LAZIMA UCHEKE! NYANDA KABUNDI WA USUKUMANI AVUNJA MBAVU AKIMZUNGUMZIA NANDY / WASUKUMA SIO WASHAMBA

  Рет қаралды 237,892

EastAfricaRadio

EastAfricaRadio

5 ай бұрын

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 241
@albertmalenge-cs6zy
@albertmalenge-cs6zy 5 ай бұрын
Unaweza Dhani kafundishwa kuongea lakini jamaa ni real kabisaa no fakes
@MicaAgostino-mi8of
@MicaAgostino-mi8of 4 ай бұрын
Habal
@officialwasodo
@officialwasodo Ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/apzGn2CYa5pobtksi=6tvi_fNv9IP9dHe-
@othmanhamad7887
@othmanhamad7887 Ай бұрын
kwl kabisa
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 5 ай бұрын
Ogopaaaaa😂 huyu mwamba ni wa Geita sio Rock city
@AhmedAli-oz3np
@AhmedAli-oz3np 5 ай бұрын
Huyuu mtangazajiiiii anamuona msukuma mbululaa kweliiiii anampa maswaliii ya mtegomtego wakati hajuwi kwamba msukumaaaa anajielewaaaa hatariiiiiiiiiii😅
@hadijajuma3773
@hadijajuma3773 5 ай бұрын
Sana.Wasukuma wako vyedi
@belak999
@belak999 5 ай бұрын
Uwooooiiii 14:53
@officialwasodo
@officialwasodo Ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/apzGn2CYa5pobtksi=6tvi_fNv9IP9dHe-
@DanielWillison-fd6ql
@DanielWillison-fd6ql 5 ай бұрын
Huyu nyanda anachekesha kweli.😂😂😂 Nihatari ogopa jidanganye.
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 5 ай бұрын
Jidanganyeeeeeeee!!😂😂😂 Wasukuma nawakubali.Mpewe maua yenu.🌹💐
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Kaka_Ake_Kilaka
@Kaka_Ake_Kilaka 4 ай бұрын
Nihatariiiiiii
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 4 ай бұрын
@@Kaka_Ake_Kilaka Ogopaaaaa
@officialwasodo
@officialwasodo Ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/apzGn2CYa5pobtksi=6tvi_fNv9IP9dHe-
@user-lq6mt5ji4l
@user-lq6mt5ji4l 25 күн бұрын
Asanteeeee tunakupenda pia😂😂😂😂😂
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 5 ай бұрын
Kijana NYANDA ana uwezo mkubwa sana wa kujieleza. Na yupo makini kujibu maswali.
@antipascann2797
@antipascann2797 5 ай бұрын
Imagine na hajaenda hata chekechea
@JacksonKanzira-wp3wt
@JacksonKanzira-wp3wt 5 ай бұрын
Yaani kabisa. Mungu azidi kumbariki
@wanaharakati
@wanaharakati 5 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/sHPRY6etnt-gd7ssi=s-8N3ZethT9fnvzu
@EdgarGabriel-rp5sr
@EdgarGabriel-rp5sr 5 ай бұрын
Wana wake. Wadar. Et mchumba. Mnawaza. Ngono. Tu.
@mussamuya1333
@mussamuya1333 5 ай бұрын
Yupo vzur kujieleza
@ernestkilaryo1015
@ernestkilaryo1015 5 ай бұрын
Wasukuma ni magenius sana, hapo hana elimu na ameishi kijijini lakini angalia uwezo wake wa kujieleza, uwezo wake wa kukwepa maswali ya mtego na namna anavyoweza kumuelezea mtu mwingine bila kuathiri chochote.
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 5 ай бұрын
Walitarajia aseme pesa kubwa,,hala mwamba kataja bei ya kawaida sanaa,, very Smart,,angekuwa mwingine apo ungesikia 1M
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 5 ай бұрын
Uko sahihi
@martinhinda5233
@martinhinda5233 4 ай бұрын
😂😂 jamaa anatisha sanaaa
@khadejarajab8007
@khadejarajab8007 5 ай бұрын
Hana ushamba hata wa kuwa muoga ni luga tu hiyo ndio inawafanya hivo
@GoodluckMosha-pj1ul
@GoodluckMosha-pj1ul 5 ай бұрын
Oy huyujamaa anajiamini Sanaa na ndivyo inavyopaswa mwanaume kujiamini ila Yuko vizuri sana
@hadijajuma3773
@hadijajuma3773 5 ай бұрын
Wasukuma wanapenda wanawake weupe jamaniii.Kwa nandi rangi
@Jacksonds.
@Jacksonds. 5 ай бұрын
hata sisi hatujui kwann tunapenda ni DNA tu 😀
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 5 ай бұрын
Nawakubali sana wasukuma,wako kwenye uhalisia
@officialwasodo
@officialwasodo Ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/apzGn2CYa5pobtksi=6tvi_fNv9IP9dHe-
@salmoncelestine6840
@salmoncelestine6840 5 ай бұрын
Ngosha,,umetuwakilisha vzr Kanda ya ziwa. Mimi ni mhaya lkn napenda vijana mnavyopambana.Ndg zangu wasukuma ni watu wazuri.
@jacksonmilton8660
@jacksonmilton8660 4 ай бұрын
Waguma owatata!!
@sangay.5687
@sangay.5687 5 ай бұрын
Kjana "Nyanda" anaupiga mwingi kwelikweli👍👍 Wale waliomsemag vibaya kipind kijana anaanza saiz wameishia kushangaa tu kwa jinsi MUNGU alivyomwinua kjana wetu.
@officialwasodo
@officialwasodo Ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/apzGn2CYa5pobtksi=6tvi_fNv9IP9dHe-
@edimundrevelian1246
@edimundrevelian1246 5 ай бұрын
Nyanda yuko makini sana. Brain kubwa hii😊
@vero57
@vero57 5 ай бұрын
Sasa magombe yana kumiss kaka inatosha rudi tuu , kaka 😂😂😂
@officialwasodo
@officialwasodo Ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/apzGn2CYa5pobtksi=6tvi_fNv9IP9dHe-
@HappynesJames
@HappynesJames 4 ай бұрын
Nakukubali sana msukuma mwenzangu
@DianaBugondo-zy4wz
@DianaBugondo-zy4wz 4 ай бұрын
Sikutaka kucheka ilaa kwa nandy mpaka imenilazimu aiseeee nyanda kabundi maua yako 🪴🪴🪴🪴🪴🪴🪴🪴🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🍀🍀🍀🍀🍀🍀🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🍀🍀🍀🍀🍀🍀🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🪴
@nathanfrancisondieki6586
@nathanfrancisondieki6586 4 ай бұрын
Thanks nyanda for your speech, I'm Francis from kenya
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 5 ай бұрын
Nihatareee ogopa😂❤ chezea wa kwetu 😂
@benancejohn1198
@benancejohn1198 5 ай бұрын
Hatari 🔥🔥 Ogopaaa 😂😂😂
@StevenMagema-ik2yt
@StevenMagema-ik2yt 5 ай бұрын
Daaah nimeenjoy kumsikia msukuma 🔥🔥🔥🙌🏾⚡️
@rosekomanya2017
@rosekomanya2017 5 ай бұрын
Nandy njooo usikie huku nyimbo yako😂😂😂😂
@ChenchiKing
@ChenchiKing 5 ай бұрын
Nimemuhelew San Mshkaj Anajuw Kujibu Na Kujihelez Big Up Xan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 5 ай бұрын
Sasa ww kujiheleza ndo nn?
@husnatjh5969
@husnatjh5969 5 ай бұрын
​@@sikudhanimohammad7692🤣🤣🤣🤣
@kashiririrkaasongwisye9487
@kashiririrkaasongwisye9487 5 ай бұрын
Hii nchi ya matukio uyu jamaa ametokea sasa na ana trend tu! Anaupiga mwingi mnoooo anapiga mpunga!
@harymo173
@harymo173 5 ай бұрын
Nyanda kama nyanda keep up much love kwako ❤
@benjaluhungo5730
@benjaluhungo5730 5 ай бұрын
Ni kipaji ukiiga utapotea. Asee He is talented
@user-bw3fu2wl3s
@user-bw3fu2wl3s 5 ай бұрын
Huyu jamaa anakipaji kikubwa sana jamani ❤❤❤
@officialwasodo
@officialwasodo Ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/apzGn2CYa5pobtksi=6tvi_fNv9IP9dHe-
@user-mu5ep3cu3h
@user-mu5ep3cu3h 5 ай бұрын
Nimempenda amesimamia alichopwa na mungu(satte mweni
@MasterG-dc1tx
@MasterG-dc1tx 5 ай бұрын
Hongera Yako msukuma mwenzangu
@paulsimon9871
@paulsimon9871 5 ай бұрын
Huyu jamaa akipata manager mzuri atafika mbali sana ana kipaji vha asiri kabisa
@josephatjames9893
@josephatjames9893 5 ай бұрын
Ndugu yangu pamoja sana
@user-xm6eu3ub2f
@user-xm6eu3ub2f 5 ай бұрын
Sana mwamba big up 4u nmependa kazi yako pia nataman nami cku1 nifanye kazi Kama hiyo Ila ilanakutana na changamoto za mazngira -, ❤❤
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 5 ай бұрын
MUNGU akubariki upate MAFANIKIO ZAIDI NGOSHA
@Spagles
@Spagles 5 ай бұрын
Wasukuma 4life😂
@ziadarajab6835
@ziadarajab6835 4 ай бұрын
Nawapend wasukum wapo vizuri
@Samprisfamily
@Samprisfamily 5 ай бұрын
Mwamba uko vizuri sana ufike mbali
@stevinngenza8704
@stevinngenza8704 4 ай бұрын
Ogopaaaaaaaaa jidanganyeeeeeeee❤ bigup sana planet bongo
@officialwasodo
@officialwasodo Ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/apzGn2CYa5pobtksi=6tvi_fNv9IP9dHe-
@naomikazimil4059
@naomikazimil4059 5 ай бұрын
Umetuwakilisha vizuri NYANDA
@MashakaZacharia-if9pm
@MashakaZacharia-if9pm 26 күн бұрын
Huyu dada mdangazaji namkubali sana anasauti nzuri sana ya kutangaza bravoo
@abdulitwaili9174
@abdulitwaili9174 3 ай бұрын
Kinehee nkoi❤❤❤❤❤
@yusuphpaulwaryoba8316
@yusuphpaulwaryoba8316 5 ай бұрын
Msukuma mwenzangu umetishaaaa
@Fauqdaq
@Fauqdaq 5 ай бұрын
❤man you're able may GOD continue to bless you. And may we all say Amen.
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 5 ай бұрын
Kijana umetisha hataari😂😂😂
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 5 ай бұрын
Yani wabongo akili zao zinawaza ujinga mda wote mke mchumba wanabaki na nani sisi tunawaza kutafuta hela wao wanawaza ujinga
@rebeccasylivester5359
@rebeccasylivester5359 2 ай бұрын
Perfect nyanda
@harymo173
@harymo173 5 ай бұрын
Hatari ogopa😂😂😂😂 nyanda Big up sana 🎉😅😊
@officialwasodo
@officialwasodo Ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/apzGn2CYa5pobtksi=6tvi_fNv9IP9dHe-
@user-rr1hc7uw5q
@user-rr1hc7uw5q 2 ай бұрын
Mr ogopa mimi nakusuport kwenye maziwa
@mashannapapaaa9582
@mashannapapaaa9582 5 ай бұрын
Mie nimwimbaji Niko mwanza naitwa papaa mashana naombeni intavyu
@ibrahimelisha6842
@ibrahimelisha6842 5 ай бұрын
Jitoe hakili utoboe uoni NYANDA
@Mamagracious799
@Mamagracious799 5 ай бұрын
​@@ibrahimelisha6842😂😂😂
@zephaniamasologo3137
@zephaniamasologo3137 4 ай бұрын
Kama ni intavyu huwezi kupata labda interview
@user-qc5wl1vz8v
@user-qc5wl1vz8v 16 күн бұрын
Nyanda UK vizur hongera
@anthonymwandu2615
@anthonymwandu2615 5 ай бұрын
Hàhàhaà limepigwa story la kwenda hapa ngosha safi sana
@Kiswaking
@Kiswaking 5 ай бұрын
Ogopaaaa😂😂😂jamaa ana vibe🤣🙌🙌🙌
@EsterMkini-es7zh
@EsterMkini-es7zh 5 ай бұрын
Tatizo la wasukuma bwan wanapenda kupitiliza mpka inakua kero
@zeddyshindika9502
@zeddyshindika9502 5 ай бұрын
Ni hatariiii,,ogopaaaa,,,tena jidanganye...hakuna kupitiliza bro ni uhalisia tu...cheza chini bro...hujaona ma swingipuli wewe...😂😂😂😂😂
@emmanuelmathias1509
@emmanuelmathias1509 Ай бұрын
wewe kupendwa hutaki unataka usipendwe kupendwa na mtu unayempenda ni raha ila kama humped ndio kero utaona
@ZAMB334
@ZAMB334 5 ай бұрын
Mbona huyo mwenye shati nyeupe anajidai anajua saana baada ya kumuacha ajieleze
@fadymoses4994
@fadymoses4994 5 ай бұрын
Dereva wa roly mbona wanakaa mwaka ajafika nyumbani miez 3 4 2 jambo la kawaida ujafikq nyumbani
@user-dt6he8ni8h
@user-dt6he8ni8h 5 ай бұрын
Dogo uko vzr mungu nimwema utafanikiwa umeparform vzr sanaa
@joshuaaizack6973
@joshuaaizack6973 29 күн бұрын
Kumbe ni perfomance hiyo??
@masikimhina158
@masikimhina158 9 күн бұрын
Nyanda kabundi wee nomaa rudi kijijini kachunge zako
@saleheluvanga9929
@saleheluvanga9929 12 күн бұрын
Nyanda maana yake dogo.umetisha mzeee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊👊👊 maua yako nyanda 🥀🥀🥀🥀🥀🥀
@RamadanPaul
@RamadanPaul 2 күн бұрын
Nyanda maana yake ni kijana
@vilabmedia-lv4td
@vilabmedia-lv4td 5 ай бұрын
Uwezo mkubwa wa kuongeza na kufikil na kujib
@user-gu5yb8ly9l
@user-gu5yb8ly9l 3 ай бұрын
Very nice mkaka
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 5 ай бұрын
MUNGU AKUINUE NGOSHA UWE TAJIRI,
@abdallahmvungi3566
@abdallahmvungi3566 5 ай бұрын
msukumaaa
@Chagha_lee_69
@Chagha_lee_69 5 ай бұрын
Pamoja sana
@halimamwamlima2860
@halimamwamlima2860 5 ай бұрын
Hapo ni rafudhi tu hana ushamba wowote
@godfreysonge
@godfreysonge 2 ай бұрын
Idadi htaji dahhh
@mussamatinde5042
@mussamatinde5042 Ай бұрын
Mtani wangu keep it up kijana
@RevokaltsDaussoni
@RevokaltsDaussoni Ай бұрын
Huyo kijana anazid kutufurahisha❤
@YusuphBayasabe
@YusuphBayasabe Ай бұрын
Dogo uko vizuri pambana
@user-gy1tr2hc7e
@user-gy1tr2hc7e 5 ай бұрын
Ngosha umenichekesha sana
@joyce55727
@joyce55727 5 ай бұрын
Nyandaa watoshaga loloo shokaga kaya eng'ombe jikonanuka
@sadickvevoofficial
@sadickvevoofficial 5 ай бұрын
Gete angu
@sadickvevoofficial
@sadickvevoofficial 5 ай бұрын
Gete angu
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 5 ай бұрын
sawa gete nyanda
@yasintaamoskatemi2387
@yasintaamoskatemi2387 5 ай бұрын
Gwa nh'ana ashoke kudima...😊
@makomabondo6202
@makomabondo6202 Ай бұрын
😂😂😂😂
@emmanuelmaheda7814
@emmanuelmaheda7814 5 күн бұрын
Daah kwakweli huyo jamaa . namkubali kinyama
@user-yv4kq9ze5g
@user-yv4kq9ze5g Ай бұрын
daaa wasukuma bwan
@GeofreyMfipa
@GeofreyMfipa 23 күн бұрын
Nakubali anavyo niamini hutakiwi kukaa kizembe hata kama wewe ni kijijini
@JohnDaniel-db8jv
@JohnDaniel-db8jv Ай бұрын
Nice
@user-ll8qu1zw4k
@user-ll8qu1zw4k 5 ай бұрын
Uko vzr broo
@zurfapahenge8802
@zurfapahenge8802 5 ай бұрын
wew hata Iringa sio Mwanza
@patrickrukuba3314
@patrickrukuba3314 5 ай бұрын
Kamanda uko vizuri komaa
@user-qo8eu1br6f
@user-qo8eu1br6f 5 ай бұрын
🔥🔥🔥😍
@JoramKasenga-ig2gk
@JoramKasenga-ig2gk 5 ай бұрын
Mie Niko kwenye kampeni ya kupandisha solo la wanawake weusi maana ni watiifu na wavumilivu maishani tutaanza kuwapa ng'ombe 60kwa 70 tuwapiku mie ndo nitawafingulia jahazi
@mussamgonola3983
@mussamgonola3983 5 ай бұрын
Hahahaaa umetisha
@kordunimepukori3908
@kordunimepukori3908 4 ай бұрын
Anajua
@yohanadaniel7030
@yohanadaniel7030 5 ай бұрын
Swingi puli 😂😂😂😂 jamaa anajiamin sana ,hongera
@officialwasodo
@officialwasodo Ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/apzGn2CYa5pobtksi=6tvi_fNv9IP9dHe-
@KayumbaLushomi
@KayumbaLushomi 2 күн бұрын
Kwanza ogela sana unawenza kujibu maswali yao
@mnazibaytechnology7085
@mnazibaytechnology7085 23 күн бұрын
Huyu jamaa anatokea usukumani sdhemu gani??
@user-fo3ze2nz7v
@user-fo3ze2nz7v 13 күн бұрын
Hii dgo wa kisukuma zingatia hiyo mwanang
@JoramKasenga-ig2gk
@JoramKasenga-ig2gk 5 ай бұрын
Namuelewa sana kijana wa mwanza sengerema ila make akizalia nyumba mahari inashuka haya kama ni mweupe
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 5 ай бұрын
😂😂😂huyo anatoka mkoani Geita sio mwanza sengerema
@user-xy8kl9wd2i
@user-xy8kl9wd2i 5 ай бұрын
Hizo ng'ombe zikitolewa wanachukua wazazi ila hizo kazi utenda ukome 😂😂
@user-ym3xl7sc5r
@user-ym3xl7sc5r 2 ай бұрын
Ogopaaaaaaaaa....
@user-wh2sc8qb9l
@user-wh2sc8qb9l 5 ай бұрын
Nihatareeeeee ogopaaaaa😂
@peteryohana6883
@peteryohana6883 2 ай бұрын
Mwanaume wa kisukuma anaelezeka:- Sifa ya 1st kbsa: Siliazi sana,alisema ndio ni ndio. Hapana ni hapana. 2nd. Akipenda amependa ila ukimfanyie asiyopenda akigeuka nyuma habadiliki tena 3rd......, ......... ........
@lameck12
@lameck12 Ай бұрын
walomela jisoga nkoi, pejaga ko bhatomane abhasukuma umo tule. hatari.... Ogopaaaaaa😂😂
@KhajiRashid-lk6fi
@KhajiRashid-lk6fi 5 ай бұрын
Hatuko mbali sanaa na wawo
@user-mw8js2ms7i
@user-mw8js2ms7i 24 күн бұрын
Mtan Latisha nimecheka kwanguv
@ekicrevo6890
@ekicrevo6890 5 ай бұрын
Ogopaaaaa
@mfaumemkoma-ey2jd
@mfaumemkoma-ey2jd 3 ай бұрын
Nimefulahi sana jisidogo alivyo imbawimbo wa 20 paa kweli doyupo vizuli
@veronicadeus9345
@veronicadeus9345 5 ай бұрын
Watangazaji mnapapara sana yaan mnataka nyie ndio mtoe majibu 😅😅😅mnakera ulizeni maswali sio kutoa maelezo meeengi mpaka mnajijibu wrong😅😅😅😅😅😅 Bora huyo dada
@alecheconradninje6183
@alecheconradninje6183 5 ай бұрын
Dea yupo wapi namdai anilipe 😂
@user-zu7zs3fe7k
@user-zu7zs3fe7k Ай бұрын
Mshikaji unatisha sana ogopaaaaaaaaaa
@JennyJma
@JennyJma 5 ай бұрын
Kwenye masingi puli😂😂😂😂😂
@janethnjau
@janethnjau 5 ай бұрын
Daaaaaaah ni hatari kweli
@D.P.O
@D.P.O 5 ай бұрын
Nasikia wasukuma hawaendi jando ni kweli? Only wasukuma wanaweza ku comment hapa, kama wewe sio msukuma heshimu comment hii..
@martinhinda5233
@martinhinda5233 4 ай бұрын
😂
@AhmedAli-oz3np
@AhmedAli-oz3np 5 ай бұрын
Ogooooooopaaaaaa hataaaaaaaaaaariiiiiiiiii
@zagarokangomba7941
@zagarokangomba7941 29 күн бұрын
We bwege uko vzr
Super sport🤯
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 20 МЛН
[柴犬ASMR]曼玉Manyu&小白Bai 毛发护理Spa asmr
01:00
是曼玉不是鳗鱼
Рет қаралды 45 МЛН
1 класс vs 11 класс (неаккуратность)
01:00
БЕРТ
Рет қаралды 3,9 МЛН
NDARO ATONGOZEWA DEMU NA STEVE MWEUSI UTACHEKA (Ndaro & Hajra)
10:39
CHEGE NA TEMBA WAFUNGUKA : ASLAY HANA ADABU, MBOSSO ANAFANYA VIZURI
19:21
Wezi WAKAMATWA ARUSHAA....UWIII....Ona KINACHOTOKEAAA!!
20:48
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 23 М.
CHEKA UONGEZE AFYA-VUNJA MBAVU, AFYA COMEDY
16:36
AFYA COMEDY
Рет қаралды 377 М.
Чуть не напал на Харламова #шоузвезды
0:59
Короткий взгляд
Рет қаралды 4,5 МЛН
Choices for future security! #ViviUnicornio
0:20
Vivianne Miranda
Рет қаралды 20 МЛН
Pokey pokey 🤣🥰❤️ #demariki
0:26
Demariki
Рет қаралды 4,7 МЛН