Maneno mazito sana mkuu MUNGU akubariki sana mkuu , mwenye masikio na asikie
@hboywasasa4 күн бұрын
Mkuu wa mkoa umetisha sana bongo la poiti nimekuelewa sana mjomba chalamila
@kingswebe32512 күн бұрын
Kuna kantu kilisema mwamposa ataanza kupoteana kwanzia mwezi wa 3 ndio kwanza anauwasha moto
@TumsifuErick13 сағат бұрын
Hongera sana mh.charamila hakika utaendelea kujikusanyia umaarufu kwa points zako muhimu
@terezadotto54583 күн бұрын
Hongera mhe.kutuasa vizuri kabisa juu ya habari ya mbinguni.Safi sana
@salummahanzar6714Күн бұрын
RC chalamila nakukubali Sana kaka
@kadrimwingamno258Күн бұрын
Uma una-angamia kwa uvivu wa kutaka kupata maisha mazuri kwa kuwamini wachawi. Ambao wamejivisha Johoo la utume. Audhubillah.
@happynkya97709 сағат бұрын
Na weee kuwà mchawi ili uache maneno mengi
@fredyjeremia707421 сағат бұрын
Mkuu wa mkoa DAR,, UMEongea serious ..ujumbe wa amani na upendo kwa watu wako na mataifa mengine tumekuskia baba.BARIKIWA SANA.
@victorwilliam99874 күн бұрын
ukifikiria vizuri utagundua ata mondi akifanya show hajazi hivi, utakuja gundua,wakina mwamposa ndo ma super star wa hii nchi.. watu wenye mashabiki wao.. plus wanatoa sadaka.. plus unaweza kuta kazi ya mungu haina kodi. yan hawa ndo ma star wenye u billionaire ja hawajionyeshi..
@janesuma-is4wcКүн бұрын
Na umati still mdogo hawajaja wote wapo tulio keshea majumbani ni hatari sana
@odhiaodhia98984 күн бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu utukufu kwa Yesu
@naimarishedy15234 күн бұрын
Mkuu umenena point. Pastor Mwamposa niinue NAMI ktk magumu niepushe na hasira kwa wanaonitafuyia chuki zisizo na sababu. Niinue baba🙏
@janesuma-is4wcКүн бұрын
😢 dah mtumishi anakuinuaje Yesu pekee ndio anaweza kukuinua na kukutoa apo ulipo unapaswa kufata magizo ya mtumishi uchukue hatua ya imani kumwamini Yesu uwinuke mtumishi ni njia tu muinuaji ni Yesu
@Bilioneabichwa331Күн бұрын
Pumbav, yaani akuinue mwamposa?
@othmanmaulid4867Күн бұрын
Badili umuombe mungu unamuomba mwamposa acha ujinga
@saxannjo61734 күн бұрын
AMAIZING,,,,,TB JOSHUA in TANZANIA
@Maryc2G3 күн бұрын
@@saxannjo6173 yes 👍🏽
@VictoriaNgatunga-nm9pyКүн бұрын
Kwa maombezi ya mtume na Mimi ntapokea mapacha 🙏
@ruahahilltoplodge3 күн бұрын
Mwamposa baba ninakupenda sanaa Mungu aliyekupa kibali akupe maisha marefu uifanye kazi uokoe watu wake..
@vicentpantaleo58372 күн бұрын
Kibal gan nisili yke zinduka
@mudywaya3284 күн бұрын
mkuuwamkowa huyu namkubalisana👏👏👏👏👏👏💥
@Maryc2G4 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Chalamila 👏🏽👏🏽🇹🇿🇹🇿
@shijandobehe49534 күн бұрын
@@Maryc2G 😅😅😅 huyo ni mlevi mmoja mzuri tu
@Maryc2G4 күн бұрын
@@shijandobehe4953 ohhh, Mungu ampiganie aache kilevi, maana madhabahu anaiweza sana.
@martinisadru98994 күн бұрын
@@Maryc2Gwe unafaa kua mtumishi wa MUNGU,,
@martinisadru98994 күн бұрын
@@shijandobehe4953kama ni mlevi! Unapaswa kumwombea aache ulevi, na sio ku-mhukimu.
@shijandobehe49532 күн бұрын
kweli kabsaa jukwaa analimudu ila Sasa kwenye utumishi ni wito awaachie wengine yeye anafaa kwenye siasa labda hapo baadae coz mungu ana watu wake kama na yeye anaweza kuwa miongoni mwao sawa
@benmbwele4 күн бұрын
Kuna wetu ni watumishi wa Mungu ila hawajijui. Chalamila ni mmojawapo. Ipo sikumoja mtakumbuka maneno yangu...!
@norfenvgeraldo94934 күн бұрын
Nimebarikiwa sana kwenye huu mkesha nimejiunganisha kwenye tv nikiwa Mozambique 🇲🇿 (palma) presha ya kupanda na kushuja nimepona kabisa 🙏🙏 🙏
@hamisisaidi90694 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@badirashid46682 күн бұрын
😂
@wadantz1232 күн бұрын
We jamaa muongo😂😂😂😂
@hamadsheni89974 күн бұрын
YEREMIA 50:6. YACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.
@DjMswati4 күн бұрын
kweli broo
@HamduniYasir4 күн бұрын
Hamad Shein 😂😂😂
@luotagwabt77304 күн бұрын
Hahahaha kwa masheikh unaenda kupata kisomo na mavukizi ubani wa majini lakini jina la Yesu aaah.
@gosbertbuberwa61984 күн бұрын
@@luotagwabt7730😂😂😂😂😂😂😂😂Mwambie Huyoooo!
@corrolesscps4 күн бұрын
Wewe endelea na yako, hapa kwa Mwamposa anahubiria YESU KRISTO, yeye ni njia ya kweli na uzima, yeye ni mponyaji, anaokoa, na kufungua, kila Giza, alikuja kwa ajili ya kuokoa ulimwengu, kwa tatizo lako lolote ille, yeye yupo kwa ajili yako,akuja kwaajili ya Dini, na kila atake litaja Jina la Bwana ataokoka
@edwinamos97344 күн бұрын
Jamani mtume Mwamposa yupo safi sana.Kiukweli hata akija malaika bado hamto amini utaki kwenda achaaa!!!!!! sisi tutaenda bora kukukimbilia miujiza tena bureee kabisa kuliko mazinga obwe ya waganga na bado mnalipia na kutapeliwa.
@VitusMagobe3 сағат бұрын
Kweli kaka watu wanaongea mengi kumhusu mtume
@costantinekikinda7574Күн бұрын
😂😂😂😂😂 charamila ni mwana sahikolojia sana hongera kwa neno MWENYE macho na aone amen
@Oldskulgemini99914 күн бұрын
Hakuna mtu Bongo anaweza kujaza kama hivi
@mohammedkombo97984 күн бұрын
Huyu jamaa anakubalika sana not a joke
@mtzhalisi22324 күн бұрын
Chalamila leo umenifuraisha sana
@augustinenjesi32154 күн бұрын
Duuuuu huyu mwamba apewe tu mauwa yake sio kwa utitiri huo
@ShabanMaindeКүн бұрын
Alikusanya dunia sio kijiji😮
@mpefu_49364 күн бұрын
Tunakimbila miugiza simama omba mungu yupo uvivu ni mbaya
@lusogoalbert1383 сағат бұрын
DC Chalamira kashusha point nzito saaana makofi kwakee🎉🎉
@Chrisblaze-beats4 күн бұрын
Watu wana shida mzeee wangu.
@bennygwasa45634 күн бұрын
Mkuu wa mkoa upo vizuri sana
@evaristmbuya62203 күн бұрын
Kazi kazi
@Oboss_billharvester4 күн бұрын
Huyu jamaa aache siasa ana chembechembe za kiutumishi wa kiungu, ila siasa inampotezea dhumini la mungu Ndani yake
@eunicejohn55204 күн бұрын
Sana tu ila MUNGU ana njia akiamua anamtoa kwenye uongozi
@user-us1mh8zw1v4 күн бұрын
Nakuelewa sana mkuu wa mkoa Wang Kwa speech zako unanimaliziaga bando Kwa harakati zako ususani speech zako mwamposa mola azid kukujalia tusiksikatae watoto na WA mama masiue watoto Leo waZaz wake mwamposa wanajivunia mtoto wap saffff
@shijandobehe49534 күн бұрын
Jana mida ya saa2 usiku nikiwa mitaa ya mikocheni aisee kulikuwa na foleni ya hatari ogopaaa mabasi YALIKUWA full watu wanatembea mpaka Kwa mguu kiufupi ilikuwa ni hatari hasa Wana wake watu wanataka miujiza na mafanikio na sio mungu
@user-ez1ky4ls7c4 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂kabisa
@shijandobehe49534 күн бұрын
@@user-ez1ky4ls7c na hao watu hawana Cha bible wa Quran tutafika tumechoka Sana wanahubiliwa mafanikio tu ukisikiliza kipindi Cha ushuhuda aisee shuhuda za kutisha tisha KAZI yao ni kutumia maji na mafuta ya upako huna haja ya kutaja jina la MUNGU 😥
@user-ur7pw9ek6s4 күн бұрын
Ujinga ni mzigo kwakweli watu hawataki kufanya kazi wanataka utajiri na maisha mazuri kwa miujiza 😂😂😂😂
@Kelvinjoseph-jz7kq4 күн бұрын
@@user-ur7pw9ek6s Kam wasingekuw Na mafanikio bas kusingekuw Na foleni za Magari ,,wangekuw Na punda ndio mseme,,2sipend kuhukm
@ce-084 күн бұрын
Kama familia yako hajawah kupata shida na ikatatuliwa kwa mwamposa huwez kumuelewa utamuona ni Muongo tu
@user-ni2kv3yf6e2 күн бұрын
Namuona magufuli wa badae
@FurahiniMbise-cb6uf2 күн бұрын
Ameeen and ameen
@joshuaezekiel8257Күн бұрын
Ameen kubwa mkuuu wetu
@FloraMarinyo3 күн бұрын
Wanadam hawapendi kuona watu wanakimbilia kwa Yesu.......
@Leeeeeeee-962 күн бұрын
kweli ili waendelee kuturoga
@tseaamaqhamarabura71382 күн бұрын
Dar imepata RC hakika
@MagrethSudyСағат бұрын
Pamoja mtumishi
@Dema_Tours2 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu
@japhetmsafiri4 күн бұрын
Salaam Almassih, Yeshua akibar
@user-tr3bi1ry6t3 күн бұрын
Mtu wa maaana kabisa chalamila
@bettykinyami509611 сағат бұрын
Njia ya shetani ina watu wengi sana hii ni njia pana lakini njia ya Mungu ni nyembamba na imeaonga nao waionayo ni wachache,
@Oboss_billharvester4 күн бұрын
Naona Leo chalamila kaongea uhalisia na ukweli wa maisha
@GeofreyKalo-ot3we4 күн бұрын
Kama mtu hajakutana na changamoto hutomuona Kwa mwamposa ila kiukweli chalamila kaongea point shida watu wanaubishi mwingi Hadi kwenye maswala ya Imani MUNGU mbariki RC MUNGU mbariki apostle
@stanleymissiontv23034 күн бұрын
Jamaaa likiamua kuongea point liko vzr
@jedidahbintidaudi82414 күн бұрын
@@stanleymissiontv2303 kwa kweli🤣🤣
@AgnesNjau-iq3gf2 күн бұрын
Na wengine wapo humu ukweli huo unawauma haswaaa....
@GodfreyMwamaso2 күн бұрын
Amen Amen.umenena vema mtumishi wa Mungu chalamila una utumishi ndani yako Mungu akuinue
@ezekiambise25954 күн бұрын
Jina la bwana libarikiwe.
@happynkya97709 сағат бұрын
Duuuh hapa ilikuwa benjamin mkapa au
@HASASON4 күн бұрын
Mimi nilikaa miaka miwili sina kazi lakini nilimsikia mwamposa kwa bahati nzuri tu kwenye radio dodoma nikafatilia yale maombi ndani ya siku 4 nikapigiwa simu ni kapata kazi mshahara laki 6 ni mwaka wa tatu naenda sasa kazini
@davidsamson82924 күн бұрын
Imani yako imekuponya
@Henricovicent4 күн бұрын
Machawa wa Mwamposa utawajua tu.
@user-ts9lp4rm9j4 күн бұрын
Hata mmi tena nilienda mara moja tu na kazi,mtto,mke juu
@Henricovicent4 күн бұрын
@@user-ts9lp4rm9j Machawa wa Mwamposa utawajua tu kwa matendo yao.
@BakariAlly-dm1vf4 күн бұрын
😂😂
@mrsmussa1154 күн бұрын
ujinga ni mzigo Allah atuongoze
@omytifa64034 күн бұрын
Ameen
@tanzanianpatriotic35324 күн бұрын
Maranyingi mjinga huzani yeye ni mwerevu na kumuita mwerevu mjinga, lakini ukijua yakwamba Mungu anaweza kuongea na wewe binafsi basi jaribu kumuliza ukweli ni upi,atakupa utayari wakujifunza na atasema na wewe binafsi.
@luotagwabt77304 күн бұрын
Allah atuongoze wapi ndugu malizia hapo...kwenye njia iliyonyooka ya 3rd Caliph Uthman kurani moja ilinyooka isiyo na kujichanganya au wapi, au atuongoze Kibra kubusu jiwe jeusi na kumpiga mawe shaitwani fafanua vizuri...au kwa sabab hana mtoto na hakuwa na mke, au kwa sababu Isa atarudi kuwahukumu wakristo ya kwamba kwanini walimfanya Isa, Maryam na Allah kuwa Mungu watatu? jifunze atuongoze wapi???
@pastadandan35694 күн бұрын
Waislamu wanakwazika sana wakiona viwango hivi
@gosbertbuberwa61984 күн бұрын
@@pastadandan3569Sanaaaa! Mpaka Wasemeeee!
@Yesunimwokozi14 күн бұрын
Mtumish wa MUNGU MWAMPOSA,, MUNGU AKUBARIKI ZAID
@emmanuelmlekwangano99914 күн бұрын
Mwamposa ni asset kwa wanasiasa
@user-nb2jw4km6f4 күн бұрын
Watu wengi kama utitiri
@user-yh8ny1nf3f4 күн бұрын
Maneno ya upako
@upendomwakalibule4 күн бұрын
Ameeeeeeen
@HappinessMsham3 сағат бұрын
❤❤
@yaluclile5663 күн бұрын
Nina mtoto nikicha naomba unisaidie nipo burundi
@fredyjeremia707421 сағат бұрын
AMEN🙏🙏
@KhalidAlly-je8ky4 күн бұрын
Duh
@VeronicaRugoyi59 минут бұрын
Watu wanapenda miujiza kuliko neno
@achawanunetv11674 күн бұрын
Wa Kaka wakina Juma Lokole Na Noël wa wasafi
@yaluclile5663 күн бұрын
Naomba namba ya mwaposa nipo Burundi
@dismaboytz48494 күн бұрын
Kinacho tuponza TZ ni umasikini 😂 mashehe Huwa wanaongea sana wakiona seem Kuna ubwabwa chalamila shikamoo baba kz unaiweza Mimi kama___siachi uchawa😂😂😂😂😂 kwenye pesa
@MuniraShughuli-kc7vj4 күн бұрын
Ovyooo
@omarmohammed51574 күн бұрын
Na ujinga pia unatuponza
@mwawekomiuda97794 күн бұрын
Unaleta kashfa isiyo na maana. Waislamu huwaga hawatumii uchawi. Na dini yao huwezi kuichanganya na uongo ndio tofauti. Mm siamini kama mwamposa ana uwezo wowote zaidi ya uchawi anaotumia.
@ashuramuhammed32574 күн бұрын
Wewe chalamina ndo umesilimu wewe mtume mwamposa tena
@AdamAmos-rr6fg4 күн бұрын
Uyu nae chawa kwel uyu
@YasreArafat-kk9en4 күн бұрын
Hili swala la WANASiasa kuongea makanisani Na miskitini Kwa tz ruksa kabisa Na watz hatuna shida kabisa Na Hilo Endeleeni waeshimiwa mskate tamaa Sisi ndio wabongo Bana Halafu kwani huwa ni sifa Gani unaposkia Mtu anasema um(unacheza Na mbogo wewe)huwa Ina maana Gani Halafu mueshimiwa si ni Abubaker au?
@mr_kajomba_og57194 күн бұрын
Sisi watu wa Kawe tumekipata Cha moto Naul kawe Morocco buku kawe bugurun buku jero kawe mbagala 2000 na bado gar nizakugombaniwa
@PaulinaOtaigo-cr3sq4 күн бұрын
Kufa kufaana
@MwalimuJelly4 күн бұрын
Amen
@jamilaathumani54814 күн бұрын
Innarilah wainahilah rajiun
@Nick166974 күн бұрын
Usilo lijua kwako ni sawa na usiku wa giza..
@SharifTwahirAbdullqadir4 күн бұрын
Nailo ndo guza lenyewe@@Nick16697
@AGM19697Күн бұрын
Yule wa kwenu alishawaambieni yeye hajui anaenda wapi wala hajui ninyi mtaenda wapi ila anawaonya tu. Na mpaka leo mnamuombea, sasa hapo mbona mtihani mkubwa sana. Yesu alisema mimi ni njia kweli na uzima mtu hawezi kwenda kwa Baba bila kupitia yeye
@RubenMtuwaMungu-bz8ee4 күн бұрын
Narudia tena Mungu siyo wa quantity yeye ni wa quality. Sauti ya wengi si sauti ya Mungu bali sauti ya mwenye haki ndiyo sauti ya Mungu.
@Oldskulgemini99914 күн бұрын
Kwahiyo unataka kusema hao wengi sio wa Mungu ila wewe ndo wa Mungu eti😅 we umejuaje kama sio wa Mungu?
@shongatv12244 күн бұрын
@@Oldskulgemini9991watanzania wengi tupo njia panda jambo likiwa kubwa ni shetani likiwa dogo sana tunaamin ndo haki yetu
@Oldskulgemini99914 күн бұрын
@@shongatv1224 vichwa panzi, watu wote hao kwamba ni wehu ila wao wachache ndo wanajiona wanaakili😅 ukiona mtu anaetumia muda wake kufatilia dini za wengine jua Hana kazi ya kufanya, maisha Yako mbio Sana unaanzaje kupoteza muda kuanza kukosoa Imani za watu
@RubenMtuwaMungu-bz8ee3 күн бұрын
@@shongatv1224 huu ni wakati wa kunyang'anywa taji ya uzima. Hatumpingi mtu kwa ajili ya wivu, laiti ningekutana na wanaokwenda kwa manabii wa hivyo ninge debate nao kibiblia tuweke pembeni itikadi zetu za madhehebu na ufuasi ndipo ungejua kuwa watu wengi hawajui hata sababu gani Yesu alikuja duniani na alikufa kwa sababu gani Ili iweje. Sababu injili tuliyoachiwa na Yesu haikubaliki kwa kizazi cha leo na kwakuwa ni hivyo je injili inayopendwa na kizazi cha leo itawapeleka wapi hatimaye!?
@RubenMtuwaMungu-bz8ee3 күн бұрын
@@Oldskulgemini9991 swali la kitoto! Nimejuaje na wewe umejuaje kuwa ni ya Mungu? In short jambo lolote hupimwa kwa kipimo kinachokubalika na wote. Swali imani yako wewe huwa unaipima kwa kutumia nini? Biblia ndiyo kipimo pekee kinachokubalika ikiwa wewe unajitambua kama mkristo. Waliojikinai hubeza mwongozo wa biblia kwa kuwa imeandikwa "kuna wakati watayakataa mafundisho yenye uzima na kufuata mafundisho ya mashetani kwa kuwa wana masikio ya utafiti". Mathayo sura ya 24 na Yeremia 23:16-30 biblia imeeleza wazi manabii wa uongo walivyo. Kama ni suala la miujiza na utajiri wa vitu hicho siyo lengo kuu la Yesu kufa msalabani. Injili ya utajirisho na kuondoa laana ni dhaifu haiwezi kuwashawishi mabilionea duniani ambao wengi wao ni wapagani kumwamini Yesu.
@MozaSihha3 күн бұрын
❤
@stanleymanya4384 күн бұрын
Ukovizuri mr copypest.
@johnsonzuma49324 күн бұрын
Wewe RC siyo harufu wewe ni mtanzania gani!!! MTU atowi arufu bali MTU ana towa Rehe juwa hilo...
@consolatamaunde98202 күн бұрын
Kuwa mkuu wa mkoa sio ndo kuwa na macho ya rohoni izo habari za mchawi au sio mchawi waachie watu wa rohoni . Inawezekana umesimama kwenye madhabahu inayosababisha hayo yote yanatusumbua POLE
@gelarisjonathan70814 күн бұрын
Çhalamira mbona muhubiri mzuri
@mpjozzegalvanize49264 күн бұрын
Ana tone ya kuhubiri kabisa
@babajay34454 күн бұрын
Hao wote uliowaona hapo hawakufuata wokovu Wana hali ngumu ya maisha iliyosababiswha na ccm wenyewe
@josephdimosso63803 күн бұрын
Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji
@josephdimosso63803 күн бұрын
Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji
@PrudencePaul-mr1ge3 күн бұрын
Hayajawafika siku yakiwafika mtaelewa
@calvinpaul21712 күн бұрын
Kwel kabxaa
@AGM19697Күн бұрын
Mimi sina hali ngumu ya maisha na nilienda kumtukuza Mungu mkeshani
@SmilingBeaver-rf6sf4 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@user-ii1gz2it4c3 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮
@MashakaMagesa3 күн бұрын
Hiyo madhabahu ya Alise inatenda kama ukiamini tu mimi nimepokea chako ni chako mara 2 leo niko vizuri Namshukru mungu wa mbinguni
@matukiotvonline63664 күн бұрын
Dunia hii muamini mungu tuu hata viongozi wa nchi huongoza kuwafanya raiya kuwa mazezeta daah😥😥😥😥
@Beauthoms4 күн бұрын
Amini unachokiamini kila mtu anashida zake mzee ,ko usihukumu usichokijua
@emmadora78484 күн бұрын
We mwenyewe zezeta au hujajiua?
@joshuajofrey98324 күн бұрын
Hapo wanaccm wanafikili ni namna gani watamtumia mwamposa kujinufaisha kisiasa
@hadijatwahadossa4 күн бұрын
Hakuna kitu hapo,,,,hata wakina Bushiri walikuwepo South Africa,,, wamekimbia wenyewe,,,wakina TB Joshua wako wapi....hayo ni matangazo kama yalivyo matangazo ya biashara,......wapeni mitaji.....sio mikopo
@jaromemwazembe63964 күн бұрын
Nakusihi Mwamposa fundisho watu kumwamini Kristo na kuacha dhambi hayo Mambo ya utajiri yatafuatana nao wakifundishwa ujuzi wa kufanya kazi. Fuata fundisho la Yesu Kristo pekee achana nabkuwafanya watu wajihisi wamefugwa kila mahali hapana wafundishe kuwa na Imani thabiti kwa Kristo isiyo na viambayanisho/visaidizi vya mafuta,maji ya upako etc.
ushawai fwatilia mafundisho yake au unaota kijana kabla hujacomment fwatilia ibada za mwamposa ndo utajua anafundisha nini 😂😂😂😂
@ChristopherNgubiagai2 күн бұрын
@Leeeeeeee-96 biblia ni kubwa sana achakudharau anachofundisha mtumishi,ebu niambie kosamojakimaandiko lamwamposa,acheni ulimbuken wamapokeo yamadhehebu
@Leeeeeeee-962 күн бұрын
@@ChristopherNgubiagai mimi au wewe ndo limbukeni uko zama zipi bro
@ChristopherNgubiagai2 күн бұрын
@Leeeeeeee-96 we nimshamba wamaandiko unawaza kukemea dhambi kuish kifukara,mafundisho yakipumbavu yamekufanya uenautindio wakiroho.mnajiona mnajua mungu kumbe mmefungwa
@jesusnetworkministry4 күн бұрын
kweli njia ni pana sana
@Leeeeeeee-962 күн бұрын
bado hujasema mtu uliefika mbinguni 😂
@GeorgeChitemo-kt8sw4 күн бұрын
Muabudu rusifa mkubwa Sana mwamposa muuni Moto unamsubiria asipo tubu lazma ziwa la Moto na reg rusifa wake
@MaurenEmmanuely-nc9id4 күн бұрын
Ww umetubu nyoko ww
@ezekiakiwovele77944 күн бұрын
Fungua na wew
@maryamtanzania97434 күн бұрын
Hivi hawa watu huwa siwaelewi wenyewe yesu ndo wanamuita mngu au
@bonifasiemanueli214 күн бұрын
Kiukweli mwamposa Yuko upande wA shetani,
@janesuma-is4wcКүн бұрын
Atubu kwani amekokesea nin
@karimjuma40194 күн бұрын
Anafuata maneno ya mama uyu jamaa kweli chawa
@mwankunjatyson3 күн бұрын
Lakini tusiwe wasikiaji tu tuwe tunasoma na Biblia itatutasaidia zaidi katika yote
@user-ym6hd7xh3gКүн бұрын
Palipo mzoga ndipo wakusanyikapo tai.
@AziziAlly-xc6nm4 күн бұрын
Yani anaongea mafumbo ni siasa sana
@alexandernyambo7739Күн бұрын
RC UMESAHAU AU HAUJUI KUWA MAANDIKO YANATIMIA SOMA MATHAYO 7:13 "NJIA IENDAYO UTOTEVUNI NI PANA, NAO NI WENGI WAIPITATOOO.
@AziziAlly-xc6nm4 күн бұрын
MWAMPOSA AMEANZA KUINGIZA SIASA KWENYE DINI
@michaelmlugu56544 күн бұрын
Akuombee wewe uwe waziri aombee na wezi wa serikali waache kuiba aiombee serikali watu wasiojulikana wapatikane na waache kuwatesa watu na kuwaua mkuu una fungu hapo
@isaackambofi12414 күн бұрын
We chiz
@Leeeeeeee-962 күн бұрын
pambana na hali yako
@richkaja33174 күн бұрын
Mwaposa ni mungu wa pili wa dar es salaam uamini usiamini
@mwawekomiuda97794 күн бұрын
Yaani mtu unamfananisha na M'mungu kweli umefilisika.
@richardmisogalya94994 күн бұрын
Mbona watu wengi hivyo???
@PrinceCharlz-vv1zs4 күн бұрын
waislam wanakasirik sabab Mungu wetu anafanya kuliko kawaida
@omytifa64034 күн бұрын
Atukasir nyinyi mna dini yetu na sis tuna dini yetu
@user-ts9lp4rm9j4 күн бұрын
Cha ajabu hapo kwa MWAMPOSA waislam n wengi kuliko wenye dini yao na wanashida balaa
@user-cq4lp5rv1l4 күн бұрын
Mungu wako sisi waislam hatuna mungu
@omytifa64034 күн бұрын
@@user-cq4lp5rv1l ww sio muislam km una MUNGU
@Leeeeeeee-962 күн бұрын
@@omytifa6403wenzio wamejaa kwa mwampisa umebaki wewe
@user-lt1bi5nr1x4 күн бұрын
Haya mambo haya hatutoboi hata miaka 100. Watu wamejikita kwenye hamna kuliko kufanya kazi eti mpo kwenye maombi. Fanya kazi omba mungu hata pekeyako atakusikia tu.
@edsonnelson44643 күн бұрын
Kumbuka hapo ndiyo kulikuwa na kiwanda cha nyama Tanganyika Packers, l
@AGM19697Күн бұрын
Wameamua wenyewe wakiwa na akili timamu, wewe unaumia nn?
@barakalameck73424 күн бұрын
Mungu awasaidie watu wake wanaangamia sana kwakuamini manabii hawa..ila mungu hadhihakiwi nawaambia kua mungu atawasambalatisha mmoja baada ya mwingine ole wenu acheni kucheza na mungu.
@Nick166974 күн бұрын
Omba Mungu akupe rehema ya kumjua yeye na taratibu zake
@barakalameck73424 күн бұрын
@@Nick16697Tunamambo mengi sana yakumwomba mungu, ikiwemo kuombea taifa nasio kuomba kumjua mtu zaidi chakukushauli nikwamba umwombe mungu kumjua yeye zaidi ndo utajua maana yayote hayo unayoyaona duniani unaishi kwaamani sana nakumwamini yeye siyokuamini mitume na manabii??
@Leeeeeeee-962 күн бұрын
mungu ndie anaehukumu wewe umepata wapi ujasiri wa kutoa hukumu kua makini isije akarudi kwako 😊
@janesuma-is4wcКүн бұрын
Ujinga unakusumbua msiwe mna musisha Mungu kwenye upumbavu wa akili zenu