Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.... Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 46
@ShukraniMahenge Жыл бұрын
🎉Huyu ndiye mwanaume ambaye mungu alimsaidia
@JumaMkiji9 ай бұрын
Mungu ni wakutosha sana waliofanya sijui wanajisikiaje
@SimonMasanja-k1d6 ай бұрын
Lissu nishujaa sana anatakiwa awe rais wa tanzania
@ShedrackSilvester3 ай бұрын
Pole SANA shujaa
@azadinzunda4327 Жыл бұрын
Nasikia aliepiga kisasi Alisha kufa Sasa itakuwaje😂😂😂😂😂😂
@josephmchila6467 Жыл бұрын
Pole
@erasmusgervas2464 Жыл бұрын
Iv kweli
@GodsonKajira2 ай бұрын
Pole baba
@SausiWeitacha-yp5or6 ай бұрын
Lissu
@ChristineKeney4 ай бұрын
Mungu mkubwa kama huyu ndiye lissu aliyenyeshewa risasi
@AnastaziaMalle7 ай бұрын
lisu mungu ni wa wote anawaona pia anakuona na ww atawalipa kwa mda wake
@sultanidrissa10978 ай бұрын
Waandishi wa habari wengineo wasenge tuu
@mwanaidisimoni796 ай бұрын
Ndio mana nchi masikini tu mahakama za michongo
@khamisjuma76165 ай бұрын
aliyekupiga risasi sidhani kwamba yuko hai unajua unapofeli isue kama hii lazime ufe kihoro
@davidsilwamba2465 Жыл бұрын
Pole Sana mheshimiwa tundu lisu,tena inatakiwa ukilichukuwa ukalitumiage hivyo hivyo namatundu yake yalisasi kama ukumbusho.
@neemamohammed9176 Жыл бұрын
Pic
@simonnembomadola7512 Жыл бұрын
Hivi kwa nini serikali wamekaa kimya waliompiga risasi Lissu,yani hajakamatwa hata mtu kweli angekuwa amepigwa risasi mbunge wa CCM au diwani si kingenuka.Sijui kwa nini hii issue ya Lissu ipo kimya tu na mtu alipigwa risasi.
@IssackMsimbangombe-jy3nd7 ай бұрын
Mda mwingine mazingaombwe muache nikweli ulishambuliwa lakini kusema ulipigwa risasi the thelathin niuongo tena uongo mkubwa c dhani km unawaambia watu wakuelewe na ungeniambia2 ulipigwa risasi na c 30
@pendoKisula7 ай бұрын
Hi
@asteriashios1852 Жыл бұрын
duh waliolipiga hivyo risasi walidhamiria kuua serikali ituambie wako wapi? kwani shida iko wapi?ila kwa maombi yaliyofanyika atakuwa amekufa mungu hachelewi majibu ni hapa hapa duniani na bado mtaona makuu
@azadinzunda4327 Жыл бұрын
Nanyie waandishi wa habari so mtuonyeshe hoi gari nasisi tuhesabu hizo kisasi zilimo pita????
@ramadhanishabani8077 ай бұрын
Mmh, yani walkua km wanaua tembo
@simonnembomadola7512 Жыл бұрын
Hivi yulw bodigadi wake wa wakati wa kampeni yuko wapi? Lissua anafaa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
@ambokileosward8850 Жыл бұрын
Amekosa story 😂😂 Anatafuta attention, Gari ndo imekuwa habariii😂
@jeffhard5773 Жыл бұрын
Siku zote kwenye msafara wa mamba na kenge lazima muwepo
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
Kama umekosa cha kuangalia nenda chato ukangalie kaburi, huku hayakuhusu
@emmabrownmissana69967 ай бұрын
Bado uongea uongo tu!
@emmanuelbenedicto589 Жыл бұрын
Hivi mnazijua vizuri risasi? Thelathini Mmmmmmh Tanzania ya mazingaumbwe!
@stevenchitama6 ай бұрын
nandio maana anasfiwa mungu watu wanazjuwa risasi .
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
Inataka kubisha? Kwa sio kweli kumbu serikali ya Kenya ndio ilitoa taarifa mapema
@ramadhanishabani8077 ай бұрын
Tatzo la waandsh wa habar ni vilaza
@LudovickJohn-gb4su Жыл бұрын
L
@DamasEmanuel-gw7lj Жыл бұрын
Hawawez kamwe wewe samehe tu
@YUSSUFPanduYussufYussufp-ej1nn Жыл бұрын
Huu
@saidsalum6101 Жыл бұрын
Umeongea kweli uzuli ila ulinikasilisha kuungamkono ushoga na wazungu kututawala
Mbona alioko serikali hajasema chochote kuhusu ushoga na usagaji, na ndie anatakiwa kutamka na maanisha raisi Sami suluhu hasani, huyu lisu kwanini mnpakazia uongo ni wapi alisapot ushoga
@rammykandra2354 Жыл бұрын
Uyu lissu ni Zuzu sana
@abuumohamed7090 Жыл бұрын
Wewe ndo zuzu,usiyejielewa. Akili huna kaa kimya
@josephmchila6467 Жыл бұрын
Wewe ni zuzu kabisaa
@davidsilwamba2465 Жыл бұрын
Wewe hujitambui namjinga nazuzu,yani kuanzia familia yenu hamna wakulinganisha nalisu hata watoto wake MH lisu uelewa,wewe nitahira na chawa nakupe wa ccm tu .
@eliajimmy95 Жыл бұрын
Na wewe ni nani.
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
Mpumbafu kuliko wapumbafu wote ulimwenguni chawa wa CCM wewe