No video

Jux Afunguka kukosa Mtoto na Ex zake wote, Jackie, Vanessa Mdee wala Karen! Part 5

  Рет қаралды 17,265

LilOmmyTV

LilOmmyTV

4 ай бұрын

Swala la Jux kupata mtoto limekua stori kubwa pia kwa Msanii wa RNB Jux African Boy, katika interview hii, Jux amemaliza utata wa swali la kwanini hakuwa kupata mtoto na Ex zake wote, Jackie, Vanessa Mdee wala Karen!
Tazama full interview ya Jux hapa
Subscribe, Like, Comment & Share

Пікірлер: 41
@annethsongwe6063
@annethsongwe6063 4 ай бұрын
Umeongea point hapo kwenye kuhandle family alafu unakuwa na mtu kwaajil ya mapenz,mi nimeweza hilo ila nmeona watu wengi wananiambia najitesa ningetafuta mtu anisaidie kulea but mi natambua Mungu ananisimamia hata km nina umri mdogo na mume wangu amefarik nikiwa na 20something hadi leo,Nakuombea Jux upate mtu mwenye kujielewa,mpambanaji,msimamizi mzuri na hofu ya Mungu🙏
@esthermatisho2604
@esthermatisho2604 4 ай бұрын
I love the way Jux knows who he's and what he wants in life. Kila la kheri wake. 😊
@scollantandu2350
@scollantandu2350 4 ай бұрын
Jux jamani mie nakukubali kinoma, hunaga zarau unahekima sana, MUNGU akupiganie usijebadilika ❤
@SweetnessGregory
@SweetnessGregory Ай бұрын
I wish uwe baba wa watoto wangu
@emratekawala5853
@emratekawala5853 3 ай бұрын
I wish I could meet this guy ❤one day
@robert.joseph
@robert.joseph 4 ай бұрын
This is the best part of the interview out of them all
@fadhili_masoi
@fadhili_masoi 28 күн бұрын
mtoto ni jambo la mungu
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 4 ай бұрын
jux kuwa makin sana kuanzia leo wanawake watajitegesha hili mladi tu wapate mimba kwakuwa tu wewe umesema upo tayar
@thadeoponas4458
@thadeoponas4458 4 ай бұрын
Facts🎉
@hiki242
@hiki242 4 ай бұрын
Insha'Allah Allah yupo pamoja nawe
@inearclassictz1233
@inearclassictz1233 Ай бұрын
Kweli
@mariesafari4266
@mariesafari4266 4 ай бұрын
❤❤❤❤
@bizzyjunior_tz
@bizzyjunior_tz 4 ай бұрын
🔥🔥🔥
@deogratiusleonard
@deogratiusleonard 4 ай бұрын
While excessive stress isn't good for your overall health, there's no evidence that stress results in miscarriage. About 10% to 20% of known pregnancies end in miscarriage. But the actual number is likely higher because many miscarriages occur before the pregnancy is recognized.
@jimmyjaphet136
@jimmyjaphet136 4 ай бұрын
Huyu ni mimi kabisaaaaaaaa yani kabisaaaaaaa❤❤🔥🔥✌🏾
@El-roseMaya
@El-roseMaya 3 ай бұрын
Uwo ndo uanaume baba nakusapoti sana😮❤❤
@j...876
@j...876 4 ай бұрын
Kaka uko ready sasa mad huo ndo una henda kupata ki TUMA njiya!! Pole lakini kwa ma fans-!!!
@stevewanga957
@stevewanga957 4 ай бұрын
Mayai viza itakua ...
@DjmekaMeka
@DjmekaMeka 4 ай бұрын
interview bovu kinoma yaan
@IbrahimShan-qu3um
@IbrahimShan-qu3um 4 ай бұрын
Ili chokoo tu
@user-lq6mt5ji4l
@user-lq6mt5ji4l 4 ай бұрын
Jamani nampenda jux sema nimezaa ananizidi umri walah angenioa tunaendana nae kabisa lakini ndio hivyo Niko usd😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤
@dreliangasu6245
@dreliangasu6245 4 ай бұрын
Used😅
@J_Jeromy
@J_Jeromy 4 ай бұрын
Ety used jaman!!!
@barakanaseeb7155
@barakanaseeb7155 Ай бұрын
😂😂😂
@sylviaforest3001
@sylviaforest3001 4 ай бұрын
Haya maswali ya watoto wacheni kuliza uliza watu juu Mungu ni yeye anapewa watoto sio kwa bidii zetu watu wakajuwa hivyo wangenyamaza
@thabitdaudi9815
@thabitdaudi9815 4 ай бұрын
Pia jamaa hajatambua nin anataka. Anasema mwanamke aweze kusimamia familia asipokuwepo. At the same time ata provide kila ktu kwake.😅 how does that even sound in the same sentence
@albertmullah2377
@albertmullah2377 4 ай бұрын
It does bro.. mm pia napenda mwanamke independent ambae anaweza kusimama hata nisipokuepo, but that doesn't affect the fact that am a man na nitatakiwa kuprovide kila kitu. Mtu ambae hajielew ata ukiwa unaprovide unaweza usione faida yake yoyote na kua na mtu anaejielewa/fighter, hata ukiwa na kidogo unaona impact kubwa
@NiceJoram-pl7vf
@NiceJoram-pl7vf 4 ай бұрын
Hata usipotaja huyo ni vee coz alishawahi sema interview moja hawezi beba mimba coz hayuko tayari bado anatafuta pia ana stress nyingi za utafutaji😂😂
@misheckmisheck6350
@misheckmisheck6350 4 ай бұрын
Huyu ni Mimi kabisa
@Bill_boyy
@Bill_boyy 3 ай бұрын
hahahahha mwamba anaachika yy tyu daily 😢
@EvaBintony
@EvaBintony 4 ай бұрын
nakupenda ww mmbwa
@williamdungumaro6668
@williamdungumaro6668 4 ай бұрын
Uyu bwana Hana mbegu
@DorcMfinang
@DorcMfinang 3 ай бұрын
Juma nakuomba plz unipigie nakupenda San
@athanasmasmami5389
@athanasmasmami5389 3 ай бұрын
😂😂
@barakanaseeb7155
@barakanaseeb7155 Ай бұрын
😂😂😂 ameikuta wp namba yako😂
@Inzaghi809
@Inzaghi809 4 ай бұрын
Huyu ni shoga hazai
@user-pf1tb5ic2h
@user-pf1tb5ic2h 4 ай бұрын
Unauhakika? ushawai kulala nae?
@user-lo5cl4ll5p
@user-lo5cl4ll5p 4 ай бұрын
Wewe muongo jux ulivyo mzr iv mtu asizae na ww itoke mimi hapa siwez kuacha kubeba mimba ako ata iweje nazaaa😂
@barakanaseeb7155
@barakanaseeb7155 Ай бұрын
😂
@gudayakutemile577
@gudayakutemile577 4 ай бұрын
Machoko bhna Huwa wanaona kama wanaongea points
@eliachaula6542
@eliachaula6542 4 ай бұрын
Aah wote
Jux na Ommy Dimpoz Hawaongei? #Jux #Karen #OmmyDimpoz
9:39
LilOmmyTV
Рет қаралды 2,9 М.
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 32 МЛН
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 29 МЛН