🔴

  Рет қаралды 17,064

FIRDAUS  TV

FIRDAUS TV

Күн бұрын

Пікірлер: 187
@jafarijuma225
@jafarijuma225 2 ай бұрын
Wallah thumma wallah mnadanganya umma lakini kuna watu tuna elimu na tunajua lugha ya kiingereza yaani ni vichekesho. Muogopeni Allah.
@ip_header
@ip_header 3 ай бұрын
Innalillah wainna ilayhi rajiun, masikini umma una angamia
@mohamedKhamis-j7f
@mohamedKhamis-j7f 2 ай бұрын
Kiukweli sijaona akipandisha jini la kiingereza subhana allah
@ZuwenaNassor-b6m
@ZuwenaNassor-b6m 11 ай бұрын
Allahuakbar mtihani mzito allah atufanyie wepesi
@WadyShaibumohammed
@WadyShaibumohammed 3 ай бұрын
Mungu anakuoneni dah. Utapel mtupu
@GloryMathias-n4d
@GloryMathias-n4d 11 ай бұрын
Subhaanah Allah, is a challenge, People are Committed to devjl them self
@eddymaphy
@eddymaphy 3 ай бұрын
INNALILLAH WAINNA ILAYHIRRAJIUN😭😭 Wanatapeli sana kina mama na dadazetu
@IshaIuziga
@IshaIuziga 11 ай бұрын
Sheikh shareef firdaus alqadiry.mashallah kwa kazi zako nzury
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 3 ай бұрын
Kwa mtu dhaifu kama wewe ndo ataona kazi nzuri lakini huo upumbavu na ushirikina hata wasio waislamu wanafanya
@mahfoudhmabrouk809
@mahfoudhmabrouk809 3 ай бұрын
Huu upuuzi mno! Hawa wanaichezea dini yetu nasi twawatizama tu. Ifike kipindi huu uhuru upungue tu.😢
@mohammadswaleh6900
@mohammadswaleh6900 3 ай бұрын
Matapeli hawaaaaaaa Daaaah utadhani Pastor
@abdallahdullah8642
@abdallahdullah8642 2 ай бұрын
Cndo ya kanisani haya?
@AlphayoLugallah
@AlphayoLugallah 2 ай бұрын
Kabsaaaa....dah! inatisha aisee
@FakhiChapozo
@FakhiChapozo 3 ай бұрын
Daaaah mtihani hu mungu atunusuru
@eddymaphy
@eddymaphy 3 ай бұрын
Aamin
@husseinmukwambo9001
@husseinmukwambo9001 3 ай бұрын
Amin
@Rukaka_jr
@Rukaka_jr 3 ай бұрын
Utabaki kuwa sharifu kilugha na sio kisheri, na uzuri ujumbe ushakufikia tayar Allah atuongoze sisi sote InshaAllah
@eddymaphy
@eddymaphy 3 ай бұрын
Aamin yarabba'Alamin
@vuaiali3780
@vuaiali3780 3 ай бұрын
Mwamposa version 2
@Mariam-ke4og
@Mariam-ke4og 3 ай бұрын
Jamani mnatengeneza watu kuja kutudanganya hamuoni aibu innalilah wainailaih rajiuuun
@RioKoka
@RioKoka 3 ай бұрын
Kinacho ni shikitisha ni mazinge ana support vitu kama hivi msiba mzito wallah si comedy hii
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 3 ай бұрын
Anasapoti kwa sababu ya njaa kali
@atambitomotesTz7100
@atambitomotesTz7100 3 ай бұрын
Mtihani mzito huu
@MuhammadsalmudadMuhammad-rq2qz
@MuhammadsalmudadMuhammad-rq2qz 3 ай бұрын
if you have nothing to say, it's better to keep quiet, bora kunyamaza mnaongea ujinga tatizo yenu WA tanzania shule kidogo vichwani mwenu, From mocambique
@alikidungura9419
@alikidungura9419 3 ай бұрын
Mazinge ninjaaa imemfanya asapoti ujinga
@salimfaraj5509
@salimfaraj5509 3 ай бұрын
Hicho hata mm kimenisikitisha sana. Mazinge kusapoti ujinga huu. Nilikuwa namuheshimu sana
@Abdallahmohamed72
@Abdallahmohamed72 Ай бұрын
Haoni haya waka aibu kuaribu dini yake Allah ameweke dunia mbele kuliko akhera hana elimu wala busara wala hekima hakusoma dini kabisa ndio maana anafanya uchinga huu mungu akuongoze ubadilike urudi kwa Allah
@MyasaAbdullah
@MyasaAbdullah 11 ай бұрын
Mtihani Kwa kweli
@ZaytonaEid
@ZaytonaEid 11 ай бұрын
Mashaallah
@9119-r4t
@9119-r4t 3 ай бұрын
Hatu hawaogopi kesho akhera subhanaallah. Utapela huu
@MuhammadsalmudadMuhammad-rq2qz
@MuhammadsalmudadMuhammad-rq2qz 3 ай бұрын
mhhhhhh this sheikh is very attentive to English and speaks it very well, yuko imara Sana kwa lukha ya kingereza
@Sanjar-y3c
@Sanjar-y3c 3 ай бұрын
Mazinge mpumbavu Sana nmemjua Leo kama mpumbavu aisee wakumuunga mkono huyu😂😂
@SeifuMkoma
@SeifuMkoma 3 ай бұрын
Mazinge kumbe mzigo wa mavi,anaungana na huyu mwizi
@issakawaya8315
@issakawaya8315 11 ай бұрын
Mtihani kweli
@Anna-hh7hi
@Anna-hh7hi 10 ай бұрын
Mnapatikana wapi ofisi zenu
@MrUshindi-b8k
@MrUshindi-b8k 3 ай бұрын
Bila YESU hamuwezi kuondoa uchawi na majini
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 3 ай бұрын
Yesu gani wewe mgalatia wakati huko makanisani kwenu watu wanaopandisha mapepo ni wengi na mapepo hayaondoki kanisani.
@AbuuShaukaniy
@AbuuShaukaniy 3 ай бұрын
Uyu mshkaji namjua aise nimeishi nae mwandege kumbe karitadi iviii seeee
@FarouqNnanguje
@FarouqNnanguje 3 ай бұрын
Dah Safi sheikh inshallah mwenyeezimunguu azidi kukufanyiaa wepesi sheikh inshallahhh
@eddiemay547
@eddiemay547 11 ай бұрын
Jini huyo ni jini wa subiani ajikaze shekhe anatakiwa awe na elimu ya kumshinda yeye ktk majini wasomi ila wameasi kwa allah ni hawa subiani hatari sana ukimpata jini huyu au ukipewa bas unamtihani mkubwa mno zako zipo lengo kuu ni kukutoa roho nusura nusura hukutia kilema cha maisha utamaliza waganga dunia mzima hutibiwa kwa makarama ,na elimu ya majini tena uwenaelimu nayo hakuna kitu asichokijuwa ktk qur an ,kama mchaw bas yeye zaidi unamfukuza nakuwambia naondoka ila baada siku au mda matatizo pale pale utasoma vitabu vyote kumtibu huyu jini labda uwe mcha mungu unaelimu kumzidi yeye allah akbar allah atunusuru na jini huyu
@abelmbata37
@abelmbata37 3 ай бұрын
Koboko yake ni jina la Yesu hapo ujanja hana atatoka tu
@kilemilekilemile
@kilemilekilemile 3 ай бұрын
Hiki kituo kiko wapi?
@abdulrahmanngaluma3768
@abdulrahmanngaluma3768 3 ай бұрын
Hata usikijue huyu dogo ni muongo, mchawi feki, mshirikina halisi, bangi zimempeleka resi
@abdallahsuwed65
@abdallahsuwed65 3 ай бұрын
Mimewacha kabisa kufatilia mihadhara ya mazinge.ni ovyo sana.
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
@Mahershalalhashbazi-kf6xi 3 ай бұрын
Bado kidogo utajuwa mengi si kwa Mazinge tu
@Blessedboi8019
@Blessedboi8019 11 ай бұрын
Vituko na visanga uswahilini. Tanzania hatukosi movie.
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
@Mahershalalhashbazi-kf6xi 3 ай бұрын
Maaamuma oyeeee
@Mariam-ke4og
@Mariam-ke4og 3 ай бұрын
Shekh Kishk hivi unaona kinachendelea ? Usichoke shekh kukemea haya maovu na kuudhalilisha uislam kiasi hichi na M/Mungu atakulipa kwa kuipigania dini yetu
@hassannyalile2256
@hassannyalile2256 3 ай бұрын
Mzee kachemka marohani yanaongea kiingereza nayeye anatolewa marohani Lakini nae anaongea kiingereza huu ni mpango wa kuwazubaisha wanamama wa kiislam
@AlyAly-dp7iv
@AlyAly-dp7iv 3 ай бұрын
fidausi bwege la mabwege wizw mtupu daaah uisilam umeanza kuchezewa sasa😢😢😢😢😢
@nassormasoud7498
@nassormasoud7498 3 ай бұрын
haha tena wizi wa wazii aende pemba kama yeye kidume akatowe majini mtuu mwenye jini anakuwa hivyoo 😂😂haha
@AbubakariKisuju
@AbubakariKisuju 3 ай бұрын
Walslam tumefikia huko"kweli?allahuakbar
@MdaluLipanda
@MdaluLipanda 3 ай бұрын
ihi sawa kali dah
@GloryMathias-n4d
@GloryMathias-n4d 11 ай бұрын
Sheikhe Firdaus ,as long as SUBHAANAH ALLAH send you to us Live long life to save the people of Alla
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 3 ай бұрын
Mmmmmmmh!!!
@zaimkoko8615
@zaimkoko8615 11 ай бұрын
Mashaallah mungu ni mwema
@AdmiringCorgi-rg5tj
@AdmiringCorgi-rg5tj 11 ай бұрын
Jinni anacheka kwa kiingereza chakeeeee
@azizhamed6320
@azizhamed6320 3 ай бұрын
Njaa ni mbaya kweli😮
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 11 ай бұрын
Kwahiyo Hilo jini ni la kizungu noma sana atatufaa tunatafuta mwalimu wa English language.
@KautharMohamed-kj5zc
@KautharMohamed-kj5zc 11 ай бұрын
😂
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 11 ай бұрын
@@KautharMohamed-kj5zc pole madame.
@KautharMohamed-kj5zc
@KautharMohamed-kj5zc 11 ай бұрын
@@AlhajiIssa-jb9hr Asante
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 11 ай бұрын
@@KautharMohamed-kj5zc jamani karibu Tanga mjini madame
@KautharMohamed-kj5zc
@KautharMohamed-kj5zc 10 ай бұрын
@@AlhajiIssa-jb9hr Inshallah
@hamisimchana195
@hamisimchana195 11 ай бұрын
Tunaomba video ake had mwisho imekuwaje ??
@AbuuRamlahADAM
@AbuuRamlahADAM 2 ай бұрын
Wanatuletea Michezo hawa Jamaa
@imperfektservantt-e8b
@imperfektservantt-e8b 2 ай бұрын
Kila ninapotazama imani tulizo nazo waislamu wa sasa na mambo tunayoyofanya nazidi kujua maana ya kwa nini baadhi ya maswahaba na watu wema waliopita hawakutamani kuishi zama zetu. Achilia mbali Rasulullah ﷺ hivi unadhani mtu kama Umar Ibn Abdul Aziz angelikuwepo zama hizi angewavumilia watu wa aina hii? watu wanaochafua uislamu kwa sababu ya pesa?Miongoni mwa mambo ya hovyo wanayofanya watu wa hivi hata inapofika swala hutaona wakiwaambia watu tukaswali kwanza tukirudi tutaendelea na hizo wanazoziita dua, wanachojali wao ni pesa tu.Kama mtu swala yake tu anaipuuza huo usheikh anaupata wapi? Tuzinduke waislamu hili ni janga, ina maana ndio umefika huo muda wa kuwafuata makafiri hatua kwa hatua mpaka tutumbukie shimoni??
@jumalove2631
@jumalove2631 3 ай бұрын
sasa kunatofauti gn na kanisani kaka 😅😅😅 dini zimeingiliwa daaa😢😢😢😢
@faridalekupe3582
@faridalekupe3582 3 ай бұрын
Uigizaji huu jamani Astaghfirullah
@yesesimoni
@yesesimoni 11 ай бұрын
Shekhe ameshika mafuta au naona vibaya?
@Zubaiba
@Zubaiba 11 ай бұрын
Pole sana mzee wng
@Abdallahmohamed72
@Abdallahmohamed72 Ай бұрын
Huyu kijana anafanya mambo hayo yote kinyume nadini inatakiwa aitwe kwenye kikao awekwe chini vizuri akanywe kabisa ili awache upuzi huu aibu sana kwa kweli anachafuwa sura nzuri ya uislamu kwanini waislamu nawakubwa wadini wanamuangalia tu mpuuzi kama huyu
@IssaJuma-rk5qb
@IssaJuma-rk5qb 3 ай бұрын
Yaani wa uislam wanaupgia dili
@MombokaMomboka
@MombokaMomboka 3 ай бұрын
Yaniww umekosa namnanyingine yakutafuta riziki mpaka uifanyizihaka dini ya Allah. Ww hunatofauti na MBWA. Au nguruwe
@salimfaraj5509
@salimfaraj5509 3 ай бұрын
Hicho hata mm kimenisikitisha sana. Mazinge kusapoti ujinga huu. Nilikuwa namuheshimu sana
@NtakarutimanaHassan-q9l
@NtakarutimanaHassan-q9l 3 ай бұрын
Wallah naapa huyu jama si muislam kwa sheria yakiisilam huyu hana utofauti na mwamposa
@eddymaphy
@eddymaphy 3 ай бұрын
Hamujamuelewa huu utapeli umeanzaje anzaje, Hii ni dili ilipangwa na Mazinge,kwasababu Allah alimleta Shariff duniani akiwa na miujiza yake na nusu ya dunia inamjua tangu alipokuwa mdogo na miaka miwili na nusu,sasa mazinge akaona yale majini yao yatumike na huyu dogo ndie atazidi kushangaza umma na kutengeza pesa, kwahiyo kwa nguvu za majini ndio anatupiga mchanga wa macho ili tuheshimu jina lake na historia yake tangu mdogo, Tujiulize swali,,hiyo miaka ya nyuma kuanzia akiwa na miaka 12 hadi akiwa na miaka 21 alikuwa wapi na sifa zilipotea mpaka mwaka jana ndio akaanza kujitangazia kazi zake wakati ashajua njia ya kutumia majini italeta pesa
@MombokaMomboka
@MombokaMomboka 3 ай бұрын
WEWE UNAEJIITA SHALIFU NAVIBALAKA WAKO WANAOKUSAPOTI MUNGU AWAZALILISHE KWAUTAPELI MNAOUFANYA
@mesasaid-kj3nq
@mesasaid-kj3nq 3 ай бұрын
Ujuha munataka kuleta karne ya GNZ
@Haarun-h4q
@Haarun-h4q Ай бұрын
Hakuna tofauti na makanisani.
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 3 ай бұрын
Halafu yule walid sheikh wa bakwata anasema mkitaka msitake ni sharifu, lakini mimi simshangai na hasa sheikh akiwa wa bakwata, maana kuna mmoja amehalalisha hadi mwenge akidai umetajwa ndani ya Quran.
@AdmiringCorgi-rg5tj
@AdmiringCorgi-rg5tj 11 ай бұрын
Jinni kawa mkali kama kanataka kuyaviwa na shekheeee
@IssaJuma-rk5qb
@IssaJuma-rk5qb 3 ай бұрын
Shekh mazinge unaheshimika sana kwa waislam usiingizwe kwenye komedy hizi
@AlyAly-n8r
@AlyAly-n8r 3 ай бұрын
Mbona amejiingiza mwenyewe kwa kumtetea mbele za kamera watu hawajakurupuka TU
@ZubeirHamada
@ZubeirHamada 3 ай бұрын
Jinni la Kizunguu
@ZaiduZaidu-f1j
@ZaiduZaidu-f1j 11 ай бұрын
Sheikh pole sana maana Kaz unayoo
@ShafiiSoud-b3w
@ShafiiSoud-b3w 2 ай бұрын
matapeli ninyi😅😅😅...shetani apiga kiingereza... washenz
@Ajijji12
@Ajijji12 3 ай бұрын
Mzee kaleweshwa wahuni tu hawa
@Marjeby
@Marjeby 3 ай бұрын
😂😂😂Jina halijui Kingereza eti! I am going to home😅Sharif naye anaongea Kingereza aiseee😮dogo msenge sana huyu
@rashidmexes3629
@rashidmexes3629 3 ай бұрын
ACHANENI NA IMANI ZA MAJINI MGEUKIENI YESU
@hassanally446
@hassanally446 3 ай бұрын
Nyie wenyewe ndio mnaongoza na imani za mashetani, kilasiku mnayatoa kanisani
@thekingdragon8358
@thekingdragon8358 3 ай бұрын
@@hassanally446 NAMSHANGAA
@prochesernest5439
@prochesernest5439 3 ай бұрын
Ndungu zao waislamu wanaongea kingereza wamehachana lugha ya Allah kiarabu
@chieframadhani4976
@chieframadhani4976 3 ай бұрын
Watoe Majini wakae sawa babu
@RAHMAHUSSEINMUSH
@RAHMAHUSSEINMUSH 2 ай бұрын
Duh ww firdaus acha kuzingua ww tafta kaz nyngn hy sio kaz. Na tunamuomba Allah akudhalilishe ww mpaka ushike adab
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😅😅😅raha shetani karudi tena ,hahhhh this COMED ,maskini mzee sijui kalipwa ngapi ,siokosa kutafuta hela ,Uwo USHARIFU ,JINAKUBWA
@HussainAbdallaAli
@HussainAbdallaAli 3 ай бұрын
Huyu mzee ni mchekeshaji co mgonjwa ila sharfu Acha comedy basi km umeamuwa kutangaaza jina la Allah tangaaza t ila achana na comedy tafadhali utakuja kujijutia ck ya siku mbele ya mahakama ya Allah namuomba Allah atupe mwisho uliomwema
@Haarun-h4q
@Haarun-h4q Ай бұрын
Masikini mama zenu wadanganywa.
@Haarun-h4q
@Haarun-h4q Ай бұрын
Huyu mzee ni mchekeshaji,sijui amelipwa shillings ngapi.
@AmiEdi-f2y
@AmiEdi-f2y 3 ай бұрын
Nyi nyi mutaenda kujibu nini Allah,siku ya siku, na mashekh mumekaa kimya ata kukemea ni shekh kishki tu watu wanacheza na dini ya Allah
@eddymaphy
@eddymaphy 3 ай бұрын
Mashekhe wengine wanakemea kiuoga wanatoa historia za kipuzi zengine hazieleweki,hawaendi kwenye point husika au kuwataja kwa majina yao ili kuwaumbua kwa umma kama vile sheikh kishk Masha Allah mungu azidi kumlinda na shari za wapotoshaji na maadui waliomzunguka,,Aamin
@SaidHamad-d3n
@SaidHamad-d3n 3 ай бұрын
Mimi sikuiti shekhe lakini wewe sharif wa michongo acha uhuni kwenye uislam huna chochote unaleta ukristo kwenye uislam Acharya hizo bwana kweli wabongo hawana akili ni wepesi kudanganywa lakini ujuwe unafanya makes a sana wacheni usanii
@TaarabChannel
@TaarabChannel 11 ай бұрын
Kizungu gani hicho....shengesha tu...
@woah.africa99
@woah.africa99 11 ай бұрын
Jini wa Europ sijui kwa baiden katokea
@ludovicmjili8480
@ludovicmjili8480 2 ай бұрын
Sinema zetu hakika ni za kwetu
@MwajumaLajab
@MwajumaLajab 3 ай бұрын
Atatoka Ila si kwa halaka halaka halaka hivyo,Hadi amchukue aende nae kwake,na visomo viwe vingi sana
@AllyKipende
@AllyKipende 3 ай бұрын
Jamani hakuna uislamu wa hivi nduguzangu huu ni ukiristo kabisaaa, nasikitika kuona wahubiri wetu wa kimataifa walohusika kusilimisha watu kina mazinge wanaona haya mambo alafu wanatetea
@AhmedMohamedMadaiMadai
@AhmedMohamedMadaiMadai 3 ай бұрын
Mimi jini hanikhanith mda wote huo hta sku moja dakika nyingi keshapotea
@mwamudmohamed5566
@mwamudmohamed5566 3 ай бұрын
jamani waislamu wenzetu tanzania msikubali watu hawa kutuharibia uislamu na munaangalia fanyeni jambo kukomesha watu hawa wa wachukuliwe hatua za kisheria kwa kutapeli watu....fanyeni jambo naana nyie ndio mko karibu
@hamismohamed3541
@hamismohamed3541 11 ай бұрын
Huyo jini angenipa Mimi kesho naenda kwenye interview na pale ni kizungu mwanzo mwisho
@Twahamwela-ch5lz
@Twahamwela-ch5lz 11 ай бұрын
Hahah hahah
@BINOSEMBOGA002
@BINOSEMBOGA002 3 ай бұрын
Yaaani uyu dogo Kuna baadhi ya watu anawapanga wa comment ili ionekane yeye ni bora but kwa akili ndogo 2 hapa naona ni UTAPELI kwa ni English Gan wanaongea spoken tu. Kijana acha uvivu wa kulima ... tafuta rizki ya halal acha kudanganya watu
@MpembaHalisi
@MpembaHalisi 3 ай бұрын
Hahahaaa!😂😂 Sijui ata uyu mzee wamemlipa kiasi gani kajitahudi kuigiza jamani pesa inatafutwa huyu wakimuita maka wanamnyonga
@musakibindo6345
@musakibindo6345 3 ай бұрын
Mnamjua majini nyinyi? Wacheni sarakasi.😂😂😂 WATANZANIA HAPA PAPITE BAKORA MPAKA VICHWA VYA HAWA MATAPELI VIANZE KUFANYA KAZI.
@Hassanali-sq2dm
@Hassanali-sq2dm 3 ай бұрын
Ila shekh mazinge
@mohammadswaleh6900
@mohammadswaleh6900 3 ай бұрын
😂😂😂😂 Nice Comedy
@ramahkesh9360
@ramahkesh9360 3 ай бұрын
Innalillahi wainnailayhi rajiuun, unatapeli wajinga wasio jitambua😂 na uiogope siku utakayo itwa na Mola wako hali yakuwa umezama ktk shirki na dhurma😢
@AishaSaoud-m4i
@AishaSaoud-m4i 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂Leo sharifu umeni furahisha wallah mtihani Duniani wallah
@ayubutwalbu6594
@ayubutwalbu6594 3 ай бұрын
Kwani shekhe kwanini unawadhalilisha watibu tu kwani lazima uwalekodi jamani huu sio uwslamu mue na hekma uwisilamu ni tabia njema
@Ajijji12
@Ajijji12 3 ай бұрын
Ukiskia kichekesho hicho kingereza au kimasai
@IliveforAllah
@IliveforAllah 3 ай бұрын
Omba basi vita vya huko Palestine vishe kama kweli . hutokua na jibu, acheni ujinga . Sharifu mwisho utasema mtume ww . Astaghfirullah . Mashehe wakiTanzania Sasa too much hii kazi Mnakula hongo tuuu na kupaisha wasanii . Mtakiona huko mbele
@kilogreek4050
@kilogreek4050 11 ай бұрын
Mungu AKUBALIKI sheikh Firdaus ☝️☝️🤲🤲❤
@AbdulkarimMohamed-l3n
@AbdulkarimMohamed-l3n 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 kubabake jini la kizungu Tena bongo hahahaha
@AhmedMohamedMadaiMadai
@AhmedMohamedMadaiMadai 3 ай бұрын
Huyo angenipata mimi angebadikisha lugha kumdhakilisha mzee wa watu tu
@MariamOmari-x4u
@MariamOmari-x4u 3 ай бұрын
Sasa mbona sauti ya jini na mzee zinafann kila moja atalipwa alichokichuma sasa huyo mzee mbona anaongea kama jini tu na vituko ni hivyohivyo nyie furaieni tu lakini ipo siku mtakutana na mola wwnu
@nassirmasoud2545
@nassirmasoud2545 11 ай бұрын
Acheni utapeli kwa jina la kutoa majini.eti jini kapanda anaongea kizungu..hi c ni vochekesho.ww shkh shariffche Mngu wako na utubie uyafanyao.urongo mtupu huo.
@omaryissa1821
@omaryissa1821 3 ай бұрын
Tapeli
@SELEMANIAthumani-j5r
@SELEMANIAthumani-j5r 2 ай бұрын
Nihatari sanajamani tujitahidi sana nahawa Watu😂😂😂😂😂😂😂😂
@SalumMzee-mu7zt
@SalumMzee-mu7zt 11 ай бұрын
Mbinu za kupatia pesa hizi
🎈🎈🎈😲 #tiktok #shorts
0:28
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 4,5 МЛН
The Lost World: Living Room Edition
0:46
Daniel LaBelle
Рет қаралды 27 МЛН
MIUJIZA YA WADUDU HAWA  // SHEIKH IZUDINI ALAWY
35:36
arkas online tv
Рет қаралды 61 М.
VITA BADO MBICHI, SHEIKH SHARIF MATONGO NA DR MWAKA
9:13
BABDEO MILADU
Рет қаралды 22 М.
🎈🎈🎈😲 #tiktok #shorts
0:28
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 4,5 МЛН