Nawafatilia sana watumishi wa Mungu ninaombi kwenu kama hamto jali naomba mtusaidie karibu maswali kimaandiko ilikuepusha mkanganyiko . Mfano : Je sifa za mtu kuandikwa katika kitabu cha mwanakondoo zinatofautianaje kati ya wanao nyakuliwa na wanao baki? Kwa mujibu wa maandiko?
@jephaniekambale88483 күн бұрын
Asante kwa mafundisho nashujuru, mimi nawafata kutoka kongo hivyo vitabu natabipata namna gani ? Sitaki kubaki nyuma ,hâta kwenye opération kukesha nitakuwepo . Muniombeye piya.