Watanzania tulowengi vichwa ni vigumu mno kuelewa, ninafikili Amna haja ya kudai katiba mpya tunapaswa kuishinikiza serikali iludishe Kodi ya kichwa tutakapokuwa tunakimbizwa na mgambo huenda tutaona uhusiano uliopo kati ya Kodi na huduma tunazpewa kama vina uwiano ,pia adha tutakazopata pindi tunakamatwa huenda tutapat akili ya kuwatoa ccm
@qonquererqanquerer17814 ай бұрын
Chama Cha Maana Hawa Ndugu Chadema Ndiyo Waokozi Pekee Wa Hili Taifa Vinginevyo Hali Ingekua Mbovu Sana.
@fredrickyakobo4 ай бұрын
Jaman John mnyika yuko wapi????
@EvaKiswaga-j2o4 ай бұрын
Leo sauti inasikika. Pia nyomi tunaona. Hongera Sana lema. Lkn katika safu yenu. Mnyika. Mnyika. Uko wapi.!?
@JovinNjoki4 ай бұрын
Huku Jimbo letu hatuna mbunge misseny aliopo ni kama pazia tungepata kamanda WA nguvu ingependeza sanaaa
@OmaliNungu4 ай бұрын
Duu lema hayo maneno yenye mboiea yote haya hayafanikiwi sababu ya uongozi
@MasumbukoZuhumpa4 ай бұрын
Lema,wape ukweli, mwezi NOVEMBA watafute mlango wa kutokea
@KamwandaNzowa-eo4ur4 ай бұрын
Hawa watu Mh, Lema huwa hawataki kabisa wananchi wao kuwa na uchumi ili wao ndiyo wawe na Uchumi hakika ni viongozi wa ajabu katika Dunia hii
@TwahaShehe4 ай бұрын
Mungu atamilinda
@LoitushulYamat4 ай бұрын
Jamani nyongeza ya kodi 50./
@alexmollel2924 ай бұрын
Leo mpiga picha amejitahidi kutuonyesha watu kuna yule mwingine anatuonyesha jukwaa kuanzia mwanzo mpaka mwisho hajui kuchukua picha
@EnockKanduli-cv8yr4 ай бұрын
Asiye chukua picha ni kibaraka au chawa wa ccm hatakiwatu waone jinsi watu wanavyo jaa.
@MasumbukoZuhumpa4 ай бұрын
Makamanda tunawaelewa
@MasumbukoZuhumpa4 ай бұрын
Mbowe MUNGU awe nawe ck zote
@evelina96214 ай бұрын
Kazaneni.kusema.safari.,ziara.za.raisi.samia.zikome.kams.atakwenda.basi.atajikosesha.kura.magoti.yake.amesahau alikuwa.!anawagejeli.au Hizo.hela.ndizo Anajigamba.watu.n Bora
@reginamwendwa67094 ай бұрын
Hatusikii inakatikakatika
@rasnchimbi4 ай бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿