Mkuu wa nchi anaunguruma Tanzania ,,,,❤❤❤❤ sauti ya gharama hii SIMBA WA SIASA AFRIKA NA KATI...TUNAKUELEWA BABA
@davidmpiluka52243 ай бұрын
Hapo tulipofikia ni pabaya mno. Kwa hakika mabadiliko ni lazima kwa sasa.
@TomasiklistophaMwinuka3 ай бұрын
Sema Mbowe nchi hii sinimateka hatujijui makamanda tupambane kuliokoa taifa hili watoto wetu sijui wataenda wapi
@revocatusvedastus88933 ай бұрын
Kodi kila kona
@davidmpiluka52243 ай бұрын
Nasikia watu wengi kwa sasa wanakwenda kununua magari Zambia. Wanadai kwamba ukinunulia gari Zambia ni rahisi mara 40 zaidi kuliko gari lile lile ukinunulia Tanzania. Wakati huo ikumbukwe kuwa magari yote yanayokwenda Zambia yanapitia katika Bandari ya Dar es salaam. Hiyo ndo miujiza ya Nchi inayoitwa Tanzania.
@sponsor78823 ай бұрын
Wakenya wanajielewa sio kamacc
@DeogratiasNsabhi2 ай бұрын
Chadema vyema sana
@dillonfoya3 ай бұрын
Inaelekea mtandao unatufanya tusipate vizuri hotuba zenu,Mbowe,Lisu na Lema nashauri CDM kuwa na TV,na Radio ya CDM