LEMA ATOA MANENO YA UCHUNGU NIMESEMA SANA NIMEKIMBIA NCHI SIDAIWI CHOCHOTE

  Рет қаралды 11,648

KUSAGA TV

KUSAGA TV

Күн бұрын

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZbin : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...

Пікірлер: 98
@amenaameeena3317
@amenaameeena3317 3 сағат бұрын
Msema ukweli mpenzi WA Mungu Lema Mungu akubariki na kukulinda
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 8 сағат бұрын
Aibu sana ktk nchi yetu uoga ukizidi ni ujinga ktk taifa
@KesuYeile
@KesuYeile 9 сағат бұрын
Mungu akubariki San mh lema,
@rithaurassa
@rithaurassa 6 сағат бұрын
Unasema kweli mkuu kazi yakujituma ni ngum sana.Ila Mungu yuko pamoja na wewe usiogope amini tuu.
@FocusmachumuMwizarubi
@FocusmachumuMwizarubi 9 сағат бұрын
Kwa kweli watanzania tunamatatizo ya akili
@asinahussein2176
@asinahussein2176 9 сағат бұрын
Labda wewe usijumuishe wote
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 9 сағат бұрын
Focus uliyonena ni ya ukweli
@HassanRubota
@HassanRubota 8 сағат бұрын
Hata mm nafikili tungepimwa akili nchi nzima
@MfunjoWabaBoydays
@MfunjoWabaBoydays 7 сағат бұрын
​@@asinahussein2176kwani wewe mtanganyika?😂
@simonnjovu586
@simonnjovu586 2 сағат бұрын
​@@asinahussein2176kwani amesema wote? Kasema watanzania.
@magrethsengati2564
@magrethsengati2564 3 сағат бұрын
Kweliiiii mh lema dah point
@SephaniaMsigwa
@SephaniaMsigwa 4 сағат бұрын
Nakubali kiongonzi
@NdoipoMollel
@NdoipoMollel 53 минут бұрын
Mungu akuzidishie ujasiri na akuepushe na lolote baya mkuu
@MmbagaMmbaga
@MmbagaMmbaga 3 сағат бұрын
Tuko pamoja sana broo🎉🎉
@peterjohnson167
@peterjohnson167 8 сағат бұрын
Lema hutubia watu ambao hawaja tembelea maeneo mbalimbali dunia...Mimi bara zote na nchi mbalimbali dunia nimesha tembea...USA ombaomba wako wengi kuliko Tanzania... Sicilia Italy kuna machinga kuliko Tanzania...Na hizo ni nchi zenye uchumi mkubwa duniani...
@KarutaHamza-rb1bn
@KarutaHamza-rb1bn 2 сағат бұрын
Uko sahihi one day
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 2 сағат бұрын
Ni kazi ngumu na yakukatisha tamaa,ila shida Mungu ameweka mzigo mzito ndani yenu. Wakati wa Mungu utafika tu msikate tamaa tafadhali
@SimonpaschalMathias-j9p
@SimonpaschalMathias-j9p 57 минут бұрын
Ila lema Mungu akuinue siku Moja pole sana nina hasira sana ila Sina namna
@HamisLeo
@HamisLeo 10 сағат бұрын
Mm nmekaa bench mungu anisaidie. Watz wanalia kila kona lkn bdo wanapgia kura ccm. Kuna mtu nimempa elf 5 juzi alikuwa na mtoto wa mwaka mmoja alikuwa mgonjwa kaenda kituo cha afya dawa kambiwa kanunue sasa pesa hana kanieleza mm nikampa elf 5. Leo nmeenda kujiandikisha nimemkuta ni wakala wa ccm nmeumia sana
@ZephaniaKambaine
@ZephaniaKambaine 9 сағат бұрын
Ungemdai ela ako apo apo kumamake
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 9 сағат бұрын
😢😢😢😢😢 jamaa nikweli
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 9 сағат бұрын
Ungengata lipua lake
@HamisLeo
@HamisLeo 8 сағат бұрын
@@ZephaniaKambaine hilo ndo natarajia jion atoke huko nmfate anipe pesa yangu japokuwa nilimpa km kusaidia ila leo naifata lzma
@MfunjoWabaBoydays
@MfunjoWabaBoydays 7 сағат бұрын
Pole kakubeba ujinga
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 Сағат бұрын
Hakika hauna Denis brother
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 Сағат бұрын
Deni siyo Denis
@AshrafLema-n5r
@AshrafLema-n5r 2 сағат бұрын
Bismillah rrahmaani rrahiim.Bismllaah rrahmaani rrahiim, Bismillah rrahmaani rrahiim! Mwenyezimungu tupe moyo na nguvu kupigania haki za msingi,tuondoshee wadhalim ,watekaji na kila balaa la wasiojulikana.Aaaamina.
@khalifamwasha6648
@khalifamwasha6648 6 сағат бұрын
Bro Lema tangu kitambo nimekuwa nikikusikiliza umekuwa ukijenga hoja na ukitumia busara sana ktk speech zako. These days baada ya issue ya maandamano umekuwa ukiwalaumu wananchi na kuwatukana softly. Kaka tambua watanzania hawajaandaliwa ktk misukosuko ya kisiasa. naamini unajua kuwa ktk siasa hawakosi mamluki. Siyo kila ahudhuriaye ktk speech za kisiasa ni mfuasi na kwamba yuko tayari likitokea la kutokea mfano hata hapo likitokea tim tim mfano mpira au tairi la gari au puto kupasuka, usishangae wanaokusikiliza usimuone hata mmoja. Jengeni hamasa na msichoke na kukata tamaa kwa kutoitika maelekezo. Leo waoga na unaowashutumu na kuwaona hawana maana kwa kuwa kimya ndiyo mnaowahitaji wakupeni kura kesho. Wapo manabii walikataliwa neno la mungu sembuse siasa. Tunahitajiana. Kaka unaonekana umechoka siasa. Tafakari Jitathmini. Mpe hadhi raisi unapolitaja jina lake hata wakubwa zako wanamuita kwa prefix mheshimiwa Raisi.... Siasa zitaendelea kuwepo sawa na wapanda miti ya matunda wengine hawabahatiki kuyala wanaokuja kula ni wajukuu au vitukuu.
@JohnGadafi-x8j
@JohnGadafi-x8j 5 сағат бұрын
Ni kweli kabisa
@AmisiLulacha
@AmisiLulacha 8 сағат бұрын
Maneno ya lema ya umiza sana ni maneno mazito sana
@STEVENKAJUMBA
@STEVENKAJUMBA Сағат бұрын
Ngumu kumeza.
@StephenKudaka
@StephenKudaka 3 сағат бұрын
sema ukweli hakuna mwanasiasa anaepiginia watu unajipaginia ww na famili yako
@mlyamalitv1789
@mlyamalitv1789 Сағат бұрын
Huyu pa1 na mimi ni Rasilimali ya Taifa.
@Voiceofpeopleotz
@Voiceofpeopleotz Сағат бұрын
Hii ndiyo mchi pekee polisi wanaweza kumkamata mtu kwa kutabiri kwamba huyu mtu atafanya kosa kesho. Walikamatwa watu kwa sababu watafanya vurugu kwenye maandamano..
@MerryWilliam-r4l
@MerryWilliam-r4l Сағат бұрын
Lema nakuelewa mno
@rizmarkabraham3921
@rizmarkabraham3921 9 сағат бұрын
Mungu alipiganie taifa
@MfunjoWabaBoydays
@MfunjoWabaBoydays 7 сағат бұрын
Mungu amesha shoka jipiganie ndiposa naye atawesa saidia
@titusrobert5890
@titusrobert5890 51 минут бұрын
Lema siku inakuja,
@HaryPoter-zw7vr
@HaryPoter-zw7vr 8 сағат бұрын
🤣🤣🤣🤣nyie ni wana Siasa Lema.ndio maana WATU wa maana mmewapeleka Ulaya,MKE wako, watoto wako N.K una Cha kupoteza,🤣🤣🤣🤣
@MmohamediSaidi
@MmohamediSaidi 6 сағат бұрын
Kweli we unafilwa
@MursalJuma
@MursalJuma 50 минут бұрын
mm kuipigia ccm kura yang bor nife
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 4 сағат бұрын
Hawa maccm wamefanya nchi ni mali ya familia yao.
@stanastana3199
@stanastana3199 9 сағат бұрын
Jamaa wanapiga makofi maadaye wanachagua ccm
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 9 сағат бұрын
😢😢😢😢😢
@MfunjoWabaBoydays
@MfunjoWabaBoydays 7 сағат бұрын
Unafiki ni Mwingi sana nchi hii
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 сағат бұрын
Kwani wewe ulitakaje sisi siyo Wakenya kila siku fujo tulipata Uhuru kwenye Amani na tunaomba iendelee nyie mnatumiwa nchi isiwe na Amani
@stanastana3199
@stanastana3199 4 сағат бұрын
@@margarethpolepole7438 umejuaje mimi ni mkenya?
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 сағат бұрын
Hakuna anaekubali kufa pelekeni watoto wenu wakaandamane maskini wakiandamana wakavunjika miguu mnawasaidia nini kwa matibabu acha wajitafutie ridhiki zao
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 сағат бұрын
Lema hiyo imetoka ikirudi pancha Ccm huiwezi
@EdsonKilaga
@EdsonKilaga 20 минут бұрын
Ndio nyie ambae hamjitambui
@AyubuChacha-u6u
@AyubuChacha-u6u 8 сағат бұрын
Mzee Lema polen sana najua kuwa unaumia sana ila hiyo ndio nchi yetu sasa twende wapi maana ccm imegawa nchi kuwa makundu mawili wanaolindwa na kutunzwa na ambao hawana ulinzi wanaolindwa wajitaba kupita kias na ambao hawana haki.
@CosmasParkire
@CosmasParkire 8 сағат бұрын
😢😢daah inasikitisha
@kajsun5918
@kajsun5918 9 сағат бұрын
👏
@SaimonMwashinga
@SaimonMwashinga 2 сағат бұрын
Ninyi niwatumishi wa mung tupo pamoja tunaomba juu yenu msikate tamaawanaharakatitupo wote jaman
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 8 сағат бұрын
Kwani wewe hapo unapiga kelele unataka nini? Si uache sasa upumzike mdogo wangu! Uongozi mtamu!😂😂😂
@dionismutayoba3542
@dionismutayoba3542 Сағат бұрын
Acha ujinga hii ni nchi guru
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 Сағат бұрын
@@dionismutayoba3542 Nchi GURU tena! Ama kweli wewe una akili nyingiii!
@SimonpaschalMathias-j9p
@SimonpaschalMathias-j9p 53 минут бұрын
Lema hata huku machawa wapo wataongea utumbo
@christophermwatendela9500
@christophermwatendela9500 5 сағат бұрын
Ccm walishafanya Yao kitambo , watu wa hovyo kabisa ,nadhani dawa Yao Bado haijapatikana
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 7 сағат бұрын
Hawajielewi Tatizo shule Tz tumelogw wp, elimu n tatizo, Tanganyika,
@SaraSara-i1l
@SaraSara-i1l 8 сағат бұрын
😢😢😢
@MaguguStore
@MaguguStore 6 сағат бұрын
Wewe ndiyo ujitambuwiiiii ,
@IbrahimMwakasembe-mu5fv
@IbrahimMwakasembe-mu5fv 2 сағат бұрын
Kweli mtu ana kipimo anachokijua juu ya uzalendo. Siwez kukulaumu unaembeza lema. Uko upande salama, huwezi kujutia. Ila ubaya unalaana mbaya, kama hutalia wew watalia wanao
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 6 сағат бұрын
Hakuna mtu mpuuzi kama lema yeye alikua mbunge na walishika alimashauli alifanyanini zaidi ya kujiongezea posh tuu
@TallTallmysha-v3u
@TallTallmysha-v3u 8 сағат бұрын
Hhhhhhhhh maboya hawa
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 5 сағат бұрын
Mafisiemu. Mnatusumbua. Mnaumwa. Mavi. Mkanye mtuache bana
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 8 сағат бұрын
Amesema""Hakuna kazi ngumu kama kupigania "haki" ya watu ambao hawajitambui"" je ni kweli au sio kweli?
@IbrahimMwakasembe-mu5fv
@IbrahimMwakasembe-mu5fv 2 сағат бұрын
Ni kweli kabisa, nikaz ngumu kumpigania asiyejitambua, licha ya kwamba asiyejitambua ukimwambia Hujitambui, utasema natukanwa, Wala hawezi kukubaliana
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 8 сағат бұрын
Ila wewe utaishi milele! Halafu huyu hata la kusema hana!
@FranckDaniel-cc5rg
@FranckDaniel-cc5rg 4 сағат бұрын
Kibaraka 😂😂😂haya ukishaharibu hata haka ka amani tulikonako kimbia nenda kwa mabwana zako ulaya wakupididi sisi tutafia hapa hapa na Tanzania yetu,ila mtajibu kwa mungu mwenyez
@idiphoncekiimbi2021
@idiphoncekiimbi2021 2 сағат бұрын
Mama yenu mbona anapokea misaada kutoka kwa mabeberu ambao baba zako waarabu
@FranckDaniel-cc5rg
@FranckDaniel-cc5rg Сағат бұрын
@idiphoncekiimbi2021 hakuna aliyekataa ila lisu hana akili zaid kusaliti taifa Lake kwa mabwanyenye,ngoja avuruge alaf wakishamaliza kumtumia utaon watakavombokoa makalio,lisu ni kama mobutu seseko,tu
@EdsonKilaga
@EdsonKilaga 14 минут бұрын
Mijitu ambavyo hamjitambui Iko mingi
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 9 сағат бұрын
Hata mimi nimesema wakiiba mungu atafanya kitu atazima soketi kabisa kweli mtaona
@TamimuGambo
@TamimuGambo 3 сағат бұрын
Mama wa mtoto c wewe
@mindicarrashid3131
@mindicarrashid3131 4 сағат бұрын
Wwe ndio hujitambui
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 9 сағат бұрын
Lisu unamwiita mh ila Raisi wa nchi unamwiita Samia! Unawaita maboya! Hizo kauli zenu zitawagharimu! Kiongozi gani una kauli mbaya na unategemea watu wakuchague! Rekebisheni kauli za kibabe ni machukizo hata mbele za Mungu!😢😢
@patymwita5834
@patymwita5834 9 сағат бұрын
Bumbuwazi😂
@emmanuelmziray1073
@emmanuelmziray1073 9 сағат бұрын
Pimbi wewe Dora
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 8 сағат бұрын
Tahira nyumbu wewe Dora au nikuite doa
@markoshem-ij6cf
@markoshem-ij6cf 5 сағат бұрын
Mubwa wewe tena kenge mukubwa jinga wewe ​@@MiriamAbdallah
@NdoipoMollel
@NdoipoMollel 41 минут бұрын
Dora nenda ukapime akili juu akili Yako Iko na maji
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 42 минут бұрын
Haujitambui wewe na familia yako
@GeofreyMwandanji-ot2lf
@GeofreyMwandanji-ot2lf 6 сағат бұрын
Kweli kabisa atuji tambui bilakatiba mpya siendy kujitambulisha
@peterjohnson167
@peterjohnson167 9 сағат бұрын
Lema kwisha kabisha watu wengi wako wapi????? Lema mambo yamegeuka sio miaka ilio pita.....Kwa sasa wana nchi wamejielewa zaidi...
@AdelinaAloys
@AdelinaAloys 9 сағат бұрын
Ndg MUNGU akupe heri wewe ndy unaifanya kazi MUNGU watu wengi wanaganga njaa
@simonsadala2386
@simonsadala2386 9 сағат бұрын
Acha matusi wewe jamaa nani hajitambui ni njaa zako ndio zinakufanya utukane iache hiyo kazi uje tupige boda boda
@markoshem-ij6cf
@markoshem-ij6cf 5 сағат бұрын
Mubwa wewe tena kenge mukubwa
@shabanikimpinga6769
@shabanikimpinga6769 9 сағат бұрын
Hamasisha.watu.wajiandikishe.acha.blabla.mukoje.maneno.yeleyele.
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 9 сағат бұрын
Yeye anafikiri kufokea watu kwa lugha za kihuni ndio watakupigia kura! Hamasisha watu kwa sera nzuri pia wajiandikishe kupiga kura! Acha maneno ya shombo hao watu wanajitambua!!😮😮
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 6 сағат бұрын
Chi iliisha piganiwa na kukombolewa acha uhuni
@StevenNyanguye
@StevenNyanguye Сағат бұрын
We ndo umekombolewa
@amenaameeena3317
@amenaameeena3317 3 сағат бұрын
Msema ukweli mpenzi WA Mungu Lema Mungu akubariki na kukulinda
Professor Jay feat Alikiba - CALLING (Official Music Video)
4:26
ProfessorJay
Рет қаралды 86 М.
TUNDU LISSU AFUNGUKA MAZITO AKIFANYA MAHOJIANO NA DW
9:09
Chadema Media TV
Рет қаралды 17 М.
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 17 МЛН
This mother's baby is too unreliable.
00:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 34 МЛН
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
What are Israel’s goals in Iran and Lebanon? | BBC News
14:47
KWA MISUMARI HII TULIA AKSON ANAHALI MBAYA SANA MBEYA MJINI
12:47
Chadema Media TV
Рет қаралды 9 М.
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 17 МЛН