Allah akupeni Afya kuilinganiia na kuipigania dini Yarrab🤲mana tupo ktk mtihani wa kuzungukwa na vishekh njaa vijambazi hawana imani ila maslaha tuu
@siphifahashimu97232 ай бұрын
❤❤❤❤Alhamdulillah
@Mariam-ke4og3 ай бұрын
Yaaani utapeli mpaka kwenye dini imani yetu Tanzania ni aibu tupu akijitokeza Shekh kuitetea imani baaasi inakuwa shughuli wanakurupuka huko mashekh njaaa na kumuona shekh msemakweli ni mbaya jamani hatari hata M/Mungu hatumuogopi tunaendeleza matumbo yetu tumrudieni Allah
@biashaomar23672 ай бұрын
Masha Allah
@kassimmanaramalika85922 ай бұрын
😂😂😂😂 kweli kabisaa sheikh wangu
@t.v.a.i.s.s68423 ай бұрын
Ni kweli ma sheikhs wetu tanzania wanatia hadi huruma.. Yaaani kila msim, kunakua kuna tokea visanga tofauti katikati ya ma sheikh wetu.
@daudkindy58072 ай бұрын
Mashekhe wengi Tanzania ni washirikina wanajificha kwenye kichaka cha Dua kumbe ni ushirikina
@kassimmanaramalika85922 ай бұрын
Kweli kabisaa
@sharrifidris34222 ай бұрын
WaTz mmetoa wasanii wengi mpka kwenye dini 😂😂sio mapastors sio masheikh wengi wasanii na jambajamba nyingi😅
@Saggukhty31263 ай бұрын
Mara masharifu utaskia makarama watz wana mambo mengi sana😢
@DeBoy-oy2jg2 ай бұрын
Nimemuelewa sana Sheikh Hizudin,, Mifano mengi na nusu ya hii Darsa,( 99% ) amemlenga sana Sheikh Kishk
@Noorein-ws8wk2 ай бұрын
Naam pia nimefaham anamsubirisha sheikh kishki yanayomkuta kwa vile anasema kweli,sjui nimepatia au laa
@Salma-cl7yb2 ай бұрын
Sikweli hajamlenga yeyote anachohimiza ni kuongea yalio ya muhimu kwenye dini yetu
@zahraalbaloochi28413 ай бұрын
Kweli Tznia sana kumejaa mitapeli mijambazi tu wale shkh wa uhakika kidogo Allah awahifadhi, asilimia 80 ni wizi mitandaoni sijui ana karama sijui sharifu wote ni n wizi tu Allah awadhalilishe Yarrab
@ConfusedBalkhHound-on2mx2 ай бұрын
Tena wanadai hela nyingi hao mashekh
@aishamuhammad77853 ай бұрын
Chezea Tz weweeee, maajabu yote ya dunia yapo huku
@otaibonny88352 ай бұрын
Masheikh mahuni 😂😂😂😂
@noot-oe2mw3 ай бұрын
Mashaallah 🙏🙏
@NanaHassan-s8x2 ай бұрын
Wenzetu wametuzidi Wana kila kipaji 😂😂😂
@MaulidFakiKhamis3 ай бұрын
Ila tz hakuna masheikh kuna walanguzi wa madawa ya kulevya wanawake
Wanajiita mashk wanajitia wao eti wanasoma dua ukienda kwa huyo shkh hajui chchte badae anakupeleka KW mganga kuku na kuvunja nazi waogopeni hao mashkh uchwara matapeli wizi tuu
@SinaHafidhi3 ай бұрын
ALLAH awanusuru mashekhe matapeli
@uiavajiwgav54413 ай бұрын
Shekh kishki anapo sema huyo nisharifu feki haja kosea huto sharifu hana tiba zaki islamu kuna clep kwajina taka nimroge yatarabu ameshiriki apeana nazi na mafuta hiyo ndio dua wanao mtetea kina mazinge ogopeni mungu
@saidalhinai11313 ай бұрын
Huyo kishki mwenyewe hayuko perfect ana hasada kuna watu wanaopeleka wtt wao ktk school yake kama hujalipa ada mwezi anawafukuza wtt halafu yy anajifanya mkarimu ktk macho ya watu
@bashirumuniru3 ай бұрын
Hivi akili yako inachaji kweli yani unataka ufundishiwe watoto wako Bure
@MariamNkelame3 ай бұрын
Umemjibu vizur sna@@bashirumuniru
@غريبالهدابي3 ай бұрын
@@saidalhinai1131ngoja asa nikuulize we kama shule zingine huwa usipo lipa mwez mmoja unafanyaje unakaa bure tu acha chuki mbwaa we mashule yote usipo lipa ada mwezi mmoja unasimamishwaaa mie mdg wang kasoma comecolleg ada tumeteleza mwezi mmoja kambiwa kuanzia kesho usije mpk mlipe hyo ni lzm we vp bhnaaa
@BuiKishkOnlineTv2 ай бұрын
@@saidalhinai1131😅mi naomba unifahamishe HASAD ni nini kwanza, kisha nakuombea ALLAH akujaalie umiliki shule, ndo ujue walimu na wafanyakazi wote wa hapo huwa wanajitolea au wanataka Mishahara?, then nijibu kwanini walimu wa Madrasa huwa wanashindwa kuendelea kufundisha hasaaaa wakioa? NI WAZI WEW NDIO UNAHASAD na ndio maana ukaitaja ilhali huijui maana yake