No video

🔴

  Рет қаралды 29,766

Global TV  Online

Global TV Online

Ай бұрын

🔴#Live: ''ANATUITA MBWA'' - WAMACHINGA WAMLIPUA DC BOMBOKO MBELE ya RC CHALAMILA - MGOGOGORO SOKONI
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 55
@globaltv_online
@globaltv_online Ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@chancesholdan342
@chancesholdan342 Ай бұрын
Wabongo mnachukuliwa poa sana. Mnapelekwa pelekwa tu
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u Ай бұрын
MACHINGA MSIMUAMINI SANA HUYU MKUU WA MKOA....MANENO MENGI!
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
DC Bomboka Kwa kuwakamata machangudoa amejitengenezea maadui wengi sana!
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 Ай бұрын
Ulitaka asiwatimue machangudoa?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
@@ibnhassan9980 nenda shule
@BenezethBwikizo
@BenezethBwikizo Ай бұрын
Wateja wao wamemchukia DC ahahaha
@user-nm8ym6iq7n
@user-nm8ym6iq7n Ай бұрын
Daaah siku mbaya kazini kwa mkuu wa wilaya najua maumiv aliyopitia kwa siku ya leo atakapofika nyumbani na kukaa mwenyewe na kujifikiria atakua na mawazo sana vdio hyo ikimfkkia mh Rais nn kitafata kwake kama mwanaume na bado umri wake ni mdgo ndo kwanza alianza kuaminiwaa na wananch pole yake sana binafsi kama baba sipendi kuona mwanaume mwenzangu amefukuzwa kazi kisaikogy inatesa sana.
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 Ай бұрын
mnashagilia kama mazuzu inamaana akienda kuongea na hao aliowataja wanapanga namna ya kuja kama timu waongee sauti moja na mtaumizwa mpende maipende
@EzekielLaizer-hj3ri
@EzekielLaizer-hj3ri Ай бұрын
Tatizo mnashangilia siasa badala msubirie vitendo ao watu waongo sanaaaa
@listamaswaga5289
@listamaswaga5289 Ай бұрын
Mnaharibia mama utawala wake harafu kumbuka tunaelekea kwenye uchaguzi ebu acheni kuwasumbua wapigakula haoo
@BobNasa
@BobNasa Ай бұрын
Kwakweli siasa ni kitu kizuri sana😮
@hassnsalim5156
@hassnsalim5156 Ай бұрын
Mama Samia huyu jamaa anajazba hafai kuwa kiongozi
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 Ай бұрын
Anajazba nani?
@Mwachuomo
@Mwachuomo Ай бұрын
Jazba gani mbonA anafanyA kz vizuri
@onesmomalifedha4709
@onesmomalifedha4709 Ай бұрын
Hili jamaa lina saikolojia kali sanaaaa
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Ай бұрын
Nice RC
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Ай бұрын
Kama hajachaguliwa na wananchi anawezaje kuwaongoza😂,huo mbona ukatili
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x Ай бұрын
Laana za wanawake zimeanza kazi
@emmanuelreuben1863
@emmanuelreuben1863 Ай бұрын
Ukahaba tu, umalaya aaaaaaaaah
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Ай бұрын
Uwingi wa watu hawa sio uwingi wa watu huu Rc
@xaixaiobrigado4846
@xaixaiobrigado4846 Ай бұрын
Aaa kumbe wa (W)Ubungo!
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x Ай бұрын
Hajakosea ni mbwa tu
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Wewe hujitambui mama umeleta mabadiliko hawa ndio viongozi kweli
@bakermusa9033
@bakermusa9033 Ай бұрын
Ccm ni mchwa kila bumunda linabiringika na rushwa ni aibu kwa uongozi huu wa sasa
@karyori69
@karyori69 Ай бұрын
sijaelewa yaani wamachinga wanataka kukaa vituo vya DART? ama? Huu ni upumbavu sasa!
@BrunoRufulenge
@BrunoRufulenge Ай бұрын
Wasiyo mpenda mkuu wawilaya ubungo niwale watejaa wanao nunua dada poa
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x Ай бұрын
Unataka wakununue wewe
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 29 күн бұрын
We mjinga tutaenda popote sio lazma kuish Kariakoo shez ww
@user-wr7io8lh6j
@user-wr7io8lh6j Ай бұрын
Watanzania aliewaroga.....😂😂😂😂
@PASCALJUMANNE-s7w
@PASCALJUMANNE-s7w Ай бұрын
Picha linaendelea Wale waliokamatwa madada poa wamemtafuta mganga mmoja tu piga kazi tuone atafika wapi ndo mnacho kiona kila anachofanya watu wanamuona kama mdudu washa
@RabihuHussein
@RabihuHussein Ай бұрын
siasa tu hizi
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Nilitabili kua magufuli alivisha kitanzi ccm machinga muliokalibisha balabalani milangoni mwawatu kupikia babalabalani mukakiuka sele za nchi itawagalimu machinga ndio wataleta mabadiliko na vita nchi inaendeshwa na sele siyo polojo za chalamila
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Hongera sana upo sahihi mno,katika kosa kubwa alilofanya ni hili .Yaani limeharibu nchi nzima sio Dar es salaam tu bali Tanzania nzima. Chalamila anachezea watu akili yeye mwenyewe kachaguliwa kwani na watu ?yeye mwenyewe kachaguliwa na Raisi ila watanzania kwa kukosa Elimu wanadanganya kama watoto wadogo. Hawa wamachinga ni shida kubwa nchi nzima miji yote imeharibika kabisa kabisa. Itabidi iwe isiwe CCM wasiangalie ushabiki wa kura waangalie mipango miji usafi wa mazingira wawatafutie sehemu maalum za kufanya biashara. Kuna Mkoa fulani badala ya kuwatafutia sehemu ndio kwanza wamewaambia watoe sh alfu sabini ili tu wakae mabarabarani na kwenye njia za watembea kwa miguu.
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq Ай бұрын
Lugha sasa ndugu yangu!! Duh!! Tz kuna kazi
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 Ай бұрын
Kawavuruga wateja wa watu!
@AwaziRajab
@AwaziRajab Ай бұрын
Asikwambie Mtu Uchaguzi Ukikalibia Usiwaze Eti Machinga Kufukuzwa Uyo DC Sijui Ajui Kuongoza Yeye Mawazo Yake Kwa Machangudoa2 Ajui Sifa Za Kuongoza Mkuu Wa Wilaya Achana Na Makahaba Isipokua Ukiwaona Inje Ya Nyumba Yako Timua Lakini Uko Walipo Achana Nao
@EzekielLaizer-hj3ri
@EzekielLaizer-hj3ri Ай бұрын
Kueni kama ma Genz uku Kenya anaongea ty utumbo na ndio maana Kuna haja ya katiba mpya Leo hii asingekua mtu wa kuteuliwa bali awe wa kuchaguliwa angewa anawatumikia wananchi ingewa ilo swala ni la gavana ama senator ama diwani katiba mpya ni muhimu
@xaixaiobrigado4846
@xaixaiobrigado4846 Ай бұрын
Yuko vzr alosema Jiwe yuu mzima,na kuwa aliongea nae jana yake usiku na akamplekea hela za maendeleo? Lbd useme:kwa hili yuko vzr' maana hata mbya ni mzr pengine!
@sanjaypandit3790
@sanjaypandit3790 Ай бұрын
Mkuu kumbe mnatambua umuhimu wa wafanyabiashara...Sasa bona 2015 hadi 2020 hamkuona Hilo na mliwamaliza wafanyabiashara wote
@mohamoudhussein4570
@mohamoudhussein4570 Ай бұрын
Huyu ni Chawa tu hana Jipya musiwe Wajinga.Komaeni ili mupate haki zenu Musimkilize huyo Mlevi.
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c Ай бұрын
Anawaita watu mbwa mbona mkuu wa mkoa hapo husikilizi watu kuwa kwann wanalalamika ? Kwann usingesikilza?
@PeterBaton
@PeterBaton Ай бұрын
Uyo DC Mbn kama Kanywa dabo kiki🤣🤣🤣
@user-wk8yl6jp9i
@user-wk8yl6jp9i Ай бұрын
Chalamila umemkingia kifuwa mkuu wa wilaya
@zuberiismail2972
@zuberiismail2972 Ай бұрын
Wamachinga wanadharaulika sana na wenye maduka wakati wenye maduka nao walitokea kwenye umachinga waacheni wamachinga wafanye kaz watakuwa kama nyie tu n wao hawapendi haya manyanyaso wanajitafuta ili wawe na mitaji ya kuingia kenye maduka waanze kulipa kodi haise kuweni na huruma nchi yangu
@xaixaiobrigado4846
@xaixaiobrigado4846 Ай бұрын
Huyo kama anovoonekana ndie mkuu wa (W) kinondoni? Ndie alowakamata "wa dada/mama wafurahishaji" Kazi ipo!
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 Ай бұрын
Unaweza kufikiria uongozi kama ni kazi kuuuubwa!!!Kumbe ni busara tuuuuu!! Kwa akili za kawaida mtu mmoja huwezi kushindana na kundi kubwa la watu.Watu wakiwa wengi wanakuwa na mawazo meeeeeengi.Nishauri tuu viongozi jamani tumieni busara kushughulika na watu. Ebu jadilianeni kupata makubaliano. Hongera comrade Chalamira
@hamadsalim5641
@hamadsalim5641 Ай бұрын
dar Salam wamepata mkuu wa mkoo Yuko VIZUR na wab
@robertphilip385
@robertphilip385 Ай бұрын
Anauzurigani hivi tutadanganywa mpaka lini na Hawa wezi wa ccm acheni kuamini Kila kitu
@michaelmillinga5064
@michaelmillinga5064 Ай бұрын
Hakuna lolote
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 Ай бұрын
Si ulipewa jukumu la kuwapanga? Ilikuwaje sasa?
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Ай бұрын
Wamemsingizia hizo ni bifu za watu kwa vile aliwakamata machanguo doa mkuu wa wilaya kwa nafasi yake kuwaita wananchi mbwa ni uongo mtupu wamemsingizia lazima sasaiv hawe na maadui wengi
@tobiaspaul9203
@tobiaspaul9203 Ай бұрын
Bomboko anachukiwa kisa kawakamata makahaba
@EzekielLaizer-hj3ri
@EzekielLaizer-hj3ri Ай бұрын
Angewa mtu wa kuchaguliwa angetumikia wananchi katiba mpya ni ßssss
@MyahudiMgalilaya-vh6ss
@MyahudiMgalilaya-vh6ss Ай бұрын
Ili likuu la wilaya cjui uyu Mama kaliokota wapi? Yani Halina hata maono Yani maono yake nikutafutaga machangudoa tu
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 147 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 34 МЛН
小蚂蚁被感动了!火影忍者 #佐助 #家庭
00:54
火影忍者一家
Рет қаралды 52 МЛН
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 147 МЛН