ALLAH akulipe kwa mujibu wa amali zako,KAMA NYERERE hukukuchongea michongo ya kukuuwa Zanzibar tusingekua na unyonge huu tulonao. baba huko uliko ujue koti alivuki na limetubana haswaaaa
@teddymashells2601 Жыл бұрын
Mungu akurehemu Mkombozi wetu,baadala yako wamekuja wengine Wana nyoyo tofauti na zako.
@yussufally29356 жыл бұрын
Namuamini Allah tuu akisema kun fayakun inshaallah
@mwanaeidizenji82645 жыл бұрын
Safi sana
@jumagora3462 Жыл бұрын
Mungu amuhifazi shujaa abedi karume kapambania haki ya zanzibar
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Huyo ndio aliyepoteza uhuru kamili ya wazanzibari NA kuleta ukoloni wa nchi jirani kwa sababu ya maslaha yake kasababisha kuuliwa watu raia bila ya hatia hatia wakati ilikuwepo serekali ya halali halali ilichaguliwa nawenyewe NA wazanzibari wenyewe ilitoka uvamizi kutoka tanganika nyerere NA ungereza
@ashminaabdullah56267 жыл бұрын
Allah atupe salama kwahii znz ya leo
@ashminaabdullah56267 жыл бұрын
Mm hukaa na watu wanajidai ccm mfano km mm ula hawana uchungu na nchi hata kidogo wao wapo kimaslahi tu
@pastoryconrad30759 жыл бұрын
That was the really aim of the revolution of Zanzibar ::: freedom!!!