Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni HEBU mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@SebastianKandolo2 ай бұрын
Respect bro nakugatiliya sana kutoka🇱🇷🇨🇩🇱🇷
@CrispinSamson-hj8tf2 ай бұрын
Sio kimeondolewa ila hakijahusishwa naamin kwa sababu za kibinaadamu na maslah ya watu hasa waliotuletea dini zao
@athumanijonathanofficial4709Ай бұрын
Shida awajawai kubali kitu chochote kizuri kinaweza tokea Africa
@SilvanusLumbasi-kl3bw2 ай бұрын
Pata like mkuu❤❤❤❤❤❤ my favourite
@FotuNgon2 ай бұрын
Professor jamar alisem atakierezia kitabu iki lkn mmsesha ingia na kupest
@dullahabdallah-nu1py2 ай бұрын
Kwasababu kinatoka Africa,wekeni wazi mambo
@robertphilip3852 ай бұрын
@@dullahabdallah-nu1py acha nafiki Baki na korani yaki ya mtume wa ibilisi
@yustodonald97722 ай бұрын
Msimuliaji❤
@petronyereresaliboko40472 ай бұрын
Enoko na elie ndo watu pekee walio enda mbinguni bila kuonja mauti hivyo basi wamekiondoa ili watumie wao kwa matumizi yao binafsi
@nickalreadyknows2 ай бұрын
Duh we mbona kamba hii ya live live ww 😅
@protasmachanja37722 ай бұрын
Mwamba 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@josephmwalimu41052 ай бұрын
Okay. How did it make it to the bible in the first place? Again, why did they decide to remove it if God had planned for it to be there? Kwa hiyo, tuseme tu biblia labda ni maoni ya watu tu.
@Fm-MornStar20142 ай бұрын
Kuwa unasikiliza na kurudia simulizi ili uelewe zaidi. Majibu hayo yote yapo kwenye hii simulizi
@gregorybakuza57962 ай бұрын
Yes, Biblia ni maoni ya watu na si biblia tu hata quran ni maoni ya watu.
@bhm6752 ай бұрын
@@josephmwalimu4105 vitabu vyote vya dini zote unavyovijua ww vimeandika na watu
@ziggysamson59562 ай бұрын
Tatizo sio kwann kimeondolewa kitabo hicho,,swali Ni kimeondolewa mungu ipo wapi?
@madukaj.j.69992 ай бұрын
Kumbe biblia ni maneno yaliyopitishwa na watu waliopanga kanuni za biblia kulingdana na hadithi nza zamani
@michaelobed30222 ай бұрын
Kama kitabu kilikataliwa na hawakiamini, mistali ya kupaa mbinguni Henoko imetolewa humo je hayo waliamini vipi? Hatari Sana
@giddymagova24122 ай бұрын
Waliona kinafichua siri zao
@zenassylvester1252 ай бұрын
Jamaa wamekitoa alafu wao wanakitumia maana kitabu cha Enoch kina mambo mengi sana muhimu kuhusu uumbaji ,sayansi,hesbabu,uchawi,madawa,mambo unajimu na vitu vingine vingi
@edinahbonareri22512 ай бұрын
nawe unakubali uongo?
@frankdanford82452 ай бұрын
@@edinahbonareri2251kitu usichokijua kwanini ukisemee uongo? Au na wewe ni mmoja wapo wa wale wanaojua ukweli ila wanaamua kukaa kimya na kupotosha?
@GreysonMdee-wm8tn2 ай бұрын
Hamna cha kushangaa kwanza ukristo sio dini kwahyo kiwe kipo kiwe kimeondolewa yote Sawa tu
@kelvinerick67262 ай бұрын
@@GreysonMdee-wm8tn mkundu wako
@lupironewstv46452 ай бұрын
@@GreysonMdee-wm8tn ugaidi na kujitoa muhanga ndo Dini.😀
@@kelvinerick6726 matusi ya nini tetea kwa hoja kama ni dini si ni lazima iwe na hoja
@HenryTindwa2 ай бұрын
Naweza kununua vitabu wapi nawe kupata
@MWINJILISTHURU2 ай бұрын
Nimeskia kitabu cha enock ndio kitabu cha mwanzo, kilichopo katika biblia, hakijaondolewa katika biblia bali kimepunguzwa.acha propaganda hizo habali za majitu si umezisoma kwa enoki mbona zipo kwenye kitabu cha mwanzo
@okkashaally21152 ай бұрын
@@MWINJILISTHURU soma dini yako, acha za kuambiwa na kuskia
@okkashaally21152 ай бұрын
@@MWINJILISTHURU soma dini yako, acha za kuambiwa na kuskia
@johnjoseph11062 ай бұрын
Hakipatani na maandiko
@edinahbonareri22512 ай бұрын
tuwaje propaganda aizee. eti kitabu cha enoko kiliondolewa kwa bibilia uko na hiyo bibilia yenye iko na hiyo kitabu kabla kuondolewa?. Waislamu wengi pia wamepotea kwa propaganda kama hiyo na kufuata mtume wa uongo.
@muhammadmbaraka45152 ай бұрын
Waislamu wamepotea we ndo umeongoka??
@muhammadmbaraka45152 ай бұрын
Waislamu wamepotea we ndo umeongoka??
@ginimbifamily39952 ай бұрын
@@edinahbonareri2251 Acha utoto kijana..kiukweli ww bado mdogo sana kwenye maswala ya dini na auwezi kujua ilo..Kuna vitab vingi vimetolea kwenye Biblia...nenda Google alafu Andika " THE LOST OF BIBLE " wakuletea vitab ambavyo avipo..kwaiyo acha kubwabwaja kama aujuwi kitu
@salumualoyce56202 ай бұрын
@@edinahbonareri2251 acha uvivu wa kufikir kenge wewe? Dunia ina vitu vingi na kwa akili yako ndogo hiyo ni ngumu sana kuchambua vitu kama hivyo so kaa kwa kutulia.