RC MAKONDA ATOA YA MOYONI MBELE YA MWAMPOSA WATUMISHI KUTUMIA NENO KURUBUNI WANANCHI ARUSHA

  Рет қаралды 78,509

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер
@evelynkamuzora4462
@evelynkamuzora4462 4 ай бұрын
Acha madhabahu za uongo ziendelee kuwepo wakati utafika zitafutika,kazi ya wana wa Mungu wa kweli ni kuendelea kuliombea kanisa lake.
@OlgaAtanasioOlgaAtanasio
@OlgaAtanasioOlgaAtanasio 21 күн бұрын
Mungu nipate yela nijengue yumba apa palma lua Jina lá yesu amen
@OmegaGraphix
@OmegaGraphix 4 ай бұрын
Kiongozi wa dini au kwa lugha nyingine mtumishi wa Mungu hatafuti umaharufu. Sio kazi walioitiwa mkuu
@Usalamawave
@Usalamawave 4 ай бұрын
Twende mbele turudi nyuma, Makonda is another person 🔥 🔥
@LydiaNasimiyu-h1n
@LydiaNasimiyu-h1n 4 ай бұрын
Wakomeshe hawa madhabeli hawa ndiyo ndiyo ndiyo Fanya kazi makonda tuko nyuma Yako Yesu akiwa kiongozi ❤❤❤❤
@zakariamakumba5042
@zakariamakumba5042 4 ай бұрын
Madhabahu Yako inatumika kutukana watumishi wa Mungu,
@thomasmallya2972
@thomasmallya2972 4 ай бұрын
Makonda unasaau kitu kimoja kuna vitu vilifanyika kwa sababu na aviitafanyika tena kwa iyo acha kutupotosha viongoz wadini wanatakiwa kuonya na kukemea pia
@EstherJerald-tc6ct
@EstherJerald-tc6ct 4 ай бұрын
Amina Ubarikiwe mtu wa Mungu Mwenye masikio na asikie na ageuke kumwoomba Mungu juu ya nchi yetu Tanzania Mungu ingilia kati ktk nchi yetu Tz
@apostleemmanuelmabuga8148
@apostleemmanuelmabuga8148 4 ай бұрын
MAKONDA SIO NEBKADNEZA ni FARAO
@JumaThomas-f1z
@JumaThomas-f1z 4 ай бұрын
Kama huna D 2 huwezi elewa Makonda safi sana
@Martindavid-g5x
@Martindavid-g5x 2 ай бұрын
Makonda kweli mungu wako ni mkubwa ubarikiwe sana
@OmegaGraphix
@OmegaGraphix 4 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu wa kweli anayehubiri kweli hawezi kuwa rafiki wa serikali yeyote duniani. The bible proves that
@AkswaZo
@AkswaZo 4 ай бұрын
I am a Muslim but I have agreed it
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 4 ай бұрын
Makonda unapitosha umma kupitia kanisa. Huna Mungu wala baraka za Mungu. Na aliyekuteau , chura hana Mungu. Utakuwaje chura na kuwageuka wananchi. Ni utapeli mtupu. Sasa unatumia baadhi ya matapeli wa Mungu kujipa ukubwa. Hata Mwamposa hatumii Mungu. Hana Mungu. Msimkufuru Mungu. Mwamposa hawezi kupora pesa za wanaohangaika kujipa utajiri akasema anamtumikia Mungu kwa kumtumia Yesu aliyekuwa hana pesa, magari, mahoteli. Yesu ashuke sasa hivi, Mwamposa hatauona ufalme wa Mungu. Yfalme wake kishajipatia hapa duniani. Makonda usimkufuru Mungu. Jiimbee kwa kweli. Kwa waliotekwa, uawa, teswa kupitia mikono yenu hamko wasafi. Mnaipeleka nchi kubaya zaidi. Mnatetea watekaji, wauaji na kuwahukumu wanaoteswa. Una bifu binafsi na Mbowe sababu kasimama kidete kumwindia huyo mama yako Samia na kumrudisha Pemba. Watanganyika tumechoka na manyanyasi. Mnaweza kumfuata Zanzibar mkakujenge huko naye lakini tuachieni nchi yetu, bsndari zetu, viwanja vya ndege, madini yetu, ardhi za Ngiringori, Serengeti , misitu yetubya njombe na mbeta yetu. Mmeuteka uchumi mkuu wetu wite nchini nchini na ufisadi mkuu . Tanganyika ni ya watanganyika. Umemgeuka Magufuli atakukaba yeye mwenyewe kwa kumuuza kwa huyu mama ambaye alimwamini. Tuitie Ccm sasa. Na manabii wao wote wauongo. Mungu wapige kofi wewe mwenyewe. Wanakuchafua. Basi acha siasa jiunge na huyo Mwamposa sasa. Usichanganye ushenzi wa matapeli kanisani na siasa kuteka na kuua watu, na kupora mali zao. Hatuna wachungaji, hatuna serikali.
@AngelMazola
@AngelMazola 4 ай бұрын
Sio kwamakasiliko ayo kwaiyo we kimekukwaza nini apo kwasababu yupo na mwamposa si ndio
@NkwabiMasanja
@NkwabiMasanja 4 ай бұрын
Huu ujumb nahis umeeuadika huku moyon unamaumivu kww pamja xana
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 4 ай бұрын
We ni fala tu
@DanielLetina-j9v
@DanielLetina-j9v 4 ай бұрын
Ndugu yangu Mokondo umesema Biblia inasema katika Mathayo 7:15.,16.,17.,18.,19.,20.,21.,22.,23. 15. Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. 16. Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? 17. Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. 18. Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri. 19. Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. 20. Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua. 21. Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. 22. Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? 23. Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu. hatakama mtu ni maarufu namna gani, kufanya miujiza minga,kuponya wagonjwa sana Yesu alisema wengi watakuja siku hiyo watasema hatujatoa pepo kwajina lako ,hatujafanya miujiza Yesu atawaambia siwajui ninyi watenda dhambi kuponya sio vibaya kufanya miujiza sio vibaya lakini mwamposa sio kwasababu ni maarufu ndiyo tuna musema katika mahubiri yake ni kuponya tu na utajiri lakini hawambii watu warudie MUNGU na analiongeza jina la Yesu Kwa maji,mafuta,udongo Amefanya jina la Yesu haliwezi kuponya pasipo maji kwanini?
@hadjiMbugi-iu4eg
@hadjiMbugi-iu4eg 4 ай бұрын
Jamaangu umeandika paragraph kubwa wakati cc dini yenyewe tumeletewa 😂😂😂
@toshackmadege5507
@toshackmadege5507 4 ай бұрын
Nimekuelewa sana Mheshimiwa mkuu wa mkoa, kuna viongozi wa dini wamegeuka chawa wa siasa za hovyo za kuharibu amani na umoja wa nchi yetu wakati wao kazi yao ni kuponya roho
@Jackson-n2c
@Jackson-n2c 4 ай бұрын
Makonda nampenda sana 😊..... Lkn makonda usibebe ishu hii inayoendelea sahivi.... MUNGU hapendi umwagaji wa damu
@ThomasfrancisMvella
@ThomasfrancisMvella 4 ай бұрын
Comrade tuko pamoja paka sir god atakaposema enough....we believe in u
@PaskaziaVidastus
@PaskaziaVidastus 4 ай бұрын
Hakika makonda unafaa kuwa mtumish wa Mungu
@Jane-l5z
@Jane-l5z 4 ай бұрын
Wewe kila kitu kinafaa.hayo ni matumizi mabaya ya ubongo
@lindajohansen9220
@lindajohansen9220 4 ай бұрын
Aarusha msidanganyike Mungu wetu sio mwanadamu hata aseme uongo! Hao wenye mikono yenye damu watupishe kwanza. Mwamposa Mungu anakuona eti, achana na watu wauaji fanya kazi ya Mungu mtume. Usikubali huduma yako ichafuliwe!
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 4 ай бұрын
Hajasema MUNGU ni mwanadam embu kuweni na akili ya kutanuka hata shuhuda za mwamposa anasema MUNGU ndie mponyaji sio yeye mwamposa kaa kwa kutulia
@zakariamakumba5042
@zakariamakumba5042 4 ай бұрын
Tamaa mbaya Mwamposa
@EstharDaniel-s5g
@EstharDaniel-s5g 3 ай бұрын
Maombezi ya leo
@zawadjose5440
@zawadjose5440 4 ай бұрын
Mmmhh hapa hakuna Mungu ni siasa tu 😢😢😢😢
@ProphetIsayakihingi
@ProphetIsayakihingi 4 ай бұрын
Mungu wa mbingu nachi akubaliki makonda kiongozi anaye ongea mungu juu ya nchi yetu na kanisa
@blandinajoseph1291
@blandinajoseph1291 4 ай бұрын
Ma prophet wa siku hizi😎 na hili nalo alilolifanya makonda ni lakusifia kweli???Anatamba kwa sababu madhabahu yenyewe inamtambua na inamkubali,angekwenda kwenye madhabahu zenye moto aone km angesimama hata dakika moja😏
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 4 ай бұрын
Huyu MAKONDA mungu amemupa vipawa vingi ubarikiwe sana
@prospermsemwa1433
@prospermsemwa1433 4 ай бұрын
Hakuna kitu hapo
@daviddsouza735
@daviddsouza735 4 ай бұрын
Kipawa chako binafsi kipo wapi ili nawe utambue ishara za nyakati?
@SkendoTV
@SkendoTV 4 ай бұрын
Makonda ni Mweu anahitaji kuombewa 😂😂😂😂
@chimpayejohn6157
@chimpayejohn6157 4 ай бұрын
Barikiwa Sana makonda nakuelewa saaana baba
@Tg.7_7
@Tg.7_7 4 ай бұрын
Aisee hayo maandiko yalivyochanganywa, duh😢 Mfalme Nebukadnezer then Yusuph dah!😢
@WemaMhema
@WemaMhema 4 ай бұрын
Ubarikiwe makonda
@barakakitomary2936
@barakakitomary2936 4 ай бұрын
Nikweli kaka makonda nakuelewa brooh wangu
@Franciskiongozi
@Franciskiongozi 4 ай бұрын
Unamuelewa kwenye Kipi? Ni kweli Viongozi Wa dini hawapaswi kuuliza Maswali Kwa viongozi Wa Dunia lkn Kuna sehemu Mkuu amepuyanga Nebkadreza Ni mfalme Wa babeli Ambae ndoto Zake alimtafsiria Daniel Yusuph alitafsiri ndoto za farau mfalme Wa Misiri Na Kingine Kwani Amefanya Tathimini Gani kuwa Apostle Yu Wa Mungu Kweli Kweli? Hekima Ni Bora na Huu Ni Wakati Wa Utulivu Kuliko marumbano
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 4 ай бұрын
​Tena hajawahi kusoma kwamba Yesu mwenyewe alisema hao atawakana siku ya mwisho. ... Siku hiyo wataniambia Mwalimu sisi tuliponya wagonjwa kwa jina lako na kutoa pepo kwa Jina lako. Nitawajibu siwajui nyinyi mtokapo. Watu hatuna uwezo wa kujisomea maandiko na kutafakari. Uelewa huo mdogo ni sehemu ya uovu wa mauaji tunayoyashudia, mtu ambaye anaamini na mwenye kiu kubwa ya miujiza anashindwa nini kuamini kwamba viungo vya binadamu vinaleta utajiri, cheo au mafanikio mengine. Kisa cha sodoma na Gomorrah kinaweza kutumika kuelezea taifa letu. Wingi wa watenda miuujiza huu. Kwa nini haya yanayotusibu?. Kuparamia waliopakwa mafuta sio sawa. Hatujafika bado. Kile kitabu cha wimbo wa Lawino, mshairi alitwambia kwamba, mashehe, mapadri na wachungaji wote hawa ni mashujaa. Tujichunge na watu hasa waliojitoa sadaka hata kama hatukubaliani nao. Watu karibu walimsema Musa kuoa mwanamke nje ya kabila la Israel, bible inaelezea kilitokea nini. Ni wapakwa mafuta wa bwana, wakiandika wameandika . Waraka, tamko ya Mtu aliyewekwa wakfu ni Sala na Maelekezo ya Mungu kwa binadamu.
@LightnessMushi-d4k
@LightnessMushi-d4k 29 күн бұрын
Umesema ucchokijua pole mkuu
@FilbertHabashi-zn1qu
@FilbertHabashi-zn1qu 4 ай бұрын
Kila kiongozi aliyevaa kofia ya dini na hajaitwa na mungu, namfuta kwa jina la yesu . Mwamposa ameshtuka sana kusikia hayo maneno ya makonda kidogo ajikojoleee.
@esthersissamo1120
@esthersissamo1120 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 4 ай бұрын
Mpaka sasa nafiria nashindwa kupata majibu
@HappyMsuha
@HappyMsuha 4 ай бұрын
​@@charlesmwambinga4355unachelewa sana hao wamesoma wote na akiwa na mda anasali kawe yeye ,chalamila wengine wengi wapo kawe anafikisha ujumbe kwa watumishi wengine wakisimama wamuongelee Mungu kama afanyavyo mwamposa sio wao kila wakisamama ni kumsema mtu sio sawa na wakishindwa wanaenda serikalin sasa nao serikali wapate majibu wap kama wao watumishi hawafany kaz yao vyema Simple summary sikiliza utaelewa
@clintonarnold6291
@clintonarnold6291 4 ай бұрын
Siasa🔥🔥
@pastorbarakangata606
@pastorbarakangata606 4 ай бұрын
acha kudanganya watu kundi hilo likipotea kwa kupotea kwao unamchango kama mnakosea kwanini msibadilike mnahitaji maombi ndio maombi na kuandika waraka pamoja na kukemea uovu wanaonya ni waganga njaa
@nkombejonathan2858
@nkombejonathan2858 4 ай бұрын
Mungu akubariki RC Makonda, tukupate wapi mtu kama wewe ambaye anasema Neno la Kweli ya Mungu kuliko hao wanaojiita wenyewe?
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 4 ай бұрын
@@nkombejonathan2858 kwenye ukweli ni lazima awemo kweli mwenyewe. Hapa ukweli huu yupo shetani Kujigeuza kuwa malaika wa Nuru. Walio wake Mungu hawapingani. Jambo la Hekima wanalikuza, mpumbavu anadharau na kubedha.
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 4 ай бұрын
Hivi umesikiliza yote au na wewe husomi bibilia ? Mungu Dictator ? Hana democrasia ? Elia sio Nabii ...vichaa nchi hii ni wengi sana😂😂😂😂😂😂
@zakariamakumba5042
@zakariamakumba5042 4 ай бұрын
Mwamposa,omba rehema umeaibisha Mungu na huduma yako,hata neno hajui ,umefanya jambo la aibu
@MariaStephano-k1s
@MariaStephano-k1s 4 ай бұрын
Sema baba barikiwa sana
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 4 ай бұрын
Watanzania bwana acha nicheke tu😂😂😂😂 nasubiri maoni yenu juu ya hutuba ya makonda
@hanifa9153
@hanifa9153 4 ай бұрын
Makonda we silim tu hakna Dini 2 duniani dini ni 1 na Mungu God Allah ni 1 tu sasa wew jitoe ufaham wakati una tangaza injili inayobadilishwa maneno kila leo karibu kwenye uislam makonda wetu💞💞💞
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 4 ай бұрын
Hata na huko kumebadilika tu. Tujisomee
@hanifa9153
@hanifa9153 4 ай бұрын
@@GodfreyOsward kwenda ukoo qurian haijawai kubadilila ata mtoto mdogo ana hifadhi kitabu cha Allah hatudanganyiki na Allah ameshaweka ahadi ata wakakaa kuandika hawawezi kuongeza coz tumehifadhi mioyoni mwetu wadogo tu tukiwa madrasa na wakijarb kuongeza ata herufi moja waislam wa dunia yote tunajaga na dakika . Jiongeze😂
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 4 ай бұрын
@@hanifa9153 Hapana watu wengi hatupendi kuingilia Imani za wenzetu kwa sababu mbinguni ni ya Mungu. Haya mambo ni Imani tu.
@MajariwaLukas
@MajariwaLukas 4 ай бұрын
ACHA UJINGA UWISILAMU SIYO DINI YAMUNGU UISLAM NI DININI YA MAJINI NAWAGANGA
@erickevarst9589
@erickevarst9589 4 ай бұрын
Uko sawa@MajariwaLukas
@Wilbroad-m2u
@Wilbroad-m2u 4 ай бұрын
Kiongozi umeongea vizuri sana.ila bado ni unafiki tu. Hata siku moja sijawahi sikia mnazungumzia makosa ya rais. Mnayakaria kimya
@kwisa4899
@kwisa4899 4 ай бұрын
Mbona hawamzungumzii Daudi
@songombingo108
@songombingo108 4 ай бұрын
Matapeli wanaotumia jina la Mungu. Hamna kitu hapo.
@NaomiMwampondele
@NaomiMwampondele 3 ай бұрын
Anawaita mungu wafurani kweli mungu nimtu
@barakakasamia5036
@barakakasamia5036 4 ай бұрын
Unamjuwa uyo vizuri nauwo msalaba shingoni Wanini uliza na diamonde anao uwo msalaba
@LeokadiaSuto
@LeokadiaSuto 3 ай бұрын
sa nyie mritaka amutukane samia uyo baba si ni raisi razima amusemehe mazuri jamani
@meshackthomas1341
@meshackthomas1341 4 ай бұрын
Hata msemeje makonda. Anafaa sana tu kuwa kiongozi mkubwa Tanzania. Anavyo vigezo. Hivyo. Tukiacha fitina na chuki binafisi. Kigezo mojawapo nikwamba anafaida kubwa kiutumishi kuliko hasala nk 👁️👁️
@AllyMasterKitali
@AllyMasterKitali 3 ай бұрын
Mweshimiwa mkuu wa mko tunakupenda sana mwamposa nitaperi anapiga ramli chonganishi anadanganya watu na udongo pia sabuni mafuta huu nitaperi mkuu
@gerevasliyunga9831
@gerevasliyunga9831 4 ай бұрын
😂😂😂Tanzania inaanza kua na ubaguz wa kidin hii ni balaaa
@jeremiahsimon9043
@jeremiahsimon9043 4 ай бұрын
Watumishi wangapi wameshatoa ushauri kwa serikali lkn haufanyiwi kazi! Je! Kuonya si moja katika wito wa Watumishi? Je! Yohana hakumwonya Herode?? NDUGU.....
@uziasinkamba7380
@uziasinkamba7380 4 ай бұрын
Kilichotokea umekifuatilia, nikama alienda haraka bwana yohana.mpaka akamuona Yesu Kua Hana huduma maana alitarajia kwamba angeenda kumufariji kule gerezani.
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 4 ай бұрын
Hata nabii Amosi na akambilia milimani. Siku hizi ukijikusanyia washirikina wa miuujiza unaweza kusema chochote.
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 4 ай бұрын
Hapo umenena man of God
@majjidrajabu2622
@majjidrajabu2622 4 ай бұрын
Na mtumishi asiyesimamia haki bali ‘ uchawa’ hafai kumtumikia Mungu, kwani Mungu ni upendo na pasipo haki upendo hausomeki na amani hutoweka😮😊
@abdalaalmas2535
@abdalaalmas2535 4 ай бұрын
Nimekukubali sana Makonda
@deovisual
@deovisual 4 ай бұрын
Nabkadresa au Yusufu? 😢😢😢
@ebenezermachange-zp4es
@ebenezermachange-zp4es 4 ай бұрын
Amen ..Glory to God
@daviddsouza735
@daviddsouza735 4 ай бұрын
Mfalme nani na Yusufu? Watumishi huwa hawana sana majibu. Huwa wanakuja kuonya na kukanya. Chomoka baba upate kujifunza mengi.
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 4 ай бұрын
Makonda hapo unaharibu future
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 4 ай бұрын
Cheza na mengine sio utumishi wa mungu
@kwisa4899
@kwisa4899 4 ай бұрын
Huyu ndie mlipendekeza kuwa Rais wetu😂😂😂😂😂
@emmanuelmwandu.3126
@emmanuelmwandu.3126 4 ай бұрын
😂... Hata Mimi nawaza au kavaa kava siyo Makonda boy Mzee wa spana😊
@talentshow2024
@talentshow2024 4 ай бұрын
😢
@BraveMajaliwa-gf7ru
@BraveMajaliwa-gf7ru 4 ай бұрын
​@@emmanuelmwandu.3126makonda ameanza kufanya siasa za kipumbavu 😂😂😂 eti mwamposa anatumia nguvu za MUNGU
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 4 ай бұрын
Tulieni kila mtu atakua rais😂shwain
@lihumbolihumbo1330
@lihumbolihumbo1330 4 ай бұрын
Yaani Makonda unatakataa viongozi wa dini wasihoji kuhusu utawala wenu!?🤣 Kwani nyie sio watu wa Mungu!?😅😅
@ericktesha1668
@ericktesha1668 4 ай бұрын
Rev.Desmond Tutu Rev Martin Luther Jr Rev Jesse Jackson...and so on and on
@johnmatiko1108
@johnmatiko1108 4 ай бұрын
Desmond tutu Tena? 😂From south Africa
@MgayaBen
@MgayaBen 4 ай бұрын
Wewe ni chawa wa wazi
@fiziakayombo5243
@fiziakayombo5243 4 ай бұрын
Nilikupenda sana lakini hili Bwana yesu akurehemu
@MymunaUlaya
@MymunaUlaya 4 ай бұрын
Hiki chuma kikiondoka tanzania itapooza sana mungu ampe maisha marefu hyu mwamba
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 4 ай бұрын
Kipofu akiongoza kipofu wote hudumbukia shimoni.
@samwelkadege8496
@samwelkadege8496 4 ай бұрын
Nebokaderza na yusufu 😅😅😅amevamia kazi za watu,, Eliya alikuwa Nabii,
@evelynkamuzora4462
@evelynkamuzora4462 4 ай бұрын
Tanzania ni ya YESU anaipigania anaisaidia hakuna lisilo na mwisho YESU tu ndiye hana mwisho. Hakuna usiku usiokucha kila kitu ipo siku macho ya watu na fahamu zao zitafunguliwa nao wataujua ukweli wa neno la Mungu na madhabahu ya Mungu iliyo sahihi.
@yamungungendu4839
@yamungungendu4839 4 ай бұрын
Hapa Hamna Kitu....Simwamini tena Makonda!!!
@LightnessTimotheo
@LightnessTimotheo 4 ай бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosaa maarifa neno la Mungu tunalo ila wengi hawasomi nakuelewa anachotaka MUNGU!!nakuomba eeh MUNGU baba utuhurumie tu
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki 4 ай бұрын
Wape spana kaka nawaona jinsi watekaji wanavyotoa mapovu we uogopi😂😂😂😂😂😂
@zachariamakoba8368
@zachariamakoba8368 4 ай бұрын
Mwanposa anapewa za uso live, na mtaalamu mkuu wa mkoa
@godfredkimaro3292
@godfredkimaro3292 4 ай бұрын
Unashusha Cv watanzania wa sasa siyo wa miaka ya 90.
@Neemav-c5i
@Neemav-c5i 4 ай бұрын
Mwamposa mwenyewe ni mla fedha za watu wenye unyonge.
@MathewsSikazwe-up4qd
@MathewsSikazwe-up4qd 4 ай бұрын
kaka mwamposa, uwe makini na ao Wana siasa wata kuaribia uduma Yako, wanatumia mikusanyiko Yako kupiga kampeni ya ccm uwe makini.
@AugustineChizubo
@AugustineChizubo 4 ай бұрын
Cjakulewa kabisa Rc
@ElizabethFumbuka
@ElizabethFumbuka 4 ай бұрын
Pamoja na neno sawa ,lakn Kuna km kusaka kura hivi😂
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 4 ай бұрын
Hongera makonda
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 4 ай бұрын
Mbona uovu wa serikali husemi
@ForgiveCheyo
@ForgiveCheyo 4 ай бұрын
Uko super makonda
@devothaignatius5256
@devothaignatius5256 4 ай бұрын
Mm nitafia kwenye dheebu niliko batizwa nawazazi wangu cio nikiona vipi bora niamie kwenye uwisilamu lkn cio chumvi mafuta nakeki Mungu nisaidie apa hakna kitu ni siasa kama zingine 😜😜😜
@khamisjohn7639
@khamisjohn7639 4 ай бұрын
Unatumia nguvu lkn hata neno la Mungu hujui ndiyo maana unatapika tuuuuu maneno. Eti Nebukadineza aliota ndoto Yusuf akatafsiri. Acha uongo
@simbeyekingsministrytv9035
@simbeyekingsministrytv9035 4 ай бұрын
Sasa hii ndiyo siasa na dini ... Yani ulichofanya hapo ndiyo umefanya siasa.. Nakushauri tu mkuu wa mkoa acha kujichanganya...
@seneu.2128
@seneu.2128 4 ай бұрын
RC Makonda umeamua kuwashambulia maaskofu wa kanisa katoliki, Lutheran pamoja na katibu mkuu wa CCM kwa hilo hautafanikiwa
@BahatiMohamedi-h9v
@BahatiMohamedi-h9v 3 ай бұрын
Pamoja
@EmmyMwashimanga
@EmmyMwashimanga 4 ай бұрын
Kweli Mungu hayupo Tanzania. Na ukiweka siasa na neno la Mungu ni shida. Ila Mungu awape macho ya kuona bado cjaona kitu hapo ila kwakuwa mungu yupo ataonekana tu
@MkoiTvTz
@MkoiTvTz 4 ай бұрын
AFANDE MWINGINE ATUMA WAHUNI KUMLAWITI KIJANA ANAETEMBEA NA MCHEPUKO WAKE,KUMBE NI MWANAE..! kzbin.info/www/bejne/ipfSfnqDrJZmsLc BAGAMOYO. Afande Mstaafu aliyeatuma wahuni kwenda kumlawiti kijana aliyekuwa anatembea na mchepuko wake, Lakini wakati wahuni wanajiandaa kumuingilia Kijana huyu mzee kumuangalia vizuri kumbe ni kijana wake kabisa. Alikuwa hajui kama msichana huyo ni MAMA yake mdogo walikutana bar usiku akaenda kulala nae, Kumbe baba yake amempangia nyumba nzima, amemfungulia Saloon na kumnunulia gari aina ya IST. Mzee alichanganyikiwa kwani alikuwa na maradhi ya KISASA, Wananchi wengi watoa maoni yao kuwa wazee wenye watoto wa kiume umri wa kuanza mahusiano wawe wanatoa taarifa kwa watoto wao ili lisijirudie jambo kama hili. Mtoto wa huyu mstaafu huyu hapa VIDEO yake amefunguka mengi, endelea kuangalia Mkoi Tv Online share, comment, Like na Subscribe Mkoi Tv au unaweza kuwsiliana na chumba chetu cha habari kwa simu namba +2557130575718 ipo Whats App.
@MkoiTvTz
@MkoiTvTz 4 ай бұрын
AFANDE MWINGINE ATUMA WAHUNI KUMLAWITI KIJANA ANAETEMBEA NA MCHEPUKO WAKE,KUMBE NI MWANAE..! kzbin.info/www/bejne/ipfSfnqDrJZmsLc BAGAMOYO. Afande Mstaafu aliyeatuma wahuni kwenda kumlawiti kijana aliyekuwa anatembea na mchepuko wake, Lakini wakati wahuni wanajiandaa kumuingilia Kijana huyu mzee kumuangalia vizuri kumbe ni kijana wake kabisa. Alikuwa hajui kama msichana huyo ni MAMA yake mdogo walikutana bar usiku akaenda kulala nae, Kumbe baba yake amempangia nyumba nzima, amemfungulia Saloon na kumnunulia gari aina ya IST. Mzee alichanganyikiwa kwani alikuwa na maradhi ya KISASA, Wananchi wengi watoa maoni yao kuwa wazee wenye watoto wa kiume umri wa kuanza mahusiano wawe wanatoa taarifa kwa watoto wao ili lisijirudie jambo kama hili. Mtoto wa huyu mstaafu huyu hapa VIDEO yake amefunguka mengi, endelea kuangalia Mkoi Tv Online share, comment, Like na Subscribe Mkoi Tv au unaweza kuwsiliana na chumba chetu cha habari kwa simu namba +2557130575718 ipo Whats App.
@nswilahebronhans9550
@nswilahebronhans9550 4 ай бұрын
Tiini mamlaka zilizopo duniani maana mamlaka zote zinatoka kwa Mungu 😂😂😂 we puuza serikali yako
@ConfusedChicken-ze9fz
@ConfusedChicken-ze9fz 4 ай бұрын
Wewe acha kuongea ujinga kwani ukiwa mwana siasa apaswi kuzungumzia siasa? Je unamjua mfalme Yehoshafati au wewe usomi Biblia
@FrenkMushi-i7f
@FrenkMushi-i7f 4 ай бұрын
Uyuu jamaaa ni mpumbavuu anatetea tonge
@raphaeltjohn2786
@raphaeltjohn2786 4 ай бұрын
Upagani WA kiwango cha lami huu
@SebastianNgimba
@SebastianNgimba 4 ай бұрын
unanuka mikono yako inadamu,jitahidi kujitakasa,mungu anajua unachokimaanisha
@barakakasamia5036
@barakakasamia5036 4 ай бұрын
Makonda unakosea sana huna siku mingi ukwe ukohivi watumishi wanaanza kumuonya, kisha wanakukaripia baada ya napo shindikana ndio wanalipeleka kwa Mungu
@josephlorri431
@josephlorri431 4 ай бұрын
Makonda hapana hapana hapana... hapo anawananga Katoliki kwa kuhoji watu wanaopotea/kufa,wamasaai wa ngorongoro. Makonda umefika mwisho wa fikra..JPM naye alipambana na akina Archbishop Ruwaichi.. sambamba na kuhubiri neno la Mungu, Katoliki walitoa huduma za afya,elimu,maji maeneo yasiyofikika kirahisi tangu kabla ya uhuru
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 4 ай бұрын
Neno la Mungu Lina ujuzi wake. Hapa kunakosa utambuzi. Hajatafakari kitabu cha KUTOKA. Musa na Haruni walimkabiri Farao uso kwa Uso. Bible ni ngumu sana hata anayejidai kuielewa anadanganya. Haya ni maneno ya Yesu mwenyewe. Siku ile waniambia Mwalimu sisi tuliponya wagonjwa kwa jina lako na Tulitoa pepo kwa Jina lako. Nitawajibu siwajui nyinyi mtokapo. Yesu aliulizwa kwamba ndini nzuri ni ipi?. Majibu yake yako kwenye bible. Shetani ana tabia ya Kujigeuza kuwa malaika wa Nuru. Mmmmm
@yordanyona1234
@yordanyona1234 4 ай бұрын
Makonda hapa anakosea ,,kwamba watu wasihoji siasa ndio inapojichanganya na dini
@thomasmallya2972
@thomasmallya2972 4 ай бұрын
Makonda apa amehama kwenye rell atakama ana mapenz na mwampoza ajitaid kuzuia miemko apo kajikanyaga
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 4 ай бұрын
Chomoka hukoooo ofisini Mzee njoo huku tupige Neno
@edmundnkarangu134
@edmundnkarangu134 4 ай бұрын
Fake yenyewe ndo hiyohiyo ipo inatakatishwa.God heal the world😭😭😭🙏
@ErickCharles-m5x
@ErickCharles-m5x 4 ай бұрын
Makonda unaingizia siasa kwenye neno la mungu
@LucasKaik-xt8qe
@LucasKaik-xt8qe 4 ай бұрын
Wenye D mbili tumeelewa
@gervaslukaya
@gervaslukaya 4 ай бұрын
Uyu mwamba uraisi unamjia na huu ujumbe kama haukumuelewa na hauwezi kumuelewa
@shadraachshadinho
@shadraachshadinho 4 ай бұрын
Makonda nae vp tena jaman mbona kama si yule tuliemzoea
@BivanyTV
@BivanyTV 4 ай бұрын
Gwajima ndo anasemwa
@salvatorymushi2038
@salvatorymushi2038 4 ай бұрын
Kiboko Yako Gwajima bna
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 4 ай бұрын
gwajima hana uwezo huo kama unavyofikili wewe makonda level nyingine
@cosptersingogo4028
@cosptersingogo4028 4 ай бұрын
I'm getting you from Zambia be blessed
@MirajiKhasani
@MirajiKhasani 4 ай бұрын
Saf Sana mungu akubalik makonda
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 4 ай бұрын
Japo Mimi sio mkristo ila sijamuelewa kabisa huwezi kufananidha binadamu na serikali
@ElisonguoShayo-hb2gs
@ElisonguoShayo-hb2gs 4 ай бұрын
Kusifia sio tatizo ila ukitoa kasoro ndipo tatizo linaanza. Lakini hakuna jipya duniani maana hata huko miaka ya nyuma kabla ya Kristo ni wafalme wachache sana walio_admit mistakes zao pale Mungu alipotuma prophet kuwaambia makosa yao. Wengi wao aliishia to arrest them na kuwatia jela.
@bernadopaul5494
@bernadopaul5494 4 ай бұрын
Ni kweli yusufu alitafsiri ndoto ya Nebukadreza? La hasha ni la pharaoh
@protasmligo4032
@protasmligo4032 4 ай бұрын
Hapo kachapia,siyo kweli yusufu alitafsir ndoto ya farao
@josephjohn2114
@josephjohn2114 4 ай бұрын
Huyu makonda ni muongo sana ila wengi hawajui anatumia maneno ya MUNGU kupotosha watu na kutafuta huruma ya watu.
@PamelaMollel-v6v
@PamelaMollel-v6v 4 ай бұрын
Da sijaelewa tunakoelekea
@Musallaizar
@Musallaizar 3 ай бұрын
Jamani unaongea ukweli SEMA hawaoni Ila kanyagia iyo his baba
@moshiwasua5749
@moshiwasua5749 4 ай бұрын
Safi sana ,,,,, hiyo ni nzuri , ila. ( 1 ). Nabii Nathani alimwambia Mfallme Daudi. Kosa alilofanya kwa URIA MHITI , ( 2) DANIEL. ,SHADRAC na ABEDNEG Walimwambia Mfallme Nebukadneza ,,,,,,,,,,,,,,,,,, ( 3). Mzee Joseph Sinde Warioba amesema tunapo alikuwa kwenye majukwaa ya ki dini tusiingize Siasa hata kidogo. Amesema siku hizi baadhi ya watu wakipewa nafasi ya kizungumza ,,, wakimbilia kutaja jina fulani. ,,,,hayo aliongea Mzee Warioba. Siyo mimi.
@moshiwasua5749
@moshiwasua5749 4 ай бұрын
Mnapo alikwa
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
Sikiliza Ushuhuda wa Ndugu Wanaotaona Kafara | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro
14:04
UNABII WA 2025 KUNA  RAIS ATAFIA MADARAKANI...
28:54
Haleluya Tv
Рет қаралды 266 М.
GAMBO amjibu MAKONDA bila uoga adai hana ELIMU anatakiwa kuelimishwa
9:18
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН