Pastor: Innocent Mashauri Yoeli 3:10 SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI: M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Пікірлер: 45
@frolencinahenry240716 күн бұрын
Mungu Nisaidie nikoe mimi na wanangu na mifugo yangu yote Mungu nisaidie❤❤
@EstellaNshimirimana-up9jo16 күн бұрын
Amen amen,asante Mungu wangu kwakuwa unatengeneza njia ya maisha yangu,nipe kupambana binafsi nisiaangalie maisha ya wengine najua vyakwangu bipo,amen tena,asante mtumishi wa Mungu kwamafundisho munatupa kwa kila siku,Mungu azidi kuwalinda mahali mulipo,amen amen❤❤
@user-zs4zf6tq7v13 күн бұрын
Amina Ashate Yesu nibe nguvu nibambane adi mwisho hii kazi naiweke mikononi mwako posi wangu aniogeshe pesa na masiku nienderee na kazi adi nitimishe doto zangu kwa jina la yesu
@agnessmwasumbi496517 күн бұрын
Amina sofa na utukufu Kwa:Bwana
@RoseWilson-j2y15 күн бұрын
Ee Mungu nisaidie kupata nguvu ya kukomaa nisaidie Mungu nifundishe kupitia watumishi wako uwalinde uwabariki watumishi wako
@blaisekambale214516 күн бұрын
Asante kwa kunipa moyo. Ndani ya mapambano yangu. Uniombeye nishindane katika vita hii.
@judithnjunwa666817 күн бұрын
Nakupenda mno mtumishi wa BWANA,,,kwani MUNGU ameniona kupitia neno lake
@NannyNanny-fo9yh17 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙌,kwa kunipa mwanzo mpya wa ujasiri,barikiwA
@user-rl9sd8hl5o16 күн бұрын
AMINA
@MonicaJB-x7w8 күн бұрын
Asanteee mungu kwamaombi yako yananipa nguvu kupitiya maombi hay sitokuwa dhaifu🙏🙏🙏
@agnessmwasumbi496517 күн бұрын
Bwana uliye baba wa yatima na Mume wa wajane usinipite nyoosha mkono wako ukaniguse
@SaraMpozi-nf1yk17 күн бұрын
Amen,🙏🙏🙏
@judithnjunwa666817 күн бұрын
Mtumishi MUNGU ameniona,, asante YESU
@MalaikaBrighton17 күн бұрын
Nasema asante mingu kwa kunitia nguvu masaa.haya kuweza kusikilizamaombi pamoja na pastor nisaidia baba asante baba amin🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@esthermasudy841516 күн бұрын
QQQQQ
@IshaK-t7g17 күн бұрын
Iyo neno n langu Santi mwenyezi mungu 🙏🙏🙏🙏
@judithnjunwa666817 күн бұрын
MUNGU nisaidie ,nakutaka MUNGU na nguvu zako🎉
@DelaneyWambui16 күн бұрын
Amen sitakata tamaa mpaka nitakapopokeà vyangu
@HhNn-f5sКүн бұрын
Amen
@user-rl9sd8hl5o16 күн бұрын
Fungua milango iriofungwa kwangu bwana Amen
@IshaK-t7g17 күн бұрын
Ameen 🙏🙏🙏🙏🙏
@judithnjunwa666817 күн бұрын
Asante asante MUNGU kwa neno lako
@DelaneyWambui16 күн бұрын
Amen amen tunakupenda pia pastor
@judithnjunwa666817 күн бұрын
Nakuelewa mtumishi wa BWANA
@cuteliciacutelicia396816 күн бұрын
Jana sikuingia online toka majuzi nakufatilia mtumishi kiukweli neema ya Mungu izid kuwa na wewe akupe maono zaid na zaid kwa maana somo la toka jumatano nahisi ulitumwa kwa ajili yangu nilikuwa na wakati mgumu mno ila hakika umeniimarisha had leo nimeimarika nafanya kazi kwa amani na imani yote ni kwaajili ya mafundisho yako. Nimejifunza vingi mno asante na Mungu azid kukuinua. Nakupenda sana mtumishi
@ChikondiMadaliso15 күн бұрын
Ubarikiwe
@safialuhizo497917 күн бұрын
Yes bwana,,,,,,🙏🙏
@judithnjunwa666817 күн бұрын
Ni kweli kabisa hata kwenye kuchukiwa na watu Kuna kupeleka kwenye mafanikio yangu
@neemafrancis248715 күн бұрын
Sifa na Utukufu vina ww Mungu🙏
@stephanosospeter170916 күн бұрын
Ameen
@CalistaMichael16 күн бұрын
🙏🙏
@judithnjunwa666817 күн бұрын
Mmh .. MUNGU ameniona ,,nasonga mbele
@IshaK-t7g17 күн бұрын
Be blessed pastor 🙏🙏🙏🙏
@user-jp2sn7hd4s15 күн бұрын
Amina
@Princesscareen16 күн бұрын
Neno hili ni lakwangu me kabisa
@blaisekambale214516 күн бұрын
Amina. Mungu akubariki
@harunithabiti957216 күн бұрын
Asante yesu
@eveabasi246917 күн бұрын
Amina, Asante sana Yesu Kwa kunipa nguvu mpya ya kusonga mbele sitaka tamaa Tena acha vita iendelee nitashinda tu Kwa sababu nipo kwenye ratiba ya Mungu baba
@EuniceJonathan-z9i17 күн бұрын
Ahsante Pastor kwa neno la Faraja,.Ninachangamoto kazni kwangu Mungu anisaidie
@KisisiManda16 күн бұрын
Asante mutumishi
@user-zg6ek5kk6z17 күн бұрын
BWANA MUNGU NAKUSHUKURU NA LA WA MAISHA HAYA NALETA KILA LINALONISUMBUA UWE SULU HUU ILI SHO BABA,WALA USINITUPE ,MAGUMU YANGU UNAYAONA ,NISIHADHIRIKE JEHOVA NAOMBA MBINGU Z INIKUMBUKE
@janendumia899116 күн бұрын
ee, Mungu usinipite wakati huu...unapo fungua orodha mpya kwa yule baba/mama/mtoto usiniache..ndani yangu nina huduma nipe mwelekea,,nikienenda kwa akili zangu Nita,fail...nakuitaji roho mweleke ndio nahitaji...Asante kwa kipundi hii na mafunzo haya mlinde mtumishi wako ni kwajili ya nafasi zile anakomboa....mwezi huu wa September,unapozuru na wale usiniache...too much delays in my life/family..nipe nguvu ya ujasiri nashindwa na hofu..uwoga ..nahitaji mwanzo mpya ee Mungu wangu...nina Imani mi nimshindi na ushuhuda ni wako. In Jesus Name.. Amen 🙏