Swali unango'mbe wangap Jibu tunaweza kuzalisha kadhaa sasa takwimu za ranch hamuna au???
@user-nn9ds7uf2r4 күн бұрын
Mwamba hua anaongea vzr sn tena kwa kujiamin hongera
@ramaaman40207 күн бұрын
Very good
@AthumanMussah9 күн бұрын
Afande sele..kichwa sana🙌
@TellaaxisTz13 күн бұрын
😂
@NoelChambo13 күн бұрын
Jiulize kwanini Mungu alimuondoa huyu mtu mapema.
@lajutz955813 күн бұрын
Unaposema Mungu alimuondoa mapema, je unafahama alitakiwa kuishi kwa kipindi gani
@user-xd2tg8eq1h14 күн бұрын
Hii vita ulimchokoza manji kiburi na jeuri zenu mungu hawapendi kunyanyasa watu
@nimrodsigulu624914 күн бұрын
Haya saaa mnnakutana huko mbele ya haki...
@chrissg402615 күн бұрын
Hhhj
@user-kp3hz3qw4m16 күн бұрын
Askari wa mwanza hongereni sana mungu awasaidie zaidi majambazi wakome wafanye kaz kihalali sio kuua watu na kuteka mali zao alafu wapate adhabu kari uku wakihojiwa mauaj waliyofanya pia
@khamissaleh92116 күн бұрын
Mbona kimya kulikoni haijaanza ?
@khamissaleh92116 күн бұрын
Mbona tuko july kimya nini sababu?
@khamissaleh92116 күн бұрын
Imefeli mbona haijaanza kazi mpaka leo July 😊
@rashidkapile16 күн бұрын
Daa! Sina chakuwapa makamanda mmefanya kazi mzuli Sana Napenda wapewe zawad na wizara ya mambo ya ndani
@adamdaudi619118 күн бұрын
Kila mtu ana mabaya na mazuri, ukiachana na mabaya, JPM alikuwa si wakutilia shaka juu ya uthabiti wa maamuzi, hayupo hata mmoja aliyekuwa na sauti juu ya serikali, na hiyo ndo maana ya serikali!.
@goodlackriwa672820 күн бұрын
Acha kisasi na chuki weewe , wote ulio wa hukumu hatua Gani ilichukuliwa kuwahukumu ,kesi zote umeishindwa, huyo Gwajima unayomzungumzia kma kweli alikuwa mchafu Mbona ulimsamamisha kugombea ubunge wa Kawe,
@wosiakyunga999521 күн бұрын
Tutakukumbuka daima
@seemanishekiao21 күн бұрын
Rais
@paschalsafari974721 күн бұрын
Apumzike kwa amani Raisi wa wa awamu ya tano ..j.p.mafufuli.
@majutojackson571822 күн бұрын
kwa kweli kwahili sikukuunga mkono maana ulituumiza wengi kwa ajili ya kijana wako makonda,hivi kesi iliishaje?
@florakweyunga449021 күн бұрын
Kuhusu madawa ya kulevya....unasema hukumuunga mkono.mmmmmh.....!!!