Wasukuma ni magenius sana, hapo hana elimu na ameishi kijijini lakini angalia uwezo wake wa kujieleza, uwezo wake wa kukwepa maswali ya mtego na namna anavyoweza kumuelezea mtu mwingine bila kuathiri chochote.
@michaeljohn90705 ай бұрын
Walitarajia aseme pesa kubwa,,hala mwamba kataja bei ya kawaida sanaa,, very Smart,,angekuwa mwingine apo ungesikia 1M
@abdallahdataguy5 ай бұрын
Uko sahihi
@martinhinda52334 ай бұрын
😂😂 jamaa anatisha sanaaa
@khadejarajab80075 ай бұрын
Hana ushamba hata wa kuwa muoga ni luga tu hiyo ndio inawafanya hivo
@GoodluckMosha-pj1ul5 ай бұрын
Oy huyujamaa anajiamini Sanaa na ndivyo inavyopaswa mwanaume kujiamini ila Yuko vizuri sana
@hadijajuma37735 ай бұрын
Wasukuma wanapenda wanawake weupe jamaniii.Kwa nandi rangi
Nyanda maana yake dogo.umetisha mzeee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊👊👊 maua yako nyanda 🥀🥀🥀🥀🥀🥀
@RamadanPaul2 күн бұрын
Nyanda maana yake ni kijana
@vilabmedia-lv4td5 ай бұрын
Uwezo mkubwa wa kuongeza na kufikil na kujib
@user-gu5yb8ly9l3 ай бұрын
Very nice mkaka
@savinosalamba91745 ай бұрын
MUNGU AKUINUE NGOSHA UWE TAJIRI,
@abdallahmvungi35665 ай бұрын
msukumaaa
@Chagha_lee_695 ай бұрын
Pamoja sana
@halimamwamlima28605 ай бұрын
Hapo ni rafudhi tu hana ushamba wowote
@godfreysonge2 ай бұрын
Idadi htaji dahhh
@mussamatinde5042Ай бұрын
Mtani wangu keep it up kijana
@RevokaltsDaussoniАй бұрын
Huyo kijana anazid kutufurahisha❤
@YusuphBayasabeАй бұрын
Dogo uko vizuri pambana
@user-gy1tr2hc7e5 ай бұрын
Ngosha umenichekesha sana
@joyce557275 ай бұрын
Nyandaa watoshaga loloo shokaga kaya eng'ombe jikonanuka
@sadickvevoofficial5 ай бұрын
Gete angu
@sadickvevoofficial5 ай бұрын
Gete angu
@scorasticaclement63085 ай бұрын
sawa gete nyanda
@yasintaamoskatemi23875 ай бұрын
Gwa nh'ana ashoke kudima...😊
@makomabondo6202Ай бұрын
😂😂😂😂
@emmanuelmaheda78145 күн бұрын
Daah kwakweli huyo jamaa . namkubali kinyama
@user-yv4kq9ze5gАй бұрын
daaa wasukuma bwan
@GeofreyMfipa23 күн бұрын
Nakubali anavyo niamini hutakiwi kukaa kizembe hata kama wewe ni kijijini
@JohnDaniel-db8jvАй бұрын
Nice
@user-ll8qu1zw4k5 ай бұрын
Uko vzr broo
@zurfapahenge88025 ай бұрын
wew hata Iringa sio Mwanza
@patrickrukuba33145 ай бұрын
Kamanda uko vizuri komaa
@user-qo8eu1br6f5 ай бұрын
🔥🔥🔥😍
@JoramKasenga-ig2gk5 ай бұрын
Mie Niko kwenye kampeni ya kupandisha solo la wanawake weusi maana ni watiifu na wavumilivu maishani tutaanza kuwapa ng'ombe 60kwa 70 tuwapiku mie ndo nitawafingulia jahazi
Namuelewa sana kijana wa mwanza sengerema ila make akizalia nyumba mahari inashuka haya kama ni mweupe
@dorcaskidoti2495 ай бұрын
😂😂😂huyo anatoka mkoani Geita sio mwanza sengerema
@user-xy8kl9wd2i5 ай бұрын
Hizo ng'ombe zikitolewa wanachukua wazazi ila hizo kazi utenda ukome 😂😂
@user-ym3xl7sc5r2 ай бұрын
Ogopaaaaaaaaa....
@user-wh2sc8qb9l5 ай бұрын
Nihatareeeeee ogopaaaaa😂
@peteryohana68832 ай бұрын
Mwanaume wa kisukuma anaelezeka:- Sifa ya 1st kbsa: Siliazi sana,alisema ndio ni ndio. Hapana ni hapana. 2nd. Akipenda amependa ila ukimfanyie asiyopenda akigeuka nyuma habadiliki tena 3rd......, ......... ........
Nimefulahi sana jisidogo alivyo imbawimbo wa 20 paa kweli doyupo vizuli
@veronicadeus93455 ай бұрын
Watangazaji mnapapara sana yaan mnataka nyie ndio mtoe majibu 😅😅😅mnakera ulizeni maswali sio kutoa maelezo meeengi mpaka mnajijibu wrong😅😅😅😅😅😅 Bora huyo dada
@alecheconradninje61835 ай бұрын
Dea yupo wapi namdai anilipe 😂
@user-zu7zs3fe7kАй бұрын
Mshikaji unatisha sana ogopaaaaaaaaaa
@JennyJma5 ай бұрын
Kwenye masingi puli😂😂😂😂😂
@janethnjau5 ай бұрын
Daaaaaaah ni hatari kweli
@D.P.O5 ай бұрын
Nasikia wasukuma hawaendi jando ni kweli? Only wasukuma wanaweza ku comment hapa, kama wewe sio msukuma heshimu comment hii..