EXCLUSIVE: RUBANI KIJANA ALIYEISHIA KIDATO CHA NNE, ANARUSHA NDEGE ZA ATCL "NIMESOMA MAREKANI".

  Рет қаралды 45,681

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 82
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 Жыл бұрын
Neno TUISHI lina maana kubwa kwangu. Mimi nimepata mwangaza wa elimu tu. Ila nilijitahidi nisifeli maisha. Tuwe na haya: 1. Imani. 2 ujasiri. 3. Lengo. 4. Kutovunjika moyo. Asante kijana. Mungu akuhifadhie kazi yako. Unaupendo sana wewe na jamii.
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 Жыл бұрын
Hongera kijana wetu wa kitanzania Big 👆 up
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Hongera zake TZ tatizo tumekalili kwamba mtu akifaulu Physics basi ndo atakuwa rubani
@wachuswalehe5882
@wachuswalehe5882 Жыл бұрын
Congratulation ndugu
@abdulkarimshabanmhandeni847
@abdulkarimshabanmhandeni847 Жыл бұрын
Hongera sana Captain. Umefanya vema kutoa elimu kwa vijana wengine
@haroonmarco490
@haroonmarco490 Жыл бұрын
Nice one my brother 💪🏿💪🏿💪🏿TUISHI
@makungamapalala7982
@makungamapalala7982 Жыл бұрын
Captain bulindi uko vizuri sana
@jamesgeofrey8692
@jamesgeofrey8692 Жыл бұрын
Lakini pamoja na yote ila naona kuna connection kubwa kati ya urubani na ufamilia bora au tunaita wakishua
@magazimahushi6417
@magazimahushi6417 Жыл бұрын
Safi kabisa capt,maelezo mazuri liwe fundisho kwa wasioelewa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Na mimi nita soma Inshalllha 😢😢naota 😀
@JacknJacksosanga
@JacknJacksosanga 17 күн бұрын
Barikiwa brother
@jei_maimu6957
@jei_maimu6957 Жыл бұрын
Captain Bryan🔥🔥
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 Жыл бұрын
Hongera sana bro Mungu akubariki
@nassirali7499
@nassirali7499 9 ай бұрын
Hizi media zina waandishi wa hovyo sana ndo mana hakuna tena waandishi kutoka Tanzania katika media za kimataifa, unaandikaje kaishia form 4, wakati mwenyewe anataja degree alizochukua Malaysia?
@veronicathomas9422
@veronicathomas9422 Жыл бұрын
Hongera Sana kaka
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Congratulations
@sarahbuberwa7219
@sarahbuberwa7219 Ай бұрын
Hongera sana, nami nina mtoto ana ndoto hizo
@chacha-255
@chacha-255 Жыл бұрын
Siri ya kusomea urubani kwa uhakika ni pesa tu, Baada ya form 4 andaa milioni 100 ya ada kusomea urubani, ni fasta tu, lakini kujidanganya huku sijui usomee PGM form 6 unajidanganya tu, unamaliza hio PGM form 6 na bado ada ya milioni 100 haikwepeki.
@nonsomedy
@nonsomedy Жыл бұрын
Hii ni kweli kabisa
@sultankivumbi9255
@sultankivumbi9255 Жыл бұрын
Rubani kitu chakawaida2 si pia tunaendesha zabibi zetu kyakimya
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@shineforever1995
@shineforever1995 Жыл бұрын
Brian jamaniiiiii
@chekapromax5116
@chekapromax5116 Жыл бұрын
Sawa nikiendesha simulator inatosha ayo mapesa ya kusomea hzo mambo Sina
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Жыл бұрын
Daah mungu tusaidie 'na sisi ndoto zetu zisiishie mtaani maana tunatamani kuziendeleza ila nguvu haaaaaa hatuna ila uyu familia kidogo ilikuwa 'na uwezo kidogo mpka kwenda malesia si mchezo 'na ndo maana akafika alipo saiv
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Жыл бұрын
Okkkk
@magazimahushi6417
@magazimahushi6417 Жыл бұрын
Ndo watu wajue kuwa urubani ni fani kama udereva wa gari .wengine eti ooh lazima usome PGM. Ndo waone ushuhuda wa wahusika(marubani) Hata ATCL chief pilot capt.Shaid alisema hakuna uhusiano kati ya PGM na urubani
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 8 ай бұрын
Wengine wanakuwaga na mbwembwee tyuu kukatisha tamaa
@RamaNyerere
@RamaNyerere 9 күн бұрын
Unaweza ukasoma ukiwa na Miaka 38
@ms123ru
@ms123ru Жыл бұрын
Wakishua uyoo
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 Жыл бұрын
Mimi nimeishia la 3 ila narusha maneno ile mbaya
@hermanndongolo1550
@hermanndongolo1550 Жыл бұрын
😂😂😂
@HusseinMohamed-jq7hu
@HusseinMohamed-jq7hu 11 ай бұрын
😁😁😁😁
@adveraprophilio3778
@adveraprophilio3778 3 ай бұрын
Pressure ya hali ya hewa??????
@magazimahushi6417
@magazimahushi6417 Жыл бұрын
Hata Rais mstaafu wa America George W.Bush hakusoma kabisa physics wala hesabu, lakini akawa pilot wa ndege za kivita marekani
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Жыл бұрын
Kile chombo ni kama gari tu
@iviejustified8109
@iviejustified8109 Жыл бұрын
waeza kupata scholarship pìa master
@danielshonde5497
@danielshonde5497 Жыл бұрын
Masomo ya Urubani sio magumu shida mpunga tuuu Acha mandege yaongezeke tuwe mafundi tu
@jamesygodfrey8593
@jamesygodfrey8593 Жыл бұрын
Ha ha ha ha
@user-cb1rj5jr9o
@user-cb1rj5jr9o 2 ай бұрын
,,😂😂
@SumaSeleka-ph3pg
@SumaSeleka-ph3pg 19 күн бұрын
Afya baba unaweza ukakizi vyote hela unayo maradhi yakakuangusha
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Жыл бұрын
Insta mbona handsome zaidi jmn wadada tumepigwa na kitu kizito huku kama msomar wa sudan kusini kama mmasai yaan anakuja anakataa, ila kule insta anaonekana kama mmarekani 😂😂😂
@Official83640
@Official83640 Жыл бұрын
Ndy nyie mnaouliza umeoa unaishi wapi 🤣🤣🤣
@frankmtei3017
@frankmtei3017 Жыл бұрын
Kwahyo hapo uhendsome umepungua au
@MtuSafi
@MtuSafi Жыл бұрын
Tumikeni tu ndo muda wa kuwapiga mashine madem...mana videm vya Tz vinataka Six pack mara sijui handsome sasa tulien jamaa aonyeshe ufundi wa Kuto......Mm hata sijui lakin nimeangalia comment nyingi za madem wanamfuatilia live Insta daaaah msiba kweli.
@naimanuran2663
@naimanuran2663 Жыл бұрын
Haifoniiii😆😆😆💔na jua
@Official83640
@Official83640 Жыл бұрын
@@MtuSafi Ila mbona wakaka wapo wengi wanamfatilia hd live wanapiga cm tunawaona wanaingia
@BahatiIsmail
@BahatiIsmail 2 ай бұрын
Nimekuelewa mkuu, hivi ni umri gani sahihi kujifunza urubani?
@twalibuchilumbe7751
@twalibuchilumbe7751 Жыл бұрын
Si sawa na deleva tu lesen tu kama ya Magar sema wanazingua sana
@shadrackkassale2968
@shadrackkassale2968 Жыл бұрын
Pamoja na ndoto lakini bila ela itabakia kua ndototo TU 😥😥
@Official83640
@Official83640 Жыл бұрын
Bora tumjue maana wadada wanavyojibebisha kwenye live zake Insta hatari sana
@aminaam281
@aminaam281 Жыл бұрын
We 🤣🤣🤣
@Hasnspop
@Hasnspop Жыл бұрын
@@aminaam281 mda wake wakuwatomba
@Official83640
@Official83640 Жыл бұрын
@@Hasnspop Yaani hd mwenyewe anakereka anawaambia wanavuka mipaka hd aibu kwakweli
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 Жыл бұрын
@@Hasnspop 😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 Жыл бұрын
Wacha awachinje inavyotakiwa atabloo yy tu huwez shindna na ulipotoka
@Bizzy176
@Bizzy176 Жыл бұрын
Kwani kuendeaha ndege uwe na elimu gani
@shadrackkassale2968
@shadrackkassale2968 Жыл бұрын
Uliangalia video bila kusikiliza au
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 Жыл бұрын
Jmn msidnganyane kbsa huyu mwmaba tangu na mwanzo kwao Hela ipo we izo$72,000 za kusmea sio mchezo maan sie wengne mpk tutakufa hatufikii ata ile robo yke t ya kuzmilik izo Hela maskin hawez akawa ruban yaan tusidanganyane kbsa ukimuona mtu ruban uyo Ujue tangu na mwnz kwao Hela zipo
@farhatomar7495
@farhatomar7495 Жыл бұрын
Kabisaaaa
@danielbenard9053
@danielbenard9053 Жыл бұрын
Mtoto wa kishua huyo
@abdallaabedi2354
@abdallaabedi2354 Жыл бұрын
Skupingi mwamba
@goldenesta8649
@goldenesta8649 Жыл бұрын
Kweliiiii kabisa ada zao mkasi sana sie watoto wa maskin hatuwez 🤣🤣🤣
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Жыл бұрын
Acha kukalili kaka
@erickmsimbe5424
@erickmsimbe5424 3 ай бұрын
Mwanangu anatamani urubani shida ni garama
@trendingfootshorts
@trendingfootshorts Жыл бұрын
Adi unakua rubani inabidi uandae million 700+ tofauti naapo achana naiyo ndoto
@abdul-bz1cy
@abdul-bz1cy Жыл бұрын
sio kweli
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Жыл бұрын
Alaf nyie millard ayo achen mambo ya umotiveta spika😀kafika degree mnasema form four mna wazimu au mhaho
@binhussain3445
@binhussain3445 Жыл бұрын
Yes Hakwenda Advance
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Жыл бұрын
@@binhussain3445 wamekosea kusema aliyeishia kidato cha nne wakat elimu yake iliendelea
@mcmambo8774
@mcmambo8774 Жыл бұрын
IFIKE WAKATI TUSIWAZIBIE WATU ET MPAKA PGM MBONA HUYU AMEWEZA? TUNAKWAMISHANA BWANA. YAPO MAMBO MENGI YANAYO FANANA NA HILI SO TUCHEK UPYA MITAALA NA TARATIBU ZETU
@samwa9496
@samwa9496 Жыл бұрын
Ni kweli kufeli shule sio kuwa huna akili ni hizi elimu za kuona huyu afeli tumpe yule kwa kupenda pesa unashangaa unafeli siku unamaliza mtihani tangu msingi hadi unafika 4 upo vizuri unafanya mtihani eti unafeli
@izobinyoizobinyo
@izobinyoizobinyo Жыл бұрын
Urubani ni kazi kama udereva wa vyombo vingine sema tofauti yake na vyombo vingine vya moto au meli ni ghalama kupata elimu yake.We andaa mil 700 bila kujali mambo ya pgm uone kama ujahitimu.Kwa jamii zetu bado tunamshangaa mwanamke akiendesha gari sababu hivi vitu ndo sasa vinaingia Afrika wakati duniani washaona mambo ya kawaida
@cocotz1892
@cocotz1892 Жыл бұрын
Tuishi
@nemeskimbe376
@nemeskimbe376 Жыл бұрын
Ngoja awabwage ndo mtaanza kulalama alikuwa speed mbuzi kaenda sokoni
@capvictor2211
@capvictor2211 9 ай бұрын
Kitu cha kawaida
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 85 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 9 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 470 М.
Kutana na Baba na Mtoto, Marubani Air Tanzania
6:30
Air Tanzania Company Limited (ATCL)
Рет қаралды 172 М.
Vigezo ambavyo lazima uwe navyo ili uwe muhudumu wa Ndege
12:37
Millard Ayo
Рет қаралды 60 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42