumikia myaka miine irinitok kwamud mudog nikauz jumb yangu nilimeza vidong iri nijimalize sahiy nakaa kama nimechanganyikiw wacha nisikiz huy kaka wenda nikasimama ten aki God anikumbuke
@allahisone6386
@allahisone6386 Жыл бұрын
​@@abiboseleman1649 Muhim saan
@mastaplan
@mastaplan Жыл бұрын
Kipinde kiitwe (BE YOU)
@nancyg8664
@nancyg8664 11 ай бұрын
Akiwa anaongea unaona rahisi 🤣jaribu wew
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Жыл бұрын
Jina la pindi pachika hustle zangu
@mdta8161
@mdta8161 Жыл бұрын
Haya ndiyo mambo tunayataka maana hapa tunajifunza
@kingndinyo9764
@kingndinyo9764 Жыл бұрын
Session yetu ni 1 OR 1 ..br sky
@mackjr5291
@mackjr5291 Жыл бұрын
Business s' struggle s
@rsautoservice984
@rsautoservice984 Жыл бұрын
Sns ni channel ninayo ifatilia kila siku kunapo post kitu..lakini wengi wapenda maojiano ya biashara maana wengi wao ni vijana plz ..
@immaomarwa5122
@immaomarwa5122 Жыл бұрын
Tupo wengi sana mb zangu zinaenda kwenue hii channel kihalali kabsa
@oneafrica7719
@oneafrica7719 Жыл бұрын
ni zaid ya redio
@batungwanayojonathan3009
@batungwanayojonathan3009 Жыл бұрын
Izi store
@trillionthamani
@trillionthamani Жыл бұрын
Kiukweli mimi ni muhamchaga, uha ni dam lakini akili yakichaga.nilijifunza kwa kuishi moshi 2014.wachaga msinikane nimesilimu kabila
@Jameskaguo
@Jameskaguo Жыл бұрын
Maangaiko makali ya level ya juu, jua kali
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 12 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 4,6 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 36 МЛН
Yatapita Behind The Scene Part 2
43:58
Diamond Platnumz
Рет қаралды 286 М.
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 12 МЛН