Naomba kadi ya chadema CCM naona wamezingua sana naomba nihamie tu kwa wazalendo
@Zakoyokupasya2 ай бұрын
Polis hawana makosa saana mbaya ni samia na chawa wake
@williamuaza75412 ай бұрын
Karibu nyumbani mkuuuu
@mlyamalitv17892 ай бұрын
Nimeawaona hawa ndugu uzalendo umenijia, kuanzia leo Najiunga CHADEMA.
@williamuaza75412 ай бұрын
Karibu nyumbani mkuuuu
@noelyhaule56952 ай бұрын
@@mlyamalitv1789 karibu na Mungu akubariki
@rajababrahman43652 ай бұрын
Poleni sana Mungu awape nguvu ya kuendelea na Mapambano CCM wataliaribu hili taifa pigeni kelele Kila kitu ktk hili taifa kipo hovyo hovyo Na Mungu awape CCM kinachostahili kwao Ee Mungu mwenyenzi Amin
@kilamegroup29682 ай бұрын
Kwanzia leo najiunga chadema
@binseif22162 ай бұрын
😂We chadema tokea zaman
@RamadhanAlly-cf7du2 ай бұрын
Karbu san
@noelyhaule56952 ай бұрын
Karibu
@ThomasErro2 ай бұрын
uende chadema mara ngapi wakati ulikuwa chadema mda wote
@williamuaza75412 ай бұрын
Karibu nyumbani mkuuuu
@sportsnewjs43302 ай бұрын
Sasa ndio tunaendelea kuamini kwamba serikali iliopo madarakani kwa sasa niserikali ya kihuni kabisa '!
@AbediMawaya-us8bf2 ай бұрын
Mungu atawacha ata mmoja wenu kwakile mnachokifanya juu ya haki nawapenda sana chadema someni zaburi 35 mungu atawaacha
@RahmaMwamwezi2 ай бұрын
Poleni sana pia hongereni kwa kuwaa hii stori imeenda kwa upana zaidi makamanda
@lukomanomaliki54422 ай бұрын
Washtakini Umoja wa mataifa hao.Huo ni ukiukwaji wa haki za binadamu.
@lukomanomaliki54422 ай бұрын
Hii nchi Ina mambo ya ovyo Sana.Kama hamtaki mfumo wa vyama vingi Si mfute kuliko kuwatesa watu.
@stewartdyamvunye-wz6rn2 ай бұрын
Pole sana. Sitachoka kuwakumbusha ndugu zangu watanzania kuhusu utabiri wangu kwa maisha (survival) ya utawala (system) unaoishi katikati ya umma unaolalamika huku ukiogelea katika umasikini uliokithiri. Kwamba ili utawala wa aina hii (tanzania) uishi hapana budi uzue/ubuni matukio au/na taharuki. Taharuki ya mwisho ilikuwa ya kununuliwa na CCM na nchi nzima ikasimama. Na nikasema haya yanayotokea ni ili umma/wanaharakati wasahau kufuatilia/kuwajibisha wahusika kwa: CAG - ripoti za ufisadi, wizi matrilioni ya shs bwawa la mwl. Nyerere, upigaji tenda reli SGR TBR - Kigoma, Rushwa, Umasikini, Mpina vs Bashe sakata la sukari. Bandari DP World, Wamasai - Loliondo, Aibu ya CCM na serikali kupitia uenezi wa Makonda hadi zoezi likasitishwa - Makonda akaeungiliwa. Na mengine kama hayo. Nikasema ya Peter Msigwa ni ili kujenga sahau, likiisha litapikwa jingine, tujiandae. Na kweli utabiri wangu, na sasa limeibuliwa kamatakamata CHADEMA! Na hakika nchi nzima imeacha/imesahau balaa za nyuma macho yote kwa CHADEMA hivi sasa. Likiisha hili, tujiandae litakuja jingine, ni utabiri.
@SmithJacob-f2r2 ай бұрын
Ila Ccm inachokitafuta itakipata I swear wanachokitafuta km amani hii tuliyonayo wameichoka acha tuone
@AhmadIdd-rv2rg2 ай бұрын
Serikal hii inapelekea ni watu tuletewe bunduki Tu basi tuwe Kama Congo bas maana Uhuru Amna kabisaaa
@damasiasimba-lk5os2 ай бұрын
Hamia kongo uone shida wanayopata unaropoka tu
@frankcharles39802 ай бұрын
@@damasiasimba-lk5osPUMBAVUUU
@PaskoDon2 ай бұрын
Yote maisha wazee
@daudimchileg3072 ай бұрын
Pumbavu wewe mwenye masirahi na ccm, lakin siku ikitokea hata hiyo pumbavu hautapata muda wa kuiandika utasikia milioya ya mabomu na siraha tuuu, funguka machozi ni maneno yasiosikika
@daudimchileg3072 ай бұрын
@@damasiasimba-lk5osipo siku inakuja mtaelewa, nanyi muendelee kutafsili haya ni sawa?
@SamsonPeter-j1m2 ай бұрын
Chadema safi sana Mungu aendelee kuwabariki
@MgimbaDux2 ай бұрын
Mzanzibar anaanza,Asitegemee kupata mahusiano mazuri na watanganyika
@seikoibrahim12962 ай бұрын
Poleni sana ,Huku Kigamboni tunateseka sana na vivuko na kulipishwa kuvuka darajani deni gami lisiloisha, siku hz kivuko ki 1
@MichaelMoseka2 ай бұрын
Poleni Sana viongozi wetu mungu awe pamoja nyie
@edsonmnego40302 ай бұрын
Imeniuma Sana kama nyie ni viongozi na mnafanyiwa hvo ndo mjue sisi raia tunapitia mengi Sana kuhusu hao police sema tu mungu anatulinda
@HalimaShawa2 ай бұрын
Pipoziiiiiiiiiiiiii✌️✌️✌️✌️💪💪nguvu moja, vijana tubadilike, ccm sio chama. Tazameni tunavyoteswa nautekaji watu wanavyopotea. Iyo yote ni ccm.
@ebenezersumari54082 ай бұрын
Tanzania Tanzania 🇹🇿 Kuna siku itakua historia na Ushuhuda😔😔
@princedaniel47462 ай бұрын
Dah! Inasikitisha. Poleni sana watanzania wenzetu
@princedaniel47462 ай бұрын
Lakini nafikiri kuna sababu ya msingi. Siamini kwamba police wametenda hayo bila sababu. Tunahitaji kujua ukweli uliofichwa
@pastorykimaro75762 ай бұрын
Nimekubali tunaongozwa na watu waajabu
@rambostalon28882 ай бұрын
Tuko pamoja✌️hamko peke yenu.
@rahmasalim19892 ай бұрын
Kuanzia sasa nahamia chadema, na kura zangu za ndiyo mtazipata. Lakini ccm chama tawala watawaibia kura kama hali hii inaonyesha udhalimu mtupu.
@Deomifuko-m4s2 ай бұрын
Daah inasikitisha saana aiseee ila Mungu ndo anajua kwakweli
@Mkazially2 ай бұрын
Mungu anawaona Kuna watu wanafikiri hawatakufa
@JoshuaNgolela-pi3nh2 ай бұрын
nakubali mweshimiwa Mwenyekiti na walivo awajui sheria kawa buruzeni kweli hao washenzi kabisa
@BahatiSimkonda2 ай бұрын
Poleni jmn msikate tamaaaa ipo cku mora ataingilia
@MataighaTiro2 ай бұрын
Kuanzia sasa najiunga chadema nimewakubari sana sana
@juliusringo7102 ай бұрын
Watanzania tusikubali huu unyama tuandamane mpaka hawa wahuni waondoke
@saidmussongo15272 ай бұрын
Duu nchi yangu Tanzania. Watanzania tumegawanyika. Fufuka Baba wa Taifa ulione Taifa lako linaangamia.
@jimmykampate782 ай бұрын
Ivi Kinana kajiuzuru kwa kutunza heshima yake aliyaona aya au mzee Kinana nakupigia salut kwa kujiuzuru tuachie hawa wenye uchu wa madaraka na kuwatesa wtz
@sylvestersamwel82102 ай бұрын
AWADHI HAJI NI MZANZIBAR AU MTANGANYIKA?
@DandasiKundi2 ай бұрын
Mwenyekiti sema sema jeshi hatuna nashangaa sana kwa kweli sawa tumia sheria nitafurahi sana
@celestinemidauli9882 ай бұрын
Safi sana kwa hatua zitakazo chukuliwa.🙏🙏
@patrickmbogo30292 ай бұрын
This is extremely shameful for so-called democracy alluta continua
@Voiceofpeopleotz2 ай бұрын
Kwa maelezo haya ni wazi kuwa polisi ni mali ya serikali.
@RamadhanAlly-cf7du2 ай бұрын
Yani katka maisha yako.usje ukamthamin police hata siku moja
@RamadhanAlly-cf7du2 ай бұрын
Police wa hii nchi ni wahuni sana tena wauwaji nizaidi ya wahun tena mkpa viongoz wenyewe
@NjapakaziKimaki2 ай бұрын
Viongozi wa chairman nawashauri na kuomba gari ya mheshimiwa Lisu isifanyiwe matengenezo badalayake ipelekwe makao makuu ya chairman kwa ability yakumbukumbu
@camilomassao89712 ай бұрын
Kwakweli Tanzania haukuwahi hivi, wapo wanaoiharibu wakijiaminisha kuwa hao Ndiyo watanzania halisi, mihimili ikishakosa nguvu Haya Ndiyo madhara.
@johnlightmkose47232 ай бұрын
Point kubwaaaaaa
@Paskalina-d3d2 ай бұрын
Poleni sanaa ndungu zangu
@Voiceofpeopleotz2 ай бұрын
Ni sahii hii nchi akuna uhuru wa mawazo utakiwi kuongea ukweli kama kuna wakubwa wanayo maslahinna huo ukweli. Ila mnyonge atachoka tu...
@robertkairo84832 ай бұрын
Hawa watu wanapaswa waburuzwe mahakamani individually ili wafundishwe kusimamia weledi kwenye kazi na si kusikiliza maagizo ya watu waovu walio kwenye mamlaka.
@hamissomary68692 ай бұрын
Huyooo ni mbwa sanaaaaa Hawzi kuma mayeeeew
@sylvestersamwel82102 ай бұрын
MHALIFU ANAPELEKWA NYUMBANI CHINI YA UANGALIZI WA POLISI!!
@kaaakwakutuliaa51792 ай бұрын
chadema mna nafasi nzuri sana ya kukiangusha chama cha ccm ,sasa ivi mpeleke ombi la mualiko kwenye midahalo yao ya ccm
@HassanVorogwe2 ай бұрын
Raisi awali alipatia ila Sasa anamezwa na waovu WA ndani ya CCM.
@TrustElbashil2 ай бұрын
Poleni sana viongozi wetu lakini ipo siku utakuwa rais wa nchii hao police usije wasahau ata kama wamekufu yake yafukuliwe
@jahhloveyou44622 ай бұрын
Hapa Sasa tunaenda wapi? Yaani siku chadema ikichukua inchi kesi hizi zote lazima zifuatiriwe
@EdumaelMushi2 ай бұрын
Mbona tunaweza kuwashughulikia chadema kirahisi hivi,lakini matatizo ya maji,umeme na huduma za afya ,elimu vimeshindikana?vipi bundi na ngedere tayari nao wamedhibitiwa au Bado wapi maofisini?
@rahmasalim19892 ай бұрын
Dah! Hawa askari wa Tanzania hawana mafunzo mazuri na sahihi kabisa, au wanabebana katika kazi?? Dah! Rais upo wapi unaangalia hali hii?
@ismailramadhani16492 ай бұрын
Hawa si wakushitaki hapa Nchini 🇹🇿, wanastahili kushitakiwa umoja wa Mataifa.
@Paskalina-d3d2 ай бұрын
Hiv hawa viongozi wa nchi wanataka ku2peleka wapi mbona manyanyazo kila kukicha afahdali ya jana pole sanaa bwana lisu kwa changamoto unayoptia mungu akubariki sanaa
@kijitamfyomi55982 ай бұрын
Huyo Kamanda Awadhi angefukuzwa kazi pamoja na wote walioshiriki kuwatesa ndugu zetu
@NM-yl2uw2 ай бұрын
hao wanaowafukuza kaz ndo wamewata
@hadjiMbugi-iu4eg2 ай бұрын
@@NM-yl2uwmm mawazo yangu apandishwe cheo
@BoniphacePeter-ih2st2 ай бұрын
Kwa mwenendo huu hapana sababu ya kuwa ktk Chama cha majambazi
@josephatbwakome57112 ай бұрын
Hii mipolisi ya CCM naichukia mpaka basi, ctamani mwanangu awe polisi labda yabadilike kitabia.
@puritybariki85292 ай бұрын
Wewe awadhi utakufa mdomo wazi kabisa kwani Hawa sio watanzania wenzako
@lucaschisamalo28522 ай бұрын
Nimeumia sana inchi hii inawatu wana roho mbaya sana
@johnlightmkose47232 ай бұрын
Mungu atashusha pigo ktk nchi hii hakika nawaapia Haya maneno mtayakumbuka Maana WANYONGE wanaonekana kuwa ni umbwa tu
@Ramista752 ай бұрын
Hapa sijajua haya mambo wangefanya viongozi wa ccm nao wangefanyiwa hivihivi na polisi sijui
@SubaGillah2 ай бұрын
Hii nchi ina vituko sana lakini ipo siku isio na jina mungu anatenda mambo yake
@DjJohnBashir-oy7cx2 ай бұрын
Poleni sana Mungu ni mwaminifu atalipa Kwa hayo yote
@juliusringo7102 ай бұрын
Amen
@puritybariki85292 ай бұрын
Jamani umoja wa mataifa mko wapi watanzania tunatezeka sana
@davidsamson82922 ай бұрын
CCM TUMEICHOKA HII NCHI IWE NA SIASA HURU SIO MABAVU YA POLISI.
@DandasiKundi2 ай бұрын
Hii ni hatari sana hata polisi wanaiba simu jamani ninasikiliza maelezo ya mnyika yanasikitisha sana.
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
Hii nchi inahitaji ukombozi.Tunaongozwa na watu wasio na utu na wasio fuata sheria na katiba nchi.Jeshi la polisi lina watendaji wenye uwezo mdogo na akili ndogo sana na wanaotumia madaraka yao vibaya.
@RamadhanAlly-cf7du2 ай бұрын
Niwahuni kuazia viongoz wa ccm mpaka ilo.jesh ila kuna siku nadhan watashndwa kuzuiya nguvu ya umma
@AnosisyeMwaigomole-m3v2 ай бұрын
Haki haiwezi kuondoshwa, bari huchereweshwa
@ErasmusMakavery2 ай бұрын
Vijana uvccm mwanza tunaomba kujiunga na chama cha demokrosia na maendeleo chadema .
@SleepyDrink-yp7yg2 ай бұрын
Naumia sana juu ya haki za binadam Ii halo itaisha lini
@boazmwakalonge-ch9qp2 ай бұрын
pore sana mweshimiwa Ipo SKU watakusalimia kwaheshima
@CalistusTitus-s5o2 ай бұрын
Kuwa CCM ni kukubaliana na ushetani nawaambia watanzania CCM kamwe siyo chama kamwe hawana hutu ni washenzi sana, polisi ivi mnajisikiaje kutesa watu
@robertkairo84832 ай бұрын
Hivi taifa letu lina aina gani ya watu kwenye taasisi hizi za kutoa haki. Dah inasikitisha sana kwa kweli
@MeckMuro-tt3nj2 ай бұрын
Poleni sana viongozi wa chadema kwa magumu haya, ila niwakikishie mungu wetu ni mwaminifu atawaacha kamwe,
@RamadhanAlly-cf7du2 ай бұрын
Kwa sasaiv sion sababu ya kubembelezana na hawa askar kwan ni wahun hii nchi bado inamambo ya kihun sana dawa ni tunyooshane tu
@mtakatifubony55252 ай бұрын
Mabadiliko ya kweli yanaletwa na watu walijitolea hata kufa kama kweli mnataka kuleta mabadiliko Hii ndio njia sahihi,Acheni kulalamika, mabadiliko hayawezi kuletwa na walalahoi
@oscarcharles96242 ай бұрын
Kwa nini jmn uwiiii ccm acheni kutesa chadema yupo mungu atawajibu
@StevenMapete2 ай бұрын
Polisi wetu wanahitaji elimu ya kisheria huweziI kumpiga mtu alie jikabidhi mikononi mwako
@lukomanomaliki54422 ай бұрын
Kwa hiki walichofanyiwa Chadema, cha ajabu vyama vya upinzani vingine vipo kimya. Au vyama vingine ni vibaraka.
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
Hata mimi nashangaa
@richardnganya23112 ай бұрын
Vyama vingine ni CCM B
@johnlightmkose47232 ай бұрын
Nimeelewa@@richardnganya2311
@ZedekChamagogo2 ай бұрын
Tanzania chama Cha upinzani ni chadema tu vingne vyote ni ccm B
@ErickAlipipi2 ай бұрын
Ccm nisawa na uongozi wa mkolon tena mjeruman
@johnlightmkose47232 ай бұрын
SERIKALI yangu mnatengeneza chuki wananchi watawachukia sana kwa shuhuda HIZI ni dhahiri watu wanaishangaa sana serikali
@puritybariki85292 ай бұрын
Akika mungu yupo mungu atajibu kwa wakati
@ChristopherCharles-ty6uw2 ай бұрын
Hiki mnacho kifanya ccm mungu, anaona na mtalipwa hapahapa chini yajua. Mungu hachelewi wala hawahi atajibu kwa wakati
@TuntufyeBrayson2 ай бұрын
Jamani watanzania tunajisahau kwasababu mungu anaonesha madudu ya CCM na polisi wao kwasababu sisi tunatakiwa kufanya uchaguzi wa kuwa Fanya wakose kula hata kula Moja ili wakiiba kula iwe kama Kenya mana wamechoka kufanya vitu kwa haki
@rkcomercialenterprises32092 ай бұрын
Awadhi Haji,Mungu atapigana nawe😢
@juliusringo7102 ай бұрын
Amen
@simonzelote59982 ай бұрын
Mungu atamuhukumu tu mungu sio adhumani
@dallasmusic64652 ай бұрын
Viongozi na police wa Tanzania🇹🇿 hamuelewi kazi yenu mnajua ubabe tu na mwisho wa yote ni kifo 😢😢😢😢😢 Mtakufa vbaya sana badlikeni police wa Tz mna shida ya uelewa
@EmanuelPallangyo-n4q2 ай бұрын
Hawa wapelekwe mahakama ya kimataifa wananchi tutachangia nauli za mawakili ili haki ipatikane na uonevu ukome.
@HashimYahaya-hd3zm2 ай бұрын
Pore Sana ira mungu Yuko pamoja nanyi
@celestinemidauli9882 ай бұрын
Poleni sana kamanda tupo pamoja
@davidchavaligino71032 ай бұрын
Halafu na mateso yote hayo utasikia jitu limehamia upande wa pili
@JoshuaNgolela-pi3nh2 ай бұрын
chadema hii nchi yenu kitambo ccm aina jipya haaina mvuto tena kazi ni kutumia akili zao
@AliImamu2 ай бұрын
Swazi haji ni wawapi huyu
@JosephMagige-lf9ns2 ай бұрын
Nahama ccm kuazia leo rasm
@PaulNsabi2 ай бұрын
matumizi mabaya ya madaraka,fedha za nchi,kunyanyasa wananchi,isiyo na kariba,wakati wa kudai katiba mpya
@abdallahkihanza4822 ай бұрын
Mbona wameanza mapema ikifika 2025, itakuwaje?
@HalimaShawa2 ай бұрын
Pore sana kamanda, ila hawo watu malipo yawo yanakuja
@NestoryMgimba2 ай бұрын
Sina hofu nakaza mwendo hatuwezi kurudi nyuma tumevumilia kwa magufuri na huu mwisho tutavumilia japo maumivu yaweza kuwa makubwa lakini tutavumilia.
@Jeremiahlukumay2 ай бұрын
Serikali ya Samia imepoteza mwelekeo na sera Sasa wanaona kutumia polisi kuteka watu hovyo hovyo ndio suluhisho lakini hatutavunjika moyo tutapambana mpaka kieleweke Samia must go.
@HassanVorogwe2 ай бұрын
Vyama vingi vifutwe kibaki Chama kimoja mnawatesa kuwapiga kuwaua, bakini wenyewe nchi ni yenu pekeyenu.
@HadijaJoseph-d1g2 ай бұрын
Pole sana baba yani munafanyiwa unyama sana
@HassanKibwana-h3w2 ай бұрын
Tunaelekea wapi inasikitisha sana
@PrivaAgust2 ай бұрын
Mwenyekiti ebu kasirika kama Mimi.
@cyprianboniphace-oz5lw2 ай бұрын
Kama haikutakiwa tuwe na vyama vingi turudi kwenye chama kimoja.