#live

  Рет қаралды 30,039

BENTV MEDIA

BENTV MEDIA

Күн бұрын

Пікірлер: 62
@zeyanaalhabsi8636
@zeyanaalhabsi8636 9 ай бұрын
Mzee mwenda pole karibu sana yanga
@zakiaabubakar7446
@zakiaabubakar7446 9 ай бұрын
That is really love We all dying for Simba
@peteromary8764
@peteromary8764 9 ай бұрын
Polee sana mwenda"karibu azam
@badendavid8456
@badendavid8456 9 ай бұрын
Endelea kupenda Simba
@MeshackmollelyNgitoor
@MeshackmollelyNgitoor 9 ай бұрын
Pole sana coach najua unamia kwasababu unaipenda simba yetu na simba sio mbaya bali uongozi tuu nao watapita tu.
@Wami-Sababisho
@Wami-Sababisho 9 ай бұрын
Huyu bro yuko serious sana 😂,na ujeshi wake atakuja kumpiga mtu teke la shingo 😂😂😂😂.
@MalikiKavindi
@MalikiKavindi 9 ай бұрын
Karibu sana unyamani mwenda
@briantafari9224
@briantafari9224 9 ай бұрын
Nmeingoja sana Mzee Mwenda..
@godfreymsofe2366
@godfreymsofe2366 9 ай бұрын
Leo nimekuwa kwanza jamani wapi mauwa yangu....😂😂😂
@franccoz94
@franccoz94 9 ай бұрын
ANAEIFELISHAA SIMBA MPAKA SASA N MO DEWJI
@danielchamoto9376
@danielchamoto9376 9 ай бұрын
Kaichukue wew uidhamini kibwengo wew😂😂
@mwanangusana
@mwanangusana 9 ай бұрын
Sio kweli , miaka mi 4 ya mafanikio ,,,,, mdhamini ulikuwa wewe ?? Tatizo watu wa mpira wamekaa pembeni pale udundukani sio moamed No mkwabi No magori No Senzo No ..... Try again Hana watu wa nguvu wa kusogeza gurudumu mbele RIP Hans Pope, hao ni watu wa boli Sana
@franccoz94
@franccoz94 9 ай бұрын
@mwanangusana MO ALITUTOA MAVUMBINI NDIO TUTASHUKURU,LAKINI AMEANZA TENA KUTUPELEKA MAVUMBINI MAANA YAKE NN SASA UTOPOLO WAMECHUKUA MARA 3 MFULULIZO, TUKIENDELEA KUISHI KATIKA PAST ,WATACHUKUA HADI MARA 20 MO SASAHIVI HANA MAPENZ NA SIMBA UKWELI UNAUMAA ILA LAZIMA TUSEME TU ILI KUINUSULU SIMBA INAYOTEKETEA MIKONONI MWA MO DEWJI
@JabiliJuma
@JabiliJuma 9 ай бұрын
Mzee mwenda baba nakubari sana tungepata watetezi kama ww tusinge Teseka ira iposiku tuomuombe mungu tu watajuta kwanini waricherewa kujiuzuru wewe subiri
@LinusKyando
@LinusKyando 9 ай бұрын
HAMIA YANGA HUJASAJIRIWA
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 9 ай бұрын
Karibu pamba mwanza
@albertosanga7744
@albertosanga7744 9 ай бұрын
Kwahiyo hata Babla hawezi kurudi SIMBA kwani naye alitolewa kwa kuziba myanya ya wizi SIMBA
@AndersonMokiwa-is5ch
@AndersonMokiwa-is5ch 9 ай бұрын
Mzee wangu pole sana umenipa kitu kizuri sana
@MathiasFungavyema
@MathiasFungavyema 9 ай бұрын
Dah mzee kaongea Kwa uchungu sana
@DenisiSanga
@DenisiSanga 9 ай бұрын
Usiache kupaza sauti tuokolee timu yetu Mo hatufai wapo wachina na matajiri kibao wanaitaka Simba
@vumiliamgendi148
@vumiliamgendi148 9 ай бұрын
Jamani kaka mwenda tunaomba basi mpambane wewe gb yule sam Simba na wengine wanao jielewa mpaze sauti kwenye media kama hizi ili mo atuachie tim yetu na hao mangungu na try kajuna na takataka zingine zituachie tim yetu Zienda zinakojua
@josephlorri431
@josephlorri431 9 ай бұрын
Kwa nini mashabiki wasisusie simba...hakuna anayejali kilio cha mashabiki
@BrunoNamanga
@BrunoNamanga 9 ай бұрын
Mwenda usije ukaumia Kamanda wangu ukaiaga Dunia kwa mawazo Najua umeumia sana Ila leo Kamanda sauti mpaka inashuka Kamanda Mwenda Kocha wetu Usiumie sana Kwa mara ya kwanza Mwenda kapoteza uwezo wake Viongozi hivi kwel iChama na Kibu waende kule kweliiiiiiiiiiiiiii😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
@johnhamisi5692
@johnhamisi5692 9 ай бұрын
Uko sawa kabisa
@albertosanga7744
@albertosanga7744 9 ай бұрын
Wanaoharibu ni wao kwani makocha wote wameletwa na hao hao
@wilbertkaromba5118
@wilbertkaromba5118 9 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢
@omarabdallah9945
@omarabdallah9945 9 ай бұрын
Pole sana Mzee mwenzangu
@cynthiapwani1383
@cynthiapwani1383 9 ай бұрын
😂😂😂mwaya hamia mtibwa sugar usipte presha usije kufa ukaenda jehanamu kma moyo umejikunja haha na kibu wenu hatumtaki bakini nae ukooooooooo😂😂😂😂
@mustafakara1361
@mustafakara1361 9 ай бұрын
Wewe ni mwamba. Mimi ni yanga lak nakuonea huruma . Una hisia za ukweli. Unaipenda timu yako
@cosmasluwanja7394
@cosmasluwanja7394 9 ай бұрын
Mwenye hela kaatamia Simba
@ramadhanmazije3882
@ramadhanmazije3882 9 ай бұрын
Wasiiihujumu Simba bhana maana raha ya mpira ni yanga kumfunga Simba . Sasa tutamfunga nan jaman my wetu akitoweka !!
@allyrembo6714
@allyrembo6714 8 ай бұрын
Nadhani ingekua bora ukaihama club ya simba kwavile hukulazimishwa kua shabiki wa simba ila ulitaka mwenyewe badala ya kutuletea uchuro katika club yetu mtu mzima hovyo unalia mbele ya mwandishi ili iweje kaa pembeni
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 9 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅❤
@ShabaniNgogo-c7m
@ShabaniNgogo-c7m 9 ай бұрын
Ila unapua kubwa😂
@IdrissaJuma-sp4rp
@IdrissaJuma-sp4rp 9 ай бұрын
Ukimionamtumzima analia ujue kunajambo.....
@amanifadhi
@amanifadhi 9 ай бұрын
Shida no Mo
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 9 ай бұрын
Mimi Kuna wakati nilijaribu kuwa na wazo la kuhamia Yanga nikashindwa ni vigimu sana kuhamia timu nisiyoipenda. Simba nimeipenda tangu utotoni na sitaiacha kamwe. Lakini Kuna maumivu makubwa haswa timu kuongozwa na akina Mangungu na Try Again viongozi wa hovyo kupata kutokea.
@stevekipepeo2134
@stevekipepeo2134 9 ай бұрын
Alafu ukitoka inje ya Tz hio elimu ya Simba Yanga itakusaidia aje kupata chakula
@abdunasiriathumani9011
@abdunasiriathumani9011 9 ай бұрын
Tanzania najuta kuipenda simba kama ninavyojuta kuipenda Barcelona ulaya
@MohammedJaizan-yf5yt
@MohammedJaizan-yf5yt 9 ай бұрын
Hili zee lishakuwa chizi. Aende kwa mwamposa akaombewe
@BrunoNamanga
@BrunoNamanga 9 ай бұрын
Kavurugwa na hajui Kibu yuko wapi Chama nk nk Anaumia sana Kamanda kapatwa
@SalimRamsei-ok9el
@SalimRamsei-ok9el 9 ай бұрын
Sawa tu
@buberwamujungu6987
@buberwamujungu6987 9 ай бұрын
Si uende hiyo yanga yako!usituzengue sisi imetumwa?!!
@harunayman
@harunayman 9 ай бұрын
Kocha kumbe wewe ni schoolmate wangu.. huo mwaka nilikuwa darasa la nne
@ZainabSimith-ey6vm
@ZainabSimith-ey6vm 9 ай бұрын
Tumelia sana tumechoka dawa nikutoenda uwanjani tu
@salumuseif3324
@salumuseif3324 9 ай бұрын
hehehehehehehehehheeheheh
@hajially4527
@hajially4527 9 ай бұрын
Mwenda njoo jangwani baba
@paskalilameki9568
@paskalilameki9568 9 ай бұрын
Pleasant.
@IddyAdam-ww1mq
@IddyAdam-ww1mq 9 ай бұрын
Kibu chama wakienda yanga bas nmm naenda ynga kwamkopo
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 9 ай бұрын
Simba tumeikabishi kwa majangili. Watu tunatumia majangili hawajali yameng'ang'ania kama ruba.
@danielchamoto9376
@danielchamoto9376 9 ай бұрын
Sasa wew mzee mwenda si uhamie huko nyuma mwiko? Wew kila saa unapigwa tu unaumia umekaa hapohapo maana yake nin? Au umetumwa kama mchome?? Upuuzi jitu zima akili kiduchu
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 9 ай бұрын
Nenda yanga njia nyeupe maana unakua km mtoto mpira ndivyo ulivyo ilikua Man u sasa ikowapi unalete uchuro bule
@Smart_jarm
@Smart_jarm 9 ай бұрын
Povu😟
@jabirkombo5483
@jabirkombo5483 9 ай бұрын
Nenda yangaa
@AbshirMubaarack
@AbshirMubaarack 9 ай бұрын
Ninyi ndy mnaipoteza timu yenu.Hamuoni km kuna tatz kwny uongozi wenuuu,au mpk mshuke darajaa
@rynesawaya7043
@rynesawaya7043 9 ай бұрын
​@@AbshirMubaarackumeongea point sana jamaa wwe ndio unaoujua mpira
@danielchamoto9376
@danielchamoto9376 9 ай бұрын
​@AbshirMubaarack hata kama likiwepp tatizo wew kama unaumia sana unauwezo wa kuhamia utapopata hizo raha unazotaka kuliko kukaa sehemu ambayo unaona unaumia wew tu. Huu mpira ulivyo very soon nyuma mwiko mtaanza kulia ndio na nyie mtahama? Misimu minne wakati simba anachukua ubingwa nyie mlihama mapimbi nyie
@mussalimbe6673
@mussalimbe6673 9 ай бұрын
Acheni kumhoji huyo wa Nini?
@rynesawaya7043
@rynesawaya7043 9 ай бұрын
Wwe ninan?naon utakuwa mgen kaa kwa kutulia
@drallan6879
@drallan6879 9 ай бұрын
Too much of anything is harmful;coach mwenda Simba tuko sio mbaya;3rd position;Ur complaining a lot
UFC 287 : Перейра VS Адесанья 2
6:02
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 486 М.
Jaidarman TOP / Жоғары лига-2023 / Жекпе-жек 1-ТУР / 1-топ
1:30:54
Vampire SUCKS Human Energy 🧛🏻‍♂️🪫 (ft. @StevenHe )
0:34
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 138 МЛН
سورة البقرة كاملة, رقية للبيت, وعلاج للسحر | القارئ علاء عقل - Surah Al Baqarah
3:52:36
MWENDA AWASHA MOTO KWA VIONGOZI SIMBA KABLA YA USAJILI/ WAMETUDANGANYA SANA
10:52
UFC 287 : Перейра VS Адесанья 2
6:02
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 486 М.