Namshukur munguu kwa kunitoa chaina salama Mimi nilikuwa mmoja wa watanzania walio kwama nchini chaina na tunamshukuru rahis wetu magufuli kwa kazi nzuri alio ifanya baba huyu wa taifa namshukur mungu kwa kunirejesha mapema nimpigie rais wangu kura naamin kura yangu niyamuhim Sana jmn Sina mengi ya kusema zaidi ya kutoa shukran zangu kwa taifa la Tanzania nawapenda sana 💞
@hassanabdalla76444 жыл бұрын
Hapa ndipo tunapo ona umuhimu wa kuwa na ndege akina lisu wanaona haya magufuli atabaki kuwa juu mawinguni
@nancymsiburu17544 жыл бұрын
If I had met my president and maghufuli draining and I was told to save one,,,trust me I would run to save maghufuli...this guy is not just a leader its aGod sent...be proud of him...tanzania has now become among the third world countries after along period of time Aiseeeee!!!mi nampenda bure tu for real this is just adad..long live maghufuli. ..nakupenda lucha mi si mtanzania.. .
@jacksonmeena83704 жыл бұрын
Ongera John pombe Makufuli hii inatia raha sana unapokuwa nje ya nchi alafu chombo chenu kinakuja kuwachukua inatia raha sana
@ama77424 жыл бұрын
Hii ndio faida ya kua na ndege yetu. Hata siwaelewagi wanaobeza maendeleo ya Tanzania
@calvinalva39004 жыл бұрын
God Bless Tanzanzania proud to be Tanzanian
@rajabmnyimwa31264 жыл бұрын
I appreciate Millard AYO TV, wengine wamelala lkn wewe unakesha kwa kutupatia habari kama hizi. Tufanyie coverage ya mradi mbezi bus terminal, rufiji HEP,
@paulinaobiria96494 жыл бұрын
Binafsi ninajivunia uwekezaji huu, watu hatukuona umuhimu lakini wakati wa majanga kama Haya Ndiyo utajua cha mtu mavi, kama tungekuwa hatuna ndege zetu hawa ndugu zetu ingechukua muda mrefu kurejea nyumbani. Kipekee nampongeza Rais wangu kwa matumizi mazuri ya pesa za watanzania. Good Job JPM
@StellaStella-ee9fe4 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@shalomizrael6674 жыл бұрын
Amen
@ababuumwanazanzibar49084 жыл бұрын
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1 Air Tanzania Songa Mbeleee
@zakiamsafiri123zakiamsafir74 жыл бұрын
Baadhi ya mambumbu walimtukana Rais ndege ya nini leo tumeona faida kubwa ya kuwaleta ndugu zetu pia na India
@juxjemc57684 жыл бұрын
Hata ww ni mpumbavu mbwa mkubwa wee unaita wenzako wapumbavu kwan km wangeamua kurud hao wangeshindwa ??
@vitarismujuni68894 жыл бұрын
@@juxjemc5768 Ila we jamaa unashukuran za punda sema qer/lisu kawachzsha nyie?
@juxjemc57684 жыл бұрын
vitaris mujuni bado hujaongea kitu
@chandrasrilanka57854 жыл бұрын
@@juxjemc5768sibishanagi na mbumbu Kama wewe
@chandrasrilanka57854 жыл бұрын
@@juxjemc5768 wewe mbwa mwitu
@oscarcharles92694 жыл бұрын
Huu ndiyo umuhimu wa kua na Rais JPM. Tanzania oyeee, CCM oyeee, JPM oyeeee.
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
Pole zao kwa hao watanzania... Mungu aendelee kuwasimamia🙏🙏🙏🙏🙏
@temkezatv43814 жыл бұрын
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@shalomizrael6674 жыл бұрын
Umeongea point kiongozi 👌
@queenwinnie2564 жыл бұрын
Magufuri hawezi hana uchu wa madaraka
@ezeckiambughi79564 жыл бұрын
OK
@msanabukere78354 жыл бұрын
Kwa maghufuli cna ttzo sasa ukisema rais afanye bila kikomo wa mda alfu ikapitixhw ivyo mwingn akaingia madarak ikiw ivyo bila kikomo wa mda alfu anataman na hela ya uma itakuaj nasheria ikapitixhw alfu upate watu kam membe, muuongo tibaijuka genge waliyopiga scrow epa wanasema hela ya mbonga tu
@davidcurtis85564 жыл бұрын
Nakuunga mkono ni bora tufanye kama China walivyo mridhia raisi wao hawataki raisi mwengine.
@g_eazmusic13294 жыл бұрын
Mwambieni lisu agombee tu ubunge rais tunae tayali
@nururaymond54 жыл бұрын
😂😂😂
@mwanaidyibrahimu88614 жыл бұрын
HAHAHAHAH
@HASASON4 жыл бұрын
Hata ubunge hapiti
@amouramour97124 жыл бұрын
h
@johnmlay47594 жыл бұрын
Awahi udiwani kama kutakuwa na nafasi coz hata ubunge hapati
@felistasrotich50344 жыл бұрын
Glory to Almighty God 🙏 that they landed safe.
@wahiduitsverycommentmane54214 жыл бұрын
Barikiwa sana rubani wetu kwa kuwafikisha ndugu zetu salama mungu akutunze na azidi kukuweka ktk mikono salama tunakupenda sana
@goodluckkayoka43524 жыл бұрын
Baadhi ya watu hawakupenda kununuliwa ndege hizi kwakudai kuwa...! ***Zinatusaidia Nini???*** ila siku zote waswahili wamesema...! ***Usipo jua kusoma angalia hata picha tu utaelewa utajifunza kitu*** DR.JOHN MAGUFULI Raisi wangu kipnz Big up Sana mzee Baba don't give it up sir
@saidamour98614 жыл бұрын
Tanzania number one
@christinamwambola93294 жыл бұрын
Ahsante Raisi wangu Magufuli umeiheshimisha nchi yetu, sure tumewasindikiza wenzetu nchi nyingine wanaitamani Tanzania coz wapo huku na still hawajui lini watarejea kwao.
@aminahamisi28374 жыл бұрын
Ndugu zeta wamerudi alihamdulillah hongera Anko magu
@henrylugongo6324 жыл бұрын
Lakini watz.wanasema hawaoni kuwa na faida na ndege
@kambamazig020244 жыл бұрын
Asiyekuwa na macho haambiwi tazama. Bila ya hizi ndege vijana wetu wengi na wataalam wetu wa kizazi kijacho wangehangaika na pengine kufia huko ugenini bila ya msaada wowote ule.
@amouramour97124 жыл бұрын
h
@danieljulius47084 жыл бұрын
Hao ni wana chademaaa. Siyo watz kwa ujumla wake.
@queenwinnie2564 жыл бұрын
@@kambamazig02024 wangeishia kufagia barabara huko china
@yassiniferuzi28674 жыл бұрын
CHADEMA na ZITTO mnaona hiyo mnasema Ndege za nini Mazwazwa nyie mkapige pasi
@n.y.smedia41454 жыл бұрын
Ni vizuri sana
@joshuakalinga3444 жыл бұрын
Karibuni ndugu zetu waaaooooo!!😂😂😂 Poleni nasafari mwee nimeumia Sana'a kusikia mulikwama kwamda mrefu lakini kumbukeni tuna mtu jembe magufuli wetuuuuu umeisomaaa iyooo babu yaani imeandikwa hapa kazi tu imetuludisha kwe2 tZ MUNGU akubariki magufuli niwetu kula zoooooooooteeeeeeeeee! Win.👆
@naimaabdul1424 жыл бұрын
Hongera...Tanzania itakuwa juuu
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Asante MUNGU kwa kuwarudisha salama watanzania wenzangu🙏🙏
@johnmlay47594 жыл бұрын
Amen
@g_eazmusic13294 жыл бұрын
Mwambieni lisu ogombee ubunge
@abdallhaibrahim38164 жыл бұрын
Mashallah hakika tunamshukulu mungu kuwa saidia ndugu zetu wameludi salama
@charlesotwalo93354 жыл бұрын
Mungu ni mwema siku zote, hongera sana Air Tanzania, na Taifa kwa ujumla
@josephthabit41934 жыл бұрын
Safi sana ila tu ningependa sana kuona ndege zetu zikiwa very active na competitive has kwenye regional flights. Kuna wasafiri wengi sana wanaokuja tanzania wakipitia Ethiopia. Kama tukiperform vizuri, thuinaweza kuishare markeet hiyo na Ethiopian
@januarylonga88644 жыл бұрын
Watanzania wenzetu tungewaludisha kwa usafiri gani watanzania tuache siasa zisizo za faida kwenye pongezi tuache majungu raisi tumpe pongezi sana
@jinaali43704 жыл бұрын
Allah ainawirishe Tanzania milele!!!
@johnmlay47594 жыл бұрын
Amen 🙏🙏.
@sophiakatogoro22344 жыл бұрын
Amiin
@ahmedmahamudu41404 жыл бұрын
Amiin
@abdallahmuttaq73064 жыл бұрын
Nimewaona wajumbe jna wakikwenda kumpokea roporopo na akijiona kashinda urais sasa atambue pale airport jna waliokwenda kupokea wachache walikuwa chadema lkni wengi wao walikuwa wajumbe atakiona October faida ya na hasara za wajumbe
@joshuakalinga3444 жыл бұрын
Bora nife c.c.m nambari 1
@mdzainb37224 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania mbariki Mh,,John Pombe Magufuli 🙏🙏🙏
@shalomizrael6674 жыл бұрын
Amen
@queenwinnie2564 жыл бұрын
Najivunia kuwa mtanzania halisi, Mungu ibariki tz yetu,
@felistasrotich50344 жыл бұрын
God bless Tanzania
@Fabulousmom5094 жыл бұрын
Tanzania Oyeee!
@zinbormdan98134 жыл бұрын
Mungu amsaidie rais wetu ampe nguvu
@musemakweli634 жыл бұрын
Hii hatua inapatia uraia wa Tanzania maana zaidi...nchi nyingi za kiafrika hazina moyo na uwezo wa kufanya hivo...hongera kwenu..waTZ..
@mwamibukulu77454 жыл бұрын
Mtangazaji umepoa sana endelea kujiendeleza zaidi kishule
@surujajwie47683 жыл бұрын
Wow mashaallah 🤗🤗Asate rais joni makuful 💋
@japhetpeter16924 жыл бұрын
aysee magufuri tena 2020
@priscambwambo10304 жыл бұрын
TUNASHUKURU SANA MUNGU AMEWARUDISHA NDUGU ZETU WATANZANIA WETU NYUMBANI SALAMA. AMINA
@eischerschwederm78764 жыл бұрын
No one like JPM ..alhamdullilah yarabi
@juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын
Hongera sana
@konceptualagency48374 жыл бұрын
Sasa nimeelewa kwanini Zambia na wao wamewafungia wa Kenya kumbe sisi tuliwasaidia
@queenwinnie2564 жыл бұрын
Chadema na Dada yenu Mangekimambi mtuache kwa na magufuri wetu, gombeeni ubunge na udiwani huko,
@priscambwambo10304 жыл бұрын
MAGUFULI ANA AKILI ZA HALI YA JUU SANA SANA. SIJUI NIMFANANISHE NA MANI HAPA DUNIANIA. SIONI KABISA.
@davidcurtis85564 жыл бұрын
Zito aliwaambia wananchi wa kigoma wakija wakiwaambia tumenunua ndege msiwasikilize maana nyinyi hampandi hizo ndege zao, siasa za majita taka zimewafanya kuwa wachonganishi wa serikali na wananchi.
@peterkailembo41014 жыл бұрын
Ni uzuri wa kuwa na usafiri wako mwenyewe, kama Rais alijua kuna tatizo la Corona linakuja
@shalomizrael6674 жыл бұрын
Kumbe hata Oman ndege zetu zinaweza kuja kutuchukuwa tusiomudu gharama kubwa za tiketi za Oman air kwa sasa. 🇹🇿🙏
@ameenasur6564 жыл бұрын
Tena waje oman mim nimesubil MAGU baba tufikilie na sis
@shalomizrael6674 жыл бұрын
@@ameenasur656 kwakweli tunaitaji uo msaada
@CarosKitchen4 жыл бұрын
Oooooooh
@joshuakalinga3444 жыл бұрын
Magufuli hakuna mwingine tanZania uyo nikiboko yamaendeleo kama ulaya lisu kafie mbele wabongo kula c.c.m tunanema tZ fahari yetu hao waliotumwa namabeberu eti lisu nim2 gani uyo tukiwapa uongozi hawwa watapiga mnada Mali zote fyng over magufuli nchi imetakata Sana'a aaaa hapa kazi tu.
@wahiduitsverycommentmane54214 жыл бұрын
Ifikapo uchaguzi wa rais kura yangu achukue magufuli sina neno juu ya huyu baba akika ni baba wa taifa na nchi za njee wanataman Sana wangekuwa na rais Kama huyuu ee mungu mtangulie rahis wetuu awe katika mikono salama🙏
@khalidkaijage82644 жыл бұрын
Kaz nzur
@shairanadam14434 жыл бұрын
Dah kwhy sisi kwnde unyemwezin nd bas tn😢
@jssaa47334 жыл бұрын
yan nadhan had baadae san
@shairanadam14434 жыл бұрын
jᎬssᎬ ʍǟɖǟ daaaah! Aseeeee mung atusaidie airport zifngliwe 😭😭😭😭😭
@kyaro59454 жыл бұрын
is this live?
@abdulsalum95204 жыл бұрын
💕
@evadotv95284 жыл бұрын
Safi sana
@slyvesternzogera53404 жыл бұрын
Milard ayo saiv video zenu zina shida nyingi tutawakimbia,lekebisheni wahusika ili tufurahie subscribe zetu
@fadhilhaule96184 жыл бұрын
Abuu karibu Tz tupige nyungu kaka
@jamesmwita29954 жыл бұрын
Haya Sasa hapa kazi tu
@goodluckulimboka83984 жыл бұрын
KWELI JPM AMEJUA KUTUHESHIMISHA WATANZANIA....BILA NDEGE ZETU HAYA YASINGEWEZEKANA.... MAGUFULI ANAMAONO YA MBALI SANA .....IKIWEZEKANA KATIBA ITULIE KIDOGO KUHUSU RAISI JPM ATUONGOZE HADI 2035
@boyjopar87174 жыл бұрын
Hivi kuna mtu aliwasili leo Ayo Tv hamkutupa info
@queenwinnie2564 жыл бұрын
Tanzania kwanza mbwembwe zingine baadae, na hao wapiga kelele eti ndege za nn hivi sijui wanakuwa na akili gani,
@januarylonga88644 жыл бұрын
Iyo ndiyo faida mojawapo ya nch kuwa na ndege binafsi watanzania tujifunze kupitia matukio kama ayo maana wengiwetu walikuwa wakimraumu Sana raisi kuusu kununua ndege ayo Ni majibu
@dintazdintaz73114 жыл бұрын
Bora mmerud aiseee
@habirrashdi814 жыл бұрын
Msimulizi wa habari hayuko sawa anatafuna maneno
@naimasaid77634 жыл бұрын
Nyumbani ni nyumbani
@aminahamisi28374 жыл бұрын
Tusingekuwa na ndege hawa ndugu zetuwangesota sana huko China
Magufuli ni habari nyingine V12 petrol BABA lisu kavaee shanga tuuu
@TheMandela214 жыл бұрын
Huyu mwandishi anaweza akawa hawafanyi safari wakati anajua wamefunga aha zao
@abdallahmuhammed22794 жыл бұрын
wawekeni karantini jamani
@abdallahmuhammed22794 жыл бұрын
hawajielewi hao wanaobeza maendeleo yatanzania hawana akili
@johnmlay47594 жыл бұрын
Tuwaombee kwa Allah awafungue ufaham wajionee mazuri yanayofanywa na serikali yetu
@gastonestor94084 жыл бұрын
oya bbn 😁😁😁
@SM-fu1yv4 жыл бұрын
Nimefurahi kuona ndega zetu zipo kazini
@abdallahmuhammed22794 жыл бұрын
acheni ujinga kwani mukiwa nacosta kwenye familia ikitokea safari hamutowi pesa kwenye sarfari hiyo kwakua gari ni yakwenu
@arnoldluwibwakila34584 жыл бұрын
Haifanani na gari ya kukodi au kuazima inaweza kuchelewa au isiendana na mahitaji unayotaka kubeba,Cha kwako ni chako tuu.
@TheMandela214 жыл бұрын
Nabadilisha huenda ana akili sana au kilaza flani huyu journalist au ana akili kupita kiasi...
@sakinabakari98134 жыл бұрын
Ewe rais wetu mheshimiwa wetu magufuli tusaidie hata sisi tuliopo omani tumekwama huku mabos wetu hawataki kutukatia tiketi kwa kuwa nauli iko juu sana ewe baba mwenye huruma tuhurumie tumeikumbuka Tanzania yetu tumemaliza mkataba lakini tatizo ndo hilo
@ameenasur6564 жыл бұрын
Jaman nilizan ni mm tu ambae bos hatak kunikatia tiket tena ukimgusiatu anakua mkali na kashaniambia nitakaa adi siku tiket iwe km zaman sasa nimiez 3 tangia nisubul MAGU baba tusaidie
@ndukulusudikucho_4 жыл бұрын
Lisu amerudi kwa ndege ipi?
@maatumkadhi17604 жыл бұрын
🤣🤣amerudi na ungo
@amouramour97124 жыл бұрын
h
@johnmlay47594 жыл бұрын
Ethiopia airline
@carolinemahatane44314 жыл бұрын
Magufuli aendelea mpaka Miller MUNGU ample afya njema
@wivinemwamini91103 жыл бұрын
Muripambana kweri
@kholaalmahrizi85254 жыл бұрын
kwani wamerudishwa bure hapo kila mmoja katowa ticket mwenyewe
@mwanaidyibrahimu88614 жыл бұрын
@Change Mindset Ahahaahaa dah watu mnamajibu
@officialjohanesmkandara43014 жыл бұрын
Kama nauli waliku nayo si wangepanda zingine wakaunganisha unganisha mpaka wakafika
@ashurahussein97484 жыл бұрын
Sawa wamelipia ila gharama ya chini, nauli ya ndege kutoka China hadi bongo sasa ni ghali sana
@amouramour97124 жыл бұрын
h
@juxjemc57684 жыл бұрын
Hahahaha anaenda kutoa ushamba usishangae akapiga pcha zaid ya 50 akapost zote fb na Instagram
@jssaa47334 жыл бұрын
😀😀😀
@TheMandela214 жыл бұрын
Kabisa huyu jamaaa the Journalist he lacks knowledge...seems unprofessional and unprepared....he lacks energy and asks the same questions repeatedly!!!!
@bongo255tv74 жыл бұрын
Uyu mtangazaji hanakera sana
@officialjohanesmkandara43014 жыл бұрын
Ata me simwelewi aisee
@judaspantaleo97794 жыл бұрын
Kwa lipi
@kacherosimba57624 жыл бұрын
Pia kenya kuna wa tz wenzetu wamekwama huko🤣🤣🤣🤣watumiwe ndege
@abdallahmuttaq73064 жыл бұрын
Tutawatumia mabasi
@jssaa47334 жыл бұрын
@@abdallahmuttaq7306 😀😀😀😀😀😀😀😀😀dah kenya ni kama nchi moja na tz hao watumiwe daladala tu
@johnmlay47594 жыл бұрын
@@jssaa4733😂😂😂😂😂😂😂hata kwa mguu wanakuja mdogo mdogo wakipiga story
@jssaa47334 жыл бұрын
@@johnmlay4759 😀😀😀😀😀😀😀😀😀 na watawah kufika c unajua mkitembea mnapiga story inavyokua😀😀😀
@johnmlay47594 жыл бұрын
@@jssaa4733 😂😂😂😂😂kabisa ujikutaga ushafika unapoelekea bila hata kujua umefikaje unabaki mkijiuliza kumbe tushafika mbona tuliona ni mbali?
@pauldaniel56854 жыл бұрын
Bado reporting yako si nzuri
@TheMandela214 жыл бұрын
Kabisa huyu jamaaa the Journalist he lacks knowledge...seems unprofessional and unprepared....he lacks energy and the same questions repeatedly!!!!
@dintazdintaz73114 жыл бұрын
Ndege inawekewa vigingi au??
@happyjohn58824 жыл бұрын
Yeah zinawekewaa sio hyo tuu,kuna mazingira wanawekaa kwa taadhal
@dintazdintaz73114 жыл бұрын
@@happyjohn5882 haina hand break au??
@TheMandela214 жыл бұрын
@@dintazdintaz7311 machine nzito hiyo vigingi vinahusika
@dintazdintaz73114 жыл бұрын
@@TheMandela21 ckua najua kabsa maana hizo vtu hua tunaweka kwenye fuso zetu ambazo brek ni ya kugushi mzee
@mustapharama40634 жыл бұрын
Watuletee ubunifu sio story
@burudanitv8744 жыл бұрын
Untka ubunifu eneo gan
@priscambwambo10304 жыл бұрын
Alafu kuna Majitu yaliwahikusema ndege za nini?? (HÖNIG IM KOPF)
@emmanuelmtingwa48384 жыл бұрын
Manche Leute reden nur Müll ..
@nancymsiburu17544 жыл бұрын
Magufuli tosha.....kenya tuko kenyan airways nyinyi lakini hawawezi saidia wakenya kazi ni kuongeza idadi ya watu wako na mafua ati ni corona
@kacherosimba57624 жыл бұрын
Ndio mana mimi nime toka huko kwenu kwasasa niko kwetu raha sana
@paulinaobiria96494 жыл бұрын
Poleni Sana Sana ndugu zangu, Kweli tunamshukuru Mwenyezi Mungu nchi yetu inasonga na jemedari wetu hatikisiki, tunajua Covd19 ipo na tunaamini turaishi nayo, Hivyo ni lazima maisha yasonge
@johnmlay47594 жыл бұрын
Sisi watz tunamwamini muumba wetu aliyejuu na kasema Corona tz mwiko na kweli ni mwiko tunamshukuru Mungu kwani hashindwi na lolote ukimuomba, alisema ombeni nanyi mtapewa
@nancymsiburu17544 жыл бұрын
@Change Mindset uhuru ni corrupt guy kazi ni kukopa madeni China ndio maana wengine wetu tumehama kenya hustling in different world....I just hate my country....for real maghufuli is the best if I was tanzanian walai I could vote for him
@nancymsiburu17544 жыл бұрын
@@kacherosimba5762 kenya is not a county to live...that is aliving hell
@kisulaabas26144 жыл бұрын
Hivi ndio hawa alikuwa anapost bongo bahati mbaya
@abdallahmuhammed22794 жыл бұрын
inaendea maji itakuwa au lazima utowe mchango wamafuta acheni ujinga wenu
@iwenikigodiiwenikigodi48174 жыл бұрын
Inge kua haipo hayo mafuta ungeweka wapi?
@burudanitv8744 жыл бұрын
Pimbi mmoja aksema inaenda n.a. maji
@temkezatv43814 жыл бұрын
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@joshuakalinga3444 жыл бұрын
Magufuli hakuna mwingine tanZania uyo nikiboko yamaendeleo kama ulaya lisu kafie mbele wabongo kula c.c.m tunanema tZ fahari yetu hao waliotumwa namabeberu eti lisu nim2 gani uyo tukiwapa uongozi hawwa watapiga mnada Mali zote fyng over magufuli nchi imetakata Sana'a aaaa hapa kazi tu.