Mimi hufunga na kufungua kwa kuthibitishwa na Mamlaka husika hapa Zanzibar. Hebu masheikh wetu wa I'mam Shhafi niamsheni pale kutokana na Imam wetu huyu inatupelek kuukataa mwezi wa kmataifa
@salafitvsalafitv9102 жыл бұрын
Mashaallah
@aishathabit37322 жыл бұрын
#SAUD ndio chanzo #Baniiqainuqaa wale
@leonardmbonea41172 жыл бұрын
lizee la kibidaa
@noorululaatv89732 жыл бұрын
Ni sehemu gani hilo Jopo la Suudia limesema tuungane kwenye Mwezi
@habibrwegoshora6624 Жыл бұрын
MATHALANI UMEONA MWEZI JIONI UKIWA TZ WAKATI HUO HUO NCHI ZINGINE KWAO NI USIKU SAA 7 AU 8 AU 9 AU 10 AU 11 AU 12 ALFAJILI.. JE AWA WANAWEZA KUAMKA NA SAUMU AU WAKASWALI EID ? NDIO MAANA M'MUNGU AKATUTAKA TUSOME MWEZI AUWEZI KUWA WA KIMATAIFA KAMA MTU ANATUMIA FIKRA
@khamisptrany93933 жыл бұрын
Ni ujahili gani kusema kuwa hakuna usiku miwili aw jumatatu mbili Mumemafarakisha waisilam ikawa nyumba moja wako walio funga na wako walio fungnuwa ni uisilamgani munao utetea Munafanya tadlis ili muweze kuingiza shubha zenu Acheni fitna zenu hizo fungeni na funguweni wanapo funga na kufunguwa waisilam
@mahdy0112 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU NA MTUME WAKE, WAMEGHAFILIKA KWA KUSEMA (FUNGENI KWA KUONA NA FUNGUENI KWA KUONA) wameghafilika kusema kutakapifikia wakati mawasiliano yakawa mepesi (Mtafunga kwa kuckia na mtafungua kwa kuckia) Subhanallah...
@ismailibrahim11113 жыл бұрын
Huyu mzee hamuogopi mola yuazungumza urongo wazi
@aminaomar96753 жыл бұрын
Hamuogopi mola vp au ww t humkubali
@user-hb8vi9fx6g Жыл бұрын
SUALI NI MOJA NA DOGO TU: KWA NINI WAISLAMU HATUFUNGI KWA PAMOJA NA KUFUNGUA KWA PAMOJA?! POROJO NYINGI ZA NINI?!
@noorululaatv89732 жыл бұрын
Mwehu wewe
@khamisptrany93933 жыл бұрын
Ama hoja ya kusema kuwa mtume amesema kuwa fungeni kwa kuona na funguweni kwa kuona basi vile vile mungu anasema ( وَكُلُوا وَاشْرَبُوا حَتَّىٰ يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الْأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الْأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِ ۖ) Kuleni na munywe mpaka atikapo kubainikieni uzi mweusi kwa uzi mweupe wa alfajiri Hapo vilevile wanahutubiwa waisilam wote sasa mbona watu wanaanza kufunga kwa alfajiri yao na wanafunguwa kwa magharibi yao hawafuati malfajiri na magharibi itanguliayo ulimwenguni? Halafu kusema kuwa mwezi wa kimataifa ndio gauli yenye mguvu, hiyo di kweli kwani hakuna nchi ulimwenguni inayofuata mwezi wa kimataifa Halafu ikiwa hiyo ni ikhtilafu za maulamaa kama unavyo dai weye ba itakavyo kuwa haiwezekani ikhtifu hizo mbili sifanyiwe kazi keenye nchi na jumuiya moja nikama vile kuwa haifai kuowa ndugu wawili wakati mmoja Acheni fitna mutakutana na mola wenu
@Silay10343 жыл бұрын
Mbon weye wafunga kwa sudia chizi acha shubha we Mzee tubia umri umekwenda acha kutakabbar huwa a'lamu limanittaqaa acha umadhehebu fuata din
@khamisptrany93933 жыл бұрын
@@Silay1034 Subhana alah umefilisika kiwango hicho Mimi nikitegemea kuwa itazijibu hoja zangu kwa kielmu Umetowa machuki na haqdi zako bila ya msingi, Nani amekwambia kuwa mimi nafunga kwa mwezi wa saudia? Dini hatetewi kwa matusi ikiwa unahoja zako zilete tuzisikilize