No video

Kutoka kuzungusha BIL. 2 kwenye BIASHARA yake, hadi MADENI ya Mil. 700 'Nilifikiria kujiua' - PART 2

  Рет қаралды 87,489

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Жыл бұрын

Kutoka kuzungusha BIL. 2 kwenye BIASHARA yake, hadi MADENI ya Mil. 700 'Nilifikiria kujiua' - PART 1
• Kutoka kuzungusha BIL....
Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Пікірлер: 456
@chancesholdan342
@chancesholdan342 Жыл бұрын
Hii interview imenipa Mtazamo tofaut sana kuhusu maisha. Kuvumilia, kufanya utafiti kabla sijafanya maamuzi, kusamehe na kutoamini mtu kirahisi
@tinomasangia5511
@tinomasangia5511 Жыл бұрын
Hii interview ingeweza kuoneshwa na kuuzwa kws big media ili watu wajifunze katisha sana. Big up Swai🔥🔥🔥
@frankjohachim5405
@frankjohachim5405 Жыл бұрын
Nimejifunza vitu vingi sana sana Kwa huyu bro asante sana bro sky Kwa hii interview yakibabe sisi wengine tumeptia vituvingi mabiashara yanaanguka na unaenda kuweka pesa kwenye kirimo unapigwa na mafriko unarudi mtaan una kitu unaanza na Moja now Tupo Asia tuna savaiv Mungu nimwema mzee.. One love from Iraq Bagdad 🇮🇶🌍✌️
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
😳 Iraq mzee umeweza
@issansengiyumva5888
@issansengiyumva5888 Жыл бұрын
@@hajjiomary2383 mbona kawaida tu wa Africa tupo wengi
@machetebogota4218
@machetebogota4218 Жыл бұрын
Kuna Moshe gani uko tuje
@edwardkasubi5135
@edwardkasubi5135 Жыл бұрын
@@hajjiomary2383 🤣🤣🤣 daaaaaaaaaaahhhh nakweli Mzee umeweza Baghdad Iraq wewe ni hatariii
@didakalaule7840
@didakalaule7840 Жыл бұрын
​@@issansengiyumva5888 Iraq mbona fresh tu tatizo watu waoga
@simonjunior7413
@simonjunior7413 Жыл бұрын
For the first time In life I just watched a whole hour interview session🔥🙌 Big up SNS
@KHAIFATVONLINE
@KHAIFATVONLINE Жыл бұрын
Interview kama Hizi ndio zinazotakiwa kwa Sisi Vijana watafutaji Big Up Swai utafika mbali sana kwa Ujasiri ulionao
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 8 ай бұрын
Sio zile za kina dada ambao hawana maadili hata makaka nao wapo wanahojiwa adabu hawana.
@ubaoni57
@ubaoni57 Жыл бұрын
Bro Fred maji au juice would be great 😃 watu wanakaukiwa sauti
@TheNdaki
@TheNdaki 8 ай бұрын
This is great approach,nadhani wadau wataiona nakuifanyia kazi ndomana tunaonaga maki katika mikutano au semina kumbee
@deusraphael2954
@deusraphael2954 Жыл бұрын
Achilia mbali huu mkasa, Huyu jamaa ni story teller mzuri sana
@efgeniamass278
@efgeniamass278 Жыл бұрын
Mi nimemuelewa lakin.
@adaking2786
@adaking2786 4 ай бұрын
For real..is a storyteller
@mwaulambo
@mwaulambo Жыл бұрын
Mafunzo ni mengi Sana kwenye hii interview Sky. Social media is very powerful in business, Kukata tamaa ni mwiko katika maisha
@halfanijuma7646
@halfanijuma7646 Жыл бұрын
Mungu amfanyie wepesi bro, kayapitia makubwa mno. Utasimama tena. Jina la kipindi- GREAT COME BACK.
@dnx_Gr
@dnx_Gr Жыл бұрын
Bro amefungua siri nyingi sana kwenye biashara mwenye kusikia na asikia! Be blessed bro🙏🏿
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Жыл бұрын
Uko sahihi Mr Swai; SNS is gonna be the future of the modern media in Tanzania 🇹🇿. Yaani naipenda style yao; just the best.
@florabuzoya3948
@florabuzoya3948 Жыл бұрын
Dah Mwenyezi Mungu azidi kukupigania na usiamuache Mungu utamiliki zaidi na zaidi
@radhidimasambiro4620
@radhidimasambiro4620 Жыл бұрын
Mimi nilikimbiya pressure za deni moja tu nikaja south Africa nikafanikiwa kulipa big up sana kwa mama yangu kwa kunitia moyo
@beatricekemirembekiwanuka7768
@beatricekemirembekiwanuka7768 Жыл бұрын
Mimi mpaka Leo napambana 😪😪😪
@frankmwamahonje7770
@frankmwamahonje7770 Жыл бұрын
Dah madeni yasikie tu kwa watu 🥹
@abdullahhamed2197
@abdullahhamed2197 Жыл бұрын
BIASHARA zote ni nzuri na zinalipa ukiwa unasimuliwa
@daniel_the_poet.
@daniel_the_poet. Жыл бұрын
Kabisa
@yakoboesenga5754
@yakoboesenga5754 Жыл бұрын
Ukweli usio pingika
@gebor28
@gebor28 Жыл бұрын
Kweli
@erickzephania1030
@erickzephania1030 Жыл бұрын
😂😂😂
@mosesmwailenge5192
@mosesmwailenge5192 Жыл бұрын
Watu tunalia kweli umenena vyema
@mercyjulian2493
@mercyjulian2493 Жыл бұрын
Best interview ever jamaa is very smart Mungu atamfanyia wepesi.
@DianaShayo-io1pz
@DianaShayo-io1pz Жыл бұрын
Yaani umenikumbusha kitu,niliporudisha furaha yangu nimeanza kuamka tena kidogokidogo,hongera Kaka umenigusa sana
@ApipaTV
@ApipaTV Жыл бұрын
Hongera Bro Sky Kazi nzuri sana bro Unatufungulia Dunia, infos za tech kama crypto, habari, interview za kutu-energize You are really special
@juliethswai4263
@juliethswai4263 Жыл бұрын
Kakangu Swai wewe ni fighter sana..hongera na pole na changamoto za biashara...kabla hujanunua na kuuza anza na Mungu
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 5 ай бұрын
Mungu pia kuna mda anakupa mtihan kukupima iman yako km ni wengne angeshajiua.
@liubenny8561
@liubenny8561 Жыл бұрын
My home boys nipo hapa South Africa nimeangalia hii video yani duh swai big up sana nipo kwenye changa moto nabiashara kama hii ya magari sema nimejisikia furaha sana kuona hii yani duh I'm so happy for this
@jeremiahchriss9346
@jeremiahchriss9346 Жыл бұрын
Ukiacha mambo kadhaa yaliyomyumbisha mwamba, Huyo dogo aliegongesha gari anawakilisha chanzo cha anguko la wajasiriamali wengi, mara nyingi tunadondoshwa na watu tunaowajali, moyo huwa mzito kumweka kando mtu unaemthamini hata kama anakupa hasara. Tuendelee kupambana bila kusahau kuwawekea mipaka wafanyakazi wetu.
@hassanibanzi9322
@hassanibanzi9322 Жыл бұрын
Walah namkubali sana magari mtaani kwa mara ya kwanza nimeangalia interview nzima amenobadilisha mindset kaongea facts sana
@alexpeter5423
@alexpeter5423 Жыл бұрын
Best best ever interview ,Big lesson.
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
Kijana muwazi na mkweli..,hawa ndio wanaume sasa. Sky is not the limit young man.
@hamesmido2975
@hamesmido2975 Жыл бұрын
You have such a good heart bro 💜 even the way you talk
@geeva99
@geeva99 Жыл бұрын
Dah jamaa inaonekana anaroho nzuri sana, ila kapambana sana toka student to 2bil inazunguka 🙌🏾
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Жыл бұрын
Best interview ever, sky mtafute na yule mr kuku kama atakua mkweli ana kupanda na kushuka sana yule jamaa
@allyayoub5060
@allyayoub5060 Жыл бұрын
Kazi nzuri mno. Big up sana crew ya sns na Mr. Swai Life is all about learning. Tuendelee kujifunza
@Kasyetaderrick
@Kasyetaderrick 8 ай бұрын
I dont know why i missed this interview..One of the best real life expirience..Mengi sana nimejifunza..Shoutout for SNS..Mnafanya kazi nzuri sana aseee..Be blessed all
@tranqyiltranqyil7822
@tranqyiltranqyil7822 Жыл бұрын
Japo sijaishi sana kwenye hii dunia ila moja ya point kubwa alioongea brother hapa ni "KITU CHOCHOTE KINACHOKUPA MATOKEO HASI(NEGATIVITY) ACHANA NACHO KABISA HATA KAMA NI NGUMU VIPI PAMBANA KIACHE KWA AJILI YA FAIDA YA NAFSI YAKO.Katika kila kona ya maisha hii nadhani inaokoa sana amani ya moyo
@mchumiajuani1993
@mchumiajuani1993 Жыл бұрын
Alichokisema swai nikweli hauzagi gar za kishamba na za hovyo, nilikuwa namkubali sana kipind anaanza hiyo biashara ila ilibid nimkimbia kwa hasira maana nilikuwa kwenye kujtafuta alafu mm nilikuwa nahitaji tugar twa 4+, ila kiukweli ndo mana nmefatilia mahojiano yote sababu nikir swai nimemfaham ameanzia chini sana....tumejifunza meeeng sana kupitia hili sana sana hongera kwake, ELIMU ALIYOTOA NI YAKULIPIA ILA TUMEIPATA BURE. NA KUNA KIPANDE AMEONGEA NAKICHUKUA NAKIPOST STATUS NIKIKUBWA SANA NA NNAJUA WATU WANGU WATAKISAMBAZA SANA, KIPO DAKIKA YA 38, kuhusu wanaokupga vita,
@barickprogrammer
@barickprogrammer Жыл бұрын
Kitu kikubwa sana bro sky unafanya, pia swai ni mtu kazi kweli, kiukweli madeni yanaua jumla, SnS ni dude kubwa, nilichokipenda unaruhusu hata kutaja watu au company bila hiyana✅✅✅✅🤛🤛🤛 nimepata kitu kikubwa leo🙏🙏🙏🙏
@stephanifesto7354
@stephanifesto7354 Жыл бұрын
Swai, you are a man and a half. Roho nzuri nayo inakufanya ubarikiwe zaidi
@samuelsolomonmaji
@samuelsolomonmaji Жыл бұрын
SNS Huwa mnanikosha sana, keep it up the good content
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Жыл бұрын
Ndio raha ya kufanya biashara huku kichwani uko vizuri, huyu ni Mchumi, big up sana for sharing your ups and downs, a lot of lessons 👏🏽 👏🏽 👏🏽
@rehemaelibariki9222
@rehemaelibariki9222 Жыл бұрын
Endelea kumtegemea Mwenyezi Mungu, Utasimama tena.
@JofuJoel-wy7sc
@JofuJoel-wy7sc Жыл бұрын
swai wewe nimfano wa vijana wengi sana namimi nimepitia mengi magumu nabado napitia magumu japo kilamtu hanapitia magumu kufatana na kitu unachotafutia riziki mungu hakulinde sana
@bryanmussa2508
@bryanmussa2508 Жыл бұрын
Much respect my brother sky interview Fulani ivi ya kibabe inajenga na kuelimisha, by the way kipindi hiki tukiite HARAKATI ZANGU ambacho kitakua kinagusa wajasiriamali wote wakubwa na wadogo ili tuweze kujifunza kutoka kwao yaani movement zao mwanzo mwisho
@user-cd5qc1kk7q
@user-cd5qc1kk7q 8 ай бұрын
THIS IS ONE OF THE BEST INTERVIEW FOR YOUNG BUSINESS MEN HAVE TO LEARN.....PONGEZI SANA SWAI, MUNGU AKUBARIKI SANA NA ENDELEA KUMWAMINI MUNGU WETU.... STICK TO YOUR PRINCIPLES
@julianaboniphace7351
@julianaboniphace7351 7 ай бұрын
Pl
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Kusamehe kwako kaka ALLAH atakuinua zaidi ya ulivyokuwa una roho nzuri bro
@beatricealexander8094
@beatricealexander8094 Жыл бұрын
Asante kwa hii interview imenitia moyo sana namshukuru Mungu nimeanza kuwalipa wateja wangu.
@francissilayo.3457
@francissilayo.3457 Жыл бұрын
Much respect bro it's really a touching life story Zaidi nimefurahishwa na moyo wako wa kusamehe hasa huyo mlinzi kidogo chozi linitoke kwa jinsi ulivyomsamehe
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Жыл бұрын
Swai nimesikiliza story yako mwanangu, nakupongeza kwa kumsamehe huyo mzee mlinzi na kijana, Mungu anasema samehe na wewe umesamehe.Mungu akuinue.
@danielarapmoi3041
@danielarapmoi3041 Жыл бұрын
nimependa sana kuskiza changa moto za bishara ili nijifunze SNS KAZI NZURI SANAA 🙏🙏🙏 tuletee wengi ili tujifunze sisi wenye nia kufanya biashara
@GiftAbduly
@GiftAbduly 5 ай бұрын
Nmeangalia hii interview wallah ww kaka unajiamin sna kitu ambacho weng wanashindwa hongera sna Allah akunyanyue tna pole kwa changamoto za Dunia........
@godfreymwanache668
@godfreymwanache668 Жыл бұрын
Mfano mzuri sana brother, we shoul stand up and accept the chellenges
@reubenpaulomabula6098
@reubenpaulomabula6098 Жыл бұрын
Nimejifunza mengi sana Asante sana brother
@ireneshao7950
@ireneshao7950 Жыл бұрын
Huyu ni tajiri mkubwa sana...ila aombe sana Mungu nakukata roho za hasara,nuksi mikosi na mabala Yesu amuinue zaid
@eveliynejoseph7944
@eveliynejoseph7944 Жыл бұрын
Namshukuru Mungu yaan Nina kiubahir fulan,yaan mm tu kiwepes nikutumie ela yangu kirahs nikupe ela tufanye biashara
@gloriagosbert2236
@gloriagosbert2236 Жыл бұрын
Interview ipo very educative…. Muhoji na Mr Kuku tafadhali
@ChristopherYamawasa-tn1kv
@ChristopherYamawasa-tn1kv Жыл бұрын
The best interview ever Asante sana Sky
@judithawadhi3510
@judithawadhi3510 Жыл бұрын
Big up sana Swai.Hongera kwa kupambana na mapito.Aisee umenielemisha sana
@deuskaganda7277
@deuskaganda7277 Жыл бұрын
Very educative interview. Always, turn a challenge into an opportunity.
@mercypeter162
@mercypeter162 Жыл бұрын
Stori nzuri sana inafanana Na mapito yangu kabisaaaa. MUNGU mwema sana tusikate tamaaa nimejifunza kitu kikubwa
@beatricekemirembekiwanuka7768
@beatricekemirembekiwanuka7768 Жыл бұрын
Kweli ndugu yangu
@gsmartcreation5655
@gsmartcreation5655 Жыл бұрын
Psychology na body language vinaweza kusema mtu akiwa anaongea ukweli na hata anapo danyanya. Nice interview, jamaa ni mpambanaji ila kuna namba ukifikisha huwezi ongea kama unaziota. Watu wenye pesa hawasemi , na wakisema unaweza usiwaelewe.
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 Жыл бұрын
Smart
@collinsstanley6126
@collinsstanley6126 Жыл бұрын
Point yako kwamb jamaa muongo
@denisndaki167
@denisndaki167 Жыл бұрын
Big up sana Swai very inspiring
@christinembeye5489
@christinembeye5489 Жыл бұрын
Well said Young Guy. Ukiwa nacho na Kusaidia Wengine wenye Uhitaji inampendeza Mungu. Stay Blessed.
@shau78
@shau78 Жыл бұрын
kila mfanyabiashara anapaswa kuangalia hii interview. God bless you Sky. God bless you Swai. Swai you are a giant na huna kiburi. watu wengi hawako tayari kufichua walipofeli ili wengine wajifunze. kuna watu wajinga watakudharau kwa sababu ya kufunguka hivi. umesema siri zako kama sadaka. Mungu akubariki. kama wewe umeweza na mie naweza
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 Жыл бұрын
I can see the next Tanzanian billionaire.. big up bro.. ntakuja kununua gari kwako
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 Жыл бұрын
Hii cession mpya nzuri na ina mafunzo mengi. kuteleza sio kuanguka, na kukosea sio kifo, kupitia makosa unaweza kujifunza.
@princemallya4085
@princemallya4085 Жыл бұрын
Interview bora ya mwaka
@RATELFX
@RATELFX Жыл бұрын
"A story behind every hustlers" jina la kipindi muhite hivyp
@jochachallengetv7061
@jochachallengetv7061 Жыл бұрын
Mmetisha sana sana wakuu!! Sky na Jose mmeua, hii interview ni kiboko sana.. nitaisikiliza wiki nzima. Part 1 nimeisikiliza mara 5 hadi sasa
@dulla9195
@dulla9195 Жыл бұрын
This is true life story
@lameckbuya7569
@lameckbuya7569 8 ай бұрын
Chunya sio simple kama wengi wanavyodhani Walapesa yake si nyepesi kama mnavosimuliana UKWELI ni chunya pesa mingi watu wako nazo si zakawaida ukijidanganya we umejichanga vpesa zako miaka kadhaaa udanganywe ukaanze biashara ya madini chunya umekwisha Kwa nza utapokelewa na matapeli pili hakuna la maaana utafanya CHUNYA IS MY HOME KIBAONI
@mariamkanyata6328
@mariamkanyata6328 Жыл бұрын
Great story
@salhaabdulrahman6323
@salhaabdulrahman6323 Жыл бұрын
One of the best interview 🙌
@ngendaeliot
@ngendaeliot 8 ай бұрын
THIS IS NOT JUST AN INTERVIEW, RATHER LIFE EXPERIENCE AND PRACTICAL BUSINESS EDUCATION IN REALITY. I'M WRITING THIS COMMENT TODAY 26/11/2023 SO THAT WHEN GOT LIKED OR REPLIED I'LL BE REMINDED ON UPS AND DOWNS IN THIS LIFE. MAY GOD BLESS BOTH OF YOU. 💙
@magrethmathayo2800
@magrethmathayo2800 3 ай бұрын
kuhudumia mgodi si mchezo mume wangu aliingizwa kingi kuhudumia mgodi akajikuta afika milioni 200 na bado hajapata kitu nikamwambia mzee achana nahii mambo bahati nzuri akanisikiliza 😢😢🥲
@niccoelias3889
@niccoelias3889 Жыл бұрын
Big up for this interview
@adeliphinusgabone7431
@adeliphinusgabone7431 Жыл бұрын
Safi sana,nimependa zaidi alipoona waganga na washilikina wasingemtoa kwenye changamoto zake za kibiashara safi sana.
@meryglory2012
@meryglory2012 Жыл бұрын
Asante Sana Kaka swai Mungu azidi kukupigania.
@khamisomary7428
@khamisomary7428 Жыл бұрын
My best interview in this channel 🙏
@hashdede
@hashdede Жыл бұрын
You have a big heart bro, congratulations
@mugoliciroyi5088
@mugoliciroyi5088 Жыл бұрын
Mungu wangu ame ni jibu ku pitiya iyi interview na Furaha Ndio kila kitu ❤na nda pambana tu hadi mwisho,changamoto ni rafiki ya mafanyikio,big up kwa SKy na Asante sana kwako mupambanaji kwa ku ni tiya moyo na ku nipa nguvu
@user-gn4oq7rj1k
@user-gn4oq7rj1k Жыл бұрын
👍
@watundumaonlinetv8373
@watundumaonlinetv8373 Жыл бұрын
I got some points.jamaa ameongea vzurii Sanaa💪🏿💪🏿
@cosmaslunyembeleka251
@cosmaslunyembeleka251 Жыл бұрын
Ni kweli bro watu wa chini lazima akuseme vibaya bro Husipo kubali kutatua matatizo yako. Hakika iyo Khali Ni ngumu bro. Lakini ukumbuke wekeza na taasisi za Govt. Umebadisha maisha baada ya kujifunza kwa vitendo.
@adellahchipanyanga5107
@adellahchipanyanga5107 Жыл бұрын
Wa kwanza Mimi nimeguswa mungu akubariki kaka huyu ni mfanyabiashara kweli najua ulikua namengi ya kutueleza ni vile muda haukutosha ila mungu akubariki umepanda Mbeya njema mungu atakulipa mema
@fthbiasharaservices
@fthbiasharaservices Жыл бұрын
Ni kweli “Usi Depends on a single income”. Lakini, angalizo unatakiwa kabla hujawewekeza Katika biahara nyingine. Ni usifanye Uwekezaji kwenye Biashara ambayo huna uelewa nayo.
@ireneassey2022
@ireneassey2022 Жыл бұрын
Asant broh kwa kutupa somo sisi tulio huku chini tunajitafta
@ahmedabry293
@ahmedabry293 11 ай бұрын
Hii interview imenigusa Sana nlidhan nipo pekeyangu biashara unatakiwa upambane Sana na ukubali changamoto na majina mengi utaitwa ila muhimu kumuomba mungu tu uchawi hauwezi kushinda nguvu ya mungu.. Muhimu kuomba kupata wateja sahihi bas maana wengine huwa Sio wateja.. Wanakuja kwa lengo la kukutia katika matatizo..
@user-th6ud3yw7n
@user-th6ud3yw7n 5 ай бұрын
Daaah Asante sana swai.! najiona ni mimi kabisaa, mapito uliyo yapitia hata mimi nimepitia yani nimeanza upya kabisa. Nilikuwa na Duka Kubwa zuri sana la nguo ila nimeanguka mno sasaiv nipo oman najikusanya upya. Kikubwa ni mwiko kukata tamaa🙏
@generosennko8343
@generosennko8343 5 ай бұрын
Safi sana. You have a right attitude towards life and business. Posperity is yours. Thanks alot. You have inspred me. Am not gona give up too.
@mamavyombo4801
@mamavyombo4801 Жыл бұрын
Thank you SnS❤ Shukran sana kaka @SWAI umeibua faraja kwa wengi kupitia hii interview..
@saidaachi8178
@saidaachi8178 Жыл бұрын
Katika maisha yangu nafeli mara nyingi kwa kuamini watu
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Жыл бұрын
Mim pia imenikuta sana hiyo lakini nashangaa kwanini Huwa narudia kufanya haya makosa????
@NusrahBizimana-ry6iq
@NusrahBizimana-ry6iq Жыл бұрын
Interview nzuri sana Allah atakuraisishia usijali Bro
@andrewexlusive8063
@andrewexlusive8063 Жыл бұрын
Kaka ninayo yapitia nikama yako na pia nipo mwishoni kuyamaliza kama wewe ilifikia changamoto nikazizoea nikawa naziona zakawaida lakini wakati huo napambana nazo madeni yamejaa mtaji umeyumba lakini Mungu nashkuru ananipambania kila hatua coz ilifika pahali mbele nikawa naona gizi sijui kesho itakuwaje lakini mpaka sasa naimani nitavukatu hongera sasa kaka pia Asante.
@nicodemusbura7669
@nicodemusbura7669 Жыл бұрын
Pole bro.
@vincentnkana4921
@vincentnkana4921 Жыл бұрын
Best interview inafundisha sana
@Boaz22
@Boaz22 Жыл бұрын
Mwamba uliniuzia rav4 kill time 2018, nadhani unanikumbuka, mbuya hapa, nakukubali sana,umenyooka
@simonseyongwe
@simonseyongwe Жыл бұрын
Namkubali sana mwamba MAGARI mtaani anajua sana
@jennifermmanyema6693
@jennifermmanyema6693 Жыл бұрын
Pole Sana Kaka binadam hatujui kuna kuanguka nimejifunza kitu kikubwa Sana kutoka kwako
@winepreneur7329
@winepreneur7329 Жыл бұрын
Hizi ndio motivation sasa...
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 10 ай бұрын
Pamoja na mazuri yote uliyotushirikisha nimependa na nimebarikiwa ile kwanza inaonyesha unahofu ya Mungu, ile kwanza kujikubali yaani kuikubali ile hali unayopitia ,umesema utoaji wa zaka na sadaka umeikataa furaha ya pombe na lolote linalokunyima furaha hii itoshe kwamba ni ishara ya kuwa na hofu ya Mungu barikiwa san sna
@mucci_AI
@mucci_AI Жыл бұрын
Mm nina maden ya design hii mamb ya advance sio poa aisee sema hii mara ya pili sina stress nafanya kazi nalipa kidogo kidgo maana wateja hawNa huruma kabisa
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 8 ай бұрын
8:00 Huo ushauri sahihi kabisa. Na hapo ni kama kwenye forex mtu unaingia kubuy wakati ni sell we umefanya analysis vibaya… Biashara zote zinafanana Patient ni kitu cha muhimu. Na umetoa ushauri mzuri sana kaka mpaka kwenye mambo ya mult taxi. 18:54 This is psychology kwenye forex ukitrade ukiwa hauko timamu lazima upate loss
@yusufsuleiman7886
@yusufsuleiman7886 7 ай бұрын
Kweli inanipa ujasiri kutokukata tamaa , shukran brother kwa lesson nzuri yako yamaisha
@mj.tv.forpeople992
@mj.tv.forpeople992 Жыл бұрын
Daah yani nilikuwa 1 million, nimeingia asala nimeanza 1 nisawa nazani nipogo Sana ila hapa nimekomazwa
@eveandrew7096
@eveandrew7096 Жыл бұрын
Jamani kwenye kuwaamini watu, watu ni matatizo jamani, watu ni shiiidaa. Nimejifunza sana na nimejua nani ni nani na niwaeke kwenye kundi gani. I only believe in GOD and Himself alone..
@user-yb1vu6hc8o
@user-yb1vu6hc8o Жыл бұрын
Mwamba umetisha sana hizi ndio interview ambazo tunazihitaji zina chunvi na sukari si wapuuzi wengine wanatudanganyadanganya hapa Big up kwako Mungu akusimamie nimejifunza vingi sana
@nackieamerald7134
@nackieamerald7134 Жыл бұрын
Mungu akubariki kaka, you have a good heart ❤️
@oryannasky8214
@oryannasky8214 Жыл бұрын
Keep going thank you I'm also there but God is good naomba muite SkyWith buSnessTYcoon
@kanisiuschumacannireal-zg2ee
@kanisiuschumacannireal-zg2ee Жыл бұрын
This is masterpieces
哈莉奎因以为小丑不爱她了#joker #cosplay #Harriet Quinn
00:22
佐助与鸣人
Рет қаралды 10 МЛН
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 21 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 16 МЛН
哈莉奎因以为小丑不爱她了#joker #cosplay #Harriet Quinn
00:22
佐助与鸣人
Рет қаралды 10 МЛН