No video

CROWN SPORT: UONGOZI WA ENG HERSI SAID PALE YANGA KWELI NI BATILI?

  Рет қаралды 45,038

Crown Media

Crown Media

Күн бұрын

CROWN SPORT: UONGOZI WA ENG HERSI SAID PALE YANGA KWELI NI BATILI?

Пікірлер: 17
@daynesakulu3169
@daynesakulu3169 Ай бұрын
Watangazaji mko poa aana ❤❤❤❤❤ mna tangaza vizuri sana , na sauti zenu nzuri❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Crown Sports mpo vizuri, nawafata kutoka USA.❤
@spensajansa
@spensajansa Ай бұрын
Yanga mbele daima
@GastonPeter-k1d
@GastonPeter-k1d Ай бұрын
We are young Africans 0:58
@charlesayubu6449
@charlesayubu6449 Ай бұрын
Hukuwepo ila unasema kama aliambiwa kaa chini. Kama hukuwepo si ukaye kimya
@charlesayubu6449
@charlesayubu6449 Ай бұрын
Jemedar utafeli sana
@Brother_kuku
@Brother_kuku Ай бұрын
Kwahio kumbe n sababu binafsi😅😅😅😅😅
@udiabdullah5261
@udiabdullah5261 Ай бұрын
Hivi karibuni, kumekuwa na tetesi na habari nyingi kuhusu uongozi wa Eng. Hersi Said Ally katika klabu ya Yanga. Eng. Hersi amechaguliwa kuwa rais wa kwanza wa klabu hiyo kufuatia mabadiliko katika katiba ya Yanga ambayo yalihitaji uchaguzi wa rais na viongozi wengine wa kamati kuu Hakuna taarifa rasmi kwamba uongozi wa Eng. Hersi ni batili. Kwa kweli, uchaguzi wake ulifanyika kihalali na alikutana na vigezo vyote vinavyohitajika kwa nafasi hiyo Pia, mashabiki wa Yanga wameonyesha imani yao kwake kutokana na juhudi zake katika kuleta mafanikio kwa klabu, ikiwa ni pamoja na kushinda mataji ya ndani na kufikia hatua za juu katika mashindano ya kimataifa Kwa hivyo, habari kwamba uongozi wa Eng. Hersi ni batili hazina msingi wa ukweli. Inaonekana kama uvumi usio na uthibitisho rasmi
@user-lx7lb7sn8k
@user-lx7lb7sn8k Ай бұрын
Yes
@aggreyissaya4342
@aggreyissaya4342 Ай бұрын
Jemedari chuki zake zipo waziwazi na kuna siku zitakutokea puani
@CassimoBicheSaide
@CassimoBicheSaide Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@charlesayubu6449
@charlesayubu6449 Ай бұрын
Kikeke unashuhuli kubwa kuwafunza hao jama, ukitaka kuhabarisha watu lazima uwe na 80% ya ukweli. Kwanini asijiweki mbali kama anajuwa muongo na kesho sheria zitamchuw1
@JumaRamadhani-i1t
@JumaRamadhani-i1t Ай бұрын
Mko poa
@charlesayubu6449
@charlesayubu6449 Ай бұрын
Jama anasapoti hilo Mtuu wavurugu huyo Jemedar. Na hao body yawazamini walisikilizwa ?? Kivipi ??? Apo unasema walisikilizwa unauhakika ??? Kuwq mtangazaji wa recherche ??
@mosesgasana7109
@mosesgasana7109 Ай бұрын
CEO wa Fountain Gate ni NUNDU na KAMONGO kutokana na majibu yake yenye utata wa deni la mchezaji😂
@ndackdominic_24
@ndackdominic_24 Ай бұрын
😢
@AhmedAdan-po5ps
@AhmedAdan-po5ps Ай бұрын
Magoma yuko sawa bali tu machawa ndio wajinga
@g-makangarealitymbunge9290
@g-makangarealitymbunge9290 Ай бұрын
CROWN MEDIA ACHENI KUKAA NDANI KAMA UTUMBO KWANI KWENYE MATUKIO MAIRI MBONA AMPO KILA SIKU NINYI MUNACHUKUA VITU AMBAVYO VISHAOJIWA NA MEDIA NYENGINE WHY??? UONGOZI WA YANGA UPO LIVE NINYI KAZI HAPA NI NINYUMBANI 😐😐😏😏😏ATUKATAI KWAMBA NYUMBANI ILA MUSIKAE KAMA UTUMBO
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 18 МЛН
Before VS during the CONCERT 🔥 "Aliby" | Andra Gogan
00:13
Andra Gogan
Рет қаралды 10 МЛН
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 93 МЛН
HII YANGA BALAA TAZAMA MAGOLI YALIVYO INGIA
5:20
Mlela Digital
Рет қаралды 554
MR RICHARD AZUNGUMZIA KUHUSU UPATIKANAJI WA MICHONGO MAREKANI
23:06