Wenyewe kwa wenyewe wanawezana😅😅😅😂😂 konde balaa. Kibaha kwa waganga wa kienyeji?😅😅😅😅😅.
@CharlesNdaki-mb5kt2 сағат бұрын
Sema mwamba anakela Sana 😅😅😅😅😅😅😅
@shaameshaame283718 сағат бұрын
Acha wakutukane wakifika uwanjani wafunguke kitakachotokea watakiona na wao c wanachukulia unyumbani, ile timu inaweza wa kushinda popote kwa maana kiwango wanacho na wanatuzidi vitu vingi hata uwezo wa mchezaj mmoja mmoja