Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@AbubakarMsham-j5y4 ай бұрын
Maisha nichanga moto sana unapo amuakupa mbana pambana tuu
@HadijaJoseph-d1g2 ай бұрын
Mimi ajenti ananisumbua anataka nitoe laki tano nimpe eti ya mwana Shelia sielewi huyu ajenti itakuwa tapeli mimi Niko qatar
@HaulaAbuu20 күн бұрын
Dada Mimi naomba pia ongeleeni kusu mikataba maana uwo mkataba ingekua unafanyiwa KAZI kidogo ingekua afadhali maana uku uwo mkataba afanyikazi yoyote zaidi ya pale airport kwenye ukaguzi tukimaliza pale akuna tena KAZI nao tusaidie kusu ilo
@HaliimaJuma18 күн бұрын
Nakazia hapo kwenye kiinua mgongo....maajent wetu wanawaogopa mabos wetu....ukimshtakia anaongei nao....napia wanatwambia kikubwa ni mshahara hayo mengine ni ziada😢
@shanimbaruku20715 ай бұрын
Pole zali binadamu Ndio tulivyo we fanya kwa ajili ya Allah ❤
@khadejakhadeja97135 ай бұрын
Jamaniii zari zari .mungu .akujaliee kuaandaa hiki kipindi nakupa nauwaa. Yako❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@LailaLaila-kg2qd5 ай бұрын
Mi niseme alhmdulillah nipo Oman muda sana sina changamoto kwa kweli alhmdulillah 🙏🙏
@FidesMushi-lz3xz5 ай бұрын
Naomba connection dada
@GgjTfg22 күн бұрын
Hongela
@aishafahdi835520 күн бұрын
Hata mim kwa kweli huu ni mwaka wa 10 hapa Oman Alhamdulilah 🙏🤲
@Jamila123-lc3gk20 күн бұрын
Mim pia nipo oman kwa 6 sasa alhamdulillah naishi vizuri sana kama nipo nyumbani nafanya kazi zangu vizuri hamuna mtu ana nipangia kazi alhamdulillah nashukuru sana mungu kwahilo🙏
@LailaLaila-kg2qd20 күн бұрын
@Jamila123-lc3gk Alhmdulillah Mungu ni mwema mpenz
@Mhg-p5h5 ай бұрын
Hongera sana baba selemani kwakwer mungu akuweka unatujali sana wapananaji wako mimi nipo oman mwaka wa 5 sasaivi inshalla bado mmoja nifunge sita na mafanikio nimeyaona nashukuru mungu
@NayratDarwesh5 ай бұрын
Pole dada zari kwa yanayo kukuta mwenyezi mungu akulinde na kila shari na kila mabalaa usiogope dada angu ndo binadamu hao hawabebeki
@AishaZuber-z6gАй бұрын
Alhamdulillah Alhamdulillah Ya Allah endelea kunirinda na uniepushe na changamoto zisirudie kama zilizo tokea nyumba ya Awali sina cha kusema Zaidi ya Alhamdulillah❤❤❤❤❤❤❤❤
@NasraIbrahimu-n1y24 күн бұрын
Mm. Baba Suleiman mung akupe maisha marefu nipitorokaga na ukasimanamim mwanzo had mwisho nikimaliza hap niko na miaka minne kwenye hii nyumba alhamdulilah naishi vizur 🙏🙏🙏
@Safinamfinanga23 күн бұрын
Kaka Selemani Mungu akujalie maisha marefu ulinisaidia sana hd ss sitakusahau
@AbdulAzeez-bh9gr18 күн бұрын
Maa Shaa Allah Dada zari tuna shukuru kwa kazi ya mikono yako Shukran Allah akulipe kheri
@MwanaishaKilesho14 күн бұрын
Kwanza nimefurahi kumuona Kaka sele huyo nimtu mwema Sana 💓 mungu atamzidishia 🙏
@AaHh-f4r18 күн бұрын
Zari Mungu akujalie endelea kutupambania dada etu🎉❤❤
@khadejakhadeja97135 ай бұрын
Hapo kwa kumrudisha Rahma. Seleymani na mwaminia hongera baba Seleymani❤❤❤❤❤
@MadinaIdd5 ай бұрын
Asalamu Alaykum Warahmatullah wabarakaatuh kaka mudi ni mimi madina nashkul sana kwa kunisaidia na hapa nilipofikia na huu nipo mwaka wa 5 alhamdulillah pamoja na agent wangu wa oman nawaombea dua allah awahifadhi allahumma amin ❤
@KhairatiSulemani-t6d5 ай бұрын
❤
@KhairatiSulemani-t6d5 ай бұрын
Nakuona dada ake
@AbdulAzeez-bh9gr18 күн бұрын
Tuna shukuru kwa ushauri mnzuri Allah awalipe kheri kwa baraka zake
@GdFf-ik2eo5 ай бұрын
Ma sha llah zali.umependeza sn ulivyojifunika dumu na stara mdg wangu
@wardamohamood21 күн бұрын
Oman changa moto zipo binfsi nilikuja 2021 .. lkn nyumb niliyo pata kipind icho madam alikuwa ana roh mby sn.. 😢 ..lkn nilikuw na muomba Mungu pia naweka nia zngu nilikuw sina msaada wowote .subr ndo nguzo allamdulilah nilikomaa adi nikamaliza mkataba..
@laylayl51665 ай бұрын
Jamani kila pahala kuna changamoto hata huko tz changamoto zipoo lakini kwakweli kunawa dada wengine wanakwenda oman. Hawana shida ya kazi wanafanya mambo sivo ndivo japo ndio wapo mabosy wakorofi lakini siyo wotee
@deborahamisi929421 күн бұрын
Dada yangu nakupenda sana nena sana mungu akulinde ❤❤❤❤❤❤❤❤
@KhadegaK-g5e23 күн бұрын
Pole san hawajilewi. Hao. Pambanatu mungu atakulipa. Dazar. Nakupa maua yako❤❤❤❤❤❤❤
@AminaTanzania22 күн бұрын
Amina kaka sureimani nakupenda sana umeturea sana ofisini kwako baba hata paspoti zetu unasimamia sana baba
@barakasegugu54943 ай бұрын
Asanteni sana kwa kipindi kizuli sana mnafanya vizuli mno
@JasiminJasimin-i5l20 күн бұрын
Kweli kabisaa kipenzi maanjeti wanatakiwa waweke wanaoeleweka ili tuwajue kipenzi tusaidie kipenzi changu Mimi nakupenda sana kipenzi achana nawo hawajielewi
@ZainabLol-wx7xf5 ай бұрын
Uncle Suleiman tunakupenda ❤
@ChristinaMlolere5 ай бұрын
Hawa wafanyakazi hawajapitia magumu, watu wanapigwa hadi na vibao vya chapati wanalala stoo 😢😢
@husnathabiti41145 ай бұрын
Ndio ivyo
@dorcaskidoti2495 ай бұрын
😢 Na bd limtu linapinga na kusema kila mtu anaishi vzr inakera sana
@hidayamanda-gk7nf5 ай бұрын
ACHA tu ndugu ila Kuna watu wanaojifanya wanapinga
@AbasJeilan-ns8yp5 ай бұрын
@@dorcaskidoti249jaman mm hapa kuna kesi nafuatilia ya manyanyaso lakini sijapata msaada bado napambana mwenyewe
@DianaAgustino-yp2kc20 күн бұрын
Baba suleiman siwez kukusahai baba umenisaidia sab tena sana sina cha kukulipa ila mungu mwenyewe ndo atakulipa uishi miaka mingi baba🎉❤🎉
@AbubakarMsham-j5y4 ай бұрын
Ukwel nikwamba ma Agent wa tanzania nijanjajanja but uyo mzee mungu amjalie sana anautu sana mungu akueke mzee seleman
@OmOm-wz8jg21 күн бұрын
Honger Sana kaka seleman unatujali Sana kwel
@LamaribamJumbe5 ай бұрын
Daaa Aisseh Mie nina Mtihani Apa ninapo fanya Kazi Wallaah Dua Zenu wapendwa
@marthajohn91205 ай бұрын
Kaka sele big up kwa mm upande nashukuru Mungu sana nilipokelewa mjengoni vizuri na kupata kazi Alhamdullilah
@zaitunomar545 ай бұрын
Asante baba suleimani kwajuhufi zako
@rukiakota-cm7zl21 күн бұрын
Ank sele mungu akubariki sanà unatusaidia mno wadada tunaostuggle oman tunakupenda sana ank sele hatuna chakukulipa
@kuludhumadam816921 күн бұрын
Mama usiwatetee warabu sema umepata sehemu mzuli
@ZuwenaabdullaKhamis20 күн бұрын
Kwa kweli na huyu nae anasem kama yupo interview ya zuchu
@HusnaSalum-p1q24 күн бұрын
Umenifurahisha sana dada kusema unafanya kwa ajili ya Allah wallah Allah atakulipa na hawo wanao kutukana hawana akili Oman wapo wenzetu wanapitia magumu😢😢😢
Dada Zari hakuna mfanyakazi anaweza kuachwa na njaa Oman. Wengi wao sio kweli.
@kamarhelo5 ай бұрын
Wew kaa kimya mim hapa napika na sili mpka wao wale wakati huo wamekaja ndani wanakula matunda keki yani kwa kifupi hawakai njaa anamwambia hakuna kula mpka watu wote wale kwaio usiongee kitu ambacho hukijui
@dorcaskidoti2495 ай бұрын
😂 Ivi viherehere vya kuongelea maisha ya wenzio nn ?? Kila mtu anapitia maisha tofauti tofauti ebu kimiya uko nyau ww tena kmy
Saida saida saida masoud nakuita mara tatu dada usimalize manen watu hawafanan mm niliend kumuona mfanyakazi wallah utaliya kula hapew na simu piya hatakiw kutumiy na wala hatakiw hata kukaa kitak kwahiy ww uliye Pata sehem ambay Ina aman bs funga mdom wak sabb hujamaliz mwend
@hidayamanda-gk7nf5 ай бұрын
Sio razima uongee kama una chakuongea shez nin we unajua mabos Wote Wana roho Sawa au unaropoka tu
@omanquine377020 күн бұрын
Mm niliwahi safiri 2022 kupita wakala Ally Na wakati tunafatilia kazi walituambia mna mabosi moja kwa moja mkifika tu mwaenda kazi badala yake tulipofika Dubai tulikuta tofauti ni kufikia akomodeshen yani kama godaun tulikua wengi so kawaida kazi tulipata kwa kuuzwa kama mbuzi kama wew hufanyi intarvou nzuri kazi hupati kwakweli tuliteseka mno 😢😢😢😢
@hawahawa84414 ай бұрын
Kweli watu wengi wadada tuliyeondoka Tz kuja Omn ni ndoa zetu kuwa na changamoto nyingi sana😢😢
@AishaAmin-b2k21 күн бұрын
Zali leo nakupenda sana
@AminaTanj4 ай бұрын
Pole sana Zali Allah akuafidh❤
@rayahamisi11818 күн бұрын
Kazana uje kufanya kazi ubaroz 😊😊😊
@subiramohamed83085 ай бұрын
Leo tumetingwa na kazi wengine atujakuja kwa wakati
Salum mungu akuzidishie na dada Zari mungu awaweke
@nattarianny-ey5jl5 ай бұрын
Huy mama anae hojiwa mbn sijamuelew miaka mi nne et bila changamot uongo pia matatizo et unayatak mfanyakaz mwenyew uongooo
@tunuyaomar50175 ай бұрын
Ukiona hivyo ni agenti fake ndio hua wana kauli hizo
@hidayamanda-gk7nf5 ай бұрын
Umeona eee kwaza uyu mama anaonekana kasha alibika kisaikolojia😂😂😂
@talhakibaja83885 ай бұрын
Muongo hyu heti mfanyakazi ndio unaweza kuharbu kazi
@nattarianny-ey5jl5 ай бұрын
@@tunuyaomar5017 mi alinitia hasira Kuna watu wanateseka na Awana msaada Alf anasema et mfanyakaz ndo anasababish matatizo inawezekana Hy mama yeye n agent
@RahmaOmar-k3c3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂@@hidayamanda-gk7nf
@RenaldaZeramula5 ай бұрын
MUULIZE HIYO 80 NA 90 RIAL IMEPITA MIAKA 10 ILIYOPITA. IWEJE WEUPE WALIOWE 160. WTZ WALIPWE 80 HADI 90 KISA WEUSI RANGI ZETU
@halemasuliman-js8ug18 күн бұрын
Kwa kweli sina la kusemaa Allah atusimamiae tuu
@Halima99-z4v19 күн бұрын
Uyo daftma Mimi ajentiwangu uyo
@Oman-bg1bj23 күн бұрын
❤❤
@MwanaloveBou-e5l14 күн бұрын
Aise umetulea sanaaa
@HidayaIbrahim-b4h7 күн бұрын
Hatupewi kabisa dada zali
@111dudi3 ай бұрын
Huyo msichana kasema ukweli ingawa Zari anamsukuma alalamike au aseme uongo. Hongera msichana.
@SikuJuma19 күн бұрын
Nipo oman kiukweli ni seme mungu asante kwa kunipa mabosi wema sina changamoto yoyote ile kiukweli niseme mungu asante😊
@TobaShaban13 күн бұрын
Habali ndugu yangu unaweza kunipa namba ya ajenti wako nami nahitaji kazi nje tafadhalini
@ayshasaid15475 ай бұрын
Ni Amina alizikwa 🇴🇲 wazee wake walilidhia
@fatemafatemamubarak39655 ай бұрын
Amina tumemchangia katika group La UMOJA ACIOSION kazikwa kwao mwaza
@ayshasaid15475 ай бұрын
@fatemafatemamubarak3965 sio wajuzi yupo mwengine kaacha mtoto mmoja bint kazikwa hapa 🇴🇲
@umranim58545 ай бұрын
Huyo msichana hana hijabu kuongea point ni kweli kila Mahala kuna changa moto hata Tanzania kuna changamoto nyingi mpaka mauaji kubakwa ila wengi wanakwenda huko kufata umalaya tu kazi hawezi Oman wana pewa mshahara laki 7 mpaka 8 lakini hawana shukurani na midomo tu wamebarikiwa
@bas28235 ай бұрын
ABSOLUTLY WRIGHT VERY TRUE👍
@salamabakari83845 ай бұрын
Mashalla ahsanteni nimelewa mambo mengi
@AminaTanzania22 күн бұрын
Hongera kurudishwa kwetu
@TatuSaid-lq2zh5 ай бұрын
Awa wanawake wanaojiwa ni matahiraa
@lailafakhihaji5 ай бұрын
😂😂😂
@omanhairat42775 ай бұрын
hmm unaambiwa uongelee kuhusu huku unaazaje kuongelea kuanzia matatizo yako kifamilia hmm
Pole zari usijar hakuna anaependwa na qote kipenz mm nna mwaka wa 10 oman sina mates alhamdullilah
@bas28235 ай бұрын
ABSOLUTLY WRIGHTS" U TALK THE TRUTY" VERY TRUE"👍"
@hamidamadaya72414 күн бұрын
Hajui kujielezea uyo mama
@majabiali97323 күн бұрын
Mm sijapewa na sijui kma nitapewa na nitaidai nasubiria nimalize tu ,naidai weee😂😂
@SinaHafidhi5 ай бұрын
Mabosi wengine hawapendi Hata. Mfanyakazi aongee na mfanyakazi Mwenzie
@mussakinkon52525 ай бұрын
Kweli kabisa wapo
@omanquine377020 күн бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh hujambo da zari nyie wadada tambueni hapo mpo kama kutuwakilisha na so kujisifia jueni jamii inawaangalia kwaivo kupata bosi nzuri hiyo ni bahati wengi wetu tunateseka mno hujamsikia huyo binti akilalamika kua hapati muda wa kupumzika so msiseme huku tumekuja kutembea miaka 2 huoni huo ushamilivu ni wa kiwango gani 😊
@Reyla2555 ай бұрын
Hatimae leo nmemuon ajent wangu mudiiiii 😂😂🤸🤸🤸🤸🤸 team mudi tujuane
@shamzone3885 ай бұрын
Jaman mbona tupo miak mingi sana sijapata matatizo yoyote na Kwetu tanzania kukitokea matatizo msiba nasafiri sina manyanyaso wala shida yoyote na bado nipo nitaendelea kuwepo
@khadejakhadeja97135 ай бұрын
Mimi nakuombea ZARI mungu akujalie na moyo huo huo Tatizo binadamu hatuna akili ukiona mtu .anapaza sauti ZARI. Endekea mimi nakuombea sana Love❤❤❤❤❤.ZARI
@zahararamadhanisalmu395Ай бұрын
Ako kidada kingine kama mwezi mchaga ivi😂😂 m2 anakuliza uliendaje anaanza kusema kuhusu kuteswa kwenye doa yake 😂😂
@MunaJamila-s6v19 күн бұрын
Hata mm nilitamani nimtufue ngumi😂😂
@Khadijah-gy7ju3 ай бұрын
Mimi nashukuru mungu nakalibia kumaliza mkataba ishu ni mshahara mdogo kazi nyingi
@GgjTfg22 күн бұрын
Pole unalipwa 80 🤣
@HaudhatiAdam21 күн бұрын
Baba sulhema enyewe hapo alikuwa na office ya tanzania haina mikataba hiyo ila alhamndullah alikuwa makini sana ukifika Oman ukimtafuta anakusaidia fresh
@MariamMariam-pg7uz20 күн бұрын
Dada achana nao tunakupenda.zidi kutusaidia.japo sina no zako asante
@ramlaramlashabani587023 күн бұрын
🎉
@sistertrashid24885 ай бұрын
Changamoto zipo Ila na mafanikio tunayapata kwakweli kwa upande wangu nimekua mfano wawengi wengi wamekuja mimi nimekua KIOO Chao nikisema KIOO yaani wengi wanatamani mafanikio yangu na wao wanakuja
@rayahamisi1185 ай бұрын
Akuna kitu kisichokuwa na changa moto
@sistertrashid24885 ай бұрын
@@rayahamisi118 kweli kabisa Kila kazi inachangamoto zake na Kila mafanikio yana historia yake iwe nzuri au mbaya hakuna mafanikio yanakuja kirahisi rahisi tu
@laylayl51665 ай бұрын
Halafu tuwe tunasema na mazuri piya siyo mabayatu tugeukie na upande wapili
@sistertrashid24885 ай бұрын
@@laylayl5166 kweli kabisa kipenzi wengine alhamdulillah tumenufaika na kazi izi tumeheshimika kwa kazi izi tunajikwimu mahitaji yetu kwa kazi izi
@zainabuhussein3 ай бұрын
Jaman m Nataka Kuja huko ila Natak nipate ofisi za mzee seleman ziko wapi
@IneeMussa3 ай бұрын
Daukoe🤲
@MonicaAgapitiBruno5 ай бұрын
Nyie amka pitia magumu Kuna watu wananyimwa adi kula uku wanaoigwa na kunyanyasika Sema tu sio wote kifupi uku Kuna Changamoto Sana 😊
@TobaShaban13 күн бұрын
Habali ndugu yangu naomba njia yakufika huko kufanya kazi naomba namba ya agent wako
@MonicaAgapitiBruno11 күн бұрын
@TobaShaban uku utaweza my uku unatakiwa uwe umchapakazi alafu uwe mvumilivu uku aitakiwi kuwa bwana kuishi na upwiru wako kama unaweza nitafute nikupe mchongo nishawaunganidha watu kama wa4 adi Sasa lkn mimi sio agent mi mpambanaji tu na nipo uku Miaka Sasa
@TobaShaban11 күн бұрын
@@MonicaAgapitiBruno niko tayali kwalolote kuishi na upwilu ndo kawaida yangu kazi nafanya kikubwa nimalipo ndug nakula yaliobaki nitapambana
@HanifaOman-oo4pl5 ай бұрын
Mm.nashukuru nimedai nimelipwa kiinua mgongo miezi miwili2 Allhamdulillah. Wengiwao wanaogopa kuwaambia ukweli maboss wao nandiyo maana hawapewi
@zohoraramadan45405 ай бұрын
Umekaa miaka mingapi
@mahijjaeidi91445 ай бұрын
Hongera mm myaka 10 hata kinuwa mgongo sijapewa hongera
@nattarianny-ey5jl5 ай бұрын
Kiinua mgongo ndo nn
@HanifaOman-oo4pl5 ай бұрын
@@nattarianny-ey5jl kiinuamgongo ni pesa ukimalizamkataba wako wakufanyakazi miaka2 inabidi boss akulipe wwpesa yamie miwili lkinihapo namsikia sele anasema ya mwezimmoja
@HanifaOman-oo4pl5 ай бұрын
@@mahijjaeidi9144 Pole sana uwenda ulikua hujui nahawa ukinyamaza nawao wanajua ila wananyamazakusudi. Mm miaka2 tu nikawaambia.walilalamika hao wakataka wanipe.yamwezi nikakataa. Ndiyo wakasema nebda ingine yamwezinitakutumia ndiyowametuma tz. Hanimeruditena nikimaliza kamakawa lnshaallah. Hapapesa.yamshaala.usipokomaanao. hawakuongexi
@TatoOman-s5t5 ай бұрын
Huku sio kutegeneza story dada tupo wengi dad tulopitia mikiki
@LamaribamJumbe5 ай бұрын
Mie namshukuru Boss Sele Halinisaidia nilipoenda Ubalozi Nawashuru kwa Kweli uongozi wa Ubaloz
@HusnaBwire3 ай бұрын
Naomba unisaidie namba ya kaka sele
@piliramadan8755 ай бұрын
Mashaallah mashaallah
@RahmaMkama20 күн бұрын
Sio kŵeli dada zai huyo mama kusema ety ukiwa mzuri ndo boss nae mzuri sio kweli
@HaudhatiAdam21 күн бұрын
Oman wanaopata nyumba nzur ni 40%ila 60% wengi wanapitia changa moto maan unatoka tanzania unaambiwa familia inawatu watano ukifika kwenye nyumba inawatu kumi na tano ndowanapo feli sas
@MwanaloveBou-e5l14 күн бұрын
Ajent wangu huyoooo nimemic jmn
@JokhaAhmed-l8q21 күн бұрын
Mimi nilikuwa Kwa bosi akawa ananipa KAZI tatu dukani kwake nyumba ya mama yake nilipokataa walinipeleka police mwisho nikatolewa nokaambiwa lazima nizifanye nakweli nilifanya mpaka nimemaliza mda
Dada zai M.mungu atakuhifadh na kila shari achana nao hao wapuuzi
@MariamJuma-pe4sy5 ай бұрын
😂😂😂😂
@AishaAmin-b2k21 күн бұрын
Nakumbuka nilishikwa tako hatari nikakimbia ndani lakini bado akawa ananifata mie nilifunga mlango na pia nilizulumiwa mshahara wa miezi 1 na siku tatu kwa na kazi kipindi cha ramadhan na laani hadi kesho
@zuweinaalhabsya87735 ай бұрын
Yaan huyu Dada mtangazaji hafurahishwi na wanaosema hawakupitia shida Oman yaan kwa chuki zake na Warabu anataka asikie wote wamepitia shida
@ummohamed44045 ай бұрын
Umeona hawaoni matatizo yao
@ablahalbalushi6785 ай бұрын
Kwa kweli, sijui kakaaje.Anataka waarab waonekane wabaya always. Kuna wazuri na wabaya pia dada Zai
@HumoudAlbahry5 ай бұрын
🤐
@RehemaRehema-z1k5 ай бұрын
Poleni saana kwa mitihani ilio mikuta
@hpmobilephone995123 күн бұрын
Mimi ninamshuku mungu nipo Omani mwaka wakuminamoja sasa nabado ninapambana
@HappyNgigo15 күн бұрын
Weeeeeee muogope Mungu
@TausiEme22 күн бұрын
Assalamu alaikum dada Zari, we ni mtu mwema kabisa pia kizuri hakikosi kasoro so songa mbelee.
@bakarimwabua16635 ай бұрын
Waarabu wanUnyanyapaa
@KhairatiSulemani-t6d5 ай бұрын
Heee namuona kaka mudy ❤
@NeemaSebastian-u6g20 күн бұрын
Dada weeee ilikuwa mim hapa aiseeeeeeee nilipitiwa mombas Kwa madam zubeda sina hamu nilijuta
@AminaHasan-n6l23 күн бұрын
Jamani mm ningekwepo huko mm ningewataja walah tena nawajua . Vizur hadi nikavimba mkono lakin wapi
@AminaTanzania22 күн бұрын
Mimi kaka serema paspoti yangu kwa ajenti seremani naomba unisaidie
@omanquine377020 күн бұрын
Nå Kuna hizi ofisi wanajiita mawakala ndo changamoto mnoo Hilo litazamwe kiuhalisia
@AsiaAa-w5m23 күн бұрын
Halafu usifananishe changamoto,za tz na omani tz unaweza kukimbia endapo,manamatatizo,Hata kwa daladala,huku nisawa hayo na omani,usiroppkwe mungu anakuona
@AishaAmin-b2k21 күн бұрын
Kuhusu boss kumwambia uache kazi uludi kwenu utafanyiwa vitibwi hata kukuwekea kitu maana hata mtu ukimaliza mkataba huwezi kumwambia chochote maboss akikuliza unasema unaludi kumbe hurudi nia kufanya uwe salama