No video

MBOWE BALAA! AKINUKISHA MOSHI MJIN, ATANGAZA VITA RASMI NA CCM, WANANCH WAIKATAA CCM, MBOWE ASHANGAA

  Рет қаралды 17,445

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

Ай бұрын

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZbin Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 61
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 Ай бұрын
Hapo nimependa. Wanaume mpo kazini kweli kweli. Vyovyote vile ilivyo au itakavyokuwa, kwa sasa mabadiliko ni lazima.
@user-ng1zw7gk5w
@user-ng1zw7gk5w Ай бұрын
Mungu ibariki chadema
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl Ай бұрын
Hongera sana Mheshimiwa Mbowe
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb Ай бұрын
Hongera baba hukuna kulala wala kusinzia Mungu akutie nguvu na awatangulie kila mahali
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 19 күн бұрын
Viva Chadema ✌️✌️💪 Chadema Ni Mpango Wa MUNGU #CcmMustEnd
@MayleenDonaldharris
@MayleenDonaldharris Ай бұрын
Nilikuwa ccm kipindi Cha magufuli, toka afe rais wawanyonge ccm siitaji tena
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq Ай бұрын
Viongozi hawa viongozi wanadanganya watanzania et wawe wazalendo ili wazidi kuwakandamiza wao wakila kodi zetu ubwege
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 Ай бұрын
Kwa hiyo wewe unaona Heri ccm iendelee kuiongoza kwa hicho Kikundi kilichopo kwenye baraza la mawaziri tu, na nchi ikiendelea kukatwa vipande vipande sio??
@ARABIMAARUFU
@ARABIMAARUFU 26 күн бұрын
We Sunday k
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf Ай бұрын
Kenya wako vizuri kielimu
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl Ай бұрын
@IssaAlly-lp4uf Sanaa tu na huo ndio ukweli. Elimu yao inawafungua akili na kuwapa uwezo wa kupembua na kuchanganua mambo ya maisha ya jamii, siasa na uchumi. Na wanaijua vizuri Katiba ya Nchi yao: wajibu wao na haki zao. Tofauti na ya Elimu ya Tanzania inayozalisha Machawa kuanzia Profs, Drs, hadi wanaojiita Wasanii.
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk Ай бұрын
Ccm ndiyo maana hawalali wakisikia sauti ya Simba Mbowr ikitema madini yenye afya!
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd Ай бұрын
NAAM HUYU NI KIBOKO CHA CCM!!!
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 сағат бұрын
Ukiona wamelegeza macho unadhani watu kimbe wamejaa ubinafisi na uwaji ndani
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf Ай бұрын
Allah ibariki chadema kwenye ushindi
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Ай бұрын
Ndoto
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 Ай бұрын
Ndio maana wenzetu wanakusanya wanafunzi na walimu kuhudhuria mikutano yao! Mmmmmh, malori mangapi yangebeba nyomi hiii?
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Ай бұрын
Hahahaaaa
@IdrisaTuppa
@IdrisaTuppa Ай бұрын
Kwenye Lugha Manga Mkono.Watu Wanaenda na Wakati Tibadilike. CCM Tumewachoka.
@RodrickMmanyi-lr6lr
@RodrickMmanyi-lr6lr Ай бұрын
Shkamoo Mh. Mbowe.
@GasparMfoi
@GasparMfoi Ай бұрын
Tunataka kadi jamani
@coolruler6820
@coolruler6820 Ай бұрын
Mbowe anastahili kuwa mwenyekiti wa kudumu chadema,,,Mwamba hayumbi hayumbishwali, tangu namjua ni mzee wa kunyoosha, mpinzani wa kweli asiye na wa kupimana linapokuja swala la vyama vya upinzani
@user-cj2iq1qv6n
@user-cj2iq1qv6n Ай бұрын
CCM Wabaguzi Sana Kwenye Erimu Ndio Maana. Hata Wabunge Wanajirudia Km Babako Alikua Mbunge Na Ww Utakua Mbunge Ccm Walaniwe
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd Ай бұрын
Chezea chadema wewe people's powee
@godfreybitakama9845
@godfreybitakama9845 Ай бұрын
Tunabaki machinga na boda boda
@user-zm7kk1tr5l
@user-zm7kk1tr5l Ай бұрын
Kufa kondagita kufa derava mabadiriko lazima
@GasparMfoi
@GasparMfoi Ай бұрын
Iikitu mbona inaeleweka wa Tanzania tubadilike tujitambue
@JoseSimon-mt6oc
@JoseSimon-mt6oc Ай бұрын
Aman ndo kila kitu
@user-iv6pr8ze1x
@user-iv6pr8ze1x Ай бұрын
kaza mwendo kamanda
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke Ай бұрын
Simba anaguruma tusikilize
@STEVENRingo-vf7ox
@STEVENRingo-vf7ox Ай бұрын
Jamani hizi tozo zinaumiza umeme wameongeza Kodi sasa elfu mbili Kila mwezi vitu muhimu vyote petrol nondo cement bado hata choo tutadaiwa Kodi
@rosestigeneriksson8387
@rosestigeneriksson8387 Ай бұрын
Sembe chapa kitambi
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 Ай бұрын
Inauma sana. Soko la ajira hatuna. Lugha mama kisukuma, lugha ya pili kiswahili tena cha kuvunjikavunjika aka broken.
@dillonfoya
@dillonfoya Ай бұрын
Kanda Kaskazini Majimbo yote tuhakikishe yamekuwa upande wetu
@user-zm7kk1tr5l
@user-zm7kk1tr5l Ай бұрын
Mbowe oyeeee hapa kazi akuna kulala mpaka kieleweke
@faithagrey962
@faithagrey962 Ай бұрын
Wametudanganya ,kupeleka umeme vijijini kwa bei rahisi, kumbe ni mpango, wa kupata kodi ya arthi ,mpaka kwenye nyumba za makuti,,
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale Ай бұрын
kinachotuleteleza ni nchi kuwa na mambumbumbu wengi,,bahatimbaya hatawasomi,vyuo vikuu nawengine waliotoka ujinga hawana mtazamo wakuitetea nchi. jamani Tanzania tunatia huruma.
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 Ай бұрын
MWAMBA NADANI YA MOSHI TOWN,PIGENI KAZI WAPENDWA
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl Ай бұрын
Haya matatizo na ujinga wote huu unaanzia ktk shule zetu. Elimu yetu haitengenezi Critical and analytical thinkers bali watu wasiofikri vizuri na waoga. Watu wasiojielewa na ndio maana tuna wasomi ovyo, wasanii ovyo ..machawa chawa tu wa kutetea matumbo yao ..wapuudhi mno. Angalia wasomi wa Kenya, wasaanii wa Kenya graduates wa kenya wako smart na very intelligent. Mfumo wa elimu inatakiwa ubadilike
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm Ай бұрын
Mkichukua nchi viongozi wote walipe kodi zao. Katiba mpya ilazimu viongozi walipe kodi. Katiba itoe kinga za viongozi wote wahujumu na waadhibiwe. Wote waliohusika kuhujumu nchi washtakiwe.
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Ай бұрын
Kwani hiki chama ni cha kaskaziniiii........😂
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb Ай бұрын
Waambieni watu wajiandikishe pamoja na mambo yote kila mtanzania wajiandikishe na wapige kura
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf Ай бұрын
Ndio mana atupati maendereo ya haraka kwakufuja pesa kwa mamboyao binafsi
@josephkmarwa7425
@josephkmarwa7425 Ай бұрын
Viongozi..wetu .wakiaka..asubuhi..wanashika..tumbu..leo..nile..nini..masikini..anawaza..leo..nitapata..wapi..matembele..na..nyanya..chungu😭😭😭😭😭🙏🙏..wakati..umefika..maisha..ni..yetu
@user-dk3ou5yk2f
@user-dk3ou5yk2f Ай бұрын
Kama kwenu Kenya Nenda zako Tuache Watanganyika na Rais wetu MBOWE
@sophiemsuya6507
@sophiemsuya6507 Ай бұрын
Kwetu kuna mafao ya wenza wa viongozi ila waztaafu wengine wenza wao anapewa bima ya afya tu😅😅😅
@StevenGendo-vx9jo
@StevenGendo-vx9jo Ай бұрын
Huwa naumiaa Sana ninapoyaona magari yanjano, huku Asante kayumba mtoto anapewa mtihan anaulizwa et katibu was shule anaitwa nani? Jaman inauma Sana jina la katibu wa shule linamsaidia nn mtoto. Daaaa!
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf Ай бұрын
Haya yote ni sahihi alio ongea mbowe kingereza muhimu mwenye akili ataerewa
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Nyerere alijenga viwanda alipotoka tu wakaanza kuviuza. Dhambi mbaya aliyoifanya Mkapw wa CCM na Kikwete anaendeleaza na mpaka leo anamshauri mama yake amemalizia kuuza Bandari zote Tanganyika hapo hapo Zanzibar imejiyoa kwenye muungano lakini CCM wanaimba ati muungano wetu umekuwa kweli akili matope ta watawala wa CCM
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 Ай бұрын
Waelimishwe. Wajiandikishe kwani hapo.ndipo penye ushindi
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl Ай бұрын
Sasa Watu kama kina Mwinjaku na Steve Nyerere Wanachangia nini katika pato la Taifa! Hawa ni Machawa tu ambao kazi yao ni kunyonya kodi za Wananchi.
@eliudmugendi9619
@eliudmugendi9619 Ай бұрын
Unayempinga kamanda tulia wewe ni chawa
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl Ай бұрын
Watanzania Bajeti inapitishwa, Mwigulu anawatukana kuwa kama hawataki kulipa tozo waende Burundi ... watoto wa Tanzania .graduate wa Vyuo Vikuu hawana habari ..wanashangilia Manchester United na tamasha za muziki za kipuudhi za Wasanii Machawa 😂😂😂😂
@AiserAli-mq6sz
@AiserAli-mq6sz Ай бұрын
Wacha uongo mm ni mkenya hapa
@user-mo3ik6go6r
@user-mo3ik6go6r Ай бұрын
Hata Kenya wapo mazuzu
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd Ай бұрын
Ni Mkenya MBUMBU!!! Labda ulizaliwa Tanzania umehamia tu Kenya ndiyo sababu ni MBUMBU.
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl Ай бұрын
Kweli kabisa ..ni chawa wa Tza aliehamia Kenya..hakuna mpumbavu hivyo ​@@FrankMwakatundu-cu6bd
@saivellybrutally2994
@saivellybrutally2994 Ай бұрын
Bainisha uongo ni hupi.
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Ай бұрын
Mkenya waambie mazuzu hawa
@user-wh3tb9ve8x
@user-wh3tb9ve8x Ай бұрын
Mbowe tusemee tupate ajira
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 20 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 34 МЛН
PATAELEWEKA: CHADEMA KUWASHTAKI AWADHI NA NYAHOZA
6:25
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 871
#LIVE: CHADEMA WATEMA NYONGO KAMATAKAMATA YA VIONGOZI WAO
47:56
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 16 М.
🅻🅸🆅🅴 : MBOWE ANAFUNGUKA MAZITO MUDA HUU...
1:18:21
JAMBO TV
Рет қаралды 79 М.
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18