Lusinde, ukituliza kichwa huwa unaongea vizuri sana. Tatizo kuna wakati huwa unalewa sifa. Kwa hili umeongea kiutu uzima 👏👏
@rosemarymsulwa2035 жыл бұрын
Sana
@fanuelkasunzu55825 жыл бұрын
Lusinde tuko pamoja
@janethjustin52565 жыл бұрын
Lusinge unaakili kuliko watu wanaojiita wasomi kweli wanalalamikia masirahi binafsi. Sisi watanzania nikiwemo mimi Magufuli ndio kiongozi wetu na Rais wetu tunampenda 😚😚😚😚Mungu ampe nguvu zaidi Rais Magufuli tunamuombea kwakweli anajitahidi na watanzania tunaona Mungu akubariki Magufuli wanakupiga vita niwalaji
@patrickmbughi18335 жыл бұрын
Hahaha!! Lusinde ni msomi na ana masters ya uchumi, sema napenda kujiita darasa LA saba tu!!
@tannumella42425 жыл бұрын
Mh.LUSINDE 🙌🙌nakusalimia mkuu
@tedymwandara54805 жыл бұрын
Rais Magufuli wewe ni mwanaume! Nchi ilishindikana hii! Umeinyoosha, km pesa tunapata tuliyostahili c njia vinginevyo.Wale mlioolewa na wasukuma, hongereni, wasukuma ni wachapakazi na wapenda maendeleo na ni wakweli.
@piushappyness2265 жыл бұрын
nitamchagua tena jpm 2020hadi kieleweke
@idrisahussein38695 жыл бұрын
Una uhakika gani kama utafika?.
@piushappyness2265 жыл бұрын
Idrisa Hussein nitafika kwa uwezo wa Mungu
@musarichard29345 жыл бұрын
Pole ndg
@MsAggie55 жыл бұрын
Idrisa Hussein utafika tu na utamchagua Magufuli. Binadamu lazima uwe na mawazo ya kesho ukijiwekea mawazo negative na Mungu anakupa hayo hayo! Mimi nitampigia hadi kampeni Magufuli lazima apite kwa kishindo
@mussasualehe71465 жыл бұрын
Jamaa katoa siri ya wizi wa kura. Kumbe ndo hivyo?
@tanzanianaturalt.n48465 жыл бұрын
Magufuli Kura yangu umepata baba chapa kazi wazalendo typo nyuma taking.
@hasanharife82275 жыл бұрын
Yani leo naamini baba hakiwa msafi na watoto watakua safi hongera lusinde.
@severinifulgensi26865 жыл бұрын
Umeonae nipe 5
@malcomg10045 жыл бұрын
Lusinde umepga utosini.mlinga yuko wap nae aje afanye finishing hahahah.hua nawaelewaga sana hawa jamaa
@kaisarimkuu36855 жыл бұрын
Leo nimekubaliana na Lusinde. Na ameenda hatua moja mbele kwa kuweka wazi tabia za wizi wa kura. Hongera sana mheshimiwa.
@ashamwandu37815 жыл бұрын
Makufuli chapa kazi tu hao nyau achana nao.nyuma unawatanzani nyuma milioni tharasini wqnakupenda peke yako.wao elfu kumi hawafiki wasikuchoshe .baba angu.kidumu
@upendolaizer73345 жыл бұрын
Maguful juu maguful ni jembe kiongozi bora miaka mingi
@ntibanahum81135 жыл бұрын
Hi
@mohammedmdangwe20565 жыл бұрын
muheshimiwa rais duwa zetu tunazokuombea zimaanza kuwazuru akina nape na kinana majizi wakubwa ushauri wangu kwa rais haya majizi kama yatendeleya kukusumbuwa 2025 waachie lichama lao tuanzishe chama cha wanyonge ule miaka kumi mingine jumla iwe 20
@mohammedmdangwe20565 жыл бұрын
safi sana lusinde namshauli msiba andeleye kumwagia mafuta ya taa kwenye mashimo majoka yenye sumu yaendeleye kutoka tuyajuwe majizi ya nchi hii yaliyojificha kwenye ccm
@kassimali22732 жыл бұрын
Kila zamaa na wa2 wake saivi zamaa zimerudi hahahhhahaah
@nurdinngwegwe29432 жыл бұрын
Amini kwamba.
@mgallason...56865 жыл бұрын
hatari sana. Magufuli stand up! Kanyaga tusonge. Top ranking ya kusema ya CCM tunahitaji kauli ya chama.
@maddoxzakai24793 жыл бұрын
I realize I'm kinda randomly asking but does anyone know of a good place to watch new series online?
@tylercaden92673 жыл бұрын
@Maddox Zakai flixportal
@maddoxzakai24793 жыл бұрын
@Tyler Caden thanks, I went there and it seems to work :) I appreciate it!
@tylercaden92673 жыл бұрын
@Maddox Zakai no problem xD
@saidbabu91984 жыл бұрын
Mweshimiwa Lusinde. Kama hawatakuulewa basi naniwalewale waizi.(mafisadi)(wabinafsi). Mungu awajalie muuendelelee.kumsimamia, Rais wetu
@peteralfonce58485 жыл бұрын
JAMANI TUFANYE HUU NDIO UCHAGUZI.MIMI NAMCHAGUA MAGUFULI JE WEWE UNAMCHAGUA NANI?NAOMBA TUPIGE KULA MATOKEO YATAJIONYESHA HAPA HAPA .ANAPAMBANA NA CHADEMA
@monicapaul84805 жыл бұрын
Nimekuelewa vizuri sana Lusinde namuomba Mungu azidi kumlinda Rais Magufuli
@fortunatuswangubo60135 жыл бұрын
Lusinde kwa maneno yako hata mimi nakuunga mkono watu hao wanasitahili adhabu
@maliselialphonce75935 жыл бұрын
mm
@christinenyagiro66622 жыл бұрын
Lusinde Mungu akubariki sana kwa hayo unayo ongea. Hii Inchi ninajua ndivyo wengi wana CCM. Angalia sana uwe mbali nao tunakuitaji huko mbele. Udalali umerudi si unaona wamerudi. Wataua kila kitu na tumeanza kuumia watu wachini tunashida.
@ndebilemathias71155 жыл бұрын
Anco mangu chapa kaziiiiii , majority we are in together with you
@bokerarahaa65335 жыл бұрын
Asante lusinde. Nmekuelewa npo na Mh jpm
@kylngelas15545 жыл бұрын
Mzee wanafk wote kanyaga,majizi kanyaga,wachafua chama kanyaga,wasiojielewa kanyaga..........watanzania tupo nyuma yako
@immanchinuno61055 жыл бұрын
Mh
@kylngelas15545 жыл бұрын
@@immanchinuno6105 nn Imma
@shafiimpilika28585 жыл бұрын
kama umesikia dawa inawaingia wazee gonga like iwaingie vzr.
@modestmzumbwe5885 жыл бұрын
Mimi nikupongeze mheshimiwa lusinde kwa kusema ukweli, Rais magufuli sisi watanzania tuna imani kubwa naye ,huyo nape na kinana mimi cjui ni wadudu gan au akina nani katika hii nchi yetu ambao hawawezi kujua mambo mazuri yanayofanywa na serikali ya Mh. jpm,
Tukiwa wakweli na wawazi na hata kwa mambo mengine mengi hakika taifa litasonga mbele...KWANINI TUBEMBELEZANE? one among the transparent speeches.
@ednaexaudi63615 жыл бұрын
Ukirudi Utamkuna Membe panapomuwasha! CCM Full Mipasho.
@neemakilomoni42585 жыл бұрын
EDNA EXAUDI 🤣🤣🤣
@ahmedseleman97065 жыл бұрын
baba piga kaz nakukubali Mh.Rais Dr.JPM Mungu akubariki sana pia akutie nguvu ktk shughuli zako za kujenga taifa
@kwaitodance11145 жыл бұрын
Mh rais anafanya kazi nzuri Sana ila hakupaswa kua ccm
@janeypheremmanuel98445 жыл бұрын
chadema m4c ni kweli mwaya
@seryarurera33385 жыл бұрын
Kabsa angehamia upande wa pili kungenoga
@kenybenjiz78505 жыл бұрын
Wamechokoza moto Lusinde wape madongoooo haooo
@yussufallyyussuf92965 жыл бұрын
Yajayo yanafurahisha mnatakiwa mjiongeze kuna ile sentence ya lissu wakimaliza kutushughulikia sisi wataanza na nyinyi na hapatakua na wakuwasemea kwani watakua wameshazibwa midomo wote kumbe hata wenyewe mnaibiana kura leo mnatueleza ukweli thanks lusinde ubarikiwe
@willsonmashaka67325 жыл бұрын
Musiba kawashika pabaya, wanauliza, wapi kinga yake ilipo...! Kumbe musiba anajua madudu ya watu.
@user-dg8qe9rf9h5 жыл бұрын
Musiba kama jinalake 😀😀😀😀pole yao
@petersamson37255 жыл бұрын
Willson Mashaka
@abdulatifmoxamed80475 жыл бұрын
I can call you great Lusinde keep it up I am great fan of you
@PH-hg2vn5 жыл бұрын
Lusinde ameongea vizuri sana big up sana
@josephharri90155 жыл бұрын
Kura yng kwa Magu 2020 mapema asubuhi.
@suratfrank62825 жыл бұрын
Wahojiwe na wafungwe wamemdhalilisha Rais na sisi wananchi tuliomchagua kifupi wametuvuruga kisaikolojia imeniumiza sana sana je sisi wananchi wanyonge tungemtukana nape kinana na makamba siwangetufunga kwa vyeo vyao# nashukuru mh lusinde umefikisha maumivu yetu kwe jamiii √ tunampenda raisi wetu na viongozi waliochaguliwa nae wote ,waziri mkuu, makamu wa raisi, na waaminifu wote
@shabankiwesi67275 жыл бұрын
Lusinde wape, pia mlinga vp piga naww japo vesi moja tu nawakubali sana majembe yetu ccm.
@rassimbaengswahili61915 жыл бұрын
Lusinde kaongea kisomi sana tena sana, big up endeleeni kumtetea Rais
@jimsonndingwi85885 жыл бұрын
Mimi nampenda magufuli peke yake ccm sitaki hata kuiona kwa sababu hao wanao ongea serikali zilizopita walikwepo hawakuwa na lolote, na hata magu akiondoka hao wanao ongea wanabadilisha maneno.
@jenyyusuph49735 жыл бұрын
uelewe yakua utendaji mzuri wawa dogo unatokana nautendaji mzuri wa viongozi wa juu kama raisi mawazili sasa kama wakubwa wanafanya ndivyo sivyo wadogo wataanzia wapi?
@jenyyusuph49735 жыл бұрын
tunajua fila kunawalitokosea kwakuogopa macho yawatu kunawalitokosea kwamakusudi yao kwasasa waliyokosea kusudi ndio wale wanaomkaidi magufuli mbaka wanatumbuliwa bado wanamkaidi hawatakikujua makosa yao kunawaliokosea kwakuogopa uwingi wamacho yawatu ndio wale wanaomsikiliza Raisi wetu nakuona kweli yalikua makosa
@dachjunior47665 жыл бұрын
KICHAA ANARUSHA MAWE TUJIANDAE KUONA WATU WANAGUGUMIA KASEMAAAA AKIRUDI ATAKUJA KUMKUNA FULANI UPELE I'M WAITING 4 THE IMPENDING EPISODES
@mpondaahamida21465 жыл бұрын
Mia mia rais wetu wewe siyo mwanasiasa ila ni mchapa kazi. Kulithibitisha hilo tunaona ndani kunachimbika nje kunawaka moto. 2020 njia nyeupeeee kwa Magufuli.
@sk-wj9or5 жыл бұрын
Point ya kumtukana au kumkebehi Rais nimekisikia na nilithani peke yangu. Ilinishtua sana. Uko sawa kabisa Lusinde wanatakiwa wahojiwe kisheria.
@jumajaffary96985 жыл бұрын
Alieiba ashtakiwe, Lakini Ushamba sio Tusi kwa kamusi ya kiswahili
@muhubiriproduction695 жыл бұрын
vyuma vimegeukana huko!! hahahahhaaaa, na badooooo
@fortunatuswangubo60135 жыл бұрын
Mwambie sumaye mstafu alitoka lakini ccm haikuyumba itakuwaje hao
@lizzymaundo9515 жыл бұрын
I swear Mh Rais wetu Magufuli ni chagua letu kutoka kwa Mungu...Mungu amlinde popote alipo na kazi zake zinaonekana duniani na mbinguni...tunakupenda na tunakuombea kila saa...tunakupenda sana
@sixsule97215 жыл бұрын
Lusinde yuko vizuri sana. Maadui wa JPM ni wale waliotaka kuiuza nchi kwa wazungu. Mwaka 2012 bungeni kama mnakumbuka waziri wa madini William Ngeleja alichangisha fedha kwa ajili ya kupitisha sheria kulinda maslahi ya wawekeaji. Katibu mwenezi wa ccm alikuwa nape, kinana, makamba, wakiwa viongozi waandamizi wa chama walikuwa ndio mashabiki wa move hiyo. Leo JPM amewakamata wamegeuka kusema anatumia watu kuwachafua. Dhambi yao itawala sana hadi mifupa yao.
@mtanisignwriters17215 жыл бұрын
Wema ni akiba pia vilevile ubaya ni akiba, na cheo ni baba chapa kazi hila nasi tukumbuke tozo za matangazo ziko juu Sana makampuni wateja hawafanyi kwa kuogopa gharama kubwa za matangazo hayo.mm ni mmoja wa watoa huduma hiyo ktk vwnda na nje ya vwanda.tusaidie
@kassimali22732 жыл бұрын
Saivi je dhambi inawala kina nani
@lizzymaundo9515 жыл бұрын
Mwanzo ndege moja tena imepasuka kioo na walikuwa viongozi wakubwa....Je Leo kuna ndege 8 ndani ya miaka minne jaman Mungu amlinde rais wetu mpendwa.Rais John Pombe Magufuli....positive development... Like for Magufuli
@SAM_1635 жыл бұрын
SIJAWAHI KUJUTIA KURA YANGU KWA RAIS WANGU Dr. JOHN POMBE MAGUFULI. MUNGU MBARIKI RAIS WETU MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿❤
@altonkanjolonga23805 жыл бұрын
Wakati mzee wetu Kikwete anastaafu uenyekiti wa chama chetu pendwa alisema haya,namnukuu" SISI KAMA CHAMA NI VEMA TUKAFANYA KITU KWA AJILI YA MH. KINANA KWA UTUMISHI WAKE MKUU NDANI YA CHAMA CHETU.' Mwisho wa kunukuu.Mh.Kinana sio wa kupuuzwa,Mh.Nape pia siyo wa kumpuuza,Mh.Makamba Januari na Baba yake nao sio wa kuwapuuza,wanayo alama ndani ya Chama chetu pendwa.Nadhani Busara ni kutatua migogoro ndani ya chama na sio kwa Waandishi wa habari haisaidii kukijenga chama,inazidi kukipasua Chama chetu.
@aguumoppao155 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏safi sn lusinde wambie wamwache mzee afanye kazi
@athumanomary11715 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU endelea kuriongoza vyema taifa letu
@mulangilakabwarebenson51285 жыл бұрын
MILAD AYO ACHA SAUTI IWE HURU, MAMBO YA KUKATA SAUTI SI FAIR. MILAD AYO BIG UP.
@hamedsuleiman92805 жыл бұрын
Piga kazi jpm kaza buti hao wote wasipokupenda ss wananchi wako tunakupenda tuko nyuma yako
@designdesign44265 жыл бұрын
Safisana tukipata watu kama kina musiba 10 itapendeza zaidi ili iyakabekooo majizi yalofikili hii nchi ilikuayao nafamiliazao pekee.
@denishamka86575 жыл бұрын
Mh lusinde Nakukubali sana
@allyomari6805 жыл бұрын
mtoto umleavyo ndio akuavyo hata ww hayo ndio matunda ya CCM kwani tunawajua ww lusinde nimtu wamatusi makonda nimtu wa matusi nape nimtu wamatusi hapi nimtu wamatusi gambo nimtu wamatusi na wote hao niwatoto wa CCM inaamaana hoko mnakojinasibisha mnaenda kupikwa mwapikwa kutukana viongo
@charlesmakuri7922 жыл бұрын
Hii maneno ni mazuri hata wao wameyakubari
@piushappyness2265 жыл бұрын
jpm tenaaaaaaaaaaaaaa 2020hadi2025
@kwaitodance11145 жыл бұрын
NARUDIA TENA PRESIDENT MAGIFULI IS SUPER VERY SUPER, A GENIOUS ONE, ANAFANYA KAZI KUBWA SANA SANA SANA ILA SHIDA TU CHAMA ALICHONACHO NDO SHIDA, CCM IMEOZA IMEOZA IMEOZA, MTU MMOJA AMBAE ALIKUA STABLE VIPINDI VYOTE MAGUFULI HAJAWAHI KUSUA SUA WALA KUTETEMEKA,
@mtanisignwriters17215 жыл бұрын
Lusinde safiiiii
@omarinjiwa39455 жыл бұрын
Safi sana lusinde uko sahihi kabisa magu tunamuelewa sana hao wanaopiga kelele walikua wapigaji tu acha rais wetu achape kz
Yani mungu akulinde Lusinde RIP Magufuli TZ nchi yetu wote
@dignakanje45082 жыл бұрын
Apumzike kwaamani baba yetu magufuli.Jembe mwamba uliokuwa hautikisiki.Uliwajali wanyonge kbisa.Mungu akupe pumziko laamani.Lusinde endelea kuwa mwadilifu kaka Mungu atakuvusha kila htua.
@kassimali22732 жыл бұрын
Hahahahhahahahahhhhahah naisikiliza mwaka 06/04/2022 sura yake iko wapi huyu wenye nchi wamerudi ulingoni
@eliapendakisanga555 жыл бұрын
Hongera mkuu lusinde
@mamahustru5 жыл бұрын
Jamani mbona Musiba mwenyewe amekuwa kimya hivi? Millard unashindwa kumtafuta Musiba amwage Ugali maana mboga ishamwagwa.
@EK-kp2np5 жыл бұрын
Fumua fumua🎶🎵💃🏻💃🏻, fumua baba fumua 🎶🎵🕺🏻🕺🏻
@salehmdemu57225 жыл бұрын
Leo umeongea vizuri sana Mh lusinde... Ila kuna wakati mwingine Sijui huwa unakuwaje?
@emanuelmwanga44 жыл бұрын
Ila watanzania tungekuwa waelewa tungefika mbali sana Mimi naona tuchague viongozi wachapakazi siyo wapiga porojo magu hoye Ila baadhi ya wabunge wa awe upinzan awe ccm hawafai kuwa viongozi mfano ni mbunge siha
Waliwambia mkimaliza kiwashughulikia wapinzani mtasghulikiana nyinyi wenyewe. hiyo ni out come
@othmanhaji18325 жыл бұрын
Nimeipenda hii
@enockyonah24705 жыл бұрын
Othman Haji Nimependa ukimya wa Rais Jpm kuwapuza na kawaona wamekosa Hekima katika umri wao.Waliosoma masomo magumu huwa wanataka Matokeo sio propaganda. Kura yangu sikukosea
@jeromeruhele30595 жыл бұрын
Chapa kazi baba najisikia raha na faraja kwa rais tuliyenaye tunaenda vizuri sana
@MajiTakaMaji5 жыл бұрын
Kwakweli inatakiwa wahojiwe haraka waeleze nni lengo lao
Nimecheka mpaka machozi yamenitoka,Lusinde nimekupenda bureee,🤣🤣
@madukurumwanileles79095 жыл бұрын
Kwa sababu kaka Lusinde hao watu walizoea kujimilikisha Mali za chama na Serikali sasa hawana pakutokea Ndo maana wanalalamika tu,watuachie chama chetu na si chama chao kama walivyozoea,chama kimerudi Kwa wananchi,komaeni jamani.
@stephenruhuro20305 жыл бұрын
Da viongozi wa ccm kuweni makini kwa maneno yenu,leo mnajivua nguo azarani,ebu tulieni tafuteni njia sahihi ya kutatua huu mgogoro,tusijitoe ufahamu,kujua kuongea sana akutufanyi tuonekane wema sana,mambo ya chumbani yabaki chumbani.
@salmamasuod14725 жыл бұрын
Mtatoa sana siri zenu hiyo ni thambi yakubaguana na sehemu nyingi hamshindi kiharali ata kura za urais nyingi mliiba ndo mana nape aliita bao la mkono.
@ymohammed963Ай бұрын
Lusinde uko vizuri
@edwinasubisye12665 жыл бұрын
Lusinde unapaswa upewe katibu mwenezi wa CCM serious naamini baraka za Mungu zitashuka hakika unafaa kwa nafasi ya uenezi wa CCM, Wakati ukifika hio nafasi yako
@johnmalembo64642 жыл бұрын
ongea leo tena hivi tuone kama wewe unasimamia unachoamini.... Lusinde wewe ni bendera hufuata upepo... .siasa hizi bhana...heri ya Imani katika dini...tangu nemekuwa Mwanadini Mwislamu na Msabato nguruwe ni haramu
@zumamarande32425 жыл бұрын
Nakumbuka usemi wa tundu lisu mkimaliza kutula Sisi mtaanza kulana wenyeweeee
@nemochristopher23175 жыл бұрын
Hahahaha...Wanapanic nini sasa.Anasema atamkuna Membe yeye mkeo?
@collincarlos74335 жыл бұрын
Panua akil wew CCM hawalani
@nemochristopher23175 жыл бұрын
@@collincarlos7433 usipanic
@mashmashmkeyenge92105 жыл бұрын
LUSINDE WEWE SIO MNAFIKI NAKUKUBALI SANA SANA .
@raymondkaswaga83345 жыл бұрын
Sijui maana ya ushamba lakini kama Nape na Kinana wamefanya hivyo kweli wanakosea...wangetoka chama wakafanya hilo
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Sana waambie waandishi musiba kiboko ya wanafiki wa ccm duniani haupo ahela haupo
@mussabujiku142 Жыл бұрын
MAMBO HAYO YENYE UKWERI LUSINDE MUNGU AKULINDE KIJANA
@josephmchila64672 жыл бұрын
Lusinde hukusoma alama za nyakati, nape na kinana mabosi wako sasa, unasemaje, eeeeeh
@kassimali22732 жыл бұрын
Umeona eeeee ndo naangalia saivi hii nchii ina wenyewe na wenyewe washarudi
@godfreybigeyo91055 жыл бұрын
Nachukua nafasi kukupongeza na kuwapongeza wabunge
@wilbertrobert85495 жыл бұрын
Tangu kujitokeza kwa baadhi ya wabunge wa CCM na kuchangia katika waraka wa kinana na makamba....kumekuwa na sintofahamu sana Hawa wabunge na baadhi ya makada walipaswa kunyamaza na kusubiri baraza likae na Mh. Polepole atoe taarifa rasmi Inaonekana ni kama fujo...uhasama na visasi Akiba ya maneno ni nzuri sana!
@emmanuelmujungu27345 жыл бұрын
Ni kweli.
@zakayodenis2295 жыл бұрын
sasa watz tunaanza kujitambua kidogokidogo tutafka soon
@sadikidaudi12235 жыл бұрын
Lusindeeeeeeeeeeeeeeeeee nakuamini saana pambana kwa ajili ya Rais wetu wasitutoe kwenye njia.
@fortunatuswangubo60135 жыл бұрын
JOSEPH usijidanganye kuwa huu utakuwa mwisho wa ccm huo ni mwanzo 2020 ccm itashinda kwa asilimia90%
@janethjustin52565 жыл бұрын
Na huu ndo kwanzaaa ccm ndo imeanza walisema 2015 ndo mwisho na hali ilikuwa mbaya tuliwachoka ccm lakini kwa Magufuli natamani akae hata miaka mingine 10 he deserve kwakweli Mungu ambariki
@osiepsendvictorminyory3015 жыл бұрын
Kameze dawa hutakuwa unaumwa
@kolokochomwakyagi51135 жыл бұрын
kibajaji noma kwa kujibu
@mashauriitambe98805 жыл бұрын
UNCLE MAGUFULI KANYAGA KANYAGA KANYAGA
@sikudhanimachaku78364 жыл бұрын
Yan apa kwa lusinde utatapata majibu yaina zote,, utakoma wewee,,next level.
@benswai80992 жыл бұрын
Naomba Kinana kiongozi wetu shughulika na huyu jamaa kimya kimya
@yusuphmpando9900 Жыл бұрын
Duh bro kazi unayo sasaiv
@princenzagamba60045 жыл бұрын
Nakukubali sana Livingston Lusinde upo poa sana###@
@rosemarysheyzjzbsherman34305 жыл бұрын
Kumbe nyie ni wezi wa kura kuanzia ndan!
@bockernyarusahi36555 жыл бұрын
Rosemarysheyzjzbs Herman hawa ni wezi sugu mkuu
@gilberthndakidemi73585 жыл бұрын
Baba lusinde kanyaga wahuni hao
@tafaqurtvtz76693 жыл бұрын
Kaka lusinde wewe ni chuma mimi napenda wakweli kama wewe hongera sana.