Ee Bwana sikia Sala na sauti yangu kwako killio changu kikufikie Baba yangu mwema. Kutana na hitaji la moyo wangu Baba wewe wanijua vizuri baba
@InnocentChateau-jl3rv20 минут бұрын
Ee Bwana kumbuka rehema zako na fadhili zako 🤲🏾
@Tibafeza27 минут бұрын
Eee bwana na omba unisaidiye🙏🙏🙏
@MariaAllure-z5v42 минут бұрын
MUNGU NIREHEMU MIMI BINTI YAKO ULIENICHAGUA
@AureliaJeremia-v6kСағат бұрын
Amen mungu naomba unikumbuke
@ScholarMghoiСағат бұрын
Eeh Roho wa utakaso naomba nitakase moyo na nafsi na uyasikie na kuyajibu maombi yangu🙏
@BenardNkugaСағат бұрын
ee mungu wa mbinguni kwa mapenzi yako basi nayo neema itokayo juu yako basi ikanifunike na unijalie furaha na aman katka sku zang zote hapa dunian ameeen😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑
Ee Bwana sikia sala na sauti yangu kwako kilio changu kikufikie BABA yangu mwema amen
@deboramsangi3602 сағат бұрын
Amen amen
@JoyfulLargeTree-ed6pt2 сағат бұрын
Eee bwana naomba nikumbuke
@DelaneyWambui2 сағат бұрын
Amen
@MiriamAmon-g7y2 сағат бұрын
YESU unapowaskia wengine na Mimi usinipite
@arsenelucas2 сағат бұрын
Amen 🙏🏽🙏🏽
@Marianamariana1812 сағат бұрын
Eeeeh mungu unirehemu sawasawa na neno lako unisamehe mm mwenye dhambi 😭😭😭🤲🏽🤲🏽🤲🏽🤲🏽
@joanitamligo63212 сағат бұрын
Amen
@arsenelucas2 сағат бұрын
Eeh Mungu sikizilia maombi yangu ya siku ya leo
@thompsonyusto88812 сағат бұрын
MUNGU akawe pamoja nawe pastor
@RahabkRuth3 сағат бұрын
Eee Bwana Yesu naomba, unaposuru wengine usinipite naomba Unirehemu niongezeke ktk kiroho
@MSedeki-qy2smburundirwanda3 сағат бұрын
Amen
@judyogoti64073 сағат бұрын
Mungu nahitaji uwepo wako ukae ndani mwangu
@SarahElias-ib8ou3 сағат бұрын
Mimi ni Nuru ya ulimwengu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@MSedeki-qy2smburundirwanda3 сағат бұрын
Amen
@EsitaSelevist3 сағат бұрын
Amen
@SarahElias-ib8ou4 сағат бұрын
Ameeeen 🙏🙏🙏
@celinagadiel64374 сағат бұрын
Yesu natamani nikae uweponi mwako🙏
@teresiasusuma83065 сағат бұрын
Amina napokea kwa jina la Yesu mahubiri hayo na maombi haya, Asante mtumishi ubarikiwe sana
@teresiasusuma83065 сағат бұрын
Asante mtumishi ubarikiwe umenigusa sana kwny gereza la madhabahu za kichawi na ushirikina kwny familia yangu najua hao waliounganishwa kwny madhabahu hizo wanaenda kuokolewa naniwanaomba waokoke ktk Roho na kweli wasiwe wanafiki, maana nimeomba hadi nimemwachia Yesu hata ninashindwa niombeje,zaidi namwombea Emanuel Yesu amkomboe ktk vifungo vilivyomfunga, namwombea Denis afunguliwe Roho za madeni