Bwana Yesu asifiwe, Naomba mafundisho kuhusu familia ndoa na uchumba za pastor Mbagga zitengenezwe kivyake ili iwe rahisi kujifunza, maana wengine huwa tuna download hizi video, nashukuru kwa mafundisho
@GeraldMsagara-r5f3 ай бұрын
Amen
@gerryndyamukama90583 ай бұрын
Pastor Asante sana kwa somo lako linaloelezea magonjwa ya haiba za kitabia yanayoleta migogoro katika ndoa,kwa mfano (BPD). Ningependa ukipata muda kiufupi utoe somo la ushauri wa nini cha kufanya kukabiliana na tabia hizo endapo upo ndani ya ndoa tayari, na umegundua kuwa mwenzi wako au wewe mwenyewe ni mgonjwa. Sawa nimejijua kuwa mm ni mgonjwa au mwenzi wangu ni mgonjwa. What is the way foward? ili ndoa idumu na familia isisambaratike?