Napenda anavyotambua uwepo wa mke wake kwenye mafanikio yake..such a gentleman
@somoeally95922 ай бұрын
Msukuma huyu wa tofauti mana msukuma hadi arecognise uwepo wa mwanamke sio kawaida
@annamussa1858 ай бұрын
Me nampenda huyu kaka ana Hekima mpaka raha❤
@khadijarashidy93048 ай бұрын
Huyu jamaaa huwa namkubali sana ila nilitamana ahojiwe na Millard Ayo mwenyewe
@Mwananchii8 ай бұрын
Sure
@uzungupoint8 ай бұрын
Kabisa, huyu ni legend kabisa. Alistahili kuhojiwa na legend Muyenjwa mwenyewe.
@user-qq6mv6vh3e8 ай бұрын
Anaweza sana
@godfreykeita98048 ай бұрын
For sure
@salimthedon8 ай бұрын
@@godfreykeita9804Interview ingeenda sana.
@theAIN18 ай бұрын
From Rwanda : Huyu Baba Namkubali sana, Anajua na ana Karama ya Anacho kifanya. 💯👑 Anani inspire Sana. 💪👌
@beatricejoseph23478 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua mwanangu yaani nimekuwa nikipata baraka sana kupitia Sns,Yaani ulicho nacho ulipewa na Mungu.
@user-qq6mv6vh3e8 ай бұрын
Kipaji cha mungu kabisaaa
@zaitunifamao77778 ай бұрын
INSPIRATION, Much respect to you and your team at SNS.
@Remy-og7bm8 ай бұрын
Millard Ayo ndio angemuhoji Mtu mbad Sk 🔥👌
@Mwananchii8 ай бұрын
Kabisa,next time Millard mkimuita mtu kama Sky it’s respect kumuhoji wewe.
@Zainab-sq1tc8 ай бұрын
Sure
@BinPlatnumz8 ай бұрын
Big up sana brother SKY I’m ur biggest fan from NY💯🏆🙌🏾
@lacheekah18498 ай бұрын
We need more men like him in Tanzania
@denniskasela48 ай бұрын
He is so perfectly
@mohammedkidody56188 ай бұрын
Absolutely💯
@Bikhafija8 ай бұрын
Mashaalah ata mm nampongeza sana wifi kwasababu ukiona mwanaume anakusifu ujue unathamanu sana
@mzamilyginga73218 ай бұрын
SKY ndo mtangazaji wangu bora wa muda wote
@ireneimbuhira77598 ай бұрын
Love him his so cool man ❤
@wilsonsamsonwilliams8 ай бұрын
Mungu azidi kumbariki #fredrickbundalaskywalker🙏🙏🙏
@zahrababygarl15688 ай бұрын
Hatimae na yeye kafanyiwa Interview leo so far ❤❤❤my brother
@jacksontulito9018 ай бұрын
Yaani naipenda sana sauti ya huyu mwamba, Stori zake sichoki kusikiliza❤
@zahrababygarl15688 ай бұрын
We kama mimi
@user-qq6mv6vh3e8 ай бұрын
Tuko pamoja
@shakilamasoud29838 ай бұрын
Toka R,F, A. Mwenyezi Mungu akulinde zaidi.🇹🇿🇹🇹
@baddestgames27842 ай бұрын
Mambo vp upo Trinidad?
@shakilamasoud2983Ай бұрын
@@baddestgames2784 ndiyo
@user-bq8ny7tt5z8 ай бұрын
Big up sana sky 💪💪💪 mimi napenda sauti yako kwenye Story 👌 nimeanza kukufatilia 2017 nikiwa Nairobi kenya 🇰🇪kwa sasa niko Belgium 🇧🇪 hadi leo niko na wewe 👌
@SlsProductionTz8 ай бұрын
🔥🔥🔥
@wizkhalifa9408 ай бұрын
Hi
@jumarichard95888 ай бұрын
Wengine tunakujua kama Sky wa radio victoria fm ya Musoma
Sky unasauti expensive sanaaa 🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥sauti adimi kama kina miradi adam mchomvu rillomi djaro walungu niwatu nao wakubali sanaaa
@user-qq6mv6vh3e8 ай бұрын
Sana
@mohamedismail26628 ай бұрын
I Always respect You Brother 💯
@msafirisaimoni95618 ай бұрын
Alianzia VICTORIA FM ya Musoma Mara bdye RFA na kuendlea huko kwingne lakin mara ya kwanza nimemsklza vfm 90.6 Musoma mwaka 2004 maisha yanatoka mbali sna aiseeeee
@salimthedon8 ай бұрын
Hii interview angefanya Millard ingeenda saana!
@vickydan28698 ай бұрын
Najisikia vizuri kusoma comment nzur zinazomhusu kaka angu Frederick SKY
@ednaJF10288 ай бұрын
I Always respect You Brother 💯 ❤❤ From 🇺🇸 Big up Always chase your dream 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙌💪
@user-qq6mv6vh3e8 ай бұрын
Nampenda sana uyu kaka sauti yake❤❤
@BARAKA-ns3jv8 ай бұрын
Kazi nzuri ongezeni makala za kutosha watu tujifunze mengi
@bagumandongwe85668 ай бұрын
Big up sana bro, wewe ni gwiji katika utangazaji Sky , kama ni kipaji basi unacho
@edisonmaliva17198 ай бұрын
Big up sana kwa mke wake.n kweli mwanamke akijitambua akatambua mission ya partner wake,n rahis sana kutoboa. Support ambayo tunahitaji kutoka kwa wake n usikivu wa Kichwa na sio kuletewa mahangaiko.
@pikanaauntzuu14668 ай бұрын
Pia ukimpa mwanamke hio nafasi wanaume wengi hawapendi kushauriluwa na wake zao kwa kujiona ni wakamilifu na wao ndio wanafaa kuwa waamuzi wa kila kitu na hawataka kushauriwa na wake zao
@edisonmaliva17198 ай бұрын
@@pikanaauntzuu1466 ni kumsaidia,ukiona hasaidiki achana nae tafuta ambae atakusikiliza na kutambua nafasi ya mke ktk familia.
@salhamrishoi49438 ай бұрын
Nampenda saana sky❤❤❤❤❤😊
@afromixstudios8 ай бұрын
Anamkubali harmonize huyoo 😂❤ Anyway na mi nampenda pia
@user-hn3xt2us6u8 ай бұрын
Jamaaaa anajua sana big up sana we are going to sns only for him
@SalamaNauthar8 ай бұрын
Wooow' SKY WORKER❤️❤️❤️❤️❤️
@kakawamashariki89788 ай бұрын
Nimefunzwa kuongea kidogo tu.... naikumbuka nymbo yko hiyo enzi hizoo,bila kumsahau Kidbway(weekend fever) pamoja na Zubery Msabaha(Boringo time).Salaam za pongezi toka Zoo🐟
@SalamaNauthar8 ай бұрын
Nakumbuka mbali sana' R.I.P Zuberi Msabaha
@Balogetv8 ай бұрын
Kaka Sky Fanya mpango uwe na Ma reporter mikoani 🇹🇿 Ikiwezekana pia All of East Africa
@shyfettymtunda46198 ай бұрын
Nampata tangu akiwa RFA. Long way to go buddy!🎉🎉
@Mbeyaconscious8 ай бұрын
Mkubwa Sky Nakufuatilia Sana Sababu Nipo Inspired Sana Na Unachofanya Pia Ni Mwalimu Wa Vijana Wengi Mkuu 🙏🙏🙏🙏
@lusajovilindila33518 ай бұрын
Hakuna kama SKY hapa Tanzania
@appolonation8 ай бұрын
This guy is my role model love from Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@tamimbinaltan13258 ай бұрын
Ntuzane hano Austin wanyu 😂😂
@samwelrobeth77638 ай бұрын
Muraho neza
@appolonation8 ай бұрын
@@samwelrobeth7763muraho muraho 😂
@appolonation8 ай бұрын
@@tamimbinaltan1325uriya ntakinu kirimo kbs 😂😂
@pamanyango89178 ай бұрын
Sky kazi nzuri sana, nakufatilia kutoka 2018 mpaka leo na kukubalisana from 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@abdultandala65768 ай бұрын
Muda mrefu sana huyu jamaa nimeanza kumsikia✅✅
@mohammedkidody56188 ай бұрын
Nakukubali sana sky❤❤❤🎉🎉🎉
@hassanabuu68 ай бұрын
I’m from Zanzibar unguja bigup I can’t go KZbin without go SNS 😮
@geomangi61238 ай бұрын
Bro fred much love from 🇺🇸 big salute i follow your channel every day.
@constancekarisa16058 ай бұрын
Nampenda sana brother sky mungu amzidishie ❤🎉
@husseinbakary19698 ай бұрын
Tuleteeni na mtoto wa ma sabuni glory Robinson
@narlt2298 ай бұрын
Sky upo smart sana hongera kwa kazi nzuri. Mwenyezi Mungu akufikishe mbali
@gb-one64358 ай бұрын
Mtangazaji wangu number Moja 🔥
@lyrics_forum8 ай бұрын
JAMAA ANANI INSPIRE SANA AISEE NISIWE MNAFKI
@ilovejesus93038 ай бұрын
Never give up. Thanks for the inspiration
@user-eg1pk1sw4j8 ай бұрын
Sky nakukubali Sana
@NDIZIMEDIA8 ай бұрын
17:12 mmesikia sky kanitaja haya mje mni support kijana mwenzenu 😅
@DonMooSTUDIO_Express8 ай бұрын
😂😂 nimeona bana. Amedema unakutana na media ambaxo hujawahi kuzisikia NDIZIMEDIA 😂😂😂
@MuniraShughuli-kc7vj8 ай бұрын
Ma Shaa Allah Tabarakallah twakupenda kkangu Sky🙌
@modestusndunguru71838 ай бұрын
RFA mlikimbiza sana...mtoto wa mama sabuni glory Robson Yuko wap..mlikuwa mnakimbiza sana RFA
@geofreysadok48238 ай бұрын
Daaah asee nimekumbuka ile pisi glory,ile ni pisi asee sijui iko wapi saiv
@SlsProductionTz8 ай бұрын
Makini Sana brother SKY
@habibhamza97668 ай бұрын
Mtu wangu sanaaaaa, namkubali sanaa aisee
@samwelsengati13698 ай бұрын
Kaka Mathias hongera sana.
@lil_billy9098 ай бұрын
Jmn mimi nitakuwa biggest KZbinr kushinda wote leo ni jumatatu tarehe 27nov-2023
@AnthonyMaganga-lo6kb8 ай бұрын
Ni kheri kuyashinda majalibu ila kufeli nikushindwa kujaribu✊💪
@blessedeaglemusic53248 ай бұрын
Sky bana weeh... huyu ni beast.from kenyan to dar tz.namhenzi sana.alafu zile real story broo...pale SNS zirudii🎉Millard Ayo💯🔥💎💪💪
@NgimeGroup-xi2gw8 ай бұрын
.safi.sana bro.kwanini.basata.pia.wasianzishe sho iri kuendelea kusapati music
@cassianmkeko15148 ай бұрын
Sorry wahenga huyu ndo yule SKY WORKER wa RFA ya mwanza enzi hizo msuli wa 4M4 2004/2007 mpaka Adv 2008/2010 alitukamata sana Friday Weekend fever 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@njoroboihastla8 ай бұрын
SNS TO THE WORLD🚀🔥
@zeddybass66728 ай бұрын
Mke wangu love you sana .from sky voice
@dastonamichaels18548 ай бұрын
Such a gentleman God bless you bro Sky
@JossephSimon8 ай бұрын
Nakufatilia tangu sitosahau rfa ya ridio Fri Africa sitosahau hadi sns mung akupe maisha marefu kaka
@kimcandyy90388 ай бұрын
Akilii nyingi sanaa Sky 🔥🔥❤️
@sharifahabsi50048 ай бұрын
Mashaallah 🎉🎉
@prophetgervasebenard74868 ай бұрын
Mungu akuinue zaidi!🤝
@infomediahabarizandaninanj27227 күн бұрын
Top level story teller ❤✌
@chunanachu25298 ай бұрын
Nakukubali sana sky
@bizomenyimanaelias54558 ай бұрын
Napenda huyu jama love from Burundi
@ernestbiseko16088 ай бұрын
Sky walker tangu RFA (sitasahau), bongo 5 na sasa SnS tuko pamoja sana.
@vickytorry1008 ай бұрын
Hongera kijana, namfahamu Bundala miaka 90+ nss as yeye IQ ilikuwa hatar huenda ni ukoo mmoja. Big up
@edisonmaliva17198 ай бұрын
Big up sana sky.
@navioma48828 ай бұрын
Penda sana kaka SKY
@jusnahgadi60298 ай бұрын
Love his man so much!! So inspirational and supportive!! By far the most hard working man in TZ Media!! Sky for President!
@shamsally62778 ай бұрын
He is a legend
@aminmohammed42498 ай бұрын
Jamaa noma sana huyu
@davantrappe4178 ай бұрын
Binafsi naheshimu sana mchango wake kwenye sanaa 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@AlexMosha-ci5uq8 ай бұрын
Brother so wisdom man 🔥💯🎤🎚️
@bestantony79178 ай бұрын
Sky skilled person
@user-cw7zp7jn1h8 ай бұрын
Nakukumbuka sana kaka sky tangu Enzi za show time kule rfa., kipindi kile ulinifanya niwe karibu naredio yangu kila kilipofika kipindi chako.
@misschagga80428 ай бұрын
Namkubali sana sky una kipaji sana.
@ntezealoyce70438 ай бұрын
Kumbuka broo ulianzia musoma vfm yahani victoria fm,
@nemesdaudi15768 ай бұрын
@Millard hii interview kubwa sana kaka ilibidi uifanye mwenyewe, sijapenda namna mmeifanya simpo namna hii kwa content muhimu kama hii, yan mpaka mkono umuume SKY kwa kushika Mic?? ...oooh Men
@calwyasmas35758 ай бұрын
Respect to you brother🎉
@kassimulongoi50928 ай бұрын
Good sana endelea kuvumbua vipaji brother
@user-nq4md3sj6d8 ай бұрын
SKY talented 🙌
@abesa_worldwide8 ай бұрын
Appreciate 👍
@anacletferuz49544 ай бұрын
Isee kwa mara ya kwanza ninamuona. Ninamkubali saaana. Hao ndo walikuwa mwamba wa RFA akiwemo Samweli Joseph Devis Kihama, KidBway. Iseee noma sana
@sifatiiman8 ай бұрын
ni kheli kuyashinda majaribu ila kufeli ni kushindwa kujaribu this point 🎉🎉🎉
@mashakakasanga21757 ай бұрын
namkubali sana Fredrick Bundala sky walker "toka ukiwa Redio free afrika kipindi hicho
@EricDudu-mt1xc8 ай бұрын
Huo Sky amejaa chuki na fitna channel yake kazi yake ni kupost watu wanaomutukana na kusoma comments mbaya mbaya za watu wanamkosea heshima Diamond Platnumz... SNS inaeneza chuki😭😭😭
@SimuliziTz8 ай бұрын
Sky nakukubali Sana SNS big up
@ramaally58728 ай бұрын
❤❤❤
@mcrramon46498 ай бұрын
Nnavo mpenda kaka sky it's my wish siku Moja nikutane nae nimsalimie tu kwa mkono na nimpe maua yake ....