Kramo,ni jitu,mpanzu bado mdogo,kwakua mwenyewe anaitaka Simba,atakuna tu hata kama sio msimu huu
@MuhidiniAbdallah-x4w16 күн бұрын
Mungu ibariki ssc
@MichaelAlberto-h7b17 күн бұрын
Kramo safi
@MichaelAlberto-h7b17 күн бұрын
Mimi Dan Alex nasapoti kramo akiwemo simba
@edgarcruzee522317 күн бұрын
MO tunaomba Kramo apewe miaka 2 bila shaka, Onana ampeni nguo zake asafiri
@MlekwaMlekwa-d1k17 күн бұрын
Kramo yupo vzuri sana
@jumamuhidini17 күн бұрын
Itakuwa vzr Kama taarifa itakuwa na ukweli ndani yake
@LucasiMasatuКүн бұрын
Kramo abaki wew
@KokoloLambinguni18 күн бұрын
Kramo atakua 1 mtaona wanasimba
@BernadoPankrasi17 күн бұрын
Simba pia tunafeli kwenye makocha wa viungo
@CostaSilver-qw6iq14 күн бұрын
Ni mchezaj mzuri lakn kumbuken kakaaa mwaka mzima njee alaf kuhusu kufanya mazoez kama wanabyomuonesha hvy Ni uongo tu
@user-qw4pm2xe4j17 күн бұрын
Karmo ni mzur kuliko eote hpo
@BADILIJUSTUS-fs3oo15 күн бұрын
Bongo njaa Kali waongoooooo wakubwa sana
@halfanJuma17 күн бұрын
Onana asepekramo abaki😅😅😅
@iddywaziri-pi5cs17 күн бұрын
Boli litembee mwizi usimpigie mayowe mkimbinze kimiyakiya
@LufunzamachibyaNhumbi17 күн бұрын
namtaka kramo mm naitwa nikorasi
@thomasdesta93915 күн бұрын
Matola ni kocha Matola hachezi mpira anafundisha mpira kwani mwalimu anapofundisha darasani wanafunzi wote wanamuelewa?
@SamSamweliPetromkumbo17 күн бұрын
Tunahitaji vitendo, na sio sifa za majina ya wachezaji
@RamadhanSagondo18 күн бұрын
Klamo asiondoke bonge la mchezaji
@rajabuliganga760117 күн бұрын
Kramo anatusha Simba nguvu1
@abdurisaidi17 күн бұрын
Ni vzr abak kramo simba Yuko xafi xana
@edgarcruzee522317 күн бұрын
Onana ahondoke na Matora
@SafariDaniMasambwa12 күн бұрын
Hapooo wa kumtoaa ni onanaa bhanaaa arokeeee huyoooooo
@user-hy1yv9en4h17 күн бұрын
Kramo mchezaji mzuri Sana tena sana 11:50
@edgarcruzee522317 күн бұрын
Matora ametuchosha na rushwa
@sadih533317 күн бұрын
Acha fitina, Matola pia ni mshabiki number 1 wa simba
@Yousuphuledy17 күн бұрын
Iyo video ya cramo mboni sijaiona hta kwenye kikosi apo hatumuoni nyie munaangalia wapi munaponuona kramo
@KhalfanSeleman15 күн бұрын
Atoke onana kramo abaki awe nampazu ataondoa ufarume wa azizi na chama
@Kambi-c1w18 күн бұрын
Kiramo nimtu na nusu anakuja kutufulaisha wana simba
@Ommy9_fungabreakjr918 күн бұрын
Kramo mwenywe hajaenda
@Ezeqsweya111617 күн бұрын
Media zingne ni mikundu tuu
@user-sm2cn4zi3e8 күн бұрын
Klamo ni bora kuliko ona!
@phoebembwambo276314 күн бұрын
Kramo abakie
@user-yx9ou2sj5l15 күн бұрын
Clamo abaki bhana
@jumaissa776017 күн бұрын
Aubin kram nibonge lamchezaj wampe miaka 2
@user-cg1hc7yt3v15 күн бұрын
Tuachieni kramo tumuone mabosi wetu wa simba kramo mtu na nusu afu memletea mafundi wenzake bala
@user-qw4pm2xe4j17 күн бұрын
Karm abk jmn
@samsonpopat147417 күн бұрын
Kramo asiondoke aondoke onana tafaadhari sana Simba NGUVU moja
@hassanially177317 күн бұрын
Karmo bado tunamuhitaji sana atatusaidia
@user-hn9hd3og8u17 күн бұрын
Binafsi nimefurahi qram ABAKI bana
@RahamanLuambano-tg9bs16 күн бұрын
Nyie waongo mbona tp mazembo wamempeleka Baleke yanga kwa mkopo?
@cholinyoaliy87317 күн бұрын
Mimi nina iman na simba yangu mugu awape baraka
@MULOKOZIJOHN15 күн бұрын
Wafanye kazi
@renatusblandes113118 күн бұрын
Mmeanza huongo kocha amemuona saa ngapi?
@SeifKarata-fr7dv17 күн бұрын
Hivi simba huyo mshauri wao Nani Yan umuache mchezaji mzuri kama klamo
@CyprianHatari-qy9yv18 күн бұрын
Acheni uongo wa kipuuzi taarifa za uongo uongo atutaki kama amn content acheni kubwabwaja maneno
@edgarcruzee522317 күн бұрын
Kramo ni mtu kuntu
@MophatMwamlima17 күн бұрын
Kramo tumuone sasa wasimutoe
@Ommy9_fungabreakjr918 күн бұрын
Choko ngoja nikuunfollow kabsaa kocha hata ajafka unaongea nn choko ww
@hassanially177317 күн бұрын
Onana andoke karmo abaki
@edgarcruzee522317 күн бұрын
MO amesajiri ila shida ni Matora ni tanitzo
@user-qw5ke5co5b17 күн бұрын
Uyu jamaa kilusi pale simba
@user-gn6zz3bq4n13 күн бұрын
Tatizo lake nn ?
@user-qw5ke5co5b9 күн бұрын
@@user-gn6zz3bq4n Kila Kocha akija anafukuzwa yeye anabakia Xaxa nikipi kinacho fanya yeye abaki wezake wafukuzwe. Asituletee makundi ya wachezaji pale
@januarysungura811915 күн бұрын
Kwani wewe ni wakala wa kramo au ninyi ndio vijana wa hovyo mnaodhalilisha wasomi kwa kukosa weredi wa kazi zenu.
@saidsalum610118 күн бұрын
Acheni uongo nyinyi
@nuggettz627618 күн бұрын
Crip gani inasambaa ya kramo acheni uongo uongo
@EmanuelMwambu18 күн бұрын
Wajinga Sana nyie,kocha na kramo Wala hawapo bado huko.mnatafutwa kutukanwa
@jacksonmollel986717 күн бұрын
Kramo abaki jmn ni mwamba kweli kweli kama Elie mpanzu imeshindikana kusajiliwa
@charleskuyeko166018 күн бұрын
Acha uongo. Kocha leo ndiyo anaenda Misri hajamuona mazoezini. Lakini wewe umeshaanza uongo wa kipumbavu.
@MichaelAlberto-h7b17 күн бұрын
Kramo safi
@namtingakassim552915 күн бұрын
Mo kashikwa na Matola wakati Matola jipu
@user-qx2hm8ok4i17 күн бұрын
Tunaomba klamo abaki siba maana uwezowake nimkubwa