LIJUWE ZAO LA MWANI LINALOONGEZA SIKU ZA KUISHI, KIBOKO YA MARADHI MENGI.

  Рет қаралды 55

GSengo

GSengo

Күн бұрын

NA ALBERT G.SENGO/MWANZA
Mwani wa bahari si jambo geni kwa wazawa wa maeneo ya pwani, wengi hukusanya kwa matumizi ya biashara na wachache hujumuisha katika mlo wao.
Ndani ya maonesho ya biashara ya Afrika Mashariki Jembe Fm inapata wasaa kuzungumza na moja ya wakulima na mfanyabiashara wa zao hilo kutoka visiwa vya Zanzibar, ambaye anashawishi watu kujumuisha mwani katika milo yao, akisema kuwa mwani una faida nyingi kwa afya.
Na baadhi wamekua wakiita mwani kama 'Super food', lakini kuna ukweli wa jambo hili?

Пікірлер: 1
@godlovemariki6302
@godlovemariki6302 Ай бұрын
Mtangazaji unaijua kaz yako vizur umeuliza maswali ya msingi sana nakupa hongera tunataka channel kama hizi
Nigerian Scammers Extradited To The U.S To Face Justice
11:49
Adeola Fayehun
Рет қаралды 252 М.
USMCA vs NAFTA, explained with a toy car
6:37
Vox
Рет қаралды 1,5 МЛН
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 12 МЛН
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,4 МЛН
Зу-зу Күлпаш 2. Бригадир.
43:03
ASTANATV Movie
Рет қаралды 752 М.
How Britain Became a Poor Country
41:36
Tom Nicholas
Рет қаралды 1,9 МЛН
UHABA WA VITI NA MEZA WATATULIWA
4:56
GSengo
Рет қаралды 5
UBORA WA CAGES/KEJI ZA KUKU NDIO FAIDA KATIKA MRADI WAKO, TUMIA ECONOMY CHICKEN CAGES
5:21
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 12 МЛН