Ilitakiwa wakatoriki warudi kuimba nyimbo za kama zamani ,nyimbo zilikuwa za kutafakari mpaka unahisi upo kwa mungu sasa ivi nyimbo niza kucheza
@paschalmgassa68555 жыл бұрын
Tafakari ya wimbo huu toka kitabu cha Ayubu na waraka wa Mt. Paulo, kila hujiona mimi kitu Ila tumaini langu ktk Kristo pekee!! Hongereni KFT, hongera sana pia Jugo Media kutufanya tuinjilishe mbali zaidi!!!
@kftstjosephcathedral5 жыл бұрын
Amina
@absm80843 ай бұрын
I know that my Redeemer is liveth❤❤❤❤❤❤ from Handel's Messiah
@ceciliamhumba73495 жыл бұрын
Mmenikumbusha mbali. Mbarikiwe Kwa utume Familia Takatifu Jimboni. Tunatarajia mambo mapya ya Handel's 😂.
@kftstjosephcathedral5 жыл бұрын
Cecilia Mhumba Amina. Kuwa pamoja nasi katika chanel yetu hii kupata vitu vipya
@gustavkunkuta67333 жыл бұрын
Soloist na kwaya nzima ahsanteni na hongereni sana kwa wimbo mzuri. That is very powerful and serious music.
@davidrweyemamu938 Жыл бұрын
Wimbo mgumu sana huu hongereni mnoo hakika mlionesha uwezo mkubwa! Minor plus Minor scale zinaimbwa na wabobezi wa mziki haswa! 👏👏👍💪
@cymphoriankirama71295 жыл бұрын
Nyimbo nzuri ya tafakari. Mungu azidi kuwabariki katika utume wenu wa Uinjilishaji. Amina
@kftstjosephcathedral5 жыл бұрын
Cymphorian Kirama asante sana. Mungu akubariki pia
@learnmore21544 жыл бұрын
Nimependa saba huu wimbo. Mmeimba vizuri ajabu. Hali ya waimbaji kufuatana wimbo mmejitahidi kuizingatia. Na hii inapekeka ujumbe pia. Mungu awabariki sana.
@stevenfumbi95665 жыл бұрын
Hata mimi najua mteteaji wangu yu hai atanipigania mwaka huu wa 2019 ili uwe na unafuu kwangu