UHURU MAANA YAKE NI NINII? SHEIKH ABEID AMANI KARUME

  Рет қаралды 81,083

Bin Seif

Bin Seif

Күн бұрын

Пікірлер: 27
@mohammedabdallah9821
@mohammedabdallah9821 Жыл бұрын
ALLAH akulipe kwa mujibu wa amali zako,KAMA NYERERE hukukuchongea michongo ya kukuuwa Zanzibar tusingekua na unyonge huu tulonao. baba huko uliko ujue koti alivuki na limetubana haswaaaa
@teddymashells2601
@teddymashells2601 Жыл бұрын
Mungu akurehemu Mkombozi wetu,baadala yako wamekuja wengine Wana nyoyo tofauti na zako.
@yussufally2935
@yussufally2935 6 жыл бұрын
Namuamini Allah tuu akisema kun fayakun inshaallah
@mwanaeidizenji8264
@mwanaeidizenji8264 5 жыл бұрын
Safi sana
@jumagora3462
@jumagora3462 Жыл бұрын
Mungu amuhifazi shujaa abedi karume kapambania haki ya zanzibar
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Huyo ndio aliyepoteza uhuru kamili ya wazanzibari NA kuleta ukoloni wa nchi jirani kwa sababu ya maslaha yake kasababisha kuuliwa watu raia bila ya hatia hatia wakati ilikuwepo serekali ya halali halali ilichaguliwa nawenyewe NA wazanzibari wenyewe ilitoka uvamizi kutoka tanganika nyerere NA ungereza
@ashminaabdullah5626
@ashminaabdullah5626 7 жыл бұрын
Allah atupe salama kwahii znz ya leo
@ashminaabdullah5626
@ashminaabdullah5626 7 жыл бұрын
Mm hukaa na watu wanajidai ccm mfano km mm ula hawana uchungu na nchi hata kidogo wao wapo kimaslahi tu
@pastoryconrad3075
@pastoryconrad3075 9 жыл бұрын
That was the really aim of the revolution of Zanzibar ::: freedom!!!
@yousufharthy6876
@yousufharthy6876 5 жыл бұрын
Pastory. Kawaulize. Hanga. Saleh sadala. Othman Sharif. Twala. Jaha. Freedom gani walipata
@abdulpaku2576
@abdulpaku2576 9 жыл бұрын
The biggest criminal nyerere in east Africa he killed Zanzibar people because of them country.
@khamismaulid6839
@khamismaulid6839 6 жыл бұрын
Hao wanao jita ccm ndo hao akina okello bado wapo zanzibar
@westbrook6081
@westbrook6081 9 жыл бұрын
Best of Zenjbar rest in peace
@davidarabian5004
@davidarabian5004 5 жыл бұрын
Karume alikua akipiga kofi kwenye harusi hakujua kama mshenzi mwana wa mshenzi fisadi Nyerere anamuoa.
@AbdulNassir-jk1jf
@AbdulNassir-jk1jf 6 ай бұрын
Naskitika damu za waislamu wengi zime mwagika kwa huyu jamaa
@alimussa2655
@alimussa2655 5 жыл бұрын
Ah mwenyez mungu hakosei lakini kifo chako faza kei ndio pigo kubwa kwa wazanzibar na sijuw kama ipo siku tutapat mtu kama wewe
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Kapoteza uhuru wazanzibari akaleta utawala wa tanganika ikapotea nchi baada ya kupata uhuru kamili kutoka ungereza sasa wanalia
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Karume alikua mjinga sana baharia kadanganwa NA nyerere nyerere ni mjanja sana mwehu tu
@abuusantos1593
@abuusantos1593 5 жыл бұрын
like
@suleimaname2250
@suleimaname2250 6 жыл бұрын
Leo tunaletewa doza Nungwi jomba si ndo dhulma
@abkhamsalshamte429
@abkhamsalshamte429 Жыл бұрын
BASI HATUNA UHURU MAANA DHULMA ZIPO KUOGOPA TUNAOGOPA KIUFUPI TUMERUDI KULEKULE NA TUNA ANGALIA TUU!
@MWIGAADAM-r3e
@MWIGAADAM-r3e 7 ай бұрын
Mungi amlipe kwa amali zake adui mkubwa wa Zanzibar alipinduwa kwa tamaa yakutaka madaraka nae akapinduliwa mpinduzi kapinduliwa
@dazk7861
@dazk7861 7 ай бұрын
Una kichaa wewe
@rehemathobias1956
@rehemathobias1956 2 жыл бұрын
Xx xx
Mfahamu Aliyemuua KARUME/Alitumwa /Serikali ya Zanzibar
10:55
BONGO LEO
Рет қаралды 15 М.
KWETU HAKUNA WAFUNGWA, NI WANAFUNZI - SHEIKH ABEID KARUME
8:23
规则,在门里生存,出来~死亡
00:33
落魄的王子
Рет қаралды 27 МЛН
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,3 МЛН
UTAWALA WA DK SALMIN AMOUR-MAKALA MAALUMU
22:46
ARUSHA ONE RADIO
Рет қаралды 49 М.
Kisa Kizito cha Mzee aliyemnyooshea Bakora Mwalimu Nyerere
17:48
ZANZIBAR REVOLUTION   JOHN OKELLO, KARUME AND ABDALAHMAN BABU
9:34
KILICHOTOKEA SIKU YA KUUWAWA RAIS ABEID KARUME/RISASI ZILIPIGWA BALAA
13:30
22 Maovu ya Mapinduzi
12:26
MzeeBarwani
Рет қаралды 47 М.
规则,在门里生存,出来~死亡
00:33
落魄的王子
Рет қаралды 27 МЛН