Dah Abuu Idd. Badala ya Kujibu Hojja unaeleza Chuki zako kwa Mawahabi. Mwenzio kaeleza kuhusu Arafa.
@natual75723 жыл бұрын
Hakuna msomi yeyote alie na elim sahihi akawa na kidevu cheupe kama yai la kuku hoja sio kusoma vitabu hoja ww umepatia kwa usahihi bado shekh abulfadhili allah amuhifadhi haendani na ww kiufaham na uelewa
@yussuphsultan14003 жыл бұрын
Hata kama ndo alivyoumbwa na hicho kidevu chake?
@natual75723 жыл бұрын
@@yussuphsultan1400 kama kaumbwa hivo hilo halina shaka nimaubile ila kama kanyoa basi kapoteza sifa ya kuwa dai
@yammuhamed7363 жыл бұрын
@@natual7572 sasa unajuaje kama hajaumbwa ivyo mpaka kumtolea hukumu
@jamalishoo38022 жыл бұрын
Chuki ndio inayokuongoza ndio maana unamuhukumu sheikh bila kumpa udhuru
@jamalishoo38022 жыл бұрын
@@natual7572 nani kasema kwamba dai ni lazima awe na ndevu
Alhamdulillah Mambo yote yako wazi kwakuwa dunia imepiga hatua hamna wa kumdanganya
@abuusaad57913 жыл бұрын
Sh punguza sharubu
@abuurayaan39023 жыл бұрын
التخذ الناس رؤوسا جهالا فسئلوا فأفتوا بغير علم فأضلوا وأضلوا أو كما قال عليه الصلاة والسلام
@abdulkareemchacha26253 жыл бұрын
Twayyib
@husseinsuleiman6143 жыл бұрын
Leta namb ..abu rayann..mm salafy mwenzio..wa arusha
@bakarikissiga62883 жыл бұрын
Jazakallahu khayr sheykh,dalili za kiyama ndo kama hizi,Masalafy tusitetereke wala kuhisi tumepotea,. Njia ya Haqi ndo inaonekana potevu,
@husseinsuleiman6143 жыл бұрын
Ukhurafi ni tatizo kubwa mnoo
@hamidakondo45792 жыл бұрын
Hapa shekhe ni Muhammad bachu. Na kishkn na Muhammad salum
@ibrahimfarouq83393 жыл бұрын
Imekuchua miaka miwili kuja kujibu radd ya Shaykh Abul Fadhwil
@user-qo2dk6iv3u2 ай бұрын
Mashallah Abuu idi
@yazidbafunda50922 жыл бұрын
Nyinyi WAZUSHI akina Abu Idd mna taabu sana .. Ama kweli Alompoteza Allah hakuna wa kumuongoza ... Yaani unaleta ushabiki ktk dini hali ya kuwa haqi unaifahamu ila maslahi tu
@yaasirsalafy25593 жыл бұрын
Daawat SALAFY itawanyoosha mpaka mtaacha Uzushi Muhamad idi Umesha kwisha mzee huna hoja
@muuminiabubakari69853 жыл бұрын
huyu alivyo kaa mdomoni kidevu kama mwanamke, mtu kama huyu kwa mujibu wa maneno ya imam shafi hafai kuzeshwa wala kusikilizwa ushaidi wake kwasababu amejifananisha na wanawake, hakuna mwanachuoni au mwalim yeyote alie soma dini akaelimika alafu akafananisha kidevu chake kama kalio la mtoto mdogo
@princefeisla36923 жыл бұрын
www wacha uzembe dini yahusika na nini kutoka na ndevu
@allybyarushengo57273 жыл бұрын
Ndugu acha jazba na matusi usisikilize kwa lengo la kubishana na kutukana,zikiliza kwa lengo la kujifunza sio kutukana haitokusaidia.
@ramadhanimbulu67163 жыл бұрын
Sheikh uchwara kanyoa ndevu kaacha masharubu..!! Mnawapoteza waislamu katika dini
Kipindi nikiwa sijui chochote ktk dini nilikuwa najua uwahabi ni watu wabaya sana, lakini nilipomsoma vitabu vya sheikh Abdul wahab Allah amrahamu nilifaidika sana kwa elimu yake. Lakini wanasemwa kama ni watu wabaya sana kumbe sio lengo ni kuchafua tu njia ya sunnah, Someni vitabu vyake utajua ukweli, Alikuwa kwenye shiriki na bid'aa ndio maana masufi wengi wao kwakuwa ni shirikiana walimchukia sana na kumpata sifa mbaya.
Aslm alykm, mimi nilitegemea majibu yako yajikite kwann cc tulioko huku Tanzania na kwengineko tufunge ckuyakisimamo chaarafa ckusawasawa na mahujaji wanaposimama kule Makka au tufunge mwezi tisa kwamahesabu yetu bilakufata mahesabu ya Makka. Ila nilichokickia nikuongelea uwahabi tu wahuyo shekh mnaejibizana nae, kiukweli shekh hapa naomba fanya kerejea haya maelekezo yako unayotupa inshallah. Allahu yaalam.
@coolvoices66083 жыл бұрын
Kwan bado mnahitaji maelezo? 1. Hajj imefaradhishwa mwaka wa sita... Sheikh kishki hotuba yake ya Eid asema wengi ktk masheikh wametaja mwaka wa 9. Mtume kaifunga siku ya tisa aloita siku ya arafa (siku ya kuhakiki ndoto Ibrahim mara ya tatu) kuanzia mwaka wa pili kwa kuangalia mwezi. 2. kila muislam kufuata arafa ya mahujjaj ni jambo haliezekani. Mchana wa Arafa si mmoja dunia nzima wapo wale watakao kuwa kwao ni usiku watu wakiwa katika kismamo. Je hawataipata fadhla ya funga?
@abuhafs47743 жыл бұрын
Ustadh Muhammad idi huja jibu hoja za sheikh kunako suala la funga ya arafa na kisimamo cha arafa badala yake ww waruka ruka tu kwenye uwahabi kipi kimekushinda
@hamidakondo45792 жыл бұрын
Hujasoma bwana ss hatukuelewi
@saidwaka25393 жыл бұрын
Shekh muogope Allah
@idrisshogobe64243 жыл бұрын
Mbona vitisho na vitabu vingi?
@swaleheally98142 жыл бұрын
SHEKH QAASIM ALLAH AMHIFADH AMEKUA SABABU YA WATU WENGI KUIELEWA HAQ. PIA UMEKUA SABABU YA KUJULIKANA MOHAMEDI KUA NI JAAHIL ( MJINGA ) KTK DINI ALLAH AMUOMGOZE
@assayyidaydaruus1812 жыл бұрын
😂😂😂😂
@MrAmissi3 жыл бұрын
Tupo hapa kwa kujuwa haqq ni ipi na batwil ni ipi nasi ule Muhab alishakujibu yale ambyo umekuwa kumtuhumu basi yafanyiye kazi yani bainisha ukweli mimi si shabiki wa yeyote katika dini ispokuwa nafata haqqi tu . Wallah a'alam
@shariffhabshy67703 жыл бұрын
Nakuomba Sh.ldd Abu ldd naomba hicho kitabu cha matusi tuoneshe mawahabi wa huku Kenya Msa.
@abuuzamah-shar98683 жыл бұрын
انفاق
@CharafimalisalimoAli-qw3hk9 ай бұрын
WANAKATAA ARBUINI WANAKUBALI ARBUINI.
@mathayogisosi92543 жыл бұрын
Ndugu yangu Muslim naomba upitie nukta hizi. 1.sheikh muhammad ibn abdulwahab ni kweli alifanya daawa 2.na hakulingania chochote isipokuwa ni mapokeo ya mafundisho ya kiislam kama ilivyokuja kutoka kwa mtume wetu hadi kumfikia yeye kupitia kW wema waliotangulia. 3.kuita daawa ya kiwahabi au daawa mpya ni makosa kwa sababu aliyoyalingania ni yale yaliyolinganiwa na wanachuoni wa kiislam wa kabla yake. 4.hamchukii mtu sheikh ibn abdul wahab isipokuwa ni mzushi ktk dini. 5.kama unapinga haya naomba utuletee jambo moja la itikadi ambayo ilianzia kwa sheikh muhammad ibn abdul wahab .
@salimmdacki14423 жыл бұрын
na hatumpendi sisi ila ni kutokanamana na da'awah yake, kwani hasemi ila ni قال الله و قال رسول
@othumanhaji36482 жыл бұрын
Qasimu nimtotosana kielimu kwa abuuidi acheni mafuta asomeshwe na nihaqi muelezwe aswiliyenu ya ukibri
@issamsunye37992 жыл бұрын
uyu jamaa analia sana kutuwekea vitabu ndo tukujue msomi
@sarajohn47033 жыл бұрын
Usinyoe ndevu ukaacha sharubu
@saidyusuf92452 жыл бұрын
Wewe shekhe mungu akuongoze sisi twamfuata mungu namtume hatumuandami mtu Wewe mze mchemungu
@kerijedu70003 жыл бұрын
huna mpangoooooooo
@user-pq1ji7pd1t2 жыл бұрын
Kaeni musome enyi mubtadia
@user-pq1ji7pd1t2 жыл бұрын
Kaeni chini musome enyi mahizbi
@mohamedibakari42693 жыл бұрын
AMA HAKIKA LEO MWEZI KUMI NA MOJA DHULJIJJA 1443 SAWA NA TAR 21.07.2021 NINA KIRI KUWA WEWE ABUU IDDI HUNA UWEZO WA KUZUNGUMZA MASALA YA DINI KWA JAMII KUTOKANA NA UCHACHE WA ELIMU ULIONAO. UMETAJA MAS ALA YA ARAFA LKN CHA AJABU UMEZUNGUMZIA UWAHABI. KAA CHINI USOME ABUU IDDI ACHA KUTUTISHIA NA LUNDO LA VITABU .HUYO ABUL FADHLI MWENYEWE ANGEAMUA KUVIONYESHA KAMA WEWE HUENDA UNGEZIMIA
@hassan4k73 жыл бұрын
mnaogopa kijibiwa haqq nyinyi masufi
@abuhaitham28572 жыл бұрын
Wallahi ni furaha kuona vle watu wanazidi kuifahamu manhaj na kufuuta Uislamu wa kweli
@hafidhuayubu62563 жыл бұрын
Nimejitahidi nielewe lkini naona Kama sielewi unachoongea
@mussakimwaga46453 жыл бұрын
Jamaa kapoteza mb zangu buree kabisa...sasa subiri radd nzitooo mana unaona kuiweka hiyo picha ya sh Muhammad ayob kama kuwatishia watu wakuogope..
@saidikembea91582 жыл бұрын
Nyundo uliyogongwa sasa umetulia
@kabhikachambala33923 жыл бұрын
Ushamba wa Kiisilamu bhana. Eti kapanga vitabu aonekane msomi🤣
@abdillahhassan54233 жыл бұрын
Hhhhhhhhhhh
@mogul58253 жыл бұрын
Hili zee Ni SHAMBA HILI...😂😂😂
@mkude3 жыл бұрын
Haahaaahaaahaaaheeeheee
@sleimbh3 жыл бұрын
Na Picha ya Mohammed Ayoub aonekane kasoma kwake 😂😂😂😂
@nassirmohd28513 жыл бұрын
Allah atukinge Na uchafu Na ufisadi Na uharibifu wa Hawa wahhaabiyya Naomba Allah aiondoshe fitna hii
@rashadymuhamad62933 жыл бұрын
Aamin
@abdymkadi52903 жыл бұрын
Mawahabi hawaishi na hatutosha mpaka kiyamaaa
@othmanmussa33023 жыл бұрын
Wewe na shekh ubwabwa wako mmefilisika kimaneno
@nassirmohd28513 жыл бұрын
@@othmanmussa3302 Huu ndio upuuzi wenu Shayaatwiin Allah aulinde Umma wa kiislam Na uchafuz wenu
@othmanmussa33023 жыл бұрын
@@nassirmohd2851 أنت وشيخك من الشياطين الذين يضلون الناس ويصدونهم عن اتباع الحق هداكم الله جميعا
@moodyhassany89283 жыл бұрын
😂 shekh ajajibu oja zaidi ya kumkashif mwenzake jibu hoja acha mikwara vitabu vimekuzunguka lakini akuna kitu
@mhrmahir37563 жыл бұрын
abuu iddi sema kwa ilmu soma vitabu vzur rabda hio miwan ina makengeza na pia faham kwamba din haiendi kwa akili ya mtu ishakamilika dini hii na hujja za Shaykh Kassim huwez kujib utamalizia kweny uwahab tu
@fatumajenzi45573 жыл бұрын
Unaelimu yoyote zaidi ya kujaza matumbo yenu kilasiku mmekuwa amuelezi uisilamu upowapi nyinyi kubishana mwezi tu paka mtaingia kaburini muogopeni mungu
@yassiniyusuph45433 жыл бұрын
Hakuna kitu mbwe mbwe tu
@hashimujumanne95703 жыл бұрын
Wallah natamn ningekua na elimu niwafundishe watu una elim una ongea pumba
@ahmadbadawi96643 жыл бұрын
Umejuaje kama ameongea pumba ilhal umesema huna elimu,nawe ni wahabi
@adamhashim33523 жыл бұрын
@@ahmadbadawi9664 umeonae ukiskia matatizo ndo hayo ili mradi ameongea aonekane
@twalimshare29153 жыл бұрын
Huna kitu kaa kimya
@hassan4k73 жыл бұрын
usifute comment mzeeee mnaona mnafedheheka sio , fanya mchezo nin weeee na watu wa Sunnah
@abuhafs47743 жыл бұрын
Sasa kama ulimsomesha ndo lazima awe kama ww kwenye unayo yadai
@luqmanomary35583 жыл бұрын
Tuelezee hoja ya msingi ni lini arafah sio kutuelezea uwahabi
@cideboy46763 жыл бұрын
LUQMAN OMARY Kwan huyu idi niwahabi??
@abuusaalimalmasasiyyu94213 жыл бұрын
Uwahabi ni akina nan zitaje kwa mujibu wa vitabu vya hao mawahab
@ahmadbadawi96643 жыл бұрын
Wavunjifu wa aman
@abuusaalimalmasasiyyu94213 жыл бұрын
@@ahmadbadawi9664 leta ushahid wamevunja aman wap usiwazulie kuna wanaolinda aman kama masalaf ambao kwenu nyie ndio mawahab?
@ahmadbadawi96643 жыл бұрын
@@abuusaalimalmasasiyyu9421 we upo Kenya huwezi jua yaliyojiri kwetu
@abuusaalimalmasasiyyu94213 жыл бұрын
@@ahmadbadawi9664 ndio unijuze ndgu maana ahalu sunnnatu waljmaa wanafahamika wataje Sheikh Abul faadhil kavunja aman wap
@saidlucas12163 жыл бұрын
Masheikh nawahurumia sana 😢😭so sad
@twalimshare29153 жыл бұрын
Shekhe wewe ndio mpotashaji
@suleimanabdallah69793 жыл бұрын
Uyu jamaa kumbe nichizi
@aididabdallah54283 жыл бұрын
Sehemu ya pili tafadhali
@zaharahassan78733 жыл бұрын
Ulipotea Sana shekh tunadhani ulienda kusoma kumbe bado makosa yako wazi kabisa vitabu vingi mbele yako vitumie basi auرياء
@ibrahimaziz71583 жыл бұрын
Sasa hiii kupanga mavitabu ukafanya mlima hii tunaitaje kwako mwalim kashasha
@khamisabdi7233 жыл бұрын
Umemsoma vyema Abdul wahab
@ruu65923 жыл бұрын
Mimi muwahabi alhamdulilah😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
@mutomubaya3 жыл бұрын
Fuata Sunnah. Allah akuongoze. Mimi sijali nikiitwa wahabi lakini sifuati uwahabi nafuata mafundisho ya Qur'an na Sunnah. Saudia hakuna vitabu vya kufundisha uwahabi. Kwa sababu hakutuongoza Allah wala Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, wala Ulamaa hawaongozi watu kwenye uwahabi. Bali wanaongoza watu wafuate tu kitabu na Sunnah.
@abrahamansaidi86313 жыл бұрын
Ata mm Kama kufata QUR'AN NA SUNHA ni uhabi ata mm alhamdulilah
@ruu65923 жыл бұрын
@@abrahamansaidi8631 mashallah
@ruu65923 жыл бұрын
@@mutomubaya baaaaas
@abdulhaleemsalim10593 жыл бұрын
Mawahabi hawana ilimu huenda tu kama kondoo na kupotosha watu
@shariffbaalawiyy36793 жыл бұрын
Wallahi bila ya unafki ukiwa katika usufi ni balaa kwanza vijana ni wavivu kufatilia dini
@MohamedOmar-nf8kl3 жыл бұрын
I wrote this comment before I heard anything about, cuz I think the setup of books around, is little bit too much! Mashekh tunajifunza toka kwenu jamani! 'ikhlas'
@hassan4k73 жыл бұрын
Skilizen majibu ya kielimu hayo na jinsi alivyofedheheka kwa Uwongo wake huy Mohammed idd🔥🔥👇👇👇
@khamisoothman52943 жыл бұрын
Hamna kitu hapa
@ruu65923 жыл бұрын
Haha
@abuuzamah-shar98683 жыл бұрын
lete dalili zako tuzione acha tu kusema hamna kitu wew juhhal
@swahilitherapytv38463 жыл бұрын
Masufi hamna uwezo wa kujibu hoja za kielimu Kazi yenu ni kutukana tu.. Jibu hoja masharubu Abuu iddy..
@khamisptrany93933 жыл бұрын
Lete hizo hoja zenu tuzisikilize
@masoudsaid54883 жыл бұрын
Mimi binafsi nimeshindwa kumsikiliza kwasababu ya maandalizi aliojiaandaa masheikh wa Dar siwaelewi
@DaAshu-zy9sg3 жыл бұрын
Umesema kweli hawana adabu angalia post zao nimatusi tu
@hassanjamada28773 жыл бұрын
HALAFU KIARABU UNAKISOMA KWA KUSIKILIZIA HAHAHA SIJUI NI LAHAJA YA WAPI HIYO NA MANENO MAGUMU YOTE HUYAFANYII TARJAMA UNAJIFANYA UNACHUNGA MUDA UNATARJAMA VIJIPANDE VYEPESI KWA KILA MMOJA ALLAH AKUONGOZE
@ruu65923 жыл бұрын
Ameen
@ibrahimyussuf79453 жыл бұрын
Ww abuuiddi elimu huna unatisha watu kwa kuweka vtabu viiingi...sasa kma we msomi jbu hoja . .naona unajadili jina la uwahabi nasio itikadi zao wala matendo
@seifkhalfan31903 жыл бұрын
Sasa sheikh waongea Arafa ama wamzungumzia sheikh
@ibrahimfarouq83393 жыл бұрын
Sijawahi kuona mtu wa Ahlul Sunnah wal Jamaah akifanya takfir kama ulivyosema kwamba labda mtu kamfata Imamu fulani na huyo Imaam amekosea either Allaah akumfunulia kuelewa huyo Imaam nususi maana Maimamu wanakosea na kupatia au hakupata nususi sahihi na kupelekea kukosea kwenye ijtihad yake na mtu wa Sunnah kamfata imamu aliepatia Watanasihiwa tu kuwa waache taasub katika madhehebu kwamba Imamu katika suala fulani kakosea basi wamfuate Imamu aliyepatia katika masaala hayo Imaamu wanayemfuata kakosea lakini sio kumkufurisha mtu na kumuingiza motoni kabisa Ewe muongeaji najua unajua kuwa Ahlul Sunnah wal Jamaah wanavidhibiti mpaka wamkufurishe mtu na vidhibiti hivyo hawajajitungia tu bali wametoa katika Quran na Sunnah kwa jinsi walivyoelewa Masalafiy
@user-zc1oo2fz3y3 жыл бұрын
Pole sana Shekh soma vizuri
@Yu-jr9uf3 жыл бұрын
Mimi binafsi cjali wala sibabaiki kuitwa muawahabi as long nashikamana na quran na mwenendo wa mtume(s.a.w).
@azizaziz76443 жыл бұрын
Usijali kuitwa Muwahabi , umesema unafuata Quraan na mwenendo Mtukufu wa Bwana wetu Mtume Mtukufu sawa , Swali , wapi uliposoma NASEMA ULIPOSOMA KWENYE VITABU WA HADITHI ilipoandika ufuate QURAAN na Mwenendo Wa bwana MTUME ?????? AU MASHEKHE TU WAMEKUZAZA AKILI ZAO ??????
@Yu-jr9uf3 жыл бұрын
@@azizaziz7644 Allah anasema tumtii yeye na mtume wake katika verse nyingii za quran... pia Allah anasema amempa Mtume wetu(s.a.w) Kitabu na hekma, Allah pia anasema tumtii yeye na mtume wake na waliopewa elimu katika sisi na tukifarikiana katika jambo lolote turudi kwa Allah na mtume wake!!!! Hizo ni baadhi ya proofs kutoka kwenye quran takatifu kuonyesha wazi umuhimu wa quran na sunna?? Alafu inamaana hili kundi la quraniyuna(quranist) bado lipo??? Mana hoja zao zilishavunjwa kitaaambo na wengi wamesharudi kweny mstari, zinduka ndg yangu
@azizaziz76443 жыл бұрын
@@Yu-jr9uf , Tukitaka kuokoka tushikamane na vizoto viwili , ( 1 ) ?????? ( 2 ) ??????? Viwili hivi havitoachana hadi vimrudie yeye katika hodhi yake nipe hivi vizito viwili
@azizaziz76443 жыл бұрын
@@Yu-jr9uf , Baba amesema na ULIL AMRI NANI Haooooooooooo
@Yu-jr9uf3 жыл бұрын
@@azizaziz7644 anhaa kumbe na dili na shiaa nlidhani ni hadith rejector,, ila sio mbaya ni miongoni mwa makundi yaliyopotea tu bado...kwanza kabla ya kwenda mbali quran mnaiamini asilimia mia na kuifuata?
@salimmapande46683 жыл бұрын
Nimemsikiliza kwa makini kungonjea labda kuna radd ya kielimu inayofungamana na munasaba wa arafa ili nijifunze. Kumbe ni kumsuta na kumlazimisha Abuu Fadhil kuwa ni wahabi!!!! Zile hoja za kielimu alizozitoa Abuu Fadhil hazijajibiwa!!!
@khamisptrany93933 жыл бұрын
Zilete tuzijibu
@mutomubaya3 жыл бұрын
Siungi mkono kutukanana. Lakini yaonekana Wasaudi walijiunga na muamko wa Tawhid na sio sahihi kudai eti ni dhehebu mpya. Madhebu yao ni Hambaly. Kwa hivyo, muogope Allah usijaribu kupotosha ukweli. Kulingana na maneno yako Waturuki ndio walidai kwamba Wasaudi ni Mawahabi kwa sababu fulani za ki siasa. Ukweli Daawa ilikuwa ya kuhimiza watu kufuata mafundisho ya Kitabu na Sunnah. Kwa hivyo, ukiwa upande wa Waturuki wa enzi hiyo utasema kama wao na ukiwa upande wa kunusuru Tawhid na Uislamu utasema maneno sahihi kwamba Daawa hiyo ilikuwa ni kunusuru Sunnah au ni kuhimiza kuwafuata Salafu. Je hayo ni makosa?
@AbuKhayrati3 жыл бұрын
Mbona kama wewe ndio unapotosha
@saidalkiyumi92703 жыл бұрын
Sheikh upo Sahihi mashaallah, ni vizuri uafahamishe watu akida ya ki wahabi potofu
@azyunramsein11653 жыл бұрын
we nae nenda kasome.....
@azyunramsein11653 жыл бұрын
acha kuropoka ropoka hvyo....
@salimmdacki14423 жыл бұрын
elimu ni nuru na ujinga ni giza, allah akuongoze nasi atuongoze pia
@kassimiddi52943 жыл бұрын
Bora nikuskilize kwa umakini isjekua unaepotosha niww
@abuuzamah-shar98683 жыл бұрын
ww jahili vp hali
@abuuzamah-shar98683 жыл бұрын
upo wp tanga au arusha?
@allysalimsalim49653 жыл бұрын
Mbona hajamjibu Muhammad bacho
@mabrukjuma38783 жыл бұрын
Wallah billah mzee mm nilidhani wewe ni mbunge kumbe ni ustadhi ahaa basi jieke kama daai sasa mandhari yako umekaa kiaskofu au pastor ,manabii na mitume wote wanandevu we umeenda kinyume then waongea dini huku umekaa kitaliano ,au kimarekani kisha mrundo wavitabu uliokuzingira unadhamiria nn, wallah billah huyu qaasim mafuta unamradi nikujidhalilisha tu achana naye napia hujafikia kiwango cha kumradi kabisa mm Niko Kenya but ww elimu yako hataaa isitoshe washangaza ulivyo na huu uislamu .sioni Ila unadhihirisha kibri navitabu vyako hivyo what are they all for nakuongezea kidogo tu wanaonyoa ndevu hata kusoma Quran hawajui napia kuihifadhi wamenyimwa na Allah kama adhabu
@kabhikachambala33923 жыл бұрын
Haujajibu hoja umemshambulia mtu
@khamisabdi7233 жыл бұрын
Cjaelewa
@abdillahhassan54233 жыл бұрын
Mnatumalizia mb zetu tuu
@saadsumayyasaid71403 жыл бұрын
Sheikh niulize ivi,kama kisimamo cha Arafa hakina mnasaba na funga ya Arafa.kwann ikaitwa Kufunga siku ya Arafa?na haikuitwa kufunga funga ya siku ya tisa?
@hilmialjahdhami97873 жыл бұрын
WALE NDUGU ZETU WALIOKUWA WAPO VIWANJA VYA ARAFA WANAFUNGA?
@saadsumayyasaid71403 жыл бұрын
@@hilmialjahdhami9787 Wale hawaruhusiwi kufunga.na sisi tusiokwenda kule ndio tumetakiwa kufunga . je kufunga swaum ya siku ya arafa au kufunga siku ya tisa ya mwezi wa Dhulhijja?niambie ww hapo kwa uelewa wako.
@modyworldmody42973 жыл бұрын
Sheikh..... Tunakukibali... Asante kwa kutowa ukweli wa dini
@MrAmissi3 жыл бұрын
Sasa hao Mawahabi wanazuwa katika dini ao wanafata Coran na Sunnah?
@mkude3 жыл бұрын
Hapo sasa hilo swali ndo LA kuwauliza
@saidikembea91582 жыл бұрын
Rudi tu ukasome acha kukariri
@shimbo01463 жыл бұрын
Fina imelala utakaeimsha amelaniwa muogope mungu wako
@luqmaanislam37022 жыл бұрын
shekhe jipange...maana wwe huna hoja unabwata tu ...jibu kielemu acha kukwepaa acha kujichekesha chekesha
@mhrmahir37563 жыл бұрын
nyamaza mkorofi
@hassanjamada28773 жыл бұрын
NA SHEKH MUHAMMAD IDI ALLAH AMUONGOZE ANA YAQINI KUWA ANACHOKIZUNGUMZA NI BATWIL LAKINI UKUBWA UNAMSUMBUA وجحدوا بها واستيقنتها أنفسهم ظلما وعلوا LKN AFAHAMU KUWA ANA DHIMMA MBELE ZA ALLAH KWA HICHO KITI ALICHOKIKALIA . ZINDUKENI ENYI WAISALAMU
@fahimasheikh7433 жыл бұрын
A.a Sheikh Idd wape hoja za kimsingi wasitatize dini ya kiislam.
@othmanmussa33023 жыл бұрын
Hana hoja huyu mpotoshaji
@allysuleiman5173 жыл бұрын
Ata aibu Haoni Anajifanya Anampenda mtume Alaihssalam Wakat Kajifananisha Na Mayahudi Na Watu Wa Bidaa miongoni Mwa Dalili yao Ni Kuwatukana Wanazuoni wa Ahlusunna Waljamaa Allah awarehemu Na Awahifadhi
@hamidakondo45792 жыл бұрын
Sasakujizungushia hio misafu ndio tujuwe ww shekhe wa kweli ovyo huna unalolijuwa hadisi zako unachukuwa google
@nassirmohd28513 жыл бұрын
Masaakin hawa waharibifu
@hamzamwaya4633 жыл бұрын
Rudi darsa, kasome
@omaar56933 жыл бұрын
18:14 Kuna kitabu vingi vikubwa kumzunguka sheikh kama vile ngome lakini vilivyotumika kutoa darsa ni vyengine tafaut na hivyo ina naama vilipangwa kwa ajili ya muonekano Nahuenda vimechukuliwa kutoka library na tangu kipigwa chapa havijafunguliwa...
@abrahamansaidi86313 жыл бұрын
Vimewekwa ili ujue ni msomi 🤣 🤣
@abuumaryam79703 жыл бұрын
Kama kweli ni msomi engejibu hoja
@abrahamansaidi86313 жыл бұрын
@@abuumaryam7970 Hana majibu huyo Abu Idd Bora angelala tu Cjui kwanini masufi wakikosolewa ndio hujivuruga kabisa
@abuuzamah-shar98683 жыл бұрын
@@abrahamansaidi8631 acha kujitakasa wwe jaahili wakihabi mbuzi we
@yazidbafunda50922 жыл бұрын
Yaani ni kama punda mwenye kiu lakin kabeba maji mengi mgongoni
@shaabanijoseph45623 жыл бұрын
Umeshindwa kumrekebisha shekh wako alihadi alipo oomba kwajina layesu kristo Kisha ukamuomba msamaa yaani umekiri kuwa umekosea kumrekebisha subhana llah haya Sasa kaleta nyengine kasema haleluya maana yake laailaha ilallah Tena akasema hawakufuru wale wanao sema haleluya .anzanaye shekh wako ukishindwa Hilo hutaweza kuizungumzia arafa ata punje kaakimya
@ally17023 жыл бұрын
Kashaambiwa mjini kaletwa na kupewa Msikiti hasemi tena kwiii
@abrahamansaidi86313 жыл бұрын
Mvabaishaji
@shimbo01463 жыл бұрын
Kunawatu.hawajui.hata.swala nyinyi.mnalumbana. kwanini.mnamuachia.shetani.anawakojolea.ukifa leo kweli uta jibu anini mka nyumba ni kwenu bado dini hajulikani ww unalumbana kwenye mtandaoni.hukunamchamungu .anaejionyesha
@ibrahimfarouq83393 жыл бұрын
Kwa hiyo Ahlul Sunnah wal Jamaah kama ulivyosema tatizo letu la tatu ni uelewa na ufahamu Je ni kosa kwetu kuelewa kama walivyoelewa Maswahaba, Matabii, Wanafunzi wa Matabii, Maimamu na waja wema waliotangulia ambao walifata kiuhakika ni tatizo Hakika Allaah akuongoze ewe ndugu mzungumzaji upate kuikubali haki maana waijua haki ilipo ila matamanio ya nafsi na kutaka madaraka na ukubwa
@assayyidaydaruus1812 жыл бұрын
Kuna ahlul Sunna waljamaa na salafi ni vitu viwili tofauti.... ahlul Sunna waljamaa ni madhehebu Zaid ya moja Kuna mashafii hanafii