Mbna hivyo hao waandishi wa habari wanaongea tu jmny, aibu tupu kwakweli
@michaelmwaluko28822 ай бұрын
Hahahah aisee😅😅😅
@RamadhaniKatuga2 ай бұрын
Wewe simanga tu nawewe utasimangwa na manara unafikiri utachelewa wewe
@pendaelmollel18472 ай бұрын
Hapa kuna shida nimeona. Ali kamwe hana furaha manara kurejea na manara pia hana furaha kwa uwepo wa ali kamwe. Uongozi wa wetu kaeni na hawa watu muone namna gani mtasettle their differences