Hii nyimbo nimeiyona kitambo Sana tena home ulikuwepo cd yake kbs lkn wazo la kusema zuchu alikuwepo wala sikuwa nalo😅😅😅 ayha km tunafanana uwelekeo gonga like hp
@LuckyLucky-qi8so28 күн бұрын
Wakumbuka nyimbo ya pili kwa hii cd? Naitafuta sana iyo nyimbo lakini sikumbuki jina
@SaumuSaumu-x8g27 күн бұрын
Na bas zuchu mkubwa jamani sabbu hi tarabu niya muda tena
@saidharith56437 ай бұрын
2024 muko wapii
@fatumaali21582 жыл бұрын
Aliyemuona zuchu kwenye song aweke like zake appa
@aminamussa51227 ай бұрын
That's not Zuchu
@chifuwasalimatz29717 ай бұрын
Kama umekuja hapa kumuangalia Zuchu Gonga Like 😅
@fatmamazige94862 жыл бұрын
Kama umemuona zuchu gonga like
@zulachama10674 жыл бұрын
2020 bado hii ngoma ni more fire sana,wapi LIKE zenu tujuane hapa.#254 Kenya.
@martinmbuvi94062 жыл бұрын
Very nice, and well played.heko khadhija koppa.
@zawadiwega21494 жыл бұрын
Daaah kama bado upo unapata burudan hii tamuuu gonga like 2020
@zulfamohamed45494 жыл бұрын
Aliye muona muona zuchu miongon walio vaa vikoi vyachano awowasichana watatu mmoja wao zuchu
@lulugama15472 жыл бұрын
Zuchu kumbe yuko kwenye hii nyimbo! kudos to Zuchu
@shabanijudith202 Жыл бұрын
Ndo namuona dhaaa
@GiftMsey2 ай бұрын
Nandy pia yupo
@shaltonomolo75795 жыл бұрын
Naku enzi Sana kutoka Kenya. Mziki imepangwa kweli
@kabwelerywamwatumu50784 жыл бұрын
Wanaendelea kusikiliza goma ili 2020 tujuane🔥🔥
@saumuomary21173 жыл бұрын
👎👎👎👎👎👎👎
@lulumtinge21382 жыл бұрын
Huna nyimbo siipendi Khadija wangu.
@khalidvova66018 жыл бұрын
nilimpenda sana kopa toka enz za ngwinji..hakuna alichokosa...kaimba vyote..lkn muda muafaka kuachana sasa na vurugu za dunia mshukur sana mungu khadija mpaka Leo upo hai na afya imara mungu akubarik sana lkn mama yang imetosha muda uliobakiza duniani mrudie mungu wet kidhat..leyla khatib..issa matona..na Dada yako shakila(.Allah awarehem)..mungu alishawachukua zaman na huko walipo Allah yalaam.khadija mrudie mungu imetosha Dada yang..nakutakia mema nikiwa km shabik.kipenz km ridhk imetosha Dada yang.. kwaher lkn usia Wang ukumbuke sana..kwaher khadija!
@wane65607 жыл бұрын
gud
@habibakhlifa85347 жыл бұрын
Khalid Vova kwelii hadija kukumbushana ndo ilivyo Arejee nyuma tena huenda Mungu anamuweka ili atubiee wengii wenziwee washatangulia Mungu atamrudisha inshaallah katima hakii
@lilianswai83366 жыл бұрын
Khalid Vova waaaaaaaaaao
@rashidibrahimshemlugu78456 жыл бұрын
Khalid Vova naungana naww kaka
@faudhiasalim33056 жыл бұрын
Swadact 🙏🌹💓
@milanzisalum93055 жыл бұрын
Noma sana Mama Omary, ucache kuimba bado tunahitahi hizi radha
@zulachama10672 жыл бұрын
15/09/2022 alhamdhililai, hii nyimbo haishi hamu kizuri kipewe sifa mama unajua kazi auakika ubatishi.# khadija kopa full stop.
@hamzaramadhani23433 жыл бұрын
Sharobaro kapewa kikombe kasema nasubiri mrija men noma sana
@neemasamwel83145 жыл бұрын
kama unaangalia ngoma hii 2019 gonga like
@wardasalumu19405 жыл бұрын
naipenda Sana
@hassanseleman15675 жыл бұрын
hassan hii buldan
@zamzambakari14234 жыл бұрын
@@hassanseleman1567 ngoma ni motooo
@zamzambakari14234 жыл бұрын
@@hassanseleman1567 ngoma ni motooo
@mzimamzee53 жыл бұрын
@@wardasalumu1940 naipenda sana n mashalaah
@jeandarc96535 жыл бұрын
From comoros I love swahili music, it's like comoran music
@rajabmwachia65085 жыл бұрын
Same culture Jean,same roots💕
@mwinyibakarisenkopwa9314 жыл бұрын
Vizuri,Karibu Tanzania
@AbdulMtausi-qi3en Жыл бұрын
Greatest of all Time Khadja Kopa
@benardmwanzia.84386 жыл бұрын
Hata mje na waganga Lori nzima huyu wangu siachi...napenda nyimbo hii
@matildamoris36417 ай бұрын
2016 ndo hii nyimbo imetoka R.I.P bi rukia mama yake isha mashauz 😢
@rubinmakori98664 жыл бұрын
Hadija kopa u are still on top and towering each day. Long live to keep us entertained.
@lullaklem8949 жыл бұрын
Excellent. This is real African culture. I GIVE IT A SCORE OF "A"
@esthermumbimuchina59188 жыл бұрын
😍😍
@amriopio46705 жыл бұрын
Lulla Klem y
@mwanamkuuhassan98495 жыл бұрын
hili goba hatariiiii mwanamkuu Hassan tabata segerea
@franciscogash44662 жыл бұрын
I just can't stop listening to this FULL STOP. The voices and the dancing are very WONDERFUL
@sifrajenterprises50022 жыл бұрын
Still listen this November 2021 love from Tanzania 🇹🇿 ❤ beautiful khadija kopa
@AbdallahMillah8 ай бұрын
Mama Zu wallah sichoki kuangalia hii 2024
@eugeniaakochi21878 жыл бұрын
Big up malkia wa mipasho.The one and only Queen of Taarab
@abdiahassan19033 жыл бұрын
Munguakupeemaishamarefukhadija! Inshaallah
@MohammedTwahili-vy6zq Жыл бұрын
Mmm! Utafuti wako ukamwekaaaa! Asanthe mama; mama shikamoo
@missmoona44974 жыл бұрын
Pole khadija kwa kufiwa na baby wako ulimpenda mwenyewe. R I P
@luciamgila43532 жыл бұрын
Ahsante Dear 🙏 Ms Khadija Kopa, Mungu akubariki my Dear Kwa huduma. Asikupungukie hata moja. Nakupenda ❤️
@ramadhanhamisi33973 жыл бұрын
Mimi kwakweli nampenda tu uyu mama alafu anajua kuimba sana
@florankeshi35699 жыл бұрын
Kama kawa mama I give you 100%. love your music. from USA
@EVALINEKEMUNTO-xr3mx Жыл бұрын
Mama zuchu kiboko yao Simba wa taarabu nakupenda Sana unavyoimba na kukoroga kiswahili,pia kiuno hata sisemi kitu.kila la heri malkia.kutoka kenya
@halimarajabkenya94134 жыл бұрын
Wapi likes za 2020 kwa khadija kama bado unatazama huu wimbo
@aminaamina53084 жыл бұрын
Mama lao
@ikoneeregae92705 жыл бұрын
Jamani mapaparazi mtajuta kuniona mnaingilia mapenzi....kali hiyo
@robertikwabe688710 жыл бұрын
lo k.khopa ukomanda wamakike kweli. shangazi maripoti waletewa
@leonsakia61274 жыл бұрын
I wont lie, I only got here becoz of her daughter. Salute Madam Kopa
@musasaid9644 жыл бұрын
Kama umemuona zuchu Katika video hii ❤like kama zote
@zawardmdolo2334 Жыл бұрын
Kumbe zuchu mkubwa
@benitopilla3145 Жыл бұрын
Acha uongo z alikua anatambaa unavyotoka wimbo huu
@ayshajeffa6592 Жыл бұрын
@@benitopilla3145 n kwer
@Hajer-be2kh7 ай бұрын
@@zawardmdolo2334sana
@Hajer-be2kh7 ай бұрын
@@benitopilla3145 yupo usibishe😂
@millicentamwayi46074 жыл бұрын
Juuuu tu Sana nikiwa Kenya
@mellenondieki63292 жыл бұрын
Mama,nyimbo nzuri,l see you from USA GONGA MWAMBA,MAMA,KHADIJA,,SONGA, MBELE,KABISA,, I NOKO,AMERICAN.
@emanuelgavile35037 жыл бұрын
Napenda miziki migumu ila ili goma lilipigwa siku usiku mwingi nipo bwenini saa 8 usingizi umekata basi nlitulia kama mzanzibari dah nakkubari sana madam dah
@saidimnyani3330 Жыл бұрын
Nalikubari Sana Hili goma na sichoki kulitazama
@dianabanga2625 Жыл бұрын
sema na sauti yake tamu sanaaa ...me pia hivi so vitu vyangu ila huyu mama 🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@deogratiasgabriel85554 жыл бұрын
Dah nakumbuk mbal sana kipind hiko nipo zenj full rusha rohoo
@lilywei66164 жыл бұрын
Wasio fika zenji kwenye full rusha rohoo
@issashabani64934 жыл бұрын
Hauna mpizani kabisa
@khadijayahya-e3nАй бұрын
Chumba na veranda tena ghofani nampatia❤
@catherineahonge86876 жыл бұрын
Napenda sana... mama Africa Hoyeee...ni kweli mji atauhama...
@upako4598 Жыл бұрын
Hii nyimbo ni nzuri saaanaa khadija kopa popote ulipo nakupenda sana mimi mama wa kinyaru miaka mia nane kwangu huu wimbo hauchuji
@emmanuelabuga31856 жыл бұрын
Taarabu taaaamu inayofurahisha roho yangu na kunipa mafunzo.
@fredricknadduli10 жыл бұрын
its one of the taarab tracks i cannot stop to listen to. Its so good. love ua music dear
@jasminmirajikimaro62632 жыл бұрын
No WY
@eunicemutuku2919 Жыл бұрын
Same here
@fardosmohdhallimhanyfatyla46873 жыл бұрын
Kiboko Wala hakuna kama Khadija hajazaliwa 😍
@issashabani64934 жыл бұрын
Khadija kopa wew ni mwisho
@rashidepango58784 жыл бұрын
Kama unahangaliya hiyi ngoma 2020 like hapa
@mamafatuma1384 жыл бұрын
21/2/2020
@issashabani64934 жыл бұрын
Poa kabisa
@salimkhamis51503 жыл бұрын
@@issashabani6493l
@salimkhamis51503 жыл бұрын
sawa
@robylima20548 ай бұрын
Uhh HH hqho hho o. me and 😊 me 40 me v and. I😊v. Oovoo😊
@jumaahussein48474 ай бұрын
Nice taarab, I love it too much
@ramadhaniibrahim-zv1ci6 ай бұрын
Nimemuona zuchu wa web au wa zanzibar
@selemanshidda9688 Жыл бұрын
Bravo Tanzania!! Bravo TAARAB!!
@samwelatuti58953 жыл бұрын
Inaongoa kweli ,usiome wingi was ndevu ukafikiri busara