Uyu jamaa bonge la mchambuz ambukile uko vzr chuma Cha Mjerumani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@benjaminnelson48345 сағат бұрын
Akuna mchambuzi hapa
@Bhuyenze4 сағат бұрын
Hapo nikupata ase
@benjaminnelson48345 сағат бұрын
Wote wanacheza pamoja,ata yanga fei anacheza alimuweka bench azizi ki
@givembwilo1415 сағат бұрын
simba inaonekana wanacheza na timu ngumu kwa 7bu ni mbovu
@namfukamaismailna82036 сағат бұрын
MAKOLO Wana matatizo sana. 😂
@MariaSigan-i6g5 сағат бұрын
Kwn Nola kutukana hamna amani daaaaa
@EmmanuelMwaisela5 сағат бұрын
Jamani tuwe wapole matusi hayafai😢😢😢
@mansooralaisri520028 минут бұрын
Ngoma ya Yanga Huwa haipoi
@benjaminnelson48345 сағат бұрын
Shida yako unataka simba kufungwa na ilo alitafanikiwa kamwe ,walicheza kwa sababu tulikaa nyuma ,tumefungwa mara 2 tu
@DuniHaji3 сағат бұрын
Unajua San bloo
@PaulMuasya-z8c7 сағат бұрын
Kila timu inaitaji kua na wachezaji wazuri wengi. Charles ni mchezaji mzuri wacha porojo zako wewe.
@HussenMadimbwala8 сағат бұрын
Hayo ni maneno yako itakuwa mpole
@DenisSanga-bj5ud8 сағат бұрын
Chuma ni kimoja tu Cha mjerimani AMBOKILE
@TwahirBurhan4 сағат бұрын
UPO SAHIHI PALE MIKIA FC FEI ANA ASILIMIA 100,HUYO AHOU NI JINA TU,HATA MUTALE NI MBIO TU
@kabujeasukile54626 сағат бұрын
Kuna wachezaji SIMBA hawajachanganya MANYANGA🤣🤣🤣🤣
@SaidiSaidi-o6r7 сағат бұрын
huyu jamaa fala tu
@albertbaraka51944 сағат бұрын
Mpanzu kuja simba ni big mistake sana. Alitakiwa kubaki Europe. Ata pigwa misumari kama Kramo 😂😂
@mansooralaisri520024 минут бұрын
Simba ni mtoto anae shikwa mkono kupelekwa shule
@TwahirBurhan4 сағат бұрын
AHMED ALLY NI KIAZI TU NA NI DUNDUKA LILILOVUNDA
@LilianBitwale7 сағат бұрын
Bas hapo watachambaaaaaaa 😂😂😂😂 panya road bhana
@DoreenMlay-e8g3 сағат бұрын
uyo fei amaewaambia anataka kwenda simba .? au kelele wa2 wanajiandaa na mechi klb bingwa wngine shirikisho badala ya kuombea timu zishinde wachambuzi ni ku2pigia kelele ooh mara mpanzu ooh mara fei atenda yanga mara simba huu sio muda wakutoa watu mchezoni izo ni propaganda wachambuzi jifunzeni kusoma alama zanyakati mnaboa sana,
@IssaMkwata7 сағат бұрын
Huyu jamaa mchambuzi wa mchongo wa hovyo kabisa
@AbisinaRashidi-c8d6 сағат бұрын
Huyu ambokire ni choko sana pili ni chawa wa yanga anatumika na yanga sijui linaongea nini hapo mwanya kama mfereji wa mkundu