She is a legend Tanzanian need to crown this woman, ama mwangoja afariki ndio muanze sifa zakumpost na show off nyingi. Celebrate this woman now wen she is alive.
@mercyjoan2674 жыл бұрын
I am from Uganda and i agree with you 😍
@shukriomar5794 жыл бұрын
Sure sweetheart
@user-qh2bx5em6j2 ай бұрын
Umenena Mama
@donnahtellah25505 жыл бұрын
Malkia wa taraab nakwaminia tuu Sana....nyimbo zako hazinipitii ninazo zote na pia kuziimba.KHADIJA KOPA you're my role model 😍😘
@ivymutinda3169 Жыл бұрын
Nyimbo zake tamu Sana,hii nyimbo yaitwaje
@user-mm9ko2jh8o Жыл бұрын
Mjini chuo kikuu
@sheilalolila22335 жыл бұрын
Mama kopa hongera sana utabaki kuwa juu mawinguni
@halimamshami32795 жыл бұрын
The best taarab musician from Tanzania, much love from Qatar
@kassimahmed21895 жыл бұрын
Team doha halima
@kassimahmed21895 жыл бұрын
Vipi uko poa
@abdulrahamanonyango34952 жыл бұрын
Mama mpango mzima no.1 in taarab 👃😄👍
@makonodonaldf..3892 жыл бұрын
@@kassimahmed2189 ✊
@ukhutfatumah11544 жыл бұрын
Mama la mama nakupenda mno wallah najifunza vingi sana kutoka kwako sikat taamaa katika kutafuta ridhik
@alphredmlelwa82703 жыл бұрын
Adija kopa anajuakuimba nyinyi ndomana atamwanaee zuchu naeanajuakuimba mama akealimuwekew misingi mizur Sana penda Sana Adija kopa ngonga like kamaunamkubar
@nyabisemaro55745 жыл бұрын
Kama umesikia harafu anasema haushi kuvutana Mawigi gonga like
@beautyibrahim84285 жыл бұрын
Khadija kopa atabaki kileeen hatari firee utabaki mawingun
@halimamoto32175 жыл бұрын
Waoooooo
@beautyibrahim84285 жыл бұрын
@@halimamoto3217 😘😘
@minaniissa47864 жыл бұрын
Uko juu kutoka kenya
@peterokalo96323 жыл бұрын
The Africa’s Tanzania 🇹🇿 queen ☝🏽⭐️🌟💫🪐🌍👏🏽🙏🏽🔥🔥☄️☄️☄️
mimi nampenda sana mama Khadija kopa hasa ile mwanamke jeuri mchukulie mumewe inanikosha sana.
@p.kasongot9795 жыл бұрын
Huyu mama nampenda sana 💕💋💋🇨🇩🇨🇩💋💋🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💋💋💋
@terrykinuthia45755 жыл бұрын
I love you khadija kopa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@John-xv1nt4 жыл бұрын
Powerful Queen. She deserves accolades. African Voice
@frantonmwasemu14554 жыл бұрын
She is a legend both Tanzania and East Africa as a whole
@zaynabteyie49363 жыл бұрын
My favorite ogopa kopa
@delabossreizer94715 жыл бұрын
Uyu mama waga akosei kwa stage nawala azeeki alaka yaani ndio kwanza ana kuwa sister duu mrembo mbaya mbovu ww kwl khadja kopa sizn Kama kuna mwingine atakuja tokea akija tokea atakuja kuwa khadija rejeshaa sio kopa tena
@saudabakarnassor78865 жыл бұрын
Kwa sababu hajichubui ndo mana
@delabossreizer94715 жыл бұрын
@@saudabakarnassor7886 mmmmh
@judymangi92265 жыл бұрын
Hii nyimbo naitaka aki
@akidasimba7455 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@JoanExplores3 жыл бұрын
The woman made me fall in love with Tarab 🥰
@aaroncohoon56032 жыл бұрын
Same here her and the late Bi Kidude RIP Mama
@margarethsaramaki11005 жыл бұрын
Nakukumbuka Hadija Morogoro enzi yako ya TOT, Big up
@nuuringoogle41042 жыл бұрын
Good women 🙏🏽🙏🏽beutiful Songs❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@lightnessseifu59834 жыл бұрын
Ww mama nakupendaga mno ♥️ mungu akuweke miaka mingi
@josephmwakima68724 жыл бұрын
Queen of taarab Afrika mashariki yote. Much love.
@lizynyeze75215 жыл бұрын
Wa mama sikuizi mlikosea wapi...ata vigelegele hampigi...fyuuuu
@abshirilyaas79305 жыл бұрын
Asc
@octaviandoreen28373 жыл бұрын
Hongera sana khadijah napenda sana nyimbo zako.😍
@noelamadadi57313 жыл бұрын
Tiktok brought me here all the way from Kenya
@hasinatilafaeli6165 жыл бұрын
Love ❤️ Sana hafijakopaaaaa
@hawasham5705 жыл бұрын
Kama umemuona shilole weka laiki yako apa jaman!!
@isayamuna95005 жыл бұрын
Ok
@rehemasalim5135 жыл бұрын
Shilole kapendeza Mashallah... simple but best
@jordankyanzi20385 жыл бұрын
Hawa Sham
@starnfordmihungo6535 жыл бұрын
nakupe sana
@godblessanna71745 жыл бұрын
Alidamshi sana mnyamwezi mwenzangu
@tatumuddy17095 жыл бұрын
Ilove kopa💞
@fatimamohammed23325 жыл бұрын
kopa umepungua umependeza
@sallysafisanakijanakazibut1688 Жыл бұрын
Wow umependeza dada uko vizuri
@mwabiawahadi6247 Жыл бұрын
Huy Mam Anajua Mpk Anakera
@sarahmohamed3375 жыл бұрын
Kopa Wacha muziki utubie kwa ALLAH,mauti hayana taarifa mamangu.
@lenisteramisi-dy9hv Жыл бұрын
Usipende kuhukumu Allah ye ndo mtoa hukumu tuombeane mwisho mwema2
@valineatieno70385 жыл бұрын
Amazing performance kopa🔥🔥🔥🔥🔥
@p.kasongot9795 жыл бұрын
Napenda yako mashine 💕💖💖🤣🤣
@youngyayoo28054 жыл бұрын
😂
@jacklinemoshi84875 жыл бұрын
Nampenda sana huyu mama,hanaga skendo
@hawathabiti34025 жыл бұрын
Malkia wa nguvu 2019, lkn nampenda khadija kopa anastara ya maongez, mavaz, na at a nyimbo zake zina stara na mafunzo
@shukriomar5794 жыл бұрын
Long live mama khadija I love this woman from Addis @ Ethiopia
@brightnessegdiuspancrass14562 жыл бұрын
Zuchu kavaa kiatu kbx,Like mother like daughter💥💥💥
@swalehelshabiby59154 жыл бұрын
Kopa ni wetu Ahsant😘😘🖐
@shubygrevare78175 жыл бұрын
Umependza Mamy
@salmasaid7795 жыл бұрын
Bi khadija upo juu kila wakati
@marywinny18905 жыл бұрын
Uko juu my Mommy Queen 😘😘😘😘
@starnykastiko18874 жыл бұрын
Nakukubali xana mama wa ngwasuma ( wachane wasio jielewa)
@tangaoldtv10674 жыл бұрын
Namkubali sana huyu dada jeshi LA mtu mmoja
@moseskadenge90055 жыл бұрын
Umegonga ndipo Khadija Kopa
@salmaomar7335 жыл бұрын
Mama kopa uko juu sana ❤❤❤❤❤
@faizabaishe51725 жыл бұрын
Hongera Sana Mama Khadija kipa
@marywinny18905 жыл бұрын
Namuona shilole haha dada wewe 😘😘
@jamilmwinge36954 жыл бұрын
Shilole a.k.a dada wa igunga. 😆😆😆
@cheiknamouna20584 жыл бұрын
Basi shilole kajiachia hapo ndo mahala pake
@wennybarny1685 жыл бұрын
Hadija Kopa naona hapa kapungua kidogo amependeza sana na mwili huu.
@topelevenhighlights4 жыл бұрын
Hatariii 🔥🔥🔥
@AishaMwenda-sr3uu Жыл бұрын
Nakupenda sana mama
@celinamgundoi56015 жыл бұрын
Mungu akutunze mama
@fausterkanyonga43665 жыл бұрын
Khadija we ni konki wa kitaa, penda sn ww, ila umepungua kamwili nipe sir ya urembo!!!
@mimahsaid23265 жыл бұрын
😂😂😂
@lucybernad13903 жыл бұрын
Nimependa Sana mamaa nyimbo yk
@sureladykiba56085 жыл бұрын
MashaaAllah mumy😘😘😘😘
@abumoyo8405 жыл бұрын
Kkk piaa hikuu dada
@sureladykiba56085 жыл бұрын
@@abumoyo840 🤣🤣🤣🤣🤣haya ukanimanya mweneu
@leahcornel42575 жыл бұрын
waambie wasiojielewa mume hafungiwi mlango..wala hakoromewi.waambie mama la mama..waciwe kama mbweha ..ongea malkia wangu kitaa kimekuamini..
@user-qq5ye6hi7i6 ай бұрын
❤❤❤❤❤Tamu kama ya wameru
@khadijahomankweliyamjahaya74215 жыл бұрын
Kabisa mama nakupenda sana kazi kazi mm
@muniramunira4013 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@salha.d50602 жыл бұрын
Asanteeee sichoki kukusikiliza mama.
@user-mm9ko2jh8o Жыл бұрын
I Like this song very much ❤
@elizabashige36825 жыл бұрын
I love her
@margarethsaramaki39664 жыл бұрын
Nimekubali mambo ni kwenye Stage
@shamsaabedi5272 Жыл бұрын
Taarabu barida mama east Africa
@DottoMalago3 ай бұрын
Vyombo na uimbaji tofauti
@TheSalma19995 жыл бұрын
Tufunde mama
@mwanahalimamwachili96795 жыл бұрын
Santaaaaa Malkia wa Mipashoooo.
@rhinakiza4 жыл бұрын
Amina ubarikiwe sana👏👏
@dainesigebo70195 жыл бұрын
Jmn nakupenda sana
@manoahnasiali5898 Жыл бұрын
Ako poa kabisa sauti Nyoro
@khadijaamani55745 жыл бұрын
Wewe umoja Hauniangushagi Hata Siku moja.
@gabrielrobert8677 Жыл бұрын
Ila huyu Mama ni hatari 🔥🔥🔥
@fauziamwakunena5495 жыл бұрын
Penda sana mama khadija kupa
@aminashabani44465 жыл бұрын
Nakupenda sana
@firsttallentmusic8945 Жыл бұрын
Noma sana
@hawabakari46582 жыл бұрын
Mashallah 🥰
@ashamganga66365 жыл бұрын
kukupenda siachi nakupenda had naisi mm mwenyewe aijipendi 😂😂😂
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Bass haya
@margarethsaramaki39664 жыл бұрын
Super woman Hadija Kopa
@halimamsonga59044 жыл бұрын
Mama wa nguvu penda sana
@MariamMohamed-bw8xf5 жыл бұрын
Hadija kopaa asantee mama ❤❤
@nassormuhidin75625 жыл бұрын
Mariam Mohamed
@MariamMohamed-bw8xf5 жыл бұрын
@@nassormuhidin7562 ndio wasemaje Nassor muhidin
@augustinalymo72345 жыл бұрын
8ò9
@danielmolell51273 жыл бұрын
Ok
@halimascoastalcuisine47464 жыл бұрын
Nakupenda bure Kopa❤❤❤
@r.nock-the-power38265 жыл бұрын
Tunao taka kulelewa tunacoment wapi?
@bahatihussen90895 жыл бұрын
Hap hap wal usioongpee utampta wakuklea
@r.nock-the-power38265 жыл бұрын
@@bahatihussen9089 Haaaahaaaaa, haya bhana mana ninahamu na kubemendwa, kama vipi nitelemshie no hapo
@fardhanamahmoud73135 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣shikamoo
@r.nock-the-power38265 жыл бұрын
@@fardhanamahmoud7313 balahabaa ujambo wewe
@fardhanamahmoud73135 жыл бұрын
@@r.nock-the-power3826 hahahahaaaaaaaa sijambo
@dinaicenzuki96615 жыл бұрын
Hongera mummy
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
huyo ndo kopa bwana..unapewa live
@rosemarymlaki22705 жыл бұрын
Hatar
@abshirilyaas79305 жыл бұрын
Ascribed Ascribed
@margarethsaramaki39664 жыл бұрын
Sauti yako bi Hadija Mungu aendelee kukulinda
@janembwana33394 жыл бұрын
Mama la mama, kubwa la maadui miaka miaa malkia
@yahyamaridadi68675 жыл бұрын
Natamani siku moja uje Kenya Ku perform live Taarab sabuni ya roho yangu
@danielmutunga50484 жыл бұрын
25th yupo kenya
@samiahuseninikweli85394 жыл бұрын
Nakupenda sana
@DottoMalago3 ай бұрын
Rekebisheni basi,viendane wimbo na vyombo
@amourmtungo6234 жыл бұрын
Kweli maringo hayana maana. Kupeana ni kikoa ukipewa nawe utoe. Sio maneno yangu haya ni wasanii wa Taarab Zanzibar walisema hivi