Ruge alifanana na mama yake. Pole sana Mama. Hakika kwa mzazi inaumiza ila hatuna budi kukubaliana na matakwa ys Mungu
@theafricanphilosopherqueen30325 жыл бұрын
Pole mama,receive condolences from Kenya,when we see you we see your son,may God grant you peace. You birthed a great son...I didn't know him personally but he was a peer in the critical and creative thinking crusade
@officialshimbaboy33235 жыл бұрын
Polen
@naimakweyamba53405 жыл бұрын
Pole Mama #Ruge Mwanao Alitaka kubaki Bukoba nakweli Sasa kabaki Bukoba Milele na Milele... Mungu Ampumzishe kwa Amani Aminaa....
@tumajuma69175 жыл бұрын
MashaAllah familia ina watu jasiri hii sijaona.MwenyeziMungu azidi kuwatia nguvu na ailaze roho ya Ruge mahali pema peponi🙏🙏.
@fatmachambotanzania93795 жыл бұрын
Pole sana mama Mwenyezi Mungu akupe nguvu kwa wakati huu mgumu kuondokewa na mwanao ni kitu kigumu sana 😢😢😢😢😢😢
@asimwemulokozi77745 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mama n ur family, wewe ni kichwa kwa jinsi unavyojibu maswali, hongera mwandishu kwa ustadi mkubwa, I know it wasn't easy. Tunawaombea Utulivu wa Mungu na amani mioyoni mwenu.
@blesseddeebrownie73345 жыл бұрын
Nyie mnaowasema clouds ...u neva knw meib hyo familia yao ndo imeomba kufanya interview ili watoe shukran zao ...na pili uckute mama kaona yupo stable kujielezea...msiba ndio unauma ila lazma maisha mengine yaendelee ...Mungu aibariki familia ya Ruge na awatie nguvu
Priscilar Kahindi .....eeh wanaonekana tu maana clouds sio wajinga kukirusha
@TheLordismyshepherd...5 жыл бұрын
Tz inahitaji watu wenye akili positive kama yako
@fallymetoo1915 жыл бұрын
Mama na familia yote ..M.mungu awazidishie Subra Inshallah..M.mungu ni mwema...na kila mja atayaonja Mauti.Ampumzishe Shujaa Ruge anapostahili. Yaraby bihusil khattima...Amern
@shamsaismail77075 жыл бұрын
Mola awazidishie subra( INSHAALLAH)
@faidhamyovela1795 жыл бұрын
Familia hii ni ya kisomii had rahaaa 😍😍😍
@lilliannonny91125 жыл бұрын
God bless Tanzania! I admire your unity as a country especially during this sad moment!!! I wish other neighbouring countries would follow your example. God bless and R.I.P RUGE MUTAHABA. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾😔😔😔
@zainabumtubwi2635 жыл бұрын
Nimempenda sana mama . yaaani mungu ampe nguvu.waambie Hao wawewakweli kuugea KITU.pole sana mama.
@patrickmpali99545 жыл бұрын
Pole mama kazi ya mungu iyo,mungu awape nguvu zaid,ila aya yamepita maisha lzm yaendelee,ila tu mm nataka kunukuu siku ile wanaaga dar mtoto wake alisema family yake imewasehe wote walio mkosea Ruge,pia Ruge alio wakosea wamsamehe ,ntafyai kuona maombelezo yakiisha nyimbo za wcb ninapigwa clouds FM na clouds TV,ndo watu watakiwa wamesamehana kweli. Mungu tangulia hili,
@suhailaomari24935 жыл бұрын
Hii family Imeshiba Elimu Mashaallah
@sadahmzee29165 жыл бұрын
Mashallwah hii Familia Kwa Elimu,Toka Baba na mama mpk wtt
@naimakweyamba53405 жыл бұрын
@@sadahmzee2916 wani ni Atari wanajielewa Sanaaa Afu wanajitambuwa
@TheLordismyshepherd...5 жыл бұрын
I m just glad kuona huyu mama anamuamini MUNGU zaidi...M glad kuona anaamini MUNGU ana makusudi ya yote.
@faithjoel39005 жыл бұрын
Pole mummy. ...Mungu akupe nguvu na akuongezee miaka mingi duniani. ....REST WITH ANGELS :HERO RUGE MUTAHABA
@DaveHumphrey25145 жыл бұрын
I give her an extra 20! WAnt to bet!?
@benfrancis82885 жыл бұрын
Mm binafsi nimeelewa dhamira yako Hassan Ngoma ya kumuhoji mama mapema kiasi hiki.Hongera bro kwa akili ya ziada Mungu akupe maisha marefu achana na wanaotoa maneno makali watu tunatofautiana ki mtazamo
@DaveHumphrey25145 жыл бұрын
FIRST OF ALL, EXCELLENT CONTENT, MAMA POURED THE TEA VERY WELL. Yes, pua, sura macho... Huyu mama ana damu kali wanafanana kweli. Anyone noticed her aggressiveness, MSIMAMO... She issa strong woman! YOU CAN HEAR and sense HER NATURAL EMPATHY/huruma tho it shows it can come in a harsh way it really works. #finewine
@judithsalvatory28923 жыл бұрын
Pole sana mama nimekupenda ni mwelewa sana
@Myrosia66085 жыл бұрын
nawaombea mwenyezi MUNGU azidi kuwatia nguvu Kwa gumu mlilonalo ktk kipindi hiki , bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe amina, mwachi nakuombea kwa MUNGU uzidi kumuenzi baba ktk maisha yako watunze wadogo zako wapatie misingi Bora ya maisha alokuachia baba ili kizazi chenu kiwe bora na darasa Kwa kila mtanzania
@roselaurence10935 жыл бұрын
A true definition of a wise woman
@chiomanonso2745 жыл бұрын
Yes mama ruge watu wa media ni waongo km alisaidia ni wengi hayo mengine ni wivuu waooo
@anniemtambo55495 жыл бұрын
Pole sana mama mungu akupe nguvu na subra.wazazi siku zote wanaomba wazikwe na watoto wao.sio mzazi amzike mtoto.sasa hivi hatatukikupa pole ngapi haitoshi😪😪
@jacquelinembanda5 жыл бұрын
Mama ni mama tuu barikiwa MamaRuge❤️
@brightonshakila64065 жыл бұрын
Mama anajua Mungu ndio kila kitu...Kristo akutunze...acha mapenzi ya Mungu yatimie...Mungu akutie nguvu
@regnaldjulias16975 жыл бұрын
Polen sana eanafamilia mungu awape nguvu ktk kipindi hiki kigum Rlp ruge pumnzika kwa aman
@wendyeliezer64195 жыл бұрын
Pole sana mama Mungu akupe nguvu machungu ya kuondokewa na mtt ni makubwa mno
@marykusunya57465 жыл бұрын
pole dada Roho mtk. yupo kwa ajili ya faraja Mungu akuinue.
@nachuchuna9715 жыл бұрын
Kama mtu anaiyona pepo kwa dua za watu basi ruge ameiyona pepo.... Mungu mpe pepo ruge
@magdalenamatiko99955 жыл бұрын
Kazi ya Mungu hy huwezi jua.
@nohatredbutlove57865 жыл бұрын
Unfortunately, sivyo ilivyo. Hata dunia nzima ikikuombea but kuna vitu Mungu hawezi kukusamehe ikiwa hukutubia mpaka umauti ukakufika. Me simuongelei Ruge but ni kwa mtu yoyote yule.
@winfridapeter44585 жыл бұрын
Kabisa
@wemadoktarmichael64485 жыл бұрын
Kuiona pepo tu atasubili sana
@gigamaster64kad885 жыл бұрын
@@wemadoktarmichael6448 wewe siyo mungu
@getrudakasigwa6925 жыл бұрын
Mama.. very calm 🙏❤️
@loyceisack17815 жыл бұрын
Mama poleni sana. Ila familia nshomile hadi raha. Big up Mr and Mrs Mutahabas family
@anithakalist61945 жыл бұрын
Pole sana mamaangu mungu akutie nguvu.wote tu wasafiri hapa duniani.mpola kazilo mama ruge
@DaveHumphrey25145 жыл бұрын
IMAGINE WEWE NDIO HASSAN AF KUSAGA ANAKUPIGIA SIMU, WAHOJI FAMILIA! Maji ya mvua ya juzi hayajakauka... This dude was put in a hard position. Above all, zile questioning technique, mmeona hakuna even her mom alietoa chozi inbetween but the telling the story has been upfront. EXCELLENT EXCLUSIVE CONTENT
@mussamgundoi55365 жыл бұрын
Mungu awape nguvu katka kipindi hiki kigumu sana kwenu,, Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake libarikiwe Amina
@restymlale60035 жыл бұрын
Amen Mama mwenyezi mungu azidi awatie nguvu wafiwa.R.I.P RUGE.❤
@korogwetanga8105 жыл бұрын
Masha Allah mwenyewe alikuwa afanana na mama yake pole sana mama Allah akupe subra InshaAllah
@antoniageorge53695 жыл бұрын
pole mama yangu mwenyez mungu akupe nguvu naimani mama unaumia kumpoteza mwanao
@esterdaudi96145 жыл бұрын
clever head mama mwenye akili zake nyingi asante 🙏🏽mungu akutie nguvu
@inosentchaba29375 жыл бұрын
Hakika tumaini letu i Kristo Yesu. Mama Maria mama wa msaada utuombee
@cmsa1r5 жыл бұрын
Maria amekufa. Nyie wakatoliki acheni uhuni someni biblia
@Addie115 жыл бұрын
Utuombee.
@hechihechie55585 жыл бұрын
@@cmsa1r nipe mstari kwenye biblia unasema alikufa hapo haitakiwi kumwomba
@adamrafikimwambuluma32885 жыл бұрын
ongea na ww kwaimaniyako yy ni imanyake
@pambaolurochilo56285 жыл бұрын
pole sana mama iyo njia yetu sisi tuombe mungu uzima sis tuliyobaki mungu akutie nguvu
@akidasalim97985 жыл бұрын
Pole sana kazi ya Mungu haina makosa mama.
@sweetjay78185 жыл бұрын
Sweetmum...Mama wa taifa Mungu azidi kukutia nguvu mama angu
@teklamanase70885 жыл бұрын
pole sana Mama, mungu akupe nguvu. Harafu mama uko vizuri sana kwa lugha ,congratulations mama
@christinemangati18655 жыл бұрын
My prayers goes to your family and may God peace that surpasses human understanding be with you.
@kelvinmashilanga48505 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mama sote njia moja
@huseinmiraji87105 жыл бұрын
R I p ruge
@georgefataki51835 жыл бұрын
Mtangazaji yupo vizuri sana yani mama unamchanganyia maswali mpaka anajisahau machungu hongera sana
@munirayakoub36825 жыл бұрын
Pole sana mama yangu mungu akupe nguvu wewe ndo unaumiya zaidi kushinda ote
@madamboss3485 жыл бұрын
Smart mama angekuwa mama wa mond angekuwa ashaende na dharau na hata hawezi same neno moja kwa kingereza
@twariatiomary4865 жыл бұрын
Hahaaaa😀😀
@tabuselemani68695 жыл бұрын
pole momy mungu akutie nguvu momy wangu kikubwa ni kumuombea duwa
@rehemaedmund3445 жыл бұрын
Polesana mama mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigum
@maria_mutondioriginal55 жыл бұрын
Mungu ailaze pema peponi roho yake amen
@belinafinias96115 жыл бұрын
Pole sana mama, mungu akutie nguvu na faraja ktk kpnd hichi kigumu.
@meckerinegideone9355 жыл бұрын
Pole sana Dada mwenyezi Mungu akupe nguvu
@nachuchuna9715 жыл бұрын
Jasiriiiiii muongoza njia mungu mpokee kwa furaha ruge msamehe madhambi yake
@rebekakalondji25765 жыл бұрын
Poleni sana mama mwenyezi Mungu akutie nguvu
@richardmnkande11305 жыл бұрын
Uwezo wa huyu Mama ni Mkubwa sana sana, pamoja na yote aliyopitia bado anafanyika faraja kwa wafiwa wote. Jambo zuri sana hili......
@hassanjuma15835 жыл бұрын
Mama ana Mungu ndani yake,shule pia
@hechihechie55585 жыл бұрын
Pole sana mamngu jamani.pole familia yote!hongereni familia kwa kumweka Mungu mbele,hilo ni LA maana kuliko yote pumzika kwa amani Ruge
@samiyalibao70175 жыл бұрын
Pole sana mama ❤ Mungu Awatie nguvu 🙏
@ahdahmed83835 жыл бұрын
Polemama mungu atakupa nguvu amina
@angelachuwa37905 жыл бұрын
Pole mama pamoja na familial ya Ruge mungu aweke faraja mioyoni mwenu na kuwatia nguvu
@mutambimmayi99225 жыл бұрын
Condolences to the family. God give you strength and comfort. Praying for you.
@شيخةالاسماعيلي5 жыл бұрын
Sisi wahaya uwaga tunasoma hadi tunamuomba mungu atuongoze kwa kila jambo hee mola wetu
@kenty65725 жыл бұрын
Poleni sana familia ya ruge jamani mamaake Ana hekima sana mungu awatie nguvu
@Brutaltruth865 жыл бұрын
You are welcome mama ruge Mungu akutie nguvu zaidi u enjoy wajukuu kweli amekuachieni copy zake warithi mazuri ya baba yao ishaallah
@agnesesperance87975 жыл бұрын
well love you so much mom💕💕💕💕❤❤❤❤💕💕💕
@christineadam93415 жыл бұрын
Sorry mother for the loss and the entire Tanzanians he was really a good example to Tanzanian and all pple may his soul rest in peace my condolences from Kenya 🙏
@elminakalunga40305 жыл бұрын
Weee presenter ubarikiwe sana. Umesaidia wafiwa kutua mzigo wa majonzi kwa kungea nao. Mama mwezetu, binti yetu Koku ahsanteni sana kumshukuru Mungu kwa ajili yetu wote tuliomlilia Ruge wetu jamani.
@ruth78645 жыл бұрын
MAMA, pole,,,mie Ni mkenya but Bado yauma,jipe moyo Ruge alikua shujaa RIP,God is in control
@zakaboy13055 жыл бұрын
pole sana mama etu mungu akupe ujasili
@kaisikimajid95295 жыл бұрын
Hassan Tanzanite Ngoma. Tunakushukuru umahili wako katika utangazaji tumeuona hongera sana. U have done a good job, God bless U. Umetupa kile tulichokuwa tunahitaji na kwa muda sahihi, umemtendea haki mpendwa wetu Ruge. Rest in peace Rugemalila.
@fatmafa18965 жыл бұрын
Poleni Sana mama mungu awadiye nguvu kweli maana yeye ndiye mwesa kila kitu kweli
@kimsd21845 жыл бұрын
Poleni sana Mungu azidi kuwafariji.
@beatricekamengekamenge55435 жыл бұрын
Pole sanaa mama mungu akutie nguvu sanaa
@neemamichael8285 жыл бұрын
Mama mungu Wa mbinguni akutie nguvu katika hili
@rutashobyanovath11165 жыл бұрын
Beatrice Kamenge kamenge Habari yako
@ziadaalute68365 жыл бұрын
Beatrice Kamenge kamenge 😀😁😂
@beatricekamengekamenge55435 жыл бұрын
@@rutashobyanovath1116 nzur kaka
@mtagechota10025 жыл бұрын
Tunashukuru piah mama kwa kumleta ruge ❤🥀🌹
@romanachuma195 жыл бұрын
Pole Sana mama ruge, yani kwa mtu aliyeingia labour, anajua maumivu unayopitia mama angu
@ayshamahariq66655 жыл бұрын
Pole sana mama ya ngu mungu awape nguvu kwa wakat huumgum R.l.P. ruge
@mwanaharabu825 жыл бұрын
Pole Sana mama Mwenyezi Mungu akupe nguvu mama
@ayshaali35775 жыл бұрын
amakweli chema hakidumu jamani kila lakhr Ruge tulikupenda lakini mungu alikupenda.zaidi .mungu akupumzishe kwaamani tutakukumbuka kwawema uliotendeaa jamii na dua kukuombea amiina
@ayshaali35775 жыл бұрын
pole mm mungu akufanyie wepesi japo mwanzo nimgumu lkn utasau jap hayasahauliki .kikubwa nikuombea mungu amsameh makosa yk na ampumzshe kwaaman peloni amiina
@lilianjeremia10245 жыл бұрын
Pole sana mama jmn kwakuondokea n mtoto wako mpendwa
@arafashaban69165 жыл бұрын
Pole sana mom!
@amiriramadhan77535 жыл бұрын
Lakini mama amesoma jamani ako vizuri kichwani nimemuelewa, natamani mama ake na mondi angekua na kichwa chenye knowledge kama cha huyu mama.
@faithtrust67495 жыл бұрын
Amiri Ramadhan mwalimu wa chuo kikuu huyo mama
@arafazakir17635 жыл бұрын
Nimecheka wallah yule bibi bookless😂😂😂😂😂
@jayratumaulid5825 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mmmh jaman umenichekesha
@maisarahakizimana70745 жыл бұрын
Hahaha mama mondi ajasoma na mwanae siunaona wote mbululu
@amiriramadhan77535 жыл бұрын
@@maisarahakizimana7074 Hahahahaha mimi wananichekesha tu kila kwenye tukio au mkusanyiko wawatu wanaenda wote kama mtu na shoga ake.
@agathamaziku58665 жыл бұрын
Pole mom Mungu akutie nguvu,mtoto ni kila kitu jmn
@emyshaibu80895 жыл бұрын
na kanimba je hukuona watu walivyomlilia?
@modestaabeli33895 жыл бұрын
Pole mama mzazi wa ruge
@lucykanuti61385 жыл бұрын
Mungu akupe ralaja Mama na familiya yote
@itikaedson96815 жыл бұрын
Pole mom yaan mtoto akiumwa haijalishi ni mkubwa au mtoto pain ni ile ile najaribu kuvaa viatu vyako Yaan siwez pole mama rip shujaa
@janethrichard80355 жыл бұрын
Mungu akubariki mama ,na umefanana na mwanao
@anadoricekomba30645 жыл бұрын
Pole sana mama, tumeumia kumpoteza sana mpendwa wetu.
@lynalyna39685 жыл бұрын
Mungu akuweke mama n akupe nguvu
@irinemacha29515 жыл бұрын
Mungu awape faraja kwakipindi ichi Kigumu
@dianajames16635 жыл бұрын
Pole sana mungu akupe nguvu
@divadiva6845 жыл бұрын
Ruge’s mother and his sister both speak proper Kiswahili, it is easier to Understand than the complicated Tanzanian Swahili spoken by many.
@DaveHumphrey25145 жыл бұрын
Sis, chille... Tumeelewa wote!!
@josephinekimaro7615 жыл бұрын
Pole sana mama..
@zaynabkalombi15795 жыл бұрын
I real like lafudhi ya kihaya,na mama nimependa interview yako
@khadijasuku40015 жыл бұрын
Pole mama kwa kipind kigumu ulichonacho
@rehemaabudararehemaabudara48975 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mama
@florencebudoya38145 жыл бұрын
Pole sana Mama Mutahaba. Mungu aendelee kuwapa faraja.
@brendaluyange2705 жыл бұрын
May the good Lord give you strength mama as Ruge rests in peace
@jasmineshechambo34015 жыл бұрын
Pole sana mama angu mie jaman mungu akupe nguvu katka kipind hik kigumu pole mamy
@najmarushda43905 жыл бұрын
Mtangazaji anatabasamu kwasabu mama asiliee jaman hana maana mbaya jaman
@jasmineshechambo34015 жыл бұрын
@@najmarushda4390 kwel kabsa my lv
@ghazalatiki35585 жыл бұрын
mama yetu ni bilingual... i love you mom.
@queenbibisha19615 жыл бұрын
Khaaa nyiye clouds mngesubiria kwanza mama apumuzishe akili hayo mengine yangefata badaye hafu tena anaeoji anajichekesha , pole sana mom mungu akutiye nguvu
@kamboarheritage4615 жыл бұрын
Jamani, jambo lolote linapotokea likashirikisha watu, linapoisha ni jambo la busara kutoa neno la shukrani. Clouds wako sawa kabisa.. Hafu na mama amefurahi..
@justinerespicius7555 жыл бұрын
Mbona wew mtu mzma lkn hata utambuz hauna, lengo la kumuhoj mama nkumrudsha kimwil, kiakil na kiafya ndo maana hata mtangazaj anajvfanya kucheka lkn maumivu anayo
@kamboarheritage4615 жыл бұрын
@@justinerespicius755 gud thinking
@zenagange22015 жыл бұрын
Mama Ruge pole Sana ila mungu alikupa jembe kwa kuwa kalichukua Basi mshukuru kwa Hilo huna namna R. I. P Ruge najua Kama mama unavyoteseka
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA5 жыл бұрын
Mungu yupo pamoja nanyi.
@mrsrachelkisaka29885 жыл бұрын
mama umejikaza sana angali unaulizwa maswali magumu yenye maumivu pole mama mungu nakupa nguvu
@subiraomar47715 жыл бұрын
Yaani amejikaza sana huyu mama ungu ampe subira
@najma32685 жыл бұрын
Pole sana mama pamoja na familia yote mungu awape faraja
@tullyabdul63555 жыл бұрын
Pole sn mama mungu akupe subra
@neemamrutu75945 жыл бұрын
Nmekupenda bure mamaa endelea kumpenda mungu hayo yote yanapta