🔴LIVE: MBOWE & LISSU WAFUNGUKA MAZITO

  Рет қаралды 38,776

Chadema Media TV

Chadema Media TV

Күн бұрын

Пікірлер: 305
@kahamagloryofgod5852
@kahamagloryofgod5852 2 ай бұрын
Naomba kadi ya chadema CCM naona wamezingua sana naomba nihamie tu kwa wazalendo
@Zakoyokupasya
@Zakoyokupasya 2 ай бұрын
Polis hawana makosa saana mbaya ni samia na chawa wake
@williamuaza7541
@williamuaza7541 2 ай бұрын
Karibu nyumbani mkuuuu
@mlyamalitv1789
@mlyamalitv1789 2 ай бұрын
Nimeawaona hawa ndugu uzalendo umenijia, kuanzia leo Najiunga CHADEMA.
@williamuaza7541
@williamuaza7541 2 ай бұрын
Karibu nyumbani mkuuuu
@noelyhaule5695
@noelyhaule5695 2 ай бұрын
@@mlyamalitv1789 karibu na Mungu akubariki
@rajababrahman4365
@rajababrahman4365 2 ай бұрын
Poleni sana Mungu awape nguvu ya kuendelea na Mapambano CCM wataliaribu hili taifa pigeni kelele Kila kitu ktk hili taifa kipo hovyo hovyo Na Mungu awape CCM kinachostahili kwao Ee Mungu mwenyenzi Amin
@kilamegroup2968
@kilamegroup2968 2 ай бұрын
Kwanzia leo najiunga chadema
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
😂We chadema tokea zaman
@RamadhanAlly-cf7du
@RamadhanAlly-cf7du 2 ай бұрын
Karbu san
@noelyhaule5695
@noelyhaule5695 2 ай бұрын
Karibu
@ThomasErro
@ThomasErro 2 ай бұрын
uende chadema mara ngapi wakati ulikuwa chadema mda wote
@williamuaza7541
@williamuaza7541 2 ай бұрын
Karibu nyumbani mkuuuu
@sportsnewjs4330
@sportsnewjs4330 2 ай бұрын
Sasa ndio tunaendelea kuamini kwamba serikali iliopo madarakani kwa sasa niserikali ya kihuni kabisa '!
@AbediMawaya-us8bf
@AbediMawaya-us8bf 2 ай бұрын
Mungu atawacha ata mmoja wenu kwakile mnachokifanya juu ya haki nawapenda sana chadema someni zaburi 35 mungu atawaacha
@RahmaMwamwezi
@RahmaMwamwezi 2 ай бұрын
Poleni sana pia hongereni kwa kuwaa hii stori imeenda kwa upana zaidi makamanda
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 2 ай бұрын
Washtakini Umoja wa mataifa hao.Huo ni ukiukwaji wa haki za binadamu.
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 2 ай бұрын
Hii nchi Ina mambo ya ovyo Sana.Kama hamtaki mfumo wa vyama vingi Si mfute kuliko kuwatesa watu.
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 2 ай бұрын
Pole sana. Sitachoka kuwakumbusha ndugu zangu watanzania kuhusu utabiri wangu kwa maisha (survival) ya utawala (system) unaoishi katikati ya umma unaolalamika huku ukiogelea katika umasikini uliokithiri. Kwamba ili utawala wa aina hii (tanzania) uishi hapana budi uzue/ubuni matukio au/na taharuki. Taharuki ya mwisho ilikuwa ya kununuliwa na CCM na nchi nzima ikasimama. Na nikasema haya yanayotokea ni ili umma/wanaharakati wasahau kufuatilia/kuwajibisha wahusika kwa: CAG - ripoti za ufisadi, wizi matrilioni ya shs bwawa la mwl. Nyerere, upigaji tenda reli SGR TBR - Kigoma, Rushwa, Umasikini, Mpina vs Bashe sakata la sukari. Bandari DP World, Wamasai - Loliondo, Aibu ya CCM na serikali kupitia uenezi wa Makonda hadi zoezi likasitishwa - Makonda akaeungiliwa. Na mengine kama hayo. Nikasema ya Peter Msigwa ni ili kujenga sahau, likiisha litapikwa jingine, tujiandae. Na kweli utabiri wangu, na sasa limeibuliwa kamatakamata CHADEMA! Na hakika nchi nzima imeacha/imesahau balaa za nyuma macho yote kwa CHADEMA hivi sasa. Likiisha hili, tujiandae litakuja jingine, ni utabiri.
@SmithJacob-f2r
@SmithJacob-f2r 2 ай бұрын
Ila Ccm inachokitafuta itakipata I swear wanachokitafuta km amani hii tuliyonayo wameichoka acha tuone
@AhmadIdd-rv2rg
@AhmadIdd-rv2rg 2 ай бұрын
Serikal hii inapelekea ni watu tuletewe bunduki Tu basi tuwe Kama Congo bas maana Uhuru Amna kabisaaa
@damasiasimba-lk5os
@damasiasimba-lk5os 2 ай бұрын
Hamia kongo uone shida wanayopata unaropoka tu
@frankcharles3980
@frankcharles3980 2 ай бұрын
​@@damasiasimba-lk5osPUMBAVUUU
@PaskoDon
@PaskoDon 2 ай бұрын
Yote maisha wazee
@daudimchileg307
@daudimchileg307 2 ай бұрын
Pumbavu wewe mwenye masirahi na ccm, lakin siku ikitokea hata hiyo pumbavu hautapata muda wa kuiandika utasikia milioya ya mabomu na siraha tuuu, funguka machozi ni maneno yasiosikika
@daudimchileg307
@daudimchileg307 2 ай бұрын
​@@damasiasimba-lk5osipo siku inakuja mtaelewa, nanyi muendelee kutafsili haya ni sawa?
@SamsonPeter-j1m
@SamsonPeter-j1m 2 ай бұрын
Chadema safi sana Mungu aendelee kuwabariki
@MgimbaDux
@MgimbaDux 2 ай бұрын
Mzanzibar anaanza,Asitegemee kupata mahusiano mazuri na watanganyika
@seikoibrahim1296
@seikoibrahim1296 2 ай бұрын
Poleni sana ,Huku Kigamboni tunateseka sana na vivuko na kulipishwa kuvuka darajani deni gami lisiloisha, siku hz kivuko ki 1
@MichaelMoseka
@MichaelMoseka 2 ай бұрын
Poleni Sana viongozi wetu mungu awe pamoja nyie
@edsonmnego4030
@edsonmnego4030 2 ай бұрын
Imeniuma Sana kama nyie ni viongozi na mnafanyiwa hvo ndo mjue sisi raia tunapitia mengi Sana kuhusu hao police sema tu mungu anatulinda
@HalimaShawa
@HalimaShawa 2 ай бұрын
Pipoziiiiiiiiiiiiii✌️✌️✌️✌️💪💪nguvu moja, vijana tubadilike, ccm sio chama. Tazameni tunavyoteswa nautekaji watu wanavyopotea. Iyo yote ni ccm.
@ebenezersumari5408
@ebenezersumari5408 2 ай бұрын
Tanzania Tanzania 🇹🇿 Kuna siku itakua historia na Ushuhuda😔😔
@princedaniel4746
@princedaniel4746 2 ай бұрын
Dah! Inasikitisha. Poleni sana watanzania wenzetu
@princedaniel4746
@princedaniel4746 2 ай бұрын
Lakini nafikiri kuna sababu ya msingi. Siamini kwamba police wametenda hayo bila sababu. Tunahitaji kujua ukweli uliofichwa
@pastorykimaro7576
@pastorykimaro7576 2 ай бұрын
Nimekubali tunaongozwa na watu waajabu
@rambostalon2888
@rambostalon2888 2 ай бұрын
Tuko pamoja✌️hamko peke yenu.
@rahmasalim1989
@rahmasalim1989 2 ай бұрын
Kuanzia sasa nahamia chadema, na kura zangu za ndiyo mtazipata. Lakini ccm chama tawala watawaibia kura kama hali hii inaonyesha udhalimu mtupu.
@Deomifuko-m4s
@Deomifuko-m4s 2 ай бұрын
Daah inasikitisha saana aiseee ila Mungu ndo anajua kwakweli
@Mkazially
@Mkazially 2 ай бұрын
Mungu anawaona Kuna watu wanafikiri hawatakufa
@JoshuaNgolela-pi3nh
@JoshuaNgolela-pi3nh 2 ай бұрын
nakubali mweshimiwa Mwenyekiti na walivo awajui sheria kawa buruzeni kweli hao washenzi kabisa
@BahatiSimkonda
@BahatiSimkonda 2 ай бұрын
Poleni jmn msikate tamaaaa ipo cku mora ataingilia
@MataighaTiro
@MataighaTiro 2 ай бұрын
Kuanzia sasa najiunga chadema nimewakubari sana sana
@juliusringo710
@juliusringo710 2 ай бұрын
Watanzania tusikubali huu unyama tuandamane mpaka hawa wahuni waondoke
@saidmussongo1527
@saidmussongo1527 2 ай бұрын
Duu nchi yangu Tanzania. Watanzania tumegawanyika. Fufuka Baba wa Taifa ulione Taifa lako linaangamia.
@jimmykampate78
@jimmykampate78 2 ай бұрын
Ivi Kinana kajiuzuru kwa kutunza heshima yake aliyaona aya au mzee Kinana nakupigia salut kwa kujiuzuru tuachie hawa wenye uchu wa madaraka na kuwatesa wtz
@sylvestersamwel8210
@sylvestersamwel8210 2 ай бұрын
AWADHI HAJI NI MZANZIBAR AU MTANGANYIKA?
@DandasiKundi
@DandasiKundi 2 ай бұрын
Mwenyekiti sema sema jeshi hatuna nashangaa sana kwa kweli sawa tumia sheria nitafurahi sana
@celestinemidauli988
@celestinemidauli988 2 ай бұрын
Safi sana kwa hatua zitakazo chukuliwa.🙏🙏
@patrickmbogo3029
@patrickmbogo3029 2 ай бұрын
This is extremely shameful for so-called democracy alluta continua
@Voiceofpeopleotz
@Voiceofpeopleotz 2 ай бұрын
Kwa maelezo haya ni wazi kuwa polisi ni mali ya serikali.
@RamadhanAlly-cf7du
@RamadhanAlly-cf7du 2 ай бұрын
Yani katka maisha yako.usje ukamthamin police hata siku moja
@RamadhanAlly-cf7du
@RamadhanAlly-cf7du 2 ай бұрын
Police wa hii nchi ni wahuni sana tena wauwaji nizaidi ya wahun tena mkpa viongoz wenyewe
@NjapakaziKimaki
@NjapakaziKimaki 2 ай бұрын
Viongozi wa chairman nawashauri na kuomba gari ya mheshimiwa Lisu isifanyiwe matengenezo badalayake ipelekwe makao makuu ya chairman kwa ability yakumbukumbu
@camilomassao8971
@camilomassao8971 2 ай бұрын
Kwakweli Tanzania haukuwahi hivi, wapo wanaoiharibu wakijiaminisha kuwa hao Ndiyo watanzania halisi, mihimili ikishakosa nguvu Haya Ndiyo madhara.
@johnlightmkose4723
@johnlightmkose4723 2 ай бұрын
Point kubwaaaaaa
@Paskalina-d3d
@Paskalina-d3d 2 ай бұрын
Poleni sanaa ndungu zangu
@Voiceofpeopleotz
@Voiceofpeopleotz 2 ай бұрын
Ni sahii hii nchi akuna uhuru wa mawazo utakiwi kuongea ukweli kama kuna wakubwa wanayo maslahinna huo ukweli. Ila mnyonge atachoka tu...
@robertkairo8483
@robertkairo8483 2 ай бұрын
Hawa watu wanapaswa waburuzwe mahakamani individually ili wafundishwe kusimamia weledi kwenye kazi na si kusikiliza maagizo ya watu waovu walio kwenye mamlaka.
@hamissomary6869
@hamissomary6869 2 ай бұрын
Huyooo ni mbwa sanaaaaa Hawzi kuma mayeeeew
@sylvestersamwel8210
@sylvestersamwel8210 2 ай бұрын
MHALIFU ANAPELEKWA NYUMBANI CHINI YA UANGALIZI WA POLISI!!
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 2 ай бұрын
chadema mna nafasi nzuri sana ya kukiangusha chama cha ccm ,sasa ivi mpeleke ombi la mualiko kwenye midahalo yao ya ccm
@HassanVorogwe
@HassanVorogwe 2 ай бұрын
Raisi awali alipatia ila Sasa anamezwa na waovu WA ndani ya CCM.
@TrustElbashil
@TrustElbashil 2 ай бұрын
Poleni sana viongozi wetu lakini ipo siku utakuwa rais wa nchii hao police usije wasahau ata kama wamekufu yake yafukuliwe
@jahhloveyou4462
@jahhloveyou4462 2 ай бұрын
Hapa Sasa tunaenda wapi? Yaani siku chadema ikichukua inchi kesi hizi zote lazima zifuatiriwe
@EdumaelMushi
@EdumaelMushi 2 ай бұрын
Mbona tunaweza kuwashughulikia chadema kirahisi hivi,lakini matatizo ya maji,umeme na huduma za afya ,elimu vimeshindikana?vipi bundi na ngedere tayari nao wamedhibitiwa au Bado wapi maofisini?
@rahmasalim1989
@rahmasalim1989 2 ай бұрын
Dah! Hawa askari wa Tanzania hawana mafunzo mazuri na sahihi kabisa, au wanabebana katika kazi?? Dah! Rais upo wapi unaangalia hali hii?
@ismailramadhani1649
@ismailramadhani1649 2 ай бұрын
Hawa si wakushitaki hapa Nchini 🇹🇿, wanastahili kushitakiwa umoja wa Mataifa.
@Paskalina-d3d
@Paskalina-d3d 2 ай бұрын
Hiv hawa viongozi wa nchi wanataka ku2peleka wapi mbona manyanyazo kila kukicha afahdali ya jana pole sanaa bwana lisu kwa changamoto unayoptia mungu akubariki sanaa
@kijitamfyomi5598
@kijitamfyomi5598 2 ай бұрын
Huyo Kamanda Awadhi angefukuzwa kazi pamoja na wote walioshiriki kuwatesa ndugu zetu
@NM-yl2uw
@NM-yl2uw 2 ай бұрын
hao wanaowafukuza kaz ndo wamewata
@hadjiMbugi-iu4eg
@hadjiMbugi-iu4eg 2 ай бұрын
​@@NM-yl2uwmm mawazo yangu apandishwe cheo
@BoniphacePeter-ih2st
@BoniphacePeter-ih2st 2 ай бұрын
Kwa mwenendo huu hapana sababu ya kuwa ktk Chama cha majambazi
@josephatbwakome5711
@josephatbwakome5711 2 ай бұрын
Hii mipolisi ya CCM naichukia mpaka basi, ctamani mwanangu awe polisi labda yabadilike kitabia.
@puritybariki8529
@puritybariki8529 2 ай бұрын
Wewe awadhi utakufa mdomo wazi kabisa kwani Hawa sio watanzania wenzako
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 2 ай бұрын
Nimeumia sana inchi hii inawatu wana roho mbaya sana
@johnlightmkose4723
@johnlightmkose4723 2 ай бұрын
Mungu atashusha pigo ktk nchi hii hakika nawaapia Haya maneno mtayakumbuka Maana WANYONGE wanaonekana kuwa ni umbwa tu
@Ramista75
@Ramista75 2 ай бұрын
Hapa sijajua haya mambo wangefanya viongozi wa ccm nao wangefanyiwa hivihivi na polisi sijui
@SubaGillah
@SubaGillah 2 ай бұрын
Hii nchi ina vituko sana lakini ipo siku isio na jina mungu anatenda mambo yake
@DjJohnBashir-oy7cx
@DjJohnBashir-oy7cx 2 ай бұрын
Poleni sana Mungu ni mwaminifu atalipa Kwa hayo yote
@juliusringo710
@juliusringo710 2 ай бұрын
Amen
@puritybariki8529
@puritybariki8529 2 ай бұрын
Jamani umoja wa mataifa mko wapi watanzania tunatezeka sana
@davidsamson8292
@davidsamson8292 2 ай бұрын
CCM TUMEICHOKA HII NCHI IWE NA SIASA HURU SIO MABAVU YA POLISI.
@DandasiKundi
@DandasiKundi 2 ай бұрын
Hii ni hatari sana hata polisi wanaiba simu jamani ninasikiliza maelezo ya mnyika yanasikitisha sana.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
Hii nchi inahitaji ukombozi.Tunaongozwa na watu wasio na utu na wasio fuata sheria na katiba nchi.Jeshi la polisi lina watendaji wenye uwezo mdogo na akili ndogo sana na wanaotumia madaraka yao vibaya.
@RamadhanAlly-cf7du
@RamadhanAlly-cf7du 2 ай бұрын
Niwahuni kuazia viongoz wa ccm mpaka ilo.jesh ila kuna siku nadhan watashndwa kuzuiya nguvu ya umma
@AnosisyeMwaigomole-m3v
@AnosisyeMwaigomole-m3v 2 ай бұрын
Haki haiwezi kuondoshwa, bari huchereweshwa
@ErasmusMakavery
@ErasmusMakavery 2 ай бұрын
Vijana uvccm mwanza tunaomba kujiunga na chama cha demokrosia na maendeleo chadema .
@SleepyDrink-yp7yg
@SleepyDrink-yp7yg 2 ай бұрын
Naumia sana juu ya haki za binadam Ii halo itaisha lini
@boazmwakalonge-ch9qp
@boazmwakalonge-ch9qp 2 ай бұрын
pore sana mweshimiwa Ipo SKU watakusalimia kwaheshima
@CalistusTitus-s5o
@CalistusTitus-s5o 2 ай бұрын
Kuwa CCM ni kukubaliana na ushetani nawaambia watanzania CCM kamwe siyo chama kamwe hawana hutu ni washenzi sana, polisi ivi mnajisikiaje kutesa watu
@robertkairo8483
@robertkairo8483 2 ай бұрын
Hivi taifa letu lina aina gani ya watu kwenye taasisi hizi za kutoa haki. Dah inasikitisha sana kwa kweli
@MeckMuro-tt3nj
@MeckMuro-tt3nj 2 ай бұрын
Poleni sana viongozi wa chadema kwa magumu haya, ila niwakikishie mungu wetu ni mwaminifu atawaacha kamwe,
@RamadhanAlly-cf7du
@RamadhanAlly-cf7du 2 ай бұрын
Kwa sasaiv sion sababu ya kubembelezana na hawa askar kwan ni wahun hii nchi bado inamambo ya kihun sana dawa ni tunyooshane tu
@mtakatifubony5525
@mtakatifubony5525 2 ай бұрын
Mabadiliko ya kweli yanaletwa na watu walijitolea hata kufa kama kweli mnataka kuleta mabadiliko Hii ndio njia sahihi,Acheni kulalamika, mabadiliko hayawezi kuletwa na walalahoi
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 2 ай бұрын
Kwa nini jmn uwiiii ccm acheni kutesa chadema yupo mungu atawajibu
@StevenMapete
@StevenMapete 2 ай бұрын
Polisi wetu wanahitaji elimu ya kisheria huweziI kumpiga mtu alie jikabidhi mikononi mwako
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 2 ай бұрын
Kwa hiki walichofanyiwa Chadema, cha ajabu vyama vya upinzani vingine vipo kimya. Au vyama vingine ni vibaraka.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
Hata mimi nashangaa
@richardnganya2311
@richardnganya2311 2 ай бұрын
Vyama vingine ni CCM B
@johnlightmkose4723
@johnlightmkose4723 2 ай бұрын
Nimeelewa​@@richardnganya2311
@ZedekChamagogo
@ZedekChamagogo 2 ай бұрын
Tanzania chama Cha upinzani ni chadema tu vingne vyote ni ccm B
@ErickAlipipi
@ErickAlipipi 2 ай бұрын
Ccm nisawa na uongozi wa mkolon tena mjeruman
@johnlightmkose4723
@johnlightmkose4723 2 ай бұрын
SERIKALI yangu mnatengeneza chuki wananchi watawachukia sana kwa shuhuda HIZI ni dhahiri watu wanaishangaa sana serikali
@puritybariki8529
@puritybariki8529 2 ай бұрын
Akika mungu yupo mungu atajibu kwa wakati
@ChristopherCharles-ty6uw
@ChristopherCharles-ty6uw 2 ай бұрын
Hiki mnacho kifanya ccm mungu, anaona na mtalipwa hapahapa chini yajua. Mungu hachelewi wala hawahi atajibu kwa wakati
@TuntufyeBrayson
@TuntufyeBrayson 2 ай бұрын
Jamani watanzania tunajisahau kwasababu mungu anaonesha madudu ya CCM na polisi wao kwasababu sisi tunatakiwa kufanya uchaguzi wa kuwa Fanya wakose kula hata kula Moja ili wakiiba kula iwe kama Kenya mana wamechoka kufanya vitu kwa haki
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 2 ай бұрын
Awadhi Haji,Mungu atapigana nawe😢
@juliusringo710
@juliusringo710 2 ай бұрын
Amen
@simonzelote5998
@simonzelote5998 2 ай бұрын
Mungu atamuhukumu tu mungu sio adhumani
@dallasmusic6465
@dallasmusic6465 2 ай бұрын
Viongozi na police wa Tanzania🇹🇿 hamuelewi kazi yenu mnajua ubabe tu na mwisho wa yote ni kifo 😢😢😢😢😢 Mtakufa vbaya sana badlikeni police wa Tz mna shida ya uelewa
@EmanuelPallangyo-n4q
@EmanuelPallangyo-n4q 2 ай бұрын
Hawa wapelekwe mahakama ya kimataifa wananchi tutachangia nauli za mawakili ili haki ipatikane na uonevu ukome.
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm 2 ай бұрын
Pore Sana ira mungu Yuko pamoja nanyi
@celestinemidauli988
@celestinemidauli988 2 ай бұрын
Poleni sana kamanda tupo pamoja
@davidchavaligino7103
@davidchavaligino7103 2 ай бұрын
Halafu na mateso yote hayo utasikia jitu limehamia upande wa pili
@JoshuaNgolela-pi3nh
@JoshuaNgolela-pi3nh 2 ай бұрын
chadema hii nchi yenu kitambo ccm aina jipya haaina mvuto tena kazi ni kutumia akili zao
@AliImamu
@AliImamu 2 ай бұрын
Swazi haji ni wawapi huyu
@JosephMagige-lf9ns
@JosephMagige-lf9ns 2 ай бұрын
Nahama ccm kuazia leo rasm
@PaulNsabi
@PaulNsabi 2 ай бұрын
matumizi mabaya ya madaraka,fedha za nchi,kunyanyasa wananchi,isiyo na kariba,wakati wa kudai katiba mpya
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 2 ай бұрын
Mbona wameanza mapema ikifika 2025, itakuwaje?
@HalimaShawa
@HalimaShawa 2 ай бұрын
Pore sana kamanda, ila hawo watu malipo yawo yanakuja
@NestoryMgimba
@NestoryMgimba 2 ай бұрын
Sina hofu nakaza mwendo hatuwezi kurudi nyuma tumevumilia kwa magufuri na huu mwisho tutavumilia japo maumivu yaweza kuwa makubwa lakini tutavumilia.
@Jeremiahlukumay
@Jeremiahlukumay 2 ай бұрын
Serikali ya Samia imepoteza mwelekeo na sera Sasa wanaona kutumia polisi kuteka watu hovyo hovyo ndio suluhisho lakini hatutavunjika moyo tutapambana mpaka kieleweke Samia must go.
@HassanVorogwe
@HassanVorogwe 2 ай бұрын
Vyama vingi vifutwe kibaki Chama kimoja mnawatesa kuwapiga kuwaua, bakini wenyewe nchi ni yenu pekeyenu.
@HadijaJoseph-d1g
@HadijaJoseph-d1g 2 ай бұрын
Pole sana baba yani munafanyiwa unyama sana
@HassanKibwana-h3w
@HassanKibwana-h3w 2 ай бұрын
Tunaelekea wapi inasikitisha sana
@PrivaAgust
@PrivaAgust 2 ай бұрын
Mwenyekiti ebu kasirika kama Mimi.
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 2 ай бұрын
Kama haikutakiwa tuwe na vyama vingi turudi kwenye chama kimoja.
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 86 МЛН
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 123 МЛН
Wait for it 😂
00:32
ILYA BORZOV
Рет қаралды 4,4 МЛН
When mom gets home, but you're in rollerblades.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 51 МЛН
MWAMBIGIJA AMVAA PETER LIJUALIKALI SUMBAWANGA
20:33
Chadema Media TV
Рет қаралды 19 М.
Fact-checking and trust in times of fake news
32:00
Eurostat
Рет қаралды 16 М.
DU!!TUNDU LISU NA LEMA PAMOJA NA MAASKOFU TUKATWE MIKIA? HIVI HAWA WASIOJULIKANA WANATUONAJE?
24:30
BALAA LA ASKOFU MWANAMAPINDUZI KUWAANIKA WATEKAJI
49:40
Chadema Media TV
Рет қаралды 6 М.
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 86 МЛН