Mm niko kwenye page ya juma 24/7 hajawah kutukana huyu baba ila haj anataka kusifiwa tu muda wote na akigombana na mtu bas anataka watu wote wagombane nae
@Watema232 ай бұрын
Tooth whitening...Ni garama sana hapa Marekani kwa kufanya dental cleaning. Mimi binafsi nafanya dental cleaning hapo Dar kila mara nikitembelea Tanzania.
@AdmiringBonsaiTree-nc1lv2 ай бұрын
Sawa
@OfficialA836402 ай бұрын
Kaka zetu wameuliwa huko Temeke wengine hata hawahusiki kwenye panya road lkn wamewafata ndani wakiwa wamelala inakuwaje hao wasiuliwe ikiwa ushahidi unaonekana
Ila jmn kukaa na manara ni kipaji yn anakisiran kama ana mimba changa yn huyo zay anavumilia Sana 😢
@EricaBizuru-jp9by2 ай бұрын
Hapo kwenye mimba😂😂😂😂 Alooh..
@hamidabarraball31622 ай бұрын
Wee dida una domo kwenye mambo ya hovyo kwenye ishu za maana unaogopa
@germasanguya56712 ай бұрын
Ila Dida😅 Eti niwachambe police kwa kweli wakuache😂😂😂
@HassinaAlharthiАй бұрын
Kweli tofauti za menu Tz na nchi za nje siyo sawa kabisa.
@SabrinaMwakapeje-u3v2 ай бұрын
Ni ukweli tupu Jumalokole Hana kosa
@JoyceJoshua-e3l2 ай бұрын
X ,
@JokhaVenance2 ай бұрын
Mnazingua story aianzi mbwembwe nyingii
@ssalimsalim38642 ай бұрын
Daaaah!!ndege 16!!zinarukia anga gani?mbona hata ulaya hazifiki??ndege 16 it's not a joke!!
@FaudhiaMchunga2 ай бұрын
Ila juma minamkubali bana
@HassinaAlharthiАй бұрын
Inahusu nini ndowa za watu wa Tanzania inawahusu nini dida kua mbali ya so kuhusu...
@jokhaali58932 ай бұрын
Bw. Manara ana mdomo kweli kweli
@abdulnasuma97292 ай бұрын
Waleteni mamazenu sasa mkomeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂bugaaaaaaaaaaaa
@zuwenaally27342 ай бұрын
😂😂😂😂😂 yani nimecheka da dida I love u Allah amnusuru samira
@EricaBizuru-jp9by2 ай бұрын
Sema li dida linani-furahishaga linavo mshushua babu Iddy😂😂😂
@KhadijaSadiki-n3t2 ай бұрын
Kujiuza nakubali.mimi mtu mzima kuingizwa huo mdude huko nyuma siwezi.lkn binti mdogo kama mwanangu anaonekana mzoefu😢😢.ila why wamemzalilisha kumchukua video .wapo wa2 wanafanyiwa matukio hayo wanakaa kimya ,lkn hawa wamemdhaliilisha
@Anethrobarth2 ай бұрын
Wee manar koma nyooooo Tena tuachie juma wetu mnafkii
@cdeleo93362 ай бұрын
Kutengeneza meno marekani ni bei acheni ubishi. Google basi msije kudhalilika
@hamidabarraball31622 ай бұрын
Na awadhi aliewapiga viongozi wa chadema mbona hajachukuliwa hatua?
@Rymaas1TV2 ай бұрын
Inje kungarisha meno ni 100$ Dollar 100 waace wongo wa Tz wakiwa inje wanatumia uwongo sana uku Egypt ni 100$ Na Ndio Bei inje kote ni 100$. Kudafisha tu bila kungarisha ni bei ndogo sanaa hata dollar 50 hazifiki
@EricaBizuru-jp9by2 ай бұрын
Juma hapo haukuteleza ulijiangusha kabisa kwamba akae nje 😂😂😂😂😂
@supradav14892 ай бұрын
Za ndaniiii nimesikia juma unamtaja daimond na Alyaa eeh mkatutoa kwenye reli nimewasikia😂😂😂😂😂😂😂
@susans44902 ай бұрын
Unaweza kulipa kidogo kidogo so inaweza kuwa bei hio ila hajalipa yote
@zuwenaally27342 ай бұрын
😂😂😂😂 da dida ndo muoga ivyo @dida
@skeeteranderson3752 ай бұрын
Dida nae na mdomo woote na kelele zoote kwenye upumbavu ila hili la msingi la ukatili kakaa kimyaa ,moto wa karatasi, wememwaachia Juma tu
@nafisamnondwa59982 ай бұрын
juma 😂 procedure ya kusafisha meno inaitwa prophylaxis dental cleaning
@Richforever66Ай бұрын
Dida mmmh oooo ndioooo ahaaa mmmm kaoga
@Shaaban-oe9pn2 ай бұрын
Dida, na Juma lokole leo mmepatikana kwa BUGATI
@ukhutfatumah11542 ай бұрын
Weeee manara endelea kupiga domo kwenye mpira ndio kunafaaa huyu zay mswahili muache acheze singeli kashamis uswazi kamis aswaaaa miez 8 hapo kama yupo kifungon
@mamymamiza29242 ай бұрын
Acheni uoga nyie ndio mnatakiwa mtupiganie mbona kina kitenge wanaupigamwingi😢
@Nuru95682 ай бұрын
Haji Manara apendagi kuambiwa ukweli siku zote ukwel unauma
@jamilasaid35752 ай бұрын
Ukimwambia yuwakublock😂😂
@Nuru95682 ай бұрын
@@jamilasaid3575 ndo zake yule yan anataka asifiwe tu🤣
@jamilasaid35752 ай бұрын
Mimi aliblock 😂😂Mwaya kwa kumwambia ukweli@@Nuru9568
@RajabuHayyan2 ай бұрын
@@Nuru9568atafia vinenan
@ashuramanya92822 ай бұрын
😂😂😂nihatari ndo kibaya ca kila kitu mitandaoni.@@Nuru9568
@ramadhaniddy59762 ай бұрын
Juma Lokole wacha vibweka
@RashfaSalum2 ай бұрын
Hii taarabu inaitwaje jamani
@johanjoha52622 ай бұрын
Mkishaga wakoseya Adamu Wati mkiona wamekasika ndo mnajisemesa ilikuwa nimitani,iyo mitandao imewafanya mkaa kosaadabu mna laana ya MUNGU
@faithkaganda-k3s2 ай бұрын
Hv dida hyo kucha ambayo huwa hambandiki ni ya nn🤷♀️😅😅🙌
@ZainabSaid-i4k2 ай бұрын
Yakupakia misk😂😂😂😂
@faithkaganda-k3s2 ай бұрын
@@ZainabSaid-i4k 🤣🤣naijua hyo
@umfahad26092 ай бұрын
Lkn uongo mbaya. Juma amepata kigugumizi leo.😂😂😂
@ABDULKITINDI2 ай бұрын
Idrisa
@zuwenaally27342 ай бұрын
😀😀😀😀😀dida muoga
@KhadijaSadiki-n3t2 ай бұрын
Manara ana gubu na Yale mambo ya kike yakudhila
@RamlaJuma-ct9jb2 ай бұрын
Dida nimecheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@zuwenaally27342 ай бұрын
😂dida kageukiwa
@Ummysauda2 ай бұрын
Alifuta ndio
@AzaAzamhmod2 ай бұрын
Niachie kakaangu haji❤❤ Mtakufa na umbea😢 Haji na zaylisa watazikana
@alsam48812 ай бұрын
Dida ameshakuwa mtu mzima sana hadi mashavu yameshuka ila anapenda sana udogo, na ndiyo maana miwani ya jua haimtoki kwasababu anaficha makunyanzi ya machoni.
@nadianyamuraka2 ай бұрын
😂😂😂
@RahmaSleyim2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣jumaa shikamooo 🙌
@RegKibria2 ай бұрын
Jamani
@fatmaabdallah77092 ай бұрын
Waache waachane kwani inatuhusu nini au wao itakuwa wa kwanza kuachana?! Tuliyajua hayo km yatatokea Manara bado hajafika anapostahili kafanya haraka !
@erikamartin26552 ай бұрын
JAMANI NI TEETH WHITENING !!!
@Maryam-s6e2 ай бұрын
Juma hapo umepigaje kwan manara et katoka kwenye Adhabu
@silverman69302 ай бұрын
Manara you need to sue these idiots … 😡😡😡
@jokhaali58932 ай бұрын
Treatment ya meno, kama ni ORTHODONTICS ni gharama sana nchi zote sio rahisi
@khadijaamur60322 ай бұрын
Ila mm nampenda wajina wangu Bi Khadija 😂😂😂.
@Nuru87002 ай бұрын
Nilikuwa naisubiri hii habari nipate uhakika
@evelyneurassa59962 ай бұрын
Jua la asubuhiii inaitwa morning glory😅😅😅😅😅idriss
@sophiekindem90712 ай бұрын
Sunrise 🌅 🌄 🌅 Jua la asubuhi.
@MADAMMACKTV2 ай бұрын
Nishida
@RegKibria2 ай бұрын
Dida unaogopa 😂😂😂
@MariamSimbe-fo1ce2 ай бұрын
Juma akiongeag lazima liwe kwel mtajua badae tu
@ashuramanya92822 ай бұрын
😂😂😂😂mnajuwaga kunipa maraha kweli nyiye.
@nyanziratatou54042 ай бұрын
Kusafisha meno huku zikiwa pesa nyingi ni $2000
@hamidabarraball31622 ай бұрын
Acheni uoga tafuteni kazi nyingine kama mnaogopa kutoa habari kwa uhuru
@StevenGiven2 ай бұрын
😂😂😂
@nayarichard53182 ай бұрын
Zai nae hapo anakazi
@umaima11782 ай бұрын
Ila hamisa una mzungumzia juma
@umfahad26092 ай бұрын
Juma leo anasutwa…🤣🤣🤣🤣🤣
@ibrahimkhatib7602 ай бұрын
to brush teeth
@OmanOman-dd5qk2 ай бұрын
Waukaya tanga kunani oooyeeee
@FeyEdward2 ай бұрын
Ila nyie mmeshindikanaaa wambeaa wakubwaa😂😂😂😂
@AbduAbdu-s7i2 ай бұрын
Anajifanya victim
@OfficialA836402 ай бұрын
Dah kokoye karudi nimemkosa leo😂😂
@maryamtan6822 ай бұрын
Alikua wapi?
@OfficialA836402 ай бұрын
@@maryamtan682 China
@ukhutfatumah11542 ай бұрын
😂😂😂😂 Ila nyie mashamsham wambea wallah nimecheka mwanzo mbka mwisho 😂 mie hapo kwneye magazet babu iddy mie hoi
@sharifaal-masroori22382 ай бұрын
Teeth cleaning
@msindimalugendo82522 ай бұрын
toothpaste
@JoanaMohamed-w5y2 ай бұрын
Tanzania 🇹🇿 nyie mnalaana daa ao vijana wapewe adhabu yakifo
@MnyamaniTatu2 ай бұрын
Tulujiatu ishuyauyobinti itaishia ivo
@aishatest44512 ай бұрын
dida haaaaa😅😅😅,
@aishaally66022 ай бұрын
Juma uwe unatumia akili kila jambo la mtu wewe kimbelembele tizama yako
@ummysalumu48522 ай бұрын
Juma we ni mshamba kwa cecy anavoonekana sasaivi ni rahisi kupata bwana nakumlioia iyo pesa mara moja alafu huwezifananisha ubora wa mambo wa Africa na ulaya ata ivo plastic surgery bei ya turkey na na marekani sio sawa