No video

Alichokisema Tundu Lissu Akiwa Singida Mjini, "Kama Tusingekuwa Wakorofi Huu Mkutano Usingefanyika"

  Рет қаралды 33,313

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu akihutubia wananchi wa Singida Mjini kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Stendi.

Пікірлер: 93
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 2 ай бұрын
Asante sana Mheshimiwa Lissu. Endelea kupiga spana hadi kieleweke. Ila Sasa huku nyuma yako CCM wako wanauza kadi kwa lazima na tsh. Elfu 10 juu. Pamoja na mikutano hii. Hebu Rudini ndani ya chama kuanzia Mwenyekiti, Katibu Mkuu na wale wote tunaowajua mkaondoe tofauti na sintofahamu tunahisi ziko ndani! Ukimya huu unatuumiza wafuasi wenu!! Pole kwa jitihada zako baba.
@user-lt1nr4tk9r
@user-lt1nr4tk9r 2 ай бұрын
Mungu akupe umri mrefu hakika mungu anamakusud yake kukuweka hai mpaka leo
@hamphumichael7194
@hamphumichael7194 2 ай бұрын
Una akili sanaaa yani God bless you all the time
@anosiata8242
@anosiata8242 2 ай бұрын
Mungu akulinde lissu.
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 2 ай бұрын
Asiye mwamini lisu na kumwani samia atakuwa mjinga
@SeifYusuf-jf7bn
@SeifYusuf-jf7bn 2 ай бұрын
TUNDU LISSU ANALIHUTUBIA TAIFA NA WATANGANYIKA.
@user-we5px7gp2r
@user-we5px7gp2r 2 ай бұрын
Lissu Mungu atakuongoza njia kama alivyomuongoza Musa wala usihofu haki hukaa upande wake na uovu hukaa kwa shetani.
@lupyanamatimbwi8064
@lupyanamatimbwi8064 2 ай бұрын
Big up brother tundu lisu
@nicodemusngwala2079
@nicodemusngwala2079 2 ай бұрын
Naomba Mungu ampe maisha marefu atufundishe Watanganyika ili tujitamvue tuweze kuipugabia nchi yetu kuilinda Tanganyika
@josephmlazier1391
@josephmlazier1391 2 ай бұрын
Na kwa haya madini anayoyatema Lisu ambayo yanamtetea kila mwananchi bado unampata mjinga mmoja akisema Mama kazi iendelee 😢😢😢 ama CCM dumu 😢😢 upumbavu wa Hali ya juu sana
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 2 ай бұрын
Wapumbavu ni wale wanaodanganywa na LISSU LISSU HANA SERA ZA CHAMA CHAKE SANA SANA HAPO ANAJENGA UKABILA TU
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 2 ай бұрын
Yaani kwakweli sijui wamerogwa du!
@ibrahshifta1595
@ibrahshifta1595 2 ай бұрын
Nyie ndo mmerogwa ,hamjitambui japo ni watu wazima, nn msichokielewa au familia zenu zinanufaika na utawala huu wa kipumbavu
@MajiiIfande
@MajiiIfande 2 ай бұрын
Tena wapo wasomi wanashangilia udhalimu unaoendelea
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 2 ай бұрын
Bora Korona mpya inayotarajiwa ije itumalize tu kama hivo, tumechoka sasa na tunaambiwa hatueleweki!!!
@matiredms917
@matiredms917 2 ай бұрын
Mheshimiwa Tundu Lissu una stamina kubwa na uwezo mkubwa wa kuelimisha wananchi kuhusu madhila/shida wanazopata kutokana na dhuluma zinazofanywa na Serikali dhalimu ya CCM.
@user-lt1nr4tk9r
@user-lt1nr4tk9r 2 ай бұрын
Huyu mpiga picha mbadilishen kila siku hajui kupiga picha kamera n hapohap tu
@richardnganya2311
@richardnganya2311 2 ай бұрын
Muhimu ujumbe uwe wazi. ( Loud and clear)
@rogersiddy
@rogersiddy 2 ай бұрын
Ujumbe wako ulikuwa kichwani mwangu kwakweli amelemaa sana sijui anahongwa na maccm asituonyeshe wananchi waliojitokeza kwenye mkutano hii inachefua sana onyesha wananchi kwa upana na utulivu sio karibu karibu tu umemaliza huyu kazi haiwezi kbs
@RUSTERNYAIKOBA
@RUSTERNYAIKOBA 2 ай бұрын
Shemeji yangu ni 🔥 mno.Elimisha
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 2 ай бұрын
😂😂😂 lisu unanifurahishaga sana siyasa zako nzuri sana mama abduli shenzi.
@willyadam4776
@willyadam4776 2 ай бұрын
Tundu lisu Mungu akulinde sana kazi yako ni kubwa mno yakutuelimisha sisi watanganyika
@DevothaLighton-dl6zi
@DevothaLighton-dl6zi 2 ай бұрын
Pole sana mh lissu Kwa kuwahutubia majitu ambayo kichwani wako tupu
@paulmadundo8084
@paulmadundo8084 2 ай бұрын
sentensi zimenyooka sana, ila marais wa nchi za nje "marekani n.k"mbona wenyewe hawapewagi udaktari wa heshima kama marais wa nchi yetu?..au mimi ndio sielewi.Udaktari wa kutokusomea huu siuelewi kwa viongozi wa nchi yangu...
@MajiiIfande
@MajiiIfande 2 ай бұрын
Hahahaha, udaktari wa uongo nani anautaka.?
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 ай бұрын
Minja na muunga mkono,viongozi wa Chadema,kama ilivyosema Mwenyekiti taifa,makamu mwenyekiti,Katibu mkuu na makamu Katibu mkuu rudini pamoja mtoke na jibu la pamoja tunsmuona Tundu Lisu peke yake anatoa elimu nzuri sana hatakayekataa akatae kwa ubinafsi wake.ukimya wa viongozi hao unatukosesha amani.
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 ай бұрын
Jamani Tundu Lisu mmmm
@YohanaThadeo-ki2qg
@YohanaThadeo-ki2qg 2 ай бұрын
Ongera lisu
@mashakalukinda2350
@mashakalukinda2350 2 ай бұрын
kamanda Lissu huwa nakkbali sana hutaki ujinga ujinga sikuzote unapenda haki kwa wezio nakwako pia haki Pande zote
@geraldgedi4657
@geraldgedi4657 2 ай бұрын
Naongezea na hili la mkataba na Wakorea na matrilioni 6.51 ikinasibishwa na bahari na madini .
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 2 ай бұрын
This man is very intelligent.
@salummichael87
@salummichael87 2 ай бұрын
Kama maneno hayo yanatoka Kea Mungu lazima tuokoke pia nchi ha Tanganyika iokoke AMINA
@prospermalala6636
@prospermalala6636 2 ай бұрын
MH Lisu Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha,/ kufundisha jamiii iliyopo mbele yako ielewe haki zao, kwa ufundishaji wako haki Mungu mkubwa akulinde na kuonyesha njia ya kupitia, IQ yako hakuna wa kukutisha, Mungu ndiyo muweza wa yooote, ktk maisha yako 🙏🙏🙏🙏
@rastheunique
@rastheunique 2 ай бұрын
Tundu Lissu 💪💪
@evelina9621
@evelina9621 Ай бұрын
Lisu.toa Mafundisho.kwa.watu.wajueuukombozi..n.sasa
@BelievePeace-jg5pc
@BelievePeace-jg5pc 2 ай бұрын
Tuko pamoja kiongozi hatukuachiii
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 2 ай бұрын
Jamaa hachoki Mwezi mzima yuko barabarani daily
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 2 ай бұрын
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 2 ай бұрын
Tundu lissu ninabiiii wa kizazi hiki tz ukibisha muurize mwendazake jpm Kiongozi wa watu wasiojurikana muurizeni??? umeenda Wapi?? Uriotaka kuuwauwa mbona bado yupo hai nae ni tundu lissu
@user-ti4gw9jb8w
@user-ti4gw9jb8w 2 ай бұрын
Safi sana mweshimiwa
@IssayaNdinga
@IssayaNdinga 2 ай бұрын
Usituchoke kuna siku TU mngu atakumbuka sisi wanyonge santen sana lisu
@PaskaliBaha
@PaskaliBaha 2 ай бұрын
Tufanye mapinduzi ya kweli
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 2 ай бұрын
Huyu mama abduli hamna kitu bara ajiuzuru atakuwa ameniheshmisha
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 2 ай бұрын
Kwahaya siendi msiba hata mtu wa ccm kwaujinga huu akifa ccm siendi naenda bazaar kunywa bia samia ataondoka kama raurent gabgo
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn 2 ай бұрын
🤝❤❤🙏
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 2 ай бұрын
Makini sana
@SAMSONKOIKAI
@SAMSONKOIKAI 2 ай бұрын
Mungu akulinde sanaa raisi wa mioyo ya watanzania mh lissu ,akili nyngi sana..elimu yako kwa wanachi tunahitaji sanaa,mungu akupe nguvu ya kutuelimisha
@MajiiIfande
@MajiiIfande 2 ай бұрын
Huyu ni Lincoln/Sankara ajaye kwa nchi hii
@abelchuche7968
@abelchuche7968 2 ай бұрын
Hatari sanaaaaaaa
@khalidikaghembe1775
@khalidikaghembe1775 2 ай бұрын
Inauma Sana SEMA matanganyika mengi yapo masenge sengelema tu Wala hayajielewi
@emmanuelrobert4757
@emmanuelrobert4757 2 ай бұрын
Unapambna sana kamanda tundu anti pas lisu munu akubarik sn
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 2 ай бұрын
Kweli tuu
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 2 ай бұрын
Kama kawaida moto unawaka
@beinafuu6219
@beinafuu6219 2 ай бұрын
Duh
@henrymligo2440
@henrymligo2440 2 ай бұрын
Ok!
@BarakaMisanga
@BarakaMisanga 2 ай бұрын
Poleee
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 2 ай бұрын
Rais Hana kitu
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 2 ай бұрын
Haya mambo ni mazito sana
@user-qz2cs5wm5u
@user-qz2cs5wm5u 2 ай бұрын
Nimeipenda iyo ndio upinzani unavotakiwa
@fabianmainchanyangachika5017
@fabianmainchanyangachika5017 2 ай бұрын
Tarime pia tupoooooo🎉🎉🎉
@msabahaali758
@msabahaali758 2 ай бұрын
Tatzo ni moja tu wanaohutubiwa wamelala kabisa ila kama Mzaznzibar namkubali Lissu kuliko mama ake Abdul
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 2 ай бұрын
Samia kwa matendo yake apimwe akili zake km yupo sawa
@user-rn9og1rk3l
@user-rn9og1rk3l 2 ай бұрын
😂❤❤umepiga penyewe mwamba
@HamzaHeri
@HamzaHeri 2 ай бұрын
WEWE UNA MATATIZO YA AKILI
@helenakamenya8680
@helenakamenya8680 2 ай бұрын
Kagongwe choko wewe na ccm yako.
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 2 ай бұрын
We ndo unamatatizo wala siyo lisu
@josephmatiko4805
@josephmatiko4805 2 ай бұрын
Kiukweli tunakuamini sasa!!maana,wa Tanganyika nikama ndio tunaamka!!kiukweli inabidi tuamke
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 ай бұрын
✌️👍👊.
@salummohamed2689
@salummohamed2689 2 ай бұрын
Hivi sisi Watanganyika tunajifanya hatuelewi Kwa manufaa ya nani?
@SalumChema
@SalumChema 2 ай бұрын
Bomoa.baba.tuyajue.huyondio.lisu.jembe.liliobaki
@beinafuu6219
@beinafuu6219 2 ай бұрын
Mpiga picha hawana aise.sijui watalam wa chadema kitengo cha habari kimelala
@dribrahimmamboleo4435
@dribrahimmamboleo4435 2 ай бұрын
Ila we nae ni mshamba! Hapo kamera sio ya chadema ni ya chanzo TV waliotuwekea youtube Leo nimekufundisha thawaa😂
@lupyanamatimbwi8064
@lupyanamatimbwi8064 2 ай бұрын
18,200
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 2 ай бұрын
Sasa hapa umeongea weee ninachokipata toka kwenye hii hotuba ni uzanzibari na utanganyika. Hebu tupatie mbadala wa hao unaowaongelea kila ukipanda jukwaani. Lissu jaribu kuwa creative hii inapotezea wenye akili zao muda😂😂😂😂 Huyo Samia ni mbovu yes, sasa wekeni mtu atakae tukomboa
@dribrahimmamboleo4435
@dribrahimmamboleo4435 2 ай бұрын
Mbona wengine tumeyapata mengi sana. Tatizo unapata hayo mawili kwabasababu ndio yaliyoujaa moyo wako. Pole
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 2 ай бұрын
Sasa hapa umeongea weee ninachokipata toka kwenye hii hotuba ni uzanzibari na utanganyika. Hebu tupatie mbadala wa hao unaowaongelea kila ukipanda jukwaani. Lissu jaribu kuwa creative hii inapotezea wenye akili zao muda😂😂😂😂
@husseinjosephitocho6754
@husseinjosephitocho6754 2 ай бұрын
kazi ya kichwa sio kuota nywere tu na kutafakali pia
@user-we5px7gp2r
@user-we5px7gp2r 2 ай бұрын
Kama anazungu pekee yake wewe ni nani anakufahamu?
@abdullahalsharji9428
@abdullahalsharji9428 2 ай бұрын
Zote tisa kumi uchaguzi
@stevesungura6789
@stevesungura6789 2 ай бұрын
Tuyachukulieni poa haya maneno leo, lakini kuna siku tutayakumbuka maneno ya huyu Lissu. Hii nchi inaporwa mbele ya macho yetu. Sijui wenzetu wanawaza nini kuhusu kesho ya taifa hili
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
SERA YA LISU NI LAWAMA NA KULIALIA 🤧🤧🤧🤧🤧🤧RIP MAGU
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 2 ай бұрын
Sikiliza vizuri
@bakarimrao3655
@bakarimrao3655 2 ай бұрын
RIP MAGU imekujaje hapo Sasa!!!!!
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
@@bakarimrao3655 Alisema hawa si WAPINZANI ni WAHUNI 🤧🤧🤧🤧🤧
@henrynicholaus3977
@henrynicholaus3977 2 ай бұрын
Hamia chato
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 ай бұрын
Sasa mbona unazunguka peke yako?? Wenzako wako wapi? Au ukipewa nchi utaongoxa peke yako?? Mujitafakari ndani kuna shida mzee wa kulia lia!😂😂😂
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 2 ай бұрын
Hivi huyu wa camera anajua kuchukua picha kweli abadirishwe haraka
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 2 ай бұрын
Sikiliza ujembe Cyo ujinga uliyo nao kichwa
@rashidisaidi8535
@rashidisaidi8535 2 ай бұрын
Mbona watu hamna hichi chama hichi kweli ni cha wahuni ndo maana kimepoteza mvuto kaz ni uchochez tuu
@msabahaali758
@msabahaali758 2 ай бұрын
kwaio ulitaka watu wasombwe kwa malori
@henrynicholaus3977
@henrynicholaus3977 2 ай бұрын
Tuko kwenye simu tukiwa na ww
Joho DAZZLES CROWD in Homabay, AFFIRMS support for Ruto come 2027
18:09
Azimio TV(Official)
Рет қаралды 40 М.
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН
English or Spanish 🤣
00:16
GL Show
Рет қаралды 8 МЛН
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 23 МЛН
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН