Adui wa Zanzibar alitoa hotuba nzuri yakinafiq siku ya uhuru kumbe moyoni alikuwa na dhamira nyengine kabisa ila nae mungu kamlipa hpahpa dunianai kamatadini tudani
@alirenge34325 жыл бұрын
Allah amjalie makazi mema inshallah
@hashirsalim95703 жыл бұрын
Ao ndo viongozi,xaiv wapi hakuna viongozi Tena , Sera zake ni km za mar-hum maalim seif , mungu awalaze mahala pema peponi
@biramsakh92125 жыл бұрын
Alikua vzr huyu shekh karume mzalendo anae penda watu wake Allah mpe MALAZI MEMA amin
@hajihaji81533 жыл бұрын
W
@aboudmsonde28906 жыл бұрын
Kuliambiwa tukae nao kwa taadhali tatizo tunajisahau ssna
@hbminternationalco.70186 жыл бұрын
Heshima kwa muheshimiwa Karume
@artisttigisa73935 жыл бұрын
HBM International co. Mungu akurehemu ailaze nafsiyako mahara Pema peponi
@nicholausjunior49145 жыл бұрын
Asante karume
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
Laiti Zanzibar tungejitegemea wenyewe basi tungefika mbali sana Na tungepata maendeleo mazur ya Zanzibar yetu Na ingekua Ni visiwa vyenyekuleta mfano ktk Africa mashariki. Naskitika Leo kiongoz kama huyu hakutokea tena mrithi wake wamebaki walafi2 wa madaraka Na kujinenepesha matumbo yao Na dhulma nyingi. Inaskitisha kwel . Allah akuhifadh mheshimiwa.
@weabdulabass79315 жыл бұрын
Saleh Suleiman we yaone tu maajabu hy mijitu inayojiita viongozi haina loloote
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
@@weabdulabass7931 yan inatia uchungu sometime sio kisiwa cha kusema kila jambo haliwezekan kufanyika wakat kwa wenzetu Zanzibar Ni kama mkoa2
@weabdulabass79315 жыл бұрын
@@salehsuleiman1218 mijitu inapenda matumbo ndio ttzo
@zanzibarsmzenji6 жыл бұрын
Nyerere nuksi kishenzi
@asilclub10 ай бұрын
RAISI MWONGO HATA HAJUI KUVAA NGUO HUYO MSHENZI
@husseinali97603 жыл бұрын
Allah akupe makazi ya Firdausi uko ulpo amiiin
@allysuleiman60222 жыл бұрын
Firiidas wamzee said au unaongelea pepo ya Allah kma nipepo sema Astaafru,,,Allah maanake ukiuwa au kushiriki basi pepo ya Allah niharamu kwako
@hilmialiomar19833 ай бұрын
Usitoe hukumu muachie Allah(SWT) mm na ww hatujui hatma yetu Allah(SWT) atujaalie khatma njema na pepo ya Firdaus pamoja na waislamu wote waliotangulia maana jambo la kutoa shahada jambo lenye thawabu kubwa.
@ikramsafnes30195 жыл бұрын
ALIKUWA KICHWAAA
@abdallahsuleimanhamad56345 жыл бұрын
Maneno mazuri na adimu sana
@nadhrakhalfan7375 Жыл бұрын
Nb n❤neither one plus ipo iuj
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Zanzibari lmemezwa
@bakarimtangenange74557 жыл бұрын
Hakika zanzibar imepoteza mtu muhimu
@rogastianezekiel22578 жыл бұрын
tutawakumbuka daima,ila tuna mchapakazi rais wetu magufuri nchi iko salama mikononi salama.
@howardally83306 жыл бұрын
Dah ishi kwa amani hakuna raisi kama karume milele hatotokea kama karume mm sikukuwepo ila ana utu ambao wengi wao ss ivi wameukosa
@yousufharthy68766 жыл бұрын
Howard Ally Samahani bahato Yako hujakuweko. Aliyofanya karume kwa wananchi na mauwaji hata kwa wenzake ASP ni ukafiri. Tizama maelezo ya Amani Thani in you tube ujuwe ukweli
@howardally83306 жыл бұрын
Yousuf Harthy haya sawa sikatai ila mazur yake pia yapo na Mungu ndio anajuwa vp Amhukumu mwenyewe
@mwanaeidizenji82645 жыл бұрын
Mh hayo maneno
@ibrahimsheha2155 жыл бұрын
Uyumzee anasera nzuri ilikuwa tuna nchi nzuri sana lakiniwapiiiiiii ndotusaaau watu wabaya wametutowa kwenye mstari
@abdulrahman2826 жыл бұрын
Hapo ndipo utajua huyu mtu kwa nini aliuwawa na wasio julikana!!
huyu jamaa hafanani mtu na nchi imepoteza kila kitu vipo kwa mabepari na wasomi we tu sisi wananchi wakawaida tunaangaika no new
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Wazanzibari au watanzania Watanzania umeitoa wapi nchi yako NA dola yako NA mamlaka yako watanzania gani tangu lini unaona mtu anauza nchi yake kwa kuwa NA madaraka huko kiyama tutaulizwa kwa nafsi ya watu waliouwawa tena hao ni wazanzibari waaslamu NA hata kafiri huna haki ya kumua sasa wazanzibari wanalia kwa uamuzi. Wako ya kijinga NA kutawaliwa tena baada ya kupata uhuru kamili kutoka ungereza
@bakarimtangenange74557 жыл бұрын
Hakika zanzibar imepoteza mtu muhimu
@faridkubanda50496 жыл бұрын
Hongera baba karume mungu akulaze mahalapema peponi amin
@nasseralbutrani4356 жыл бұрын
Vipi imepoteza mtu muhimu wakati yeye ndie sababu ya matatizo tuliyonayo sasa. Ameipindua serikali iliochaguliwa
@destiny4life4395 жыл бұрын
+Nasser Al Butrani chanzo cha matatizo seifu alopeleka document muhimu za makibaliano ya muingano kwa nyrere