Mbowe Atoa Msimamo Baada ya Kukamatwa Wanachama 520; 'Tutawashtaki Mmoja mmoja, Haturudi Polisi'

  Рет қаралды 87,570

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Leo, tutakuwa tukirusha mubashara tukio muhimu sana katika anga za kisiasa nchini Tanzania. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, atazungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza tangu yeye na viongozi wengine pamoja na wafuasi wa chama hicho kuachiwa na polisi.
Katika mkutano huu wa leo, Mbowe anatarajiwa kuelezea kwa kina hali ilivyokuwa, sababu za kukamatwa kwake, na mustakabali wake kisiasa pamoja na chama chake.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 447
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 6 МЛН
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 31 МЛН